SIMBA SC 4 - 2 AZAM FC: MAGOLI YOTE: (NGAO YA JAMII: 17/8/2019)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Simba SC imetwaa NGAO YA JAMII kwa kuichakaza Azam FC kwa mabao 4-2 huku usajili mpya wa wachezaji wa Simba SC ukifanya vizuri. Shaaban Chilunda ameanza kuonyesha makucha yake kwa kufunga goli baada ya kurejea nyumbani akitokea Hispania. Mchezo ulikuwa LIVE Azam Sports 2.

Комментарии • 723

  • @youngluxewatz3962
    @youngluxewatz3962 3 года назад +6

    Uyu shiboub anakera uyuu alie ona agonge like ming sana

  • @gidionmchembe2234
    @gidionmchembe2234 5 лет назад +151

    Kama unaamini kuwa kahata ni fundi gonga like twende zetu

  • @marcky_jr
    @marcky_jr 5 лет назад +116

    aliyeona kama mimi chilunda akishika kichwa🙉🙉 kabla chama hajafunga goli latatu..😂😂#next_level

  • @fredymjindoseverine1280
    @fredymjindoseverine1280 5 лет назад +161

    Kama umeona shabani chilunda anashika kichwa Baada ya chama kupiga chenga gonga like

  • @khadijakhadija6212
    @khadijakhadija6212 5 лет назад +101

    Kutangulia mbel c kufika this is the simba makombe tutachukua back to back haji manara ulisem waige wafe tu rah sana simbaaa👏👏👏

  • @luganostewart8320
    @luganostewart8320 5 лет назад +377

    Mie wapili jaman naombeni Like za kutosha hasa wale watu wangu wa nguvu kutoka UNYAMANI

  • @lizzyshoo8084
    @lizzyshoo8084 5 лет назад +346

    Kama unaunga mkono kauli ya baraka mpenja kichwa cha tani moja nipe like za kutosha😂😂😂😂🥰

  • @deusibonaventure425
    @deusibonaventure425 5 лет назад +12

    Leo ndo nmeelewa maana ya neno iga ufe na this is next level simba nguvu moja💪💪

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 5 лет назад +150

    Kwa Simba hii hapa bongo watapata tabu sana

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 5 лет назад +16

    Next level shibobo sio wamchezo
    🔥🔥🔥💪💪simbA yamwakahu jamani uwanja wataifa teams ziwe makini asije mtu akapigwa 200 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😁😁😁😁😁😁😁🙏🙏🙏🙏

  • @MohdRashid-cu9qb
    @MohdRashid-cu9qb 5 лет назад +26

    Simba haizuiliki wametangulia wakajishauuwa moto umewawakia This is simba

  • @salihalash4111
    @salihalash4111 5 лет назад +24

    Shiboub king of tanzNia 🇸🇩🇸🇩🇸🇩❤️💪🏾

  • @makuwangojnl609
    @makuwangojnl609 5 лет назад +59

    Baraka mpenja ndie mtangazaji bora wa Mpira Afrika mashariki na kati,Nani anabisha

  • @rafaelyaled7745
    @rafaelyaled7745 5 лет назад +24

    Simba tujuane apa like zako

  • @mrdrz2805
    @mrdrz2805 3 года назад +3

    Namkumbuka shiboub big up sana 👍👍💯 ubarikiwe popote ulipo mungu akujalie, akulinde

    • @josewillson1813
      @josewillson1813 3 года назад

      Shibobu na uchebe nawakumbuka xn huyu kocha tuliyenaye hatufai

  • @ladenikisiga1096
    @ladenikisiga1096 5 лет назад +31

    "wapo wp waliomfananixha Na msanii flani hivi*" huyu ni🔥🔥🔥🔥

  • @ibraline830
    @ibraline830 5 лет назад +149

    Nan kawaambia kulala barazan ndio kuwahi kuamka simba itabaki kuwa juu tn mawingun

