1.OMBEA MIFUMO KWA MBINU ZA DANIEL ILI UFANIKIWE KIMFUMO || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Semina Ya Neno la Mungu - Iringa // Day 1 || Tarehe 10 Oktoba 2024
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
0752 888 847
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
Nami muniombeye mimi na jama langu na ndugu zangu na mama yangu. Na inchi yetu ya Congo vita ninyigi sana tunataka Amani
MUNGU ATAMPONYA MAMA YAKO DAMU YA YESU INA NGUVU SANA
Amen Mungu amekusikia
Tunaomba afanye kitu Congo
Tunaiombea amani congo
Mungu aendelee kukutumia kwa viwango vya juu zaidi❤
Asante Mungu kwa kunipa kibali cha kusikiliza semina hii
Asanteni sana kwa kurusha mafundisho haya kwa njia ya RUclips. Hata tulio mbali tunaweza kunufaika
Aminaaa
❤
YESU WANGU NAKUOMBA UNIPE MAARIFA UJUZI ELIMU NA HEKIMA NIWEZE KULIELEWA HILI SOMA LA MIFUMO .
Asante kwakuja iringa umetukung,utavumbi ya ibilisi iliyotushika uchovu wakiroho umetuamsha ktk usingizi wakiroho
Mungu Baba tusaidie na Tufundishe namna ya kuiombea mifumo kiusahihi
🙏🙏asante kwa somo zuri
Ubarikiwe Sana mtumishi nabarikiwa nikiwa china
Amen
Mungu awabariki sana
Roho ya mpinga kristo iondoke kwenye maisha ya familia yangu kwa jina la yesu kristo
Asante mtumishi kwa kuja iringa😊
Mungu tusaidie kama taifa la Tanzania tupaye kuelewa Mungu anasema na sisi nini juu ya somo hili la mifumo kwasababu linerudiwa mara nyingi nyingi sana,Mungu tupe kuelewa na kufanyia kazi katika kila sekta hasi kifamilia....Amina!
AMINA
Mungu Baba naomba unikumbuke na mimi na familia yote 🙌
Yesu nisaidie kupitia ibada hii nivuke
Ameni Mungu anisaidie
Damu ya Yesu ipite kwenye mifumo itusaidie peke yetu hatuwezi Yesu.Roho Mtakatifu tusaidie
asante Yesu
Ubalikiwe sana mwalim
Mungu niponye damu yangu
Damu ya Yesu inanena mema.
amina
Ni maombi yangu kupitia huduma hiii huko iringa Mungu Wetu mwema Utulindie watoto wetu dhidi ya maovu wanayofanyiwa ikiwemo ubakaji na ulawiti maana ni janga kubwa kwa Sasa tusikie maombi yetu 🙏🙏
Hakika mwezi ulioisha nalipewa nalipewa taarifa nikiwa hapa china sasa kuwa kuna nihudhurie sasa mtumishi ubarikiwe nipo pamoja nawe kunajambo ambalo MUNGU amekusudia. ubarikiwe nijambo ajabu sana katika ulimwengu wa roho, sasa natamani nikirejea nyumbani nataman haja yangu ipate kibali nitashudia nakumtukuza MUNGU kupitia sermina hii.
Mfalme wa Amani, MUNGU WA MBINGUNI, anaona mioyo yenu, msikate tamaa, iko siku Congo itakuwa na Furaha, Amani na kicheko
Amen thanks
Mungu nashukuru kwa kuniponya sifa na utukufu ni kwako
MUNGU tunakushukuru kwaajili ya hii semina mjini Iringa
Mungu usiipite familia language Danish ya hii semina
Ameen
🎉 amen thank you Jesus
MUNGU Nisaidie KATIKA ELIMU yangu
Bwana asifiwe, naomba watu wa media waruhusu ku download pasipo kuitaji kulipia Asante.
Yesu tusaidie kwenye hii mifumo
Ameeen
Noelia Shores
🙏
Napokea neema ya kufunguliwa kwenye mifumo
Ili somo ni nondo sanaaa, ila ukilielewa na kuweza kuli apply MUNGU atusaidie
From Hungary
Kupitia maombi haya naikabidhi Saudia Arabia mkononi mwa Bwana vita ya Palestine isivuruge ili nirudi Kenya salama
Cassie Highway
Zulauf Street
Ameni Mungu anisaidie
Amen
Amen