Mandojo na Domokaya - Nikupe Nini (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- "Nikupe nini " Is the classic Song by Mandojo na Domokaya recorded at Bongo records under producer P- Funk Majani .
The song is about a woman who pretends to be pregnant and puts her husband through hell, to do everything for her before he came to realize that she wasn't pregnant at all.
tuliokuja baada ya kifo chake like hapa. 😢
Dah
Kumbe mwamba anangoma kali kama hii duuh😢
Me ndo namjuwa leo mweeeh 😢@@youngzubelyzubely2288
Kwa kweli hii nyimbo nilikua nasikia lakin sijui kaimba nn
UNAFAKI HUO
Tuliopo hapo 2023. 👍 like
Still watching in 2025
Ambao baada ya kusikia kifo tumekuja kuangalia rest in peace mandojo
Na angalia baada yakusikia mwamba kavuta je Nikweli?💔💔💔💔🥲🥲🥲
Hata me nimeamua kuja kumsikilizia kama ni kweli?😢😢😢
Mwamba hatupo nae
Hata mie nimeambiwa hivi punde
R.I.P
Na mimi nimekuja hapa baada ya kusikia mwamba kavutishwa kamba😢
Heshima kubwa sana Ngoma haichuuji miaka nakumbuka hii nilikua shule ya msingi ila leo video imeirudisha km mpya safi sana
Salute zote
Asante sana 🙌
Yaan aisee ngoma ya kitambo ila imenogaaa!mm naona wasanii wa zaman sasa uwe ni muda maalum ama mwafaka kupitia kwenye makitaba zao na kuturushia mangoma ya zaman wakiwa wanatoa video kali.maana ss wazee wa zaman tumesha kosa hata nyimbo za kusikiliza na kutazama
@@mandojonadomokaya kakakaka mpoooo😢hili chozi nifurah aa safi snaaa mmerudiii mungu azidikuwainuwaaa Leteni nomaaa MASHABIKI tupooo wengiii huu ndiomzikiiiii duuu😃😃😃🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♀️🤸♀️💕💕💕💕
@@mandojonadomokaya aiseeee 😃😃🤸♀️😃🤸♀️😃🤸♀️😃🤸♀️🤸♀️🙏🙏🙏🙏🙏Safi sanaaaa
Tulio kuja kuangalia baada ya kusikia R I P mandojo tujuane hapa
Tiloirudia hii ngoma baada ya taarifa za msiba...tumuombee𝐌𝐚𝐧 𝐃𝐨𝐣𝐨
Hii nyimbo haipit siku bila kuiskiliza sio kwa kuwa kafa Yan naipenda kabla ya umauti
hata mimi
❤
Ok tell me
Rip mandojo so pain kifo chake kimenigusa sana yani dah inauma sana kiukweli msanii mwenye ngoma nzuri zenye ujumbe mzuri
R.I.E.P kwa moja ya brilliant acoustic rap musician bongo imewahi kuwa nae.
Duh ya kitambo kipindi yusuph makamba alikuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam 😂😂 eti tukutanie "Jiji la makamba"🙌🏾
Ndio kundi pekee Tanzania 🇹🇿 ambalo alijawai kuvunjika. Much respect Sana 🙏 mungu awabariki
Salute man
Asante sana
Ngoma ya miaka mingi Af kali Na chupa imekuja kuwa kali sasa wale wa nyimbo anaachia leo af video kesho wajifunze kwa mziki unaoishi kama huu
Eeeh baba salute sn
Unaposikia PFunk, sikiliza tu beat hunahaja ya kusikiliza mziki wenyewe, maana lazima beat ibebe wimbo wenyewe
Hizi ndo zilikua nyimbo sio hayo matusi ya watoto wa siku hizi. Big up sana kwa Majani the Bongo fleva father of all times.
Aminia sn ma niger
Ngoma haichuji Safi kazi nzuri 🔥
Aminia sn
Yaani hata mrudie video za ngoma zenu zote bado tutaangalia tu.... Living Legends
We appreciate 🙏
Pamoja sn mwamba zinakuja
*P Funk Majani* - huyu jamaa aliidefine Bongo Flavour kwa kipindi kizima cha miaka kama kumi hivi kutoka 1995 hadi 2005. Siku hizi maproducer wanaiga tu midundo ya Naijeria na Afrika Kusini.
Makamanda *Man Dojo na Domokaya* big up sana kwa hatimaye kutoa kideo cha huu wimbo. Muziki huwa haufi hata mliouimba mkishakufa. Kideo hiki kitafanya kazi yenu izidi kuishi milele.