  • @user-of4ij9ov5g
    @user-of4ij9ov5g 6 месяцев назад

    Simba iliyokuwa Bora sanaa haitokuia kutokea

  • @salminshaban7127
    @salminshaban7127 5 лет назад +10

    Mwan simba like kam zot👍👏

  • @al-kokisuliman9045
    @al-kokisuliman9045 5 лет назад +4

    Shaibooooob 🇸🇩🇸🇩🇸🇩🇸🇩

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 5 лет назад +65

    Hii SIMBA wallah watu wataendelea kuteseka sana lol.YNWA

  • @yohanamathias2774
    @yohanamathias2774 3 года назад

    Nakubar chama langu la simba

  • @salimliemba3458
    @salimliemba3458 5 лет назад +2

    Mimi sio mpenzi wa Simba lakini msema kweli mpenzi wa Mungu naomba tff wawape kombe lao sujaona timu ya kuifunga Simba msimu huu sio kwa kiwango hicho dah hatari 🔥🔥 🔥🔥 🔥🔥 🔥

    • @morlovzeboy4926
      @morlovzeboy4926 5 лет назад

      Hahaha umeona mbli wew zawad inakusubilia ujue 0657540645 wasp chapu

  • @starnewstvtv1126
    @starnewstvtv1126 5 лет назад +9

    Jaman huyu chama noma sanaaaaaaaa

  • @goodlucklinus141
    @goodlucklinus141 5 лет назад +45

    This is next level watapata tabu sana🤣🤣🤣

  • @miliammarwa828
    @miliammarwa828 5 лет назад +25

    Iga ufe hiyo ndiyo simba itabaki kuwa juuuuuuu

  • @bahatilameck7803
    @bahatilameck7803 5 лет назад +9

    Simba hii bhana hatar

  • @agnessjohn8404
    @agnessjohn8404 5 лет назад +15

    hongereni Sana simba kutoka jangwan

    • @lucyignas6646
      @lucyignas6646 5 лет назад

      this is simbaaaaa chama babu kubwaaa😁😁😀❤

    • @awenahemed5971
      @awenahemed5971 5 лет назад

      Sisi sio wjangwani ni wamsimbazi wacha kututukana

    • @agnessjohn8404
      @agnessjohn8404 5 лет назад

      Awena Hemed kwa hiyo hamtaki pongezi au

  • @juniorbenito709
    @juniorbenito709 5 лет назад +5

    Dah kumbe upo saut ya rad asnt mungu aku afu

  • @hdfaraga7242
    @hdfaraga7242 2 года назад +1

    Nakubal kwa kwel this is simba

  • @chachadickson6270
    @chachadickson6270 5 лет назад +5

    Je umeona kama mm shibob alivochukia goli la pili la azam, gonga like

  • @charliejunior_1
    @charliejunior_1 5 лет назад +131

    Now ninaamini ile kauli ya manara,tutachukua back to back mara kumi! Kwa east Africa hakuna team ya kuifananisha na Simba

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 5 лет назад +1

      Charlie Junior hmm

    • @samuelwaing0507
      @samuelwaing0507 5 лет назад

      GOR MAHIA 2: 0 SIMBA bure kabisa

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 5 лет назад +1

      Samuel waing0 Gor Mahia 0 : 2 AZAM..wajaluo buure kabs!

    • @cosmasogweno2089
      @cosmasogweno2089 5 лет назад

      Ngoja upatane na Gor Mahia aka Sirkikal ndiyo utajua hujui..

