Mandojo na Domokaya - Dingi (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025
  • Please like and subscribe to my channel and leave a comment
    Thank you.......
    #Domokaya #domokayatz

Комментарии • 823

  • @OmarSeafood
    @OmarSeafood 5 месяцев назад +433

    Kama umeangalia baada ya kusikia taarifa za msiba wa Mandojo gonga like

  • @jefftonyrichard2358
    @jefftonyrichard2358 11 месяцев назад +192

    Nani anasikiliza hii track 2024

  • @peterevarist3593
    @peterevarist3593 23 дня назад +11

    Kama unaskiliza hii ngoma 2025 gonga like 👍 ❤

  • @josephathamidu111
    @josephathamidu111 11 месяцев назад +24

    Eeeeh bana old is gold hii nyimbo mistari yake haitakufa milele maaana Ina ujumbe na melody tamu sana

  • @modestamodesta3940
    @modestamodesta3940 5 месяцев назад +101

    Kma umeangalia nyimbo zake baada ya kusikia msiba aise mungu akupe kaul thabit😢😭😭

  • @BATHLOMEOPaul-ns9er
    @BATHLOMEOPaul-ns9er 10 месяцев назад +18

    Pa1 2024 weka like❤

  • @directormr.kamwene6439
    @directormr.kamwene6439 5 месяцев назад +107

    kama nawewe uliposikia kifo chache umekuja kufata hii nyimbo gonga like

  • @kherryhustler7916
    @kherryhustler7916 10 месяцев назад +48

    nani anasikiliza hii track 2024❤

  • @nasraamir7042
    @nasraamir7042 2 года назад +96

    It's 2023 still listening to this Masterpiece 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @eng.hamisim.maliki9133
    @eng.hamisim.maliki9133 5 месяцев назад +64

    Tunaomtakia pumziko jema Dojo like hapo

  • @willehardkimbi5645
    @willehardkimbi5645 10 месяцев назад +69

    Ukiona hii comment, I like ili notification inirudishe hapa kusikiliza mziki mzuri

