FID Q X Isha Mashauzi X Rich Mavoko X Big Jahman - BAMBAM (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- #FidQ #Bambam #IshaMashauzi #RichMavoko #BigJahman #SlideDigital
FID Q Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
Written & Performed by Fid Q
Follow Fid Q on
Twitter: / fidq
Facebook: / fidhop
Instagram: / therealfidq
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Aisha mashauzi umeuwa mama popote ulipo agiza Mirinda Nyeusi Nakuja kulipa mama Love You more
Sirhoney J rich mavoko
Sirhoney J 😁😁😁😁
Mavoko atari San🌹🌹🌹
Hahahaaa
Penda ww sana💓💓💓
RICH MAVOKO is on FIREEEEE KONKI mavoko
william lucas messiiii
Nakubali nice song mavoko
william lucas mavoko mamayooo unakuaga wap som tim alaf na mashauz njoo uku toka uko uliko uku utawakanyaga sana
william lucas
Nice...mavoko ni fireeeeeeeee..i like this song..😷😷
Kama unamkubali FID Q gonga lake kama zote twende SAWA.
Kwa mara ya kwanza wasanii wakiume wamefunikwa na mwanamke MASHAUZI KATISHA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kweli
Hassanova junior 😀😀😀😀😀
Kabisaaaa
Hujazngatia muzik labd una mapenz na mashauz
@@abdullaabdulla8485 Really
Nani kaja RUclips kuiskiza hii ngoma baada ya kuisikia sehem inapigwa🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 Mavoko kaua mno
bonge la nyimbo
Mkurya mashauzi hii ngoma umeua hatari yaani umekalisha wote humu kiukweli
Big up sana ngosha
Mavokoooooo x mashauziii hizo sasa sifaaaa,fid pia umeflow vizuri sana
Big Respect Mr Rich Mavoko.Nakutambua sana from Kenya🇰🇪
nyimbo kalii video kaliii gonna like kama umeielewa ii nyimbo
Mtoto wa mama Richard hatar
Yani hichi kibao kikali balaah wote waloshiriki wameitendea haki 💃👌🏼
Iko poa
Mashauz umejitahidi mama kweny chorus!!!
So aisha mashauzi came out and save the whole track.
Gonga like kwa combination ya Isha na Mavoko baada ya verse kali za Fid Q na Jah Man 👌
Huyu ndo richmavoko sasa
Isha noma sana ww dada noma Adi nmependa
Konkiii fireeee
Konkiii fidiii
Konkiiii mashauzii
Konkii mavokoooo
Watabakii kilelenii
Ha ha ha.. Kabisa
young assaidy chiiiiii
#ishamashauzi umeua kuliko wote hongera sana mama sasa n mwendo wa #tetema na #bambam
Umeona eee
Tetema ishakufa kitambo 😀😀😀
Alquin Madoro
Mashauzi jamani nakupenda Sana we mama
Muziki mzuriii Sana unanipa raha,usiache nipa raha mi nawe damudamu Mambo yetu bambam🇹🇿🇹🇿🇹🇿
This track should be in the Guinness Book of Records!
254 Approves 255🎵💙
rich Mavoko Anajua bila WCB
Isha mashauzi ametukumbusha mbali Sana. 🔥🔥
Mambo yetu bambam love that part nice song .from ug🇺🇬
Isha Mashauzi ndo amenileta Hapa....
Kama unasema Rich mavoko Ni Messi gonga like hapa Jamaa anajua sana
Ogela Sana isha
Nice song
Joh 255 Tv imebamba
Like u mavokoooooo
Nc
Konki mashauzi konki fid q konki mavoko mupoooo juuu mambo ye2 bam bam
Mavokoooo🙌🙌🙌
Mavoko ndokaua jaman kama unamkubali mavoko usiache kumpazake 👍
Jaman naupenda xana huu wimbo! Asa cjui naupenda mm peke yang au wengne mpo mnaoupenda Kama mm❤❤🙌
😍😍😍😍nyimbo nzur
Kitu kisafi kinoma....wapi team mashauzi nataka nwaone leo
Fatma Omar mambo
Kaveve kazoze flow ilitoka kwa mzee mzima fid q ,old is gold
Mama kanata na mdundo c mchezo, ila mavoko dah!
Ali kiba kabisa yupo!!!!!! Kupenda kweli shida######mavoko
Mavoko we ni nomaa baba
Mashauzi kaua sana humu 💯✔
Sosthenes Ngumbu huyo mama kafunika ametembea nabit hatar
Whose here after garab's video post
Huu wimbo ni mo fayaaaaaaaaaaa!!!!
Duuuuh fid umeniweza Leo nairudia Mara kadhaa hii ngoma,,,
Representing from +254 wapi like
Humu ishamashauzi kawaumizaaa
Fid q acha nikuite King of rhymes👏👏
early muhsah
isha mashauzi kataka sifa kazi kali sana
mavoko msanii mkali sana simba mshenzi sana katupotezea kipaji kikubwa hiki dah
fid kama looo oooooo oooo teee eeeee babuuuuuuuhh ngoma kali kichupa kikaliiiiiiiiiiiii ndo usiseme Gud canaaaaa legend
If u know, u know! Big up Fid. Such Nice Collaboration.
