Hakika nakupenda sana dada angu .jimbo wenye m bunge hyoo msimuwache .ila nawe muwandaee kijana ukiachia ngazi unampigia debe kwenye nafasi yako ya ubunge .ili kulinda kauli yako hii kwa vitendo .nakukubali sana .makosa niyakibinaadamu lakini upo vizuri
Afya ya akili inasababishwa na ugumu wa maisha na lishe bora. Nyie mna afya ya akili kwasababu mnakilakitu. Ss hatina afya ya akili kwasababu hatuna kilakitu.
Mama salute kwako, ingekua ni ridhaa yangu 2025 ungeingia white house. Bahati mbaya raia hutuwezi kumtambua kiongozi mzuri mpaka atakapo ondoka madarakani. Sanamu yako iwekwe kila chuo na sekondari zote just a joke.
A.ti afya ya akili,WANA NCHI WANA LALAMIKA MAISHA MAGUMU VITU VIMEPANDA BEI,TENA BARA TU ZANZIBAR PAKO SHWARI,JE KATI YA VIONGOZI NA WANA NCHI NANI NIWAGONJWA WA AKILI,ACHENI SIASA KWENYE UHARISIA.
Ubarikiwe Mbunge kwa kutetea haki za jinsia kiume.
Hongereni Sana Kiongizi Asiyekuelewa anatatizo la afya ya akili.
Aisee mama uko vizuli sana.unafaa kupewa uwazili kabisa maana kichwa chako kiko vizuli
Sikuzote alieshba hua hamkumbuki mwenyenjaa!!! Hvo ndiomaaana alieshba huongea nenololote lile litakaro muijia mdomon
Yaani mpaka raha,mama Jesca unavyotema madini tupu
Weee mbunge umeongea point kweli ebu angalie chama cha ccm kimejaa viongoz wazeee na mabibi sasa vijana ccm watajifunza lini, kweli mbunge upo sawa
Hongera sana mama uliwaza kama Mimi MUNGU akujaalie maisha marefu
Mama hongera
Hongera dada umesema vema, ILa hapo katika kuandaa vijana umepigilia msumari wa moto.
Hakika nakupenda sana dada angu .jimbo wenye m bunge hyoo msimuwache .ila nawe muwandaee kijana ukiachia ngazi unampigia debe kwenye nafasi yako ya ubunge .ili kulinda kauli yako hii kwa vitendo .nakukubali sana .makosa niyakibinaadamu lakini upo vizuri
Mama umeupiga mwingi sana hongera sana
Afya ya akili inasababishwa na ugumu wa maisha na lishe bora. Nyie mna afya ya akili kwasababu mnakilakitu. Ss hatina afya ya akili kwasababu hatuna kilakitu.
😄 🤣 😂 mkoba huo wa mama 😄 🤣 😂 ananifurahishaga sana huyu mbunge
Mama salute kwako, ingekua ni ridhaa yangu 2025 ungeingia white house. Bahati mbaya raia hutuwezi kumtambua kiongozi mzuri mpaka atakapo ondoka madarakani. Sanamu yako iwekwe kila chuo na sekondari zote just a joke.
Heshima kwako Mheshimiwa Jesca umeongea jambo zuri sana wanasiasa wengine wanaogopa kuwaambia ukweli wananchi wakiogopa kukosa kura wakati wa uchaguzi
Kweli mama,afya ya akili no muhimu Sana, watu wanakimbilia kufunga bisashara za watu na kuwekana ndani badala ya kutoa elimu.
Je? Ye mbunge yuko tayale kumuachia kijana ubunge ili kutimiza maneno yake.tena amuachie @kenani kihongosi ndo kijana afaaya jimbo la Iringa mjini
Hongera Sana Dadaangu
A.ti afya ya akili,WANA NCHI WANA LALAMIKA MAISHA MAGUMU VITU VIMEPANDA BEI,TENA BARA TU ZANZIBAR PAKO SHWARI,JE KATI YA VIONGOZI NA WANA NCHI NANI NIWAGONJWA WA AKILI,ACHENI SIASA KWENYE UHARISIA.
Mama hongera
Hata viongozi kula rushwa hawana afya akili
Nakuunga mkono mami, Mungu akupe afya njema.
Jescs na wewe mda umeenda mwachie mwingine sasa
Mam unaupiga mwingi sanaa
Mama Jesca umeubonda mwingi leo
Huna la maana ninyi ndo mnaowambia watoto wenu kujitafutia wakati hujawaandalia mazingira ya kujitafutia
Aahhhggggg😬😬
Safi sana
Siyo kama wanaogopa kuoa hawana Hakili Hali ngumu akioa atamuudumia nini uyo mkewe
Ko rais nae hana afya ya akili 😂😂 maana kamteua wasirra😂😂😂😂😂
Katiba ivunjwe vyote vitaniseti tu
Huo ugonjwa wa akili umesababishwa na ugumu wa maisha
Hii itakua ngumu matha yaani kodi ichukue serikali halafu wananchi tutatue matatizo hilo sahau,
Jeska upo vizr sana
Madini tupuuuuu
👍
Safisanaa Dadangu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯💯❤️❤️❤️
Waambie hao
Mama upo vizur hoja nzur
😅
Serikali ndio mzazi wananchi watto lazm malalamiko yaende kwao.
Siokila tatizo umpelekee mzazi wako umeshindwa kumtomba vizuri mkeo unaenda kumuambimbia mzazi badala yakujikagua tatizo nini unaenda kumuambia mzz Hilo nalo nitatzo la afya ya akili
Mimi naona viongozi wetu ndio wagonjwa wa akili,
Hata wewe una ugonjwa wa Akili 😂
ruclips.net/video/Lk1Cl6biVCA/видео.html
MFAHAMU SARA BAARTMAN BINTI MWAFRICA ALIYEWAVUTIA WAZUNGU KWA SHEPU YAKE