4. KUONDOA MAZUIO KATIKA MIFUMO YANAYOZUIA KUFANIKIWA KWAKO || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE || Singida

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Semina ya neno la Mungu Singida || Day 4 || Tarehe 20 JULAI 2024
    .................................................................................................................
    Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
    M-PESA 0754 211 633
    0752 888 847
    TIGO-PESA 0715 511 633
    AIRTEL MONEY 0682 657 080
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
    WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
    CRDB BANK
    ACC: 01J2032214400
    JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE

Комментарии • 25

  • @yustersimkwai6140
    @yustersimkwai6140 2 месяца назад +5

    Asante Mungu wangu Kwa ajili ya ulinzi wako na mafundisho haya, Asante sana Kwa kuwa jina langu limefutwa kwenye mifumo ya kipepo kupitia jina la Yesu kristo aliyehai

  • @Neema-wy4mh
    @Neema-wy4mh Месяц назад

    Asante Bwana Yesu kwakutumia mtumishi kutufundisha hichi ulicho tuandalia tena kwa nafas hii. Karibu kwenye mifumo ya maishangu. Ufalme wako uje ktk kila jambo ninalo fanya. Ingilia kati mifumo yangu eee Bwana.

  • @NtaweAndre-lv9sb
    @NtaweAndre-lv9sb 2 месяца назад +1

    Tusame Mungu pale tulipo enenda kinyume na wewe turehemu kimbiriyo inuuka Bwana tupiganie adui anatujimbia shimo ili aizike nafsi yangu ondoka Baba unipiganie nakuomba Bwana badirisha mifumo kuanzia leo katika damu ya Yesu tunaomba na kuamini amen 🙏🙏

  • @MagdalenaMadusa
    @MagdalenaMadusa 2 месяца назад

    Asante Mungu kwa neema hii uliyoweka juu ya mtumishi wako ili tuweze kupoea maarifa yako kama ulivyokusudia.
    Sifa na utukufu ni wako Baba

  • @happynessmwampamba4679
    @happynessmwampamba4679 2 месяца назад +5

    Mungu amebadiri majina mabaya kwenye mifumo ya maisha yangu, napokea jina jipya na mdhamini wangu Yesu kristo

  • @NaomiBenard-d8k
    @NaomiBenard-d8k 2 месяца назад

    Tunabarikiwa sana sana

  • @annamushi7357
    @annamushi7357 2 месяца назад +3

    Mungu mkuu Bwana Yesu Roho Mtakatifu upewe sifa milele kwa kutupa Mtumishi wako huyu Tanzania. Baba umbariki, umtunze roho yake asitoke kwenye line yako, Bariki na kumlinda Daima na familia yake Amen

  • @DoreenDavid-s1q
    @DoreenDavid-s1q 2 месяца назад

    Hallelujah,,UTUKUFU NA HESHIMA ZIKURUDIE MUNGU MUUMBA WA VYOTE

  • @NaomiBenard-d8k
    @NaomiBenard-d8k 2 месяца назад

    Utukufu haleluya

  • @theresialubida161
    @theresialubida161 2 месяца назад

    Mungu awabariki Mungu nipe neema ya kujua mifimo ninayo ishi 🙏🙏🙏🙏

  • @makrinaluvalamo9394
    @makrinaluvalamo9394 2 месяца назад

    Amina napokea kufunguliwa kwangu

  • @JakisonSimon-n9j
    @JakisonSimon-n9j 2 месяца назад +1

    Mungu ambariki mtumishi wake 💔💓💓

  • @WinfridaNdidi
    @WinfridaNdidi 2 месяца назад

    Mungu Asante kwa kutupa mtumishi wako. Neema ya Mungu kutuwezesha kutoka kwenye mifuko mibaya

  • @sedekiabilijite5516
    @sedekiabilijite5516 2 месяца назад +4

    Leo nimebadilishiwa jina langu ktk Ulimwengu wa Roho, Mungu akubariki baba yangu kwa Ufunuo huu❤❤❤

  • @ArestidaKonyani
    @ArestidaKonyani 2 месяца назад

    Some limenigusa na ndo maisha ninayopitia Bwana fanya jambo kwangu, from usa

  • @getrudaeliudi
    @getrudaeliudi 2 месяца назад +1

    Ulipo kua unaomba nilibanwa na kifua matumaini yangu nimefunguliwa 3:52

  • @ernestbutagalala
    @ernestbutagalala 2 месяца назад

    Mungu nisaidie na. Mm juu ya mifumo yangu ya familia

  • @BahatiIdd
    @BahatiIdd 2 месяца назад

    Nalibariki Jina la YESU kwaajili ya mwalimu huyu wa siku za mwisho.Atunzwe na BWANA!

  • @MagdalenaJoram-p3j
    @MagdalenaJoram-p3j 2 месяца назад +1

    Ninajiungamanisha mimi na familia yangu

  • @Kennedyodinga-g7p
    @Kennedyodinga-g7p 2 месяца назад

    Ninawezaje pata vitabu vya huyu mtumishi wa mungu hapa Kenya jamani?

  • @christinamgalula802
    @christinamgalula802 2 месяца назад

    Ameeen

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 2 месяца назад

    Ameen

  • @joycesadiq4680
    @joycesadiq4680 2 месяца назад

    Mwalimu samahani ni Luka 5:1-10, sio Luka 6:8-10

  • @theresialubida161
    @theresialubida161 2 месяца назад

    Kaka yangu ni mzariwa wa Kwanzaa ila anapita sana mnoooo kwenye magonjwa

    • @gracenbarnes5254
      @gracenbarnes5254 Месяц назад

      Aombe toba na rehema kwa maagano alyoingia mwenyewe kwa kujua ama kutojua kupitia ndugu, kula vyakula vilivyotolewa sadaka kwa mashetani, kuabudu miungu mingine kwa kujua na kutojua
      avunje maagano yote aliyoingia lkn awe kaokoka kweli kweli sio anabip kwenye wokovu iyo ni vita ya miungu( hatma yake imefungwa)
      Mungu atamrehemu ma kumfungua.