Iko wapi like ya isha mashauzi mashallah umedamshi 😗😗😗
Nimeupenda huu wimbo because of ishamashauzi and richmavoko 🔥
the perfect fusion of taarab,rap,Raga and R&B.ngoma imeenda shule.
Walah mambo n bam bam sichokii😘😘😘😘
Damn what a song 🙌🙌🙌 u killed it....collabo ya isha na mavoko itaumiza
Hiyo back vocal ya mavoko 😍😍😍 nimeikubar dunia ya mia 500
This song is my replay like the whole day...Mashauzi umeua tho
Jaman isha kitisha hatal
Umeweza mama Hadi najikuta nachezea tyuu saiz
Rich mavoko umetusua sana..talented boy mwaaa
2023 and its still a banger😊❤🎉🎉❤❤
Mashauzi umeua! Natamani sana uimbe bongo fleva, maaana kwa sauti iyo masista du wote mjini watakaa
Isha umeua mama ,ni nouma
Ngosha ze don ameua kwny kucheza haaaaaa, Mavoooookooo
Wapi mama's Mashauzi
Dada Isha hii nyimbo umewafunika wote kama yako vile umeuwa🔥🔥🔥💯💯
Huyu mwanamke n balaaaa ,kaitendea haki ngoma kudadekiiii
Mimi na wee damu damu
Mimi na wee damu damu
Mimi na wee damu damu
mambo yetu bam bam 🔥🔥🔥🔥🔥
9
mambo ayo
timothy dismas noma sana
Humu ndani isha mashauzi katupendea sifaaa snaa en kawafunika Awa jamaa duu!
Wapili kutizama...kama umekubali This song like hapa....Burundi lov
Huyu dada jins ninavyompenda Mungu anajua aiseeee isha mashauz
Nice song AISHA kanishangaza sana !!! 🔥🔥🔥
Kwanini huu wimbo nimechelewa kuujua, goood song
kazi nzuri Sanaa 'Salute one more time kama unamuelewa fareed kubanda since day uno. 🔥🔥🔥
Ishaa unavocal mojaa hatari sanaaa utumiii nguvuu kupandaa sauti ya juuu
Duh mashauzi sio kinyonge yu nailed it
Ni fire kwakweli mambo bamu bamu huhuhuhu
Kama wewe ni Ngosha mark Register hapa
👇
isha mashauzi kakamuaa sana...... #real dfn ya talented woman........
A banger right here, lit, fire 🔥, Moto... Let it burn, mad love from the 254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kali ya mwaka mmetisha aisey narudia kuckiza kila time
Huyo ndio rich movoko,tuliemzoea
Umenifurahisha sana gwiji toka jiji lenye miamba fid q umetambaa na beat ile mbayaaaaa
The lady waaaaaaaaaaaaw💖💖💖her expressions💋
Isha jaman isha jaman isha jaman uuuuuuuujuuuuuuuuuuuwiiiiiiii mama wewe balaaaaaaa kushirikishwa na mwanamziki mkubwa hivyo halaf utoboe hivyo dah sina la kusema
Isha mashauzi kauwa sana kuliko wote mtu chake mpe
Mmeshindwa kufikisha milioni wasanii watatu tena mastar
Great conjunction ...big up yaselves.much love from 🇰🇪
Ishamashauzi uko vzr, real umenogesha hii nyimbo😘😘😘😘
Bam Bam kali mzee nilichopenda sana ni the whole Idea plus watu ulioshiriki nao wameipa hype zaidi na imefanya kazi nzima kuwa Bam Bam sana. Big up mtu wangu Fareed AKA FidQ Ngosha
Aliye nituma kuja huku jibu nitampatia kwamba 👑 kiba wimbo mzuri sana
The best song to me this year, Hip hop + Taarabu + Bongo flavor + Rage in one beat wah! Kali sana
Kweli
Isha mashauz izo xaxa sifa , punguza kdg mama, ngoma hii umeua bebi, mwaa
Mtu Mzito na mmekuja hapa January 3rd kumsikiliza ISHA 😬👍🏽👌👌👌🙌🏼
Yaani mambo ni bam bam #2020#
Mtu Mzito kauwa sana
Isha mashauz wa moto
2024 who is here???
All the way from 🇰🇪🇰🇪 am here to listen to Mr. Mavoko....dope track, if u agree with me drop your likes
Imeweza. ..nimeipenda kabisa
Isha mashauzi kaua vibayaa
Rich mavoko mumemroga jamani! Mbona anakipaji swafiii tu, namkubali richiiiiii
This track is hot 🔥🔥 from vocals to arrangement and presentation...big up to all artists in this track 💣💥
Hi ngoma tamu fdq umeuwaa mzaziii safiii ✌️
Isha kaibaka ngoma
Mavoko kaitoa marinda
Big jahman all day
Omary Jitu 😂😂
Mashauzi kaua kinyama! Hyo ngoma ni mashauzi kafanya bamba zaidi
my brother Fid q mambo vip ,,, ombi langu kwako ,,, ni collabo ya msanii yoyote wa juu I mean tyga, Drake etc
Huyu dem ako juu
Aisha Elias katembea nabit hatar
Insha kauwa humu...
Nimepemda rich mavoko alivyopita, 😘😘😘😘😘
Ngoma tam sanaa hii big up broo
Mashauzi kaua jamani duuuuuuuuuuuuuuuuu noma kweli