    • @charliejunior_1
      @charliejunior_1 5 лет назад +1

      Cosmas Ogweno kaka Simba iliyocheza na gormahia hawakuwepo Simba kamili,Haya ombeni game hata Leo kama Hamjafungwa 5 halafu hivi Gormahia na Power dynamo ni team ipi nzuri? Maana najua gor wameondoka wote muhimu kuanzia tuisenge na akina kahata

  • @clintonkioko5179
    @clintonkioko5179 5 лет назад +2

    Hongera simba na chama langu kwa matokeo mazuri mlioupata,tukaze but I safari bado ni ndefu tunaitaji muunganiko kam teamwork tufanikiwe zaidi,.pia tuna makosa madogo madogo tunayafanya has a making tuna pia hamn ukiwa magoli tunaruhusu kizembe has a muunganiko wa kipa na mabeki tusikumbali kuonyesha udhaifu tuimarike na kurekebisha makosa hayo madogo KWENYE safu ya ulinzi

  • @shalifmbalale8
    @shalifmbalale8 Год назад

    Nimeludi Tena kuja kumwangalia mwanetu idd Chilunda😂🔥👏👏

  • @patrickmadiwa3845
    @patrickmadiwa3845 5 лет назад +10

    kwa hali hii Mimi ni yanga lakini nakiri kuwa simba (baba wa taifa ) mwaka huu hatopoteza mechi hata moja labda droo. Naomba muitunze huu ujumbe wangu .

  • @isakamahenge4236
    @isakamahenge4236 5 лет назад +82

    huyu sio kashata wala kashasha, ni Kahata😂😂

  • @kalisaphilippe3639
    @kalisaphilippe3639 2 года назад +1

    Mtangazaji nakupenda sana

  • @nicodemmwampashi13
    @nicodemmwampashi13 5 лет назад +25

    Wakwanza leo like zenu

  • @yasinmakengwa3400
    @yasinmakengwa3400 5 лет назад +3

    Simba mungu anawaona ujue sio kwakipigo hicho🔥🔥🔥🔥

  • @rajabuselemaniabedi3930
    @rajabuselemaniabedi3930 5 лет назад +13

    Yani ayo mazoo ezii 2 mtapatatabu sana

  • @Rosedanieli
    @Rosedanieli 15 дней назад

    Daah🎉❤simba

  • @evancekimaro9774
    @evancekimaro9774 5 лет назад +12

    Watapata tabu sana ndg zangu watani zangu wotee 19 wa ligi kuu zaidi kwasukwasu

  • @eddygonza891
    @eddygonza891 5 лет назад +17

    Chilunda alijua goli mapema ndio maana kashika kichwa...
    Shikamoo chama

  • @hassanmayunga7436
    @hassanmayunga7436 3 года назад

    Naam this is simba

  • @abdulhemed4956
    @abdulhemed4956 5 лет назад +13

    Kwasimba hii watapata tabu xana ndani na nje ya ligi kudadeki

  • @abdullihmaulid7859
    @abdullihmaulid7859 5 лет назад +8

    Dilunga mbaya Sana uyu kijana

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 5 лет назад +14

    Kwa SIMBA hii kiukwel yanga na tmu zngne mjpange sanaa mcmu huu

    • @oswardmwambete775
      @oswardmwambete775 5 лет назад

      Ferouz masoud Hii Simba sc sio nzuri jaman Ubaya wake ukitaka kuuona Itangulie kuifunga Hapo kwa Taifa ndipo Utakiona cha moto cha mtema kuni kuwa nimeanzaje kutangulia kuifunga. Habari wanayo Nkana na Vita club. Hawataki kabisa kuisikia Simba

    • @mohamedjuma4692
      @mohamedjuma4692 5 лет назад

      Hamna hata mtanzania aliefunga kwa upande wa simba

    • @abrahamkibona7038
      @abrahamkibona7038 4 года назад

      @@mohamedjuma4692 ,kwani waliofunga ni wa timu gani? Na nyie huko azam kwanini watz wasifunge?

