Tuacheni kumuudhi mwenyezi Mungu jamani,mala ushoga,kuuwana ovyo,ulawiti hatuna huruma kabisa hivyo Mungu hutukumbusha waja wake kwamba msisahau Mungu ndio muumba wenu na mfuate Sheria zake,tuombe
@@yustomwaisomania2587 Hilo ndio tatizo walilonalo wanadamu wa sasa. Wanadamu waliotutangulia kuishi katika hii dunia, waliheshimu sana mazingira. Mizizi ndio inashikilia udongo uliorundikana. Mlima ili usimomonyoke lazima miti iwepo, tena yenye mizizi inayokwenda chini na inayosambaa. Ushauri wangu kwa waishio pembezoni ya mlima, wapande miti kwa usalama wa maisha yao.
Mtoto mwaka mmoja na miezi.analawitiwa vijana wanapewa.hela wawe mashoga wamkufuru Mungu dunia itapita.pembamba sana Mungu.hajawahi.kubari ujinga wa namna hii lazima upanga upite.katikati ya dunia waombaji.wainjilisti manabii.mitume kazi.kwenu.hela.ziache kwanza.jaman kemeeni.watanzania.watafakali.njia.zao.damu.ipo.itatakasa.dhambi
yaan ALLAH bwana akiamua jambo lake ni just easy kwake Sasa ona tope linavyoend taratibu ila ndy ata akuna wakuzia apo, na still tunaendlea na jeuri ,ALLAH ATUEPUSHE KWA KWL.
Nianze kwa kutoa pole nyingi kwa waathirika. Nyie watu, Mungu awasaidie sana! Mkuu wa mkoa Kasema waliofukiwa ni ngo'mbe watatu, mbwa, lakini pia chifu kasema na nyoka ambaye atajiondoa mwenyewe. Swali, je unadhani huyo ni nyoka wa kawaida? Ikiwa naye kapigwa, mtarndelea kumtumia? Mtaendelea kuomba mungu aliye mbinguni, muumba wa mbingu na nchi na kumfanyia ibada nyoka? Je, Mungu asikasirike zaidi? Tubuni. (Fanya kama sijui nisemacho, mimi ni mkazi wa mbeya-hawa ni majirani zangu)
Mbeya ina takiwa ifanyiwe “MASTER PLAN”, ili watu wajenge katika maeneo yaliyo salama! Ita saidia sana ku zuia maafa kama haya! Tuna mshukuru MWENYEZI MUNGU kwamba, hakuna madhara yaliyo tokea kwa binadamu, Amen 🙏🏾
Ni uelewa mdogo tulionao hivi hapo Mungu anahusikaje!! Ndio maana alisema tutaangamia kwa kukosa maarifa hivi ukilima mlimani ikija mvua kubwa kitatokea nini hayo ndiyo majibu
Ni mda hii nchi ikachukulia swala la Disaster Relief kwa userious, tukiona ni Mungu ameleta tu tutaona ni kazi ya Mungu tutaachia hapo. Itabidi nchi iweke budget ya kueleweka mwezi huu wa 6 kuhusu majanga kwasababu yanatokea na yatatotea
kwa yanayoendelea saiv katika nchi hii,turejeeni kwa mola kwa kumuomba msamaha, tusijitoe mishipa ya fahamu tukijadai sijui kilimo, madhambi yamezid jamaniiii
Watanzania wenzangu.Mungu awafaliji.wenzetu.waliopatikana.na majanga.ila watanzania uhuru umezidi tutubu.jamann.ndugu zangu watanzania.dhambi.inaharibu miundo mbinu.za.nchi.tukumbuke.kipindi.cha Eliya serikali.ilikuwepo.lakini.nchi.nzima.ilikumbwa.na.ukame.ngugu.zangu.tanzania serikali imewekwa na Mungu serikali.inaweza.kulimotiwa na Mungu isiweze kufanya.chochote.Tanzania wewe na watoto wako.na.mifugo.yako.na nchi y'ako tubu.ghadhabu ya Mungu ni.kali sana heri taifa.ambalo.Mungu muumba.mbingu na nchi ni.Mungu wake Tanzania shawishi.watoto wako wamheshimu Mungu viongozi wa din.na serikali tusaidiane tuachane na hela kwanza kipindi.hivi.kibaya kigumu.tungemtambulisha.Mungu mbele.ya watoto wetu.hela tutazikutaga.baadae
Najiuliza maswali bila kupata majibu. Serekali mpaka iliamua Kujenga shule hapo haikujua kuwa kuna kuwatumia wataalamu wa miamba? Kama taasisi ya Serekali inajengwa hapo watu wengine wangeshindwaje kujenga?