  • @fasterwalker1464
    @fasterwalker1464 3 месяца назад +11

    Feel the track ×3
    Feel the track ×3
    Feel the track ×3
    Feel the track×3
    Baba mbona ukanikimbia
    Maisha magumu ndo yaliyochochea
    Nakukumbuka na nna kulilia yaaah aaaaah
    Ukweli ningependa we kunirudia
    Baba mbona ukanimbia
    Maisha magumu ndo yaliyochochea
    Nakukumbuka na nnakulilia yaah aaah
    Ukweli ningependa we kunirudia
    Dingi sio vizur hivo tazama verse nacheza
    Unaleta kiu ya fedha na ulishatudekeza why!
    Enzi hizo kipindi mheshimiwa serikalini
    Katibu wizara ya fedha miguu haitoki mezani ofisini
    Fanya kaz zaidi ya 20 za wafanya biashara kwa ujumla
    Wakiomba msamaha kodi shika hii moja nusu unauchuna
    Siku Understand mtoto wa jirani kukomaa sura
    Wengine wamekonda mfano wa???? Astaghfillah
    Ningekua vipi sugu nunda
    Na!!!! Sikuzifahamu tabu
    Ni aibu kufikilia mke wapili na kumfukuza babu
    Pale tulipokueleza ukatujia moto juu
    "Watoto mkome subirini wakati wenu sio huu"
    Sikilikapita lindandasi rahisi kuvunja baraza
    Aibu kutufahamisha mbaka habari ilipotangazwa
    Siku hyo tulishtushwa kidogo maza afe kwa presha
    Alitambua mapema kitakacho fata mkataa pesa
    Ukawa na sura yakujificha uliandamwa na vikwazo
    Ukawa mtu kilabu vilevi kupotezea mawazo
    POMBE INASAHAULISHA MADENI
    nam mimi mtunza tungo hautosaza usposari
    Chini ya jua kali wengine hawafahamu utamu wa ugali
    Ikafika kipindi hatukubaki na senti mfukoni
    Ukipiga rekod baba hajarud unajificha chooni
    Ukaanza. Kua na makuzi sikusifii hizi ni kejeli
    Sina chakuwa tell akawa mfujuzia ma house girl
    Kwakua walikua wadogo kiumri uliwadanganya kirahisi nakutimiza yale yote Aliyokutuma wako ibilisi
    Tukaona isiwe tabu tulipofaham hayo unatenda
    Akaletwa mtu mzima kumkomoa nae akamtia mimba
    Kwa uchungu mzima ndugu kumjadili vikali
    Tukikumalizia msosi sufuria unazitia msumari
    Akija asubuhi hofu tumbo joto home akai
    Baada ya dakika chache hodi hodi za wanaomdai
    Sina imani nae namchukulia tu father mkatili
    Kwasasa anatoa kudozi anatutazama sehemu za siri
    Haitosaidia kuinama chini majini yake yanavo mtuma
    Huyu mzee hashibi yeye anachoka tu kutafuna
    Alishatutia aibu mbele ya rafiki zake mother huyu kalost
    Kaja seblen na taulo ndan hana hata kost
    Katika kumvumilia sindo radhi akamwaga
    KAMA ALIVYOZALIWA WAGENI IKABIDI KUAGA
    Yakafanywa malipizi mama akafanya mgomo baridi
    Nkashangaa vipi ukacha home matatizo yamezidi
    Tukaanza angamia pumzi zangu hazitoi jema sikuyapili nkiwa kijana mdogo sio mtumzima
    Mama hana kazi familia ingeendeshwa vipi
    Mbaka nilipoanza kaba walevi kona ya msikiti
    Kaptula nshauza sana kumsevu mother mzazi
    Nilimfikisha hospitalini usiku alipougua maladhi
    Upepo ulivuma kichizi sikuhiyo kabla ya kunyesha mvua
    Popote ulipo sikia mwanao nashuka hizi hatua
    nikachana nyuzi za gitaa nashushia na shairi
    Ukichambua kiufasahaa
    utaonekana mkatili siunakumbuka imani hamna na tabia haibadili
    Ingawa ni mkosefu nitakufanya uwe rafiki
    kukosa mapenzi ya baba kumeniathiri kiasi flan
    Cheki leo nna kesi ya bangi kesho narudi mahakamani
    Kesi juu ya kesi mkanipa jina mtaani
    Wamwisho kunishauri masela wangu maskani
    Kipaji ndo chanzo cha kuniandikisha hili pini
    Mbaka naingia studio bado sijakutia machoni
    Nashindwa kujimudu ukosefu waakili kichwani ningetoa wapi shuleless school fees jamani
    Sikumaliza elimu ya msingi ntapata kazi unazan
    Ndomaana nakulilia tafadhar baba rudi nyumban
    Saivi mambo safi kidooooogo kutokana na fani
    Shukrani kwa mika na dj hii track ipo hewan
    Shukran kwa mpenzi wangu alieniletea amani maishani
    Kuna Wakati nilikumisi nasisitiza yaan
    Heri utujurishe upo hai hapa duniani
    Au umetutoka mungu akulaze pema peponì
    Ameeeeeen
    Baba mbona ukanimbiaaaaah
    Maisha magumu ndo yaliyochochea
    Nakukumbuka na nnakulilia aaaah yaaaah yaaah
    Ukweli ningependa we kunirudia
    Baba mbona ukanimbia
    Maisha magumu ndo yaliyochochea aaah
    Nakukumbuka na nnakulilia yaaah aaaah
    Ukweli ningependa we kunirudia
    Mandojo na Domokaya
    Dingi

    • @AllyAthumanAllan
      @AllyAthumanAllan 2 месяца назад +1

      🤛🤔

    • @hakihaki2154
      @hakihaki2154 Месяц назад +1

      Noma sna Mzee umetisha hii Ngoma iliandikwa kwa hasila Sana sidhan na sikumbuki hapa bongo Kama ipo nyingine Kama hii

  • @nelsonmsafiri3693
    @nelsonmsafiri3693 11 месяцев назад +21

    Aliyepiga Hilo guitar 🎸 la base katisha 2024 still hot

    • @iddyvedastus8457
      @iddyvedastus8457 10 месяцев назад +4

      Produced by Micca Mwamba MJ record 🔥

    • @mohamedhamisi9766
      @mohamedhamisi9766 5 месяцев назад +2

      Guitar alipiga mandojo tumuombee tuu apmzike

  • @libetztanzania-kiswahilina2845
    @libetztanzania-kiswahilina2845 11 месяцев назад +10