Sure
Kweli maneno yako bro
Mimi nawasihi wasanii wazamani wajitolee kuwafunza wasanii wassa mziki wanatuboa sanaa
Daaaa nimekuja kuhakikisha ni yeye kweli daaaa rest in peace mandojo
WATU WAMEMUUA DUHH ,,JAMAN MUWE MAKINI SANA NA BINADAMU NMEUMIA SANA
Daahhh,,, those days aiseew miaka imepita ila ngoma iko vile vile kweli vya kale dhahabu,,, big up kwenu mandojo na domo kaya bila kumsahau pifunk
Asante sana
Salute zote
Oya nyie watu hamjawahi kui disappoint bongo flavor nadhani wasanii wote wa kitambo wakirudi kama na idea hii mliyoifanya muziki wa bongo flavor utaheshimika maana muziki.utarudi kwa wenye muziki wao.
Much love sana Mandojo & Domokaya
Respect 🙏
Salute sn man eeeh baba sure
R.I. P Dojo-Sending my condolences to the FAM🇹🇿from 🇺🇸
From school to old life goes on.Respect forever
Aminia sn
Hii roho ya kuita mtu mwizi kwa sasa imeweka mzizi. Watu wapo tayari kuua bila kuangalia. Tuchukue hatua kwa MAOMBI, familia nyingi zinabaki wajane na yatima, tena kwenye umri mdogo. Tubadirike. Roho ya mauaji ishindwe kwa jina la YESU.
P funk... 🔥
Dojo na domo 🔥
Ezra brown EZ 🔥.
KAZI NZURI SANA.. BADO NI KUBWA
E babaa
Dah! Hii Ngoma Nipo Dogo Sana Nakumbuka Kipindi Hicho Mmefika Mbeya Sokoine Ikabidi Nitoroke Home Nije Kushuhudia Show 💪🏼💪🏼💪🏼
Daaah Memories 🙌
@@mandojonadomokaya Naamini Ngoma Zote Zotafanyiwa Videos Kwa Muendelezo Wajomba 🙏🙏💪🏼💪🏼💪🏼
Let's give P funk his flowers before he dies, HE is the god of Bongo sound
HII NGOMA ILIKUA IKO MBELE YA MUDA KABISA 2002 mpaka leo bado bonge la ngoma
E babaa
Eeeh baba sure miaka mia nane
SIFANYI MALIPIZI ILA JIFUNZE ADABU oyaaaaa big respect
Aminia sn salute
@@mandojojoseph1665 Nakubali mkubwa tupo p1 tunasapot good music
YAANI LONGTIME MLIKUWA MNAKAA NA KUFIKIRIA SANA NA KUANDIKA LKN HIVI SASA WASANII HAWA ROPWAROPWA TU.. HAO WANAOWABEBA KWENYE MEDIA HAWANA UWEZO WA KUANDIKA NGOMA ITAKAYOWEZA KUISHI KAMA HII.. NYINYI MLIKUWA MKISHINDANA KUTOA HITS DAH NIMEMKUMBUKA GODFATHER MAJANI HII
Kwel kabis eeeh baba
Nilikuwa cjuwi kabsa mandojo doleo nimekuja kisiliza nyimbo zake ilawaadishi wanafiki sana mtu mpaka a afarki dom post
Nlikua nazisikia nymbo na naziimba video meangalia baada ya kifo chake.. RIP
Kuna songs zimetoka mwaka jana ila zishafuja but these old golds still shines maaan 🙌🏽
🙌
Eeeh baba salute
Naomba serikl ichukue hatua kwa wotee waliohusika nlkua smjui huyu lakn imeniuma
Usiipime Io vibe ki Easti kweli 🔥🔥🔥🔥big up upendo kutoka Kenya.🇰🇪
Aminia sn mwamba from Kenya eeeh baba
Asante sana 🙌
Mmetuheshimisha saaana bravo👏👏Sana mabraza endeleen kutoa huo unyama wa zaman Bila Kusahau mlioimba na Jay Dee
Asante sana 🙌 Respect sana
Aliye direct hii video anajua sana.
Salute
Kweli ule msemo old is gold#NIKUPE💥💥💥💥💥💥💥
Sure
DAAH GONE 2024 🙏
Let's support our own brothers,so they can get what they deserve (I'm talking about money through viewers). Keep on working hard Mandojo na Domokaya💪
Asante sana 🙌
Sure man tunaitaji sn saport yenu mashabiki wetu eeeeh baba salute zote wadau
Oyaa kuna kile kitu cha msela
Usiponiskiliza utanielewa vipi heshima napendeza wamini na dhiki eti nikicheka wanadhani nipo frsh huko nilopotoka balaa jingi mkosiii nalia na mola kumbe wanga ndio wanamiksii sio hadithii za sungura na fisiii nomaaa sana hiiii ngoma fanya video
E baba 🙌
Hizi ala na mpangilio mzuri wa mashairi n midundo ndio ilikuwa heshima ya Bongo fleva. Legends are back!