Pole utakesha huo uwoto ndio umeona mwak huu n mwak jana kituchamsingi n kumrudia Mungu tu hakuna cha uoto wala nn kujinyenyekeza mbele zake tupate kupona
Nyerere aliyepanda miti huo mlima mlifikiri ni mjinga?Maana serikali na viongozi wake walikata miti yote na mlima ukabaki tupu. Watu wanalima mashamba huko juu. Utafikiri
Milima hiyo ilikuwa hailimwi sasa sijui ni ongezeko la watu wenyeji wameuza mashamba huku chini wameanza kulima kwenye milima hiyo yani wametatua matatizo kwa kutengeneza matatizo makubwa unapima kina cha bahari kwa miguu yote miwili alafu mungu akusaidie😅😅😅
Bora umesema maana watu wamekazana tutubu tutubu dhambi hiyo sisi wakati tunahamia kulikua kuna miti mikubwa mirefu serikali ikavuna miti yote na wakawa wanapima viwanja
Maeneo hayo yana gawiwa nanani naje kabla ya kufanya matumizi ya aldhi je uwa hakuna wataalam wakupima kabla ya kujenga naomba nishauri serikali kabla ya kufanya maamuzi vitu vichunguzwe kwanza tunashukulu kuwa hakuna vifo
Niongee ukweli tuu mazingira tunaharibu sisi wenyewe binadamu wataaramu wa majanga wanasema majanga yanayotokea duniani % 96 yanasababishwa nasisi binadamu % 4 tuu ndo ya mwenyezi MUNGU mwenyewe nahuo ndo ukweli
Ujue ndugu yangu sisi tumeumbwa maasi yamezidi Kama hakuna muumbaji ,, zinaa, ushoga, ulawiti, mauaji, ushirikina, dhulma za Kila aina , rushwa, ibada na hofu ya Mungu haipo kwa hivyo hayo Ni katka maovu tuyafanyayo Mwenyezi Mungu anakasirika
Acheni kumsingizia Mungu wakati uzembe ni wetu unaambiwa watu wamelima hadi mlimani ,sijui hamjasoma shule!?? Hizo ni athari za uharibifu wa mazingira yetu
Tuacheni kumuudhi mwenyezi Mungu jamani,mala ushoga,kuuwana ovyo,ulawiti hatuna huruma kabisa hivyo Mungu hutukumbusha waja wake kwamba msisahau Mungu ndio muumba wenu na mfuate Sheria zake,tuombe
HILO ENEO HAMNA MITI HUWEZI KUTA HILO TATIZO SÃO HILL MAFINGA INABIDI TUWE NA TABIA YA UPANDAJI MITI MINGI
Inaonekana ni shule yako ndogo sana hiyo ni landslide ni uharibifu wa mazingira
Kila kitu mnamsingizia Mungu wakati Hilo tatizo limetokana na uharibifu wa mazingira elimu hapo ienda kushoto
@@yustomwaisomania2587
Hilo ndio tatizo walilonalo wanadamu wa sasa. Wanadamu waliotutangulia kuishi katika hii dunia, waliheshimu sana mazingira. Mizizi ndio inashikilia udongo uliorundikana. Mlima ili usimomonyoke lazima miti iwepo, tena yenye mizizi inayokwenda chini na inayosambaa. Ushauri wangu kwa waishio pembezoni ya mlima, wapande miti kwa usalama wa maisha yao.