    08.03.2024 WANAWAKE DAY, NIKIWA NCHINI MISRI MASOMONI

  • @AlexJumanne-ls5gm
    @AlexJumanne-ls5gm 5 месяцев назад +31

    Tulio kuja kuangalia baada ya kusikia R I P mandojo tujuane hapa

  • @HafuaSwalehe-je8rp
    @HafuaSwalehe-je8rp 5 месяцев назад +34

    Nimekuja apa baada ya kusikia taarifa za kuumiza 😢😢😢

  • @DOUBLE_G_DA_BST
    @DOUBLE_G_DA_BST Год назад +11

    Hawa jamaa walikuw na kipaji kwel daah👏

  • @Aman-lr7xx
    @Aman-lr7xx Год назад +32

    Nipo hapa 2024 tarehe 1 mwezi wa 2❤❤❤❤❤❤

  • @Jackjuneart_tz
    @Jackjuneart_tz 10 месяцев назад +6

    Ngoma kali sana story nzuri naisikiliza 2024 /3/30

  • @rubberbandman1213
    @rubberbandman1213 Год назад +37

    Hello it's 2030
    Huyu jamaa kaimba verse moja tu kwny hii ngoma.
    Verse kali sana halafu ndefu mno salute nyingi kwa domokaya, very powerful 💪

  • @rajabubasoloma1080
    @rajabubasoloma1080 Год назад +11

    Chuma hiki hakiwezi kupoa daima, hongera sana broo

  • @bizomenyimanaelias5455
    @bizomenyimanaelias5455 5 месяцев назад +40

    nilipenda hizi nyimbo kipindi nikiwa mdogo nilikua sijui kiswahili nikiwa primary nchi kwetu Burundi

  • @miriammanyanga698
    @miriammanyanga698 5 месяцев назад +54

    Dahhh R.I.P mandojo imebidi nije kuangalia Ngoma kwa mara ya mwisho

  • @NilhaniHusein
    @NilhaniHusein 5 месяцев назад +14

    Mungu akulaze mahali pema kamanda man dojoo 😢😢

  • @mwinyihamisidee5813
    @mwinyihamisidee5813 10 месяцев назад +7

    Its march 2024 still listening to this beautiful masterpiece from mandojo ft domo🔥🖐️

  • @stevgahamanyi5085
    @stevgahamanyi5085 5 месяцев назад +15

    Daaah inauma sana. RIP . Tutakukumbuka Daima Milele..... all the way from KIGALI -Rwanda.

  • @renatusrwezahura4967
    @renatusrwezahura4967 3 месяца назад +1

    Hawa jamaa walikua wanaimba sana mashairi yameshiba

  • @MrNoNonsenseYes
    @MrNoNonsenseYes 2 года назад +36

    Mkenya nipo mwenyewe tu, au wapo wakenya, kutoka mombasa tujuane, hizi ndo nyimbo tulokua nazo utotoni🔥🔥🔥

    • @CoachHafidh
      @CoachHafidh 2 года назад +3

      Nipo bro...wa Mombasa hapa😁

    • @MrNoNonsenseYes
      @MrNoNonsenseYes 2 года назад +3

      @@CoachHafidh Nakubali mwana, bamburi moja hii sijui wewe anga zipi

    • @skulfees5453
      @skulfees5453 6 месяцев назад +1

      South Coast moja hioo tuko pamoja 🎉

    • @IsaacLyaruu
      @IsaacLyaruu 5 месяцев назад +1

      Mmoja amefatiki mandojo

  • @piusthomas5713
    @piusthomas5713 9 месяцев назад +28

    twende mbele turudi nyuma huu mdundo wa guitar ni hatari sana, 2024 bado ngoma kali

    • @mohamedhamisi9766
      @mohamedhamisi9766 5 месяцев назад +2

      Na gitaa alikua analipiga sana yeye

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 5 месяцев назад +2

      Wenye music mzuri hupotea hivyo tu 😢

  • @frankyohana208
    @frankyohana208 3 года назад +30

    Ngoma inaishi na itaendelea kuishi kwenye watu waelewa.."