Salute sn
For sure 🙌
Aiseee daghhhhh hii NGOMA imenikumbusha Enzi hizooooo Nipo Zangu SHULE ya Msingi #MUUNGANO ndani ya Wilaya ya #TEMEKE huko
I feel a Sorrow in my Soul😭😭😭😭..
Huu ndo Ulikuwa MZIKI bhana yaani hii NGOMA Naiimba yote #MWANZOMWISHO
Keep the good 🎻 Music 🎻 alive
🇹🇿🇹🇿💯%
Much love and respect 🙏
Ludini kwenye music ndugu
Big up Kwa brothers old is gold mziki unaoishi salute Kwa P majani
Whoever gave the idea of making the video did justice to the song, to bongo flavour and to these talented guys🔥
That is for sure ,🙏🙌 bring back the vibe... good and sad memories as well
Salute
@@mandojonadomokaya Why Sad memory??
@@mandojonadomokaya for sure
@@mandojonadomokaya sure, I remember one of my best friends who has already passed away that we used to listen the song together, he liked the song mostly.
Daaah ngoma Kali sana Yani mziki ulikua enzi hzo mandojo achia hizihizi hua znanifanya niifrahie siku
One of my best songs those days
Asnt
Walio mfanyia mambo ya ajabu uyo makaka nayeye auwawe tu yan mpk nimelia
Hakuna ata nyimbo moja diamond ameimba inapita nyimbo hii
Ilikuwa ni lazima U-Comment hivyo???
Aminia sn
@@reginaldmwemezi6746 ndio mkuu au wewe waonaje?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌
@@japharynduko6139 Man Up
All time Banger!
Bonge la Ngoma 🔥🔥🔥
👊🏿👊🏿👊🏿 Legends, Siku hizi wakina tuna WASAFI wanaimba UTUMBO tu..
😎😎😎😠😠😠
Salute
Mandojo 👊🏿👊🏿👍🏾👍🏾🤝🏾🤝🏾
Ooooe wanangu mumefanya jambo moja la maana Sana kaka ZANGU TUMESKIZA AUDIO MDA MREEEFU SANA MAKAMANDA WANGU....SEMA MSIZINNGUE TENA...JIWE BAADA YA JIWE...WAPI LIKES ZA KENYA..
🙏🙌 more to come Pamoja sana
@@mandojonadomokaya sure kaka TUPENI WANOKNOK WANANGU VIDEO...
Mawe yanakuja subscribe tu ili uyapate yatokapo tu eeeh baba
@@mandojojoseph1665 ushasema 💯 kamanda mbona kitambo sub IPO
Old classic..new great video…every old bongo artist should do this!!🔥🔥🔥🔥
Salute
Any one on it March 2023?? Hit like buddy
Kuhusu ngoma hii uwa ni Hit miaka yote tangu ilipotoka hadi leo bado ni Hit tu sema hicho kichupa dah ushindi ni mwingi wana karibuni tena kwenye game.
Aminia sn
Brother's nawakubali sana💯💯💯💯💯💯 napenda sana ngoma yenu ile ya wanoko wanoko featuring Jay dee
Asante sana 🙌 tuko pamoja
Aminia sn
Bonge ya pumbu!!!! noma sana hit song miaka 💯 #dojo&kaya
Salute zote
Shida kubwa redio steshen..tz hazipigi..nyimbo za.wasanii wazamani..pia wasanii..wa sasa hawathamini..wazamani ndio maana watanzania wengi hawawajui..wakongwe wa bongo fleva..
nafikir hiki ndio kikikua kinaitajika gooood job chap
🙌🙏
Daaah kumb ndo huyu aliueimba huu wimbo machoz yanatoka
Nilikuwa nasubiria kwa hamu sana wazeee yeah baba
E baba
Wozaa
Wozaaa
wimbo huu ni moja ya nyimbo ambazo zina radha ya aina yake, kwanza sauti pia maneno! saruti mandonjo & domokaya
Aminia man
Salute 🙌
Respect sana,pigeni machupa ya ngoma zote halafu muanze kula hyo mipunga ya social network
Kabisa mwamba
Our teen age music was so meaningful. Before nonsense jumping music started
We are here to make the difference E baba
Eeeh baba
Walio sema ukubwa Dawa hawakukosea, nyimbo ya Karne hii siyo ya mwezi🤝
From Burundi bujumbura 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 bado naupenda huu wimbo
Asante sana 🙌
Salute sn
Du mandojo nitakuja hata niangalie tu kabuli lako broo imeniuma sana sana du
Noma tangia niwaskie pamoja,wamekitoa ngoma kali tena. Muziki ya Eastr Afrika inaenda mbali.