  • @egnokinunda6959
    @egnokinunda6959 5 лет назад +30

    Simba nguvu moja 😝😝

  • @allyathumani7478
    @allyathumani7478 3 года назад

    diamond video

  • @tatusaid1223
    @tatusaid1223 5 лет назад +14

    ogopa roli la mafuta ukikuta limepinduka, weka mbali watoto

  • @machamearakea9060
    @machamearakea9060 5 лет назад +54

    shibobo kachomoa betri ndo tabu ilpo anzia 🔥🔥

  • @sumamsafitz3361
    @sumamsafitz3361 5 лет назад +5

    Simba ni 🔥🔥🔥

  • @swittychenguli5523
    @swittychenguli5523 5 лет назад +3

    Raha sana jomon

  • @mudathirelhadi5575
    @mudathirelhadi5575 5 лет назад +6

    Shiboub king of Center

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 5 лет назад +19

    HATARIIIII... Mungu saidia siasa zisije kutuharibia

  • @BILDADTV
    @BILDADTV 5 лет назад +18

    Hatari faya mpaka watu wakazimia uwanjani😀

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 5 лет назад +1

      BILDAD TV nani tena hao!

    • @BILDADTV
      @BILDADTV 5 лет назад +1

      @@mnzavachris5423 YULE MCHEZAJI WA AZAM ALIYEPAA JUU NA KUANGUKIA MGONGO

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 5 лет назад

      BILDAD TV dk gani?? 😀

  • @siapolite1289
    @siapolite1289 5 лет назад +5

    kwa simba hiii

  • @MrManchoso
    @MrManchoso 5 лет назад +2

    Chama anapoteza mda simba ana kiwango cha kucheza ulaya

  • @bakarikisimbo7342
    @bakarikisimbo7342 3 года назад

    Triple c doctor wa mpira duniani

  • @nyavaelly5450
    @nyavaelly5450 5 лет назад +13

    Simba bila okw inawezekana

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 5 лет назад +49

    Tuwekeen highlights hrk jmn tuangalie ule udambwi

  • @limomartin3318
    @limomartin3318 2 года назад

    Naikubali sana igemu

  • @armogavers-jr360mahengoh7
    @armogavers-jr360mahengoh7 5 лет назад +1

    NgaPi ukOoo 👑👑Iga ufee Mnyama simba noma sna

    • @GabrielSimoni-rs6tg
      @GabrielSimoni-rs6tg 7 месяцев назад +1

      Mnyama
      Shida

    • @GabrielSimoni-rs6tg
      @GabrielSimoni-rs6tg 7 месяцев назад

      🤪😜😝😛😋😁😁😁😁☝️👈👮🚔🚓🚔🚔🇵🇱💅👕👮‍♂️👮‍♀️🐎

  • @stevenmajoge4644
    @stevenmajoge4644 5 лет назад +14

    Shiboboooooooooooo

  • @muddydamdeok5098
    @muddydamdeok5098 5 лет назад +55

    *Shiboub Mzee Wa Kuchomoa Betri 🤣🤣🤣🤣*

  • @faustinefs1148
    @faustinefs1148 5 лет назад +3

    Kama unakubaliana na Mimi kuwa simba hii haijawahi tokea na viumbe hawa 🐸🐸🐸kisHaaaaaa like hapa

  • @rehemakilimba9816
    @rehemakilimba9816 4 года назад

    Simba raha

  • @husseinmakame8035
    @husseinmakame8035 5 лет назад +3

    Hyu shiboub ni mzuri kwakwel angalia position aliyosimama akazifunga goli mbili ni kwa udhaifu wa mabeki mana ni position hiyo hiyo

  • @allyandrea3632
    @allyandrea3632 5 лет назад +2

    Sana

  • @lazarojr8923
    @lazarojr8923 5 лет назад +5

    Kwa mpira ule wa simba,,, hao waiba matikiti hawataingiza timu uwanjani nipe like kama umewajua matikiti fc 😂😂

  • @lutasimbukafransis9165
    @lutasimbukafransis9165 5 лет назад +6

    Simba damu uwaaaaaaaa

  • @amanimwaifunga6524
    @amanimwaifunga6524 5 лет назад

    Wako wapi wanaomfananisha na msanii flan hv 😀😀😀👉👉🐸🐸🐸 Baraka Mpenja the Commentor in East Africa Kongore Broo

  • @JustineLadislausi
    @JustineLadislausi 7 месяцев назад

    Unyama sanaaaaa

  • @aboudogokazungu4117
    @aboudogokazungu4117 5 лет назад +12

    2mewanyosha

  • @apnapujabu8749
    @apnapujabu8749 5 лет назад +2

    mungu ibaliki simba kwenye mchezo zidi ya mtibwa

  • @mwanahamisinyende6840
    @mwanahamisinyende6840 5 лет назад +2

    weka ndani ewe shibooooooo!