  • @lynahasiko6454
    @lynahasiko6454 5 месяцев назад +15

    Tugonge like kama tumetoka facebook baada ya kuskia kifo cha legend😢😢

  • @samtz1399
    @samtz1399 5 месяцев назад +11

    Aisee mungu amlaze mahal pema pepon mandojo ,,tutaonan siku Moja 🙏🙏🙏🙏

  • @nadiaamisha2958
    @nadiaamisha2958 5 месяцев назад +10

    Pumzika kwa amani mandojo🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @mazy4784
    @mazy4784 11 месяцев назад +4

    2024 hii trak 🏆🏆🙌🙌

  • @jumamohamed9916
    @jumamohamed9916 2 года назад +14

    Ngoma kali sana ,kuna kipande kinasema "sikusifi hizi kejeri"

  • @radotyga
    @radotyga 4 месяца назад +2

    Nyimbo yangu bora ya mda wote dahhhh bonge moja la ngoma

  • @LihoyaMwisongo
    @LihoyaMwisongo 5 месяцев назад +10

    Hii dunia hii ushetani ni mwingi kuliko hofu ya Mungu 😭😭

  • @solomonhaule2795
    @solomonhaule2795 5 месяцев назад +6

    Naisikiliza mida hii. Walifanya kazi nzuri

  • @nussah3158
    @nussah3158 2 года назад +192

    Nani anasikiza hii track 2022

    • @neutraljimmy3158
      @neutraljimmy3158 2 года назад +3

      Mimi na sikilizia hiyo nyimbo always na kumbuka maisha baadhi za familia za kibongo muda wote inafanya nikumbuke East Africa

    • @eliudytafawa4648
      @eliudytafawa4648 2 года назад +2

      Even me

    • @saidymatumla6878
      @saidymatumla6878 2 года назад +2

      Mimi hapa

    • @victorosong
      @victorosong 2 года назад +2

      Tuko wengi.Hii na ile niaje collabo yao na Juma Nature,noma Sana and classic.

    • @paulchiloleti578
      @paulchiloleti578 2 года назад +1

      Tuko wengi

  • @DidaTone_official
    @DidaTone_official Месяц назад +2

    Hii December 2024, nmekaa nkakumbuka hili Goma from nowhere.Kizuri hakiozi

  • @barakaalec5162
    @barakaalec5162 Год назад +16

    One of the most lyrically conscious song ever written in Bongo Flava hIstory..Hats Off..

  • @Truenegro-q7r
    @Truenegro-q7r 9 месяцев назад +8

    Sku understand mtoto wa jirani kukomaa sura
    Wengine wamekonda mfano wa astaghafirulah 😂😂

  • @edwinelias8554
    @edwinelias8554 5 месяцев назад +6

    Tulikuja kuisikiliza huu wimbo baada ya man mandojo kuumaliza mwendo tujuane kwa like 2024

  • @nazielmbonea3690
    @nazielmbonea3690 Месяц назад +1

    Yoooh! 2025

  • @asunigohagi5177
    @asunigohagi5177 Год назад +1

    🎉😂❤gud songggg

  • @chrispinmwazembe973
    @chrispinmwazembe973 5 месяцев назад +10

    Pumzika kwa amani mandojo

  • @kenieslime2982
    @kenieslime2982 9 месяцев назад +1

    2024 listening and many years to come

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 Месяц назад +1

    Kutoka kw3nye mahojiano ya wasafi leo 13/12/2024
    Nimekuja 12:36 PM (Ijumaa)

  • @Bartle20
    @Bartle20 9 месяцев назад +15

    Da miaka inakimbia sana wakati hii ngoma inatoka nilikuwa primary school pale Magereza tabora ilikuwa kila jioni lazima niisubirie ipigwe kwenye tv isipopigwa nilikuwa najisikia vibaya 😂 na ukweli kuna baadhi ya mistari ndio miaka ya karibuni naelewa kiliimbwa nn mi nilikuwa napenda beat na wale wahusika wa kwenye video.
    Ila asanteni sana brothers kwa kutubariki na ngoma kali zinazoishi Respect.

  • @shabanibussara8454
    @shabanibussara8454 Год назад +2

    Dah! Hili PINI HILII✊👊!!!