Aminia sn
Km imetoka Jana vile Hii ngoma noma Sana.., toka jiji la makamba Hadi jiji la Makala
Eeeeh baba kitamb miaka mia nane
Mmeipa ngoma uhai tena. Kama mpya. Big up…..
Sahihi kabisa
Asante 🙌
Safi nilikuwa nataman Sana video ya nikupe nn! KAZI ipo kisasa Zaid big up wanangu
Jamani wasanii wakongwe inafaa wawe na youtube channels zao na video za kileo, ila masong yale yale, huu mziki umetukuza mazee
Hatimae tumepata video hongereni Kwa kuto kuogopa kufanya angali ni miaka mingi imepita ama Kwa hakika wakat sahihi ulikua ni sasa 🙌🙌👏👏👏👏👏👏👏
Aminia sn
Salute ninja
ngoma zisizochuja ndo hizi......nyimbo kama imetoka juzi tu
Salute sn
Sifanyi malipizi ila jifunze Adabu mpenzi ❤
RIP. NAni mwengine kaja baada ya RIP?😢
Vitu Kama hivi tunataka brother zetu..co mnakuwa kimya Sana..🙏🏼🤝
Sure man vinakuj vya kutosha
Sawa tunavisubili kwa mikonomiwil
when Bongo fleva was real....mmenikumbusha mbali sanaaaa....we real miss you guys..
Aminia sn
"tukutane tena kwa jiji la Makamba"...dah kitambo sana makamba(father) akiwa ndo mkuu wa mkoa wa Dar
Yaaaa sure eeh baba
Nipo msiban na watch wimbo huu, rest easy dojo
Upo Manyoni?
Sichoki kuiangalia hii Classic track,much respect Dojo& Kaya beat Kali kwa kweli mmenikosha sana my dawg
Aminia sn man
Dah aho walinzi kuma lao
mziki mzur unaishi 🔥🔥
Aminia sana
Shida nyimbo nyingi sana siku izi.watoto wa 2000 hawajui izi
Kitambo sana Enzi zetu izo sio sasa miaka ya NYEGEZI ujinga mtupu NYIMBO inaitwa NYEGEZI😅😅😅
Weacha tu brooh
Music is an art and these guys are artists,much love. Reminds me of our era
🤝🙏
Wozzzz
Nimependa sana wameonesha ukomavu wa kazi yao inanguvu kama ilipoka wakati ule
🙌
Salute sn
Daah bonge la kichupa,nakumbuka niko tanga kipindi hicho nasoma shule ya msingi Gofu Juu ,umekumbusha mbali sana wallai
Aminia sn eeeh baba
🙌
Nyie jamaa mkisema wapi watu wanaweza kupata hiyo album yenu watu wengi watanunua mimi nikiwa mmoja wao
Yote itapatikana youtube chanel yetu
WanokNok na Dingi Mkuu🙌🏻🙌🏻video fanyeni kweli
Imeisha hiyo manigga 🙌
Zinakuj man
19yrs now., but today we got our video 🥂big up my brooh's #MzikiMzuriUnaishi #OneLove♥️
Salute
Asante sana
Oya mwamba dojo hatuko naye tena 😢😢😢
👏🔥👊inafaa Mzi shoot video nyimbo zenu zote ,wanock nock,taswla,dingi,nenda...
Sure zinakuja
Gangwe mobb igene hii toene kichupa Cha nje ndan au rap katun
Sure
🎼🎵🎶Maaajani ya bustaaaani...,🎶🎵🎼 Daaaah! Mwanzoni mwa miaka ya 2000, Ifunda Tech. Sec. School, life ya boarding school hii ngoma ilikuwa gumzo sanaaaaaa. Salute wazeiyah
Pamoja sana 🙌
@@mandojonadomokaya 👍🏿🙏🏿
Eeeh baba sana mwamba
Rest in paradiso champion
Daaa,,,hizi ndo Ngoma zinazoishi asanteni kwa video
Salute man
Hapa sawa ngoma kali video ikawa hakuna
Justice is done to the song asee 🔥
Salute zote
We appreciate