Ndio tatizo la kuishia darasa la pili
Hatua ya kudhibiti ni kukumbuka kumuomba MUNGU Tuache kutenda dhambi TUTUBU MUNGU NI MWEMA....AAMIIN
Mambo haya yaanzapo kutokea iweni tayari, mkajiimarishe ukombozi umekaribia, mbingu na nchi zitapita lakini maneno ya Mungu kamwe hayatapita. 🙏🙌
Mtoto mwaka mmoja na miezi.analawitiwa vijana wanapewa.hela wawe mashoga wamkufuru Mungu dunia itapita.pembamba sana Mungu.hajawahi.kubari ujinga wa namna hii lazima upanga upite.katikati ya dunia waombaji.wainjilisti manabii.mitume kazi.kwenu.hela.ziache kwanza.jaman kemeeni.watanzania.watafakali.njia.zao.damu.ipo.itatakasa.dhambi
Mwenyezi mungu amekasirika tuachen kumudhi hi ni mwisho wa dunia Allah atujarie mwisho mwema
Polen jmn ndugu zangun ila hii yote ni kumuudh mungu Sasa inakuwaje matope Tena! Eeh mungu tusamee sisi watoto wako mana majanga ni makubwa mno
Poleni sana ndugu zangu.Mungu awatetee.
Muda umeisha yesu anarudi
Aliondoka lini?
@hildeprasmus8178 😅😅😅😅😅😅
Yan umeniacha nimechek kaondok juz
😂😂😂😂
Kweli siku za mwisho zaja Mwenyezi Mungu tusamehe viumbe wako kwa haya maafa 😢😢
Pole Ndugu, Hili Janga nini Jaman Kama lilotokea huku Kwetu Hanang' , Mungu Utuhurumie Utusamehe Tulipokosea AMEEN
Lakini tukubali tu huu ni mwisho mwisho wa mambo hayakuwepo kabisa haya 1 PETRO 4:7-11.
Mungu tusaidie jaman polen mbeya
Mungu wetu utusamehee sisi na madhambi yetu utuepushe na haya majanga""
yaan ALLAH bwana akiamua jambo lake ni just easy kwake Sasa ona tope linavyoend taratibu ila ndy ata akuna wakuzia apo, na still tunaendlea na jeuri ,ALLAH ATUEPUSHE KWA KWL.
Maasi yamezidi jmn kilasiku Mungu anatufunua lkn binadamu hatusikii Allah tusameh ss
Hakika tumemukasirisha ALLAAAH tumrudie ALLAAAH hii miaka cyo ya kawaida kila mda majanga mara ugonjwa wa macho mara maporomoko
Tukumbuke kuwa mungu yupo na anaona kila kinachotendeka nikuomba allah atuhifadhi na mitihan
poleni sana wananch
Mungu ni mwema Sana katutetea na hii hatar🙏🏼🙏🏼
Duh.poleni sana
Mungu uturehemu,pole sana ndugu zangu
Mungu tusaidie sana
Poleni nyumban
Nianze kwa kutoa pole nyingi kwa waathirika.
Nyie watu, Mungu awasaidie sana! Mkuu wa mkoa Kasema waliofukiwa ni ngo'mbe watatu, mbwa, lakini pia chifu kasema na nyoka ambaye atajiondoa mwenyewe. Swali, je unadhani huyo ni nyoka wa kawaida? Ikiwa naye kapigwa, mtarndelea kumtumia? Mtaendelea kuomba mungu aliye mbinguni, muumba wa mbingu na nchi na kumfanyia ibada nyoka? Je, Mungu asikasirike zaidi? Tubuni.
(Fanya kama sijui nisemacho, mimi ni mkazi wa mbeya-hawa ni majirani zangu)
Mungu tusimamie
Aiseee poleni sana duh
Poleni Wana uyole wenzangunmungu awatete kwakweli
Mbeya ina takiwa ifanyiwe “MASTER PLAN”, ili watu wajenge katika maeneo yaliyo salama! Ita saidia sana ku zuia maafa kama haya! Tuna mshukuru MWENYEZI MUNGU kwamba, hakuna madhara yaliyo tokea kwa binadamu, Amen 🙏🏾
Poleni sana wana Mbeya.