  • @hoseamarko7343
    @hoseamarko7343 10 месяцев назад +2

    Nipo hapa leo 2024❤❤❤

  • @RamadhaniJuma-re7be
    @RamadhaniJuma-re7be 6 месяцев назад +3

    wahuni wametupiaa full kombatiii

  • @georgemshumbusi1099
    @georgemshumbusi1099 11 месяцев назад +4

    2024 STILL LISTEN THIS BEAUTIFUL SONG ya verse 1

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 5 месяцев назад +2

    Daaah pumzika kwa amani mwamba mandojo ila kazi zako bado zinaishi

  • @SylivesterJoseph-s2f
    @SylivesterJoseph-s2f 3 месяца назад +1

    Ngoma nzuri sana

  • @nicholaskobelo8748
    @nicholaskobelo8748 2 года назад +4

    Verse moja tuuu ila ujumbe kila mstari this generation was blessed.

  • @mshovay5859
    @mshovay5859 2 года назад +8

    Hawa ndio WANAMUZIKI wa kweli. Wanatunga, wanaimba na wanapiga vyombo vya muziki.

  • @ayoublowlance4645
    @ayoublowlance4645 5 месяцев назад +7

    R.I.P Mandojo 😢😢😢😢

  • @latifsahib7110
    @latifsahib7110 2 года назад +6

    Jamaa ni wakali wa storytelling... Hatari sana

  • @Andrew-og4xf
    @Andrew-og4xf 4 месяца назад +1

    Good job, thanks, mpaka leo nalia!

  • @MarcusAurelius-b
    @MarcusAurelius-b 28 дней назад

    Kipindi mziki ukiwa mziki, pure talent!

  • @RamadhaniAthuman-i6p
    @RamadhaniAthuman-i6p Месяц назад

    Ila hawa jamaa walikuwa waaandika sana. Digalaaaa dingii eeee babaaaa

  • @moshakrama
    @moshakrama 2 года назад +8

    Hii ngoma irudiwe! MASTERPIECE

  • @Laizer3
    @Laizer3 Месяц назад +1

    Nilkuwa na miaka 8 .2009 iyoo

  • @amosimtui4872
    @amosimtui4872 5 месяцев назад +4

    Daaah R.I.P mwambaaaaa😢😢😢😢

  • @cassytv9995
    @cassytv9995 2 года назад +6

    Mandojo ni fundi na sijui kapotelea wapi😓😓😓

  • @LinusRwehabula
    @LinusRwehabula 5 месяцев назад +1

    Ngoma izi zitaishi milele

  • @finestford007
    @finestford007 5 месяцев назад +2

    He was a really good guitarist❤
    Till the bright morning!
    Watanzania tuache roho mbaya yan mtu unampiga raia mwenzako mpaa kifo dah!
    Rest easy legend

  • @EmmerMacher-e3w
    @EmmerMacher-e3w 5 месяцев назад +7

    Ngom kariiii r.i.p mandojo

  • @freddiemello7848
    @freddiemello7848 5 месяцев назад +1

    Daaah inauma sana...fan wako mkubwa kutoka Nairobi Kenya. Rest eazy braza

  • @JumaMlawa-r6d
    @JumaMlawa-r6d 5 месяцев назад +3

    Mungu ailaze roho ya marehemu mandojo mahala pema peponi😢😢😢

  • @beesmarttv3792
    @beesmarttv3792 2 года назад +23

    Dah!! Brothers kweli miaka inaenda hii ngoma nilikuwa shule!! Mungu awabarik kaka zangu!! Nyimbo zenu zitaish

    • @Domokaya
      @Domokaya  2 года назад +2

      Amen 🙏

    • @MwinyiSalim-d4j
      @MwinyiSalim-d4j 9 месяцев назад

      ​@@Domokayakunikumbusha mbali sana walai 😢😢😢😢😢😢 maisha magumu sanaaa😢😢😢😢😢😢😢

  • @kevinevans9923
    @kevinevans9923 Год назад +6

    Absolutely the most lyrical poetry masterpiece from bongo land😮❤

  • @allypharahani2168
    @allypharahani2168 5 месяцев назад +8

    Jamaa ameuawa 10 August 2024

  • @sebastianmpepayena5587
    @sebastianmpepayena5587 2 года назад +3

    Baba mbona ukanikimbiaa🙌🙌🙌🙌

  • @salummohamed3199
    @salummohamed3199 22 дня назад

    Tarehe 14 january 2025 naitazama hii vintage song

  • @mariahwayesu7312
    @mariahwayesu7312 6 месяцев назад +3

    Mika mwamba aligonga beat humu daaah

  • @juliusloy5023
    @juliusloy5023 5 месяцев назад +5

    R.I.P mandojo sijawah kuacha kusikiliza nyimbo zao toka enzi hizo tuko na moringe na mdogo wako

  • @peterantonymindolo8723
    @peterantonymindolo8723 10 месяцев назад +1

    2024 huu wimbo bado uko fireeeee

  • @Moudmtanzania
    @Moudmtanzania 5 месяцев назад +2

    Pumzika kwa amani kaka tunashukuru kwa wimbo mzuri 😢

  • @funnyworld5559
    @funnyworld5559 Месяц назад

    Asante domokaya ... nimerudi hapa baada ya wewe kutoka studio leo asubui ya wasafi 13/12/2024

  • @metroplanetstudios
    @metroplanetstudios 5 месяцев назад +1

    Aisee watu walikuwa naimba zamani na siyo siku izi wahuni wamejaa kwenye music industry

  • @Wikitiki1245
    @Wikitiki1245 5 месяцев назад +3

    Enzi hizo gwanda za jeshi unavaa tu

  • @lucymgonja3734
    @lucymgonja3734 Год назад +1

    Hii nyimbo ina vibe yakee ina penya adi kwenye moyoo an..... Nakubal sanaaaa

  • @baragatimaingu5623
    @baragatimaingu5623 5 месяцев назад +2

    Mandojo nimekuja tena tizama hii video baada ya kupata taarifa za kigo chako.. Ilikuwa bonge la ngoma enzi za channel five. Na pale star tv... Pumzika kwa amani legendary😢

  • @WestMunis
    @WestMunis Месяц назад +1

    R.I.P mwambaa ngoma adimu sanaaa 2024

  • @adamhussein8337
    @adamhussein8337 2 года назад +9

    Yembo yenye uahai na ujumbe Kwa kila mtu dahhhh nakusikiliza muda sana iliwatoto wangu wasijepitia maisha niliyo pitia

    • @Domokaya
      @Domokaya  2 года назад

      Asante sana 🙌

    • @MwinyiSalim-d4j
      @MwinyiSalim-d4j 9 месяцев назад

      Bro ulipotea wapi nyinyi na mabanga fc​@@Domokaya

  • @mosesmhina9980
    @mosesmhina9980 2 года назад +2

    Mwanangu unajua saana zaidi ya hawa wauza sura

  • @modestusexavery5043
    @modestusexavery5043 11 дней назад

    Ngomq bora ya muda wote

  • @rahimsadru-ct4ot
    @rahimsadru-ct4ot Год назад +2

    Hio verse ya kwanza ni noma sana,ndefu nzur

  • @simonjoh6801
    @simonjoh6801 Месяц назад

    Chuma hii hapa 2025.. Nyimbo pendwa sana ya baba yangu
    Saa hii amelala pahali pema pemoni(2022)
    Now ni ngoma yangu pendwa.

  • @isaacgichuki4044
    @isaacgichuki4044 2 года назад +6

    From Nairobi Kenya... Siii hii ngoma ilikuwa Kali... Still a banger!!

  • @chrismajaliwa9181
    @chrismajaliwa9181 Месяц назад

    nipo nausikiliza now basi bhana mungu ache aitwe mungu

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA 5 месяцев назад +1

    Your combination was good brother doh

  • @mohamedhamisi9766
    @mohamedhamisi9766 5 месяцев назад +1

    Daah mex wamoto sana hiyo beat kali sana

  • @kedyjohn1848
    @kedyjohn1848 2 года назад +9

    What a song ... They don't songs like these nowadays, wote wanaishia na nyimbo za tambo na mademu.

  • @Mkingacreator6010
    @Mkingacreator6010 5 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉jamaa alkuwa anajua kiukwelii

  • @qudratv9169
    @qudratv9169 2 года назад +5

    Mziki mzuri unaishi, kazi nzurii❤

  • @bronyjoel599
    @bronyjoel599 Год назад +6

    Memories back in the days beautiful song... listening 2023

  • @PeterVevo-d3e
    @PeterVevo-d3e 11 месяцев назад +1

    Bongee ya ngoma na haitokaa itokee