Poleni sana wapendwa
Mungu amewatetea ahimidiwe kwakweli
Poren sana ndugu zetu mungu awwfunge mikanda
Tutubu Tanzania mapigo hayatatuacha
HAKUNA DHAMBI, NIKUPANDA MITI TU ENEO LIPO WAZI SANA HILO MUNGU HAUSIKI NI VILE HATUJUI KUTUNZA MAZINGIRA
Jamani tusali Sana huyu Mungu wa mbinguni anasikia Kabisa anajibu tusichoke kuomba
Poleni sana wanambeya wenzangu
Poleni sana
Land sliding hiyo,poleni kwa wahanga
Dah mungu atuhurumie
Mungu atutetee
Mungu asaidie
Poleni Wana mbeya
Ni uelewa mdogo tulionao hivi hapo Mungu anahusikaje!! Ndio maana alisema tutaangamia kwa kukosa maarifa hivi ukilima mlimani ikija mvua kubwa kitatokea nini hayo ndiyo majibu
Nikwer kabisa
@@zulekhasaud483 nawe kweri ni kitu gani, ni kweli 😅😅😅😅
Hakika umenena maana watu wanakomaa land slide wakati wao ndo sababu
Mh hivi na binadam wanaswagwa?
Mungu atuepushe jaman
Dunia Ina shift Kila baada ya miaka 2000...no kawaida hiyo,..renew solar eclipse kupatwa kwa just na ndio matokeo yake....
Ingekuwa jpm halaka sana maombi ya ichi zima
Subhana Allah
Sijui ndomwisho wa dunia jaman
hiyo siyo sababu ila Mungu amechoka maovu yetu
tuacheni jamani
Poleni.sana.jamani
Hizi ni adhabu zambi zimezid watu wanauliwa kama kuku,ubakaji watoto malaika jamani tumrudie mungu
Siku za mwisho jamani tutubuni
Ni mda hii nchi ikachukulia swala la Disaster Relief kwa userious, tukiona ni Mungu ameleta tu tutaona ni kazi ya Mungu tutaachia hapo. Itabidi nchi iweke budget ya kueleweka mwezi huu wa 6 kuhusu majanga kwasababu yanatokea na yatatotea
labda volcano hio
Pole jamani
Tumuombe mungu sana
Tumrudien Allah kwakweli
kwa yanayoendelea saiv katika nchi hii,turejeeni kwa mola kwa kumuomba msamaha, tusijitoe mishipa ya fahamu tukijadai sijui kilimo, madhambi yamezid jamaniiii
Nomaa hii😢😢
Acheni kulima milimani na kukata miti ovyo pandeni miti
Polen san ndugu zetu
Watanzania wenzangu.Mungu awafaliji.wenzetu.waliopatikana.na majanga.ila watanzania uhuru umezidi tutubu.jamann.ndugu zangu watanzania.dhambi.inaharibu miundo mbinu.za.nchi.tukumbuke.kipindi.cha Eliya serikali.ilikuwepo.lakini.nchi.nzima.ilikumbwa.na.ukame.ngugu.zangu.tanzania serikali imewekwa na Mungu serikali.inaweza.kulimotiwa na Mungu isiweze kufanya.chochote.Tanzania wewe na watoto wako.na.mifugo.yako.na nchi y'ako tubu.ghadhabu ya Mungu ni.kali sana heri taifa.ambalo.Mungu muumba.mbingu na nchi ni.Mungu wake Tanzania shawishi.watoto wako wamheshimu Mungu viongozi wa din.na serikali tusaidiane tuachane na hela kwanza kipindi.hivi.kibaya kigumu.tungemtambulisha.Mungu mbele.ya watoto wetu.hela tutazikutaga.baadae
Mungu atunusuru jamani hali ni mbaya siku hizi
😪😪😪😪😪😪😪
Subuhanallah. Inalillahi wainailahi rajuun
Polen sana
Kuna mahali kama nchi tumemkosea Mungu.
Najiuliza maswali bila kupata majibu. Serekali mpaka iliamua Kujenga shule hapo haikujua kuwa kuna kuwatumia wataalamu wa miamba? Kama taasisi ya Serekali inajengwa hapo watu wengine wangeshindwaje kujenga?
Miti ipandwe milimani na kusitisha shughuli za kilimo kwenye milima
Mkoa gani hii😢
TATIZO NI WATANZANIA HAWATUNZI MAZINGIRA,WATU WANAKATA MITI OVYO WANAHARIBU UOTO WA ASILI
Pole utakesha huo uwoto ndio umeona mwak huu n mwak jana kituchamsingi n kumrudia Mungu tu hakuna cha uoto wala nn kujinyenyekeza mbele zake tupate kupona
Nyerere aliyepanda miti huo mlima mlifikiri ni mjinga?Maana serikali na viongozi wake walikata miti yote na mlima ukabaki tupu. Watu wanalima mashamba huko juu. Utafikiri
hee mtihani inakuwajee au milimaa naona matope mengii
Milima hiyo ilikuwa hailimwi sasa sijui ni ongezeko la watu wenyeji wameuza mashamba huku chini wameanza kulima kwenye milima hiyo yani wametatua matatizo kwa kutengeneza matatizo makubwa unapima kina cha bahari kwa miguu yote miwili alafu mungu akusaidie😅😅😅
Bora umesema maana watu wamekazana tutubu tutubu dhambi hiyo sisi wakati tunahamia kulikua kuna miti mikubwa mirefu serikali ikavuna miti yote na wakawa wanapima viwanja
Maeneo hayo yana gawiwa nanani naje kabla ya kufanya matumizi ya aldhi je uwa hakuna wataalam wakupima kabla ya kujenga naomba nishauri serikali kabla ya kufanya maamuzi vitu vichunguzwe kwanza tunashukulu kuwa hakuna vifo
Dah polen xna ndg
Uwii
Wananchi tumewASWAGA WOTE ETI
Jengeni itewe inyala sio mnakimbilia milimani
Kama serikali haitamsikiliza mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile waliekuwa wamemfunga mambo hayatapoa kabisa.
Eee jmn km kwetu hang Des 3
Niongee ukweli tuu mazingira tunaharibu sisi wenyewe binadamu wataaramu wa majanga wanasema majanga yanayotokea duniani % 96 yanasababishwa nasisi binadamu % 4 tuu ndo ya mwenyezi MUNGU mwenyewe nahuo ndo ukweli
Tumcheni Allah tuache dhami Ili tupate mwisho mwema Kuna watu ukiwaambia dalili za kiama hawakubali ndio haya jamani
Allah? Mmmmh huyo ni miungu(mungu jiwe lililoko macca) Acha mapokeo sio Mungu.
mbeya miti inakatwa hovyo huko milimani lazima hayo yatokee,tusimzingizie mungu
Ujue ndugu yangu sisi tumeumbwa maasi yamezidi Kama hakuna muumbaji ,, zinaa, ushoga, ulawiti, mauaji, ushirikina, dhulma za Kila aina , rushwa, ibada na hofu ya Mungu haipo kwa hivyo hayo Ni katka maovu tuyafanyayo Mwenyezi Mungu anakasirika
Nyoka mwafuga pia, watu wa bara mna mambo😅😅
MUNGU tusaidie 😢
Miti milimani wazazi wetu hawakulimalima milimani tahadhari nayo iwepo fujo ni nyingi kila mtu anataka afanye anachotaka watanzania tuache kujiamlia
laana zetu Mungu ameamua kutuadhibu😢😢
Acheni kumsingizia Mungu wakati uzembe ni wetu unaambiwa watu wamelima hadi mlimani ,sijui hamjasoma shule!?? Hizo ni athari za uharibifu wa mazingira yetu
Yani mijitu mingine haijatambui hapo MUNGU anahusigaje na uharibifu wa mazingira😅😅😅😅
SASA HUYOMPUMBAVU ANAKUJA KWENYE MATATIZO ETI KAVAA SUTI. HUO SI UJINGA.😮😮😮😮😮😮😮😮😮
Mungu mkubwa
PANDENI MITI IJAYE, MIZIZI HUNYONYA MAJI MUNGU HATA TUMUOMBE HAWEZI SAIDIA KAMA TUSIPOJAZA MITI HUMO 🫣
😢😢😢
😢
😢Poleni
HUU MWEZI,,,ULOISHA,,,SHOTI TU
NiANZE KWA KUMSHUKURU RAIS WA JAMUHURI YA MUANGANO WA TANZANIA Kwa......read more
Polen sana ndugu zangu wa mbeya💔🤔