  • @mawazobakari6780
    @mawazobakari6780 4 года назад

    Vide diamond

  • @jumamaupa1362
    @jumamaupa1362 2 года назад +2

    Simba have a good team

  • @ellyskuka7904
    @ellyskuka7904 Год назад

    Simba dangerous

  • @barakahassani208
    @barakahassani208 5 лет назад +4

    Katuni

  • @musahamis3629
    @musahamis3629 3 года назад

    Kali kweli

  • @jamesmoses375
    @jamesmoses375 5 лет назад +21

    Kesho yanga ikifungwa nahamia SIMBA

    • @khadijakhadija6212
      @khadijakhadija6212 5 лет назад

      🤣🤣🤣🤣🤣Ndo usubirie kufungwa na lazima hiyo

    • @jamesmoses375
      @jamesmoses375 5 лет назад

      Mbona unaniombea mabaya

    • @khadijakhadija6212
      @khadijakhadija6212 5 лет назад

      @@jamesmoses375 yang hakun wachezaj ispokuw ni mfano wa wachezaj 😂😂

    • @morlovzeboy4926
      @morlovzeboy4926 5 лет назад

      @@jamesmoses375 mzee yaswe maneno eka no yko APA

    • @morlovzeboy4926
      @morlovzeboy4926 5 лет назад

      @@khadijakhadija6212 Aina kuulza iyo

  • @chachadickson6270
    @chachadickson6270 5 лет назад +4

    Ni noooma!! , dah! mtoto halali na pesa, this is simba,!!

  • @muhammadmahmoud1068
    @muhammadmahmoud1068 5 лет назад +16

    Huyu shiboub ni nyoko+974🇶🇦🇶🇦🇶🇦

    • @jebace
      @jebace 5 лет назад

      kaka upo wapi we ni simba pia eeh .na mie nipo qatar ain aziziya karibu na villagio mall 33713365

    • @muhammadmahmoud1068
      @muhammadmahmoud1068 5 лет назад +1

      @@jebace me nipo alatia

  • @shaffihsiraji3141
    @shaffihsiraji3141 5 лет назад +11

    Sio poa

  • @olivakyando2707
    @olivakyando2707 5 лет назад +1

    Simba itabaki kuwa juuuu

  • @jumadeo5799
    @jumadeo5799 3 года назад

    Ilikuwa game la moto cana aise

  • @milkamahangila575
    @milkamahangila575 Год назад

    Chama usiende yanga kipenz Cha simba

  • @makosafitina2573
    @makosafitina2573 5 лет назад +17

    Wewe mtangazaji hujui kama Tim yanyumbn hayo maneno yako chunga sana nahiyo mic ni ya nyumban nooma simbaaa

  • @priscamwakipesile8444
    @priscamwakipesile8444 2 года назад

    Iki kikosi nakimiss sana

  • @mattymates9709
    @mattymates9709 5 лет назад +2

    Duuh, sioni kabisa gap la okwi, asante simba, ushindi wetu na ndo furaha yetu, mambo ni motrooooo#mnyama#anafanya#miracles, waambie #wanaopinga#wasijioverdose

  • @shabanimiyumbaniki1777
    @shabanimiyumbaniki1777 3 года назад

    Daaah kwa heli chama

  • @isayahusseni4075
    @isayahusseni4075 2 года назад

    Simba noma.

  • @abrahamkibona7038
    @abrahamkibona7038 5 лет назад +1

    Sawa kabisa

  • @abumahmoud9703
    @abumahmoud9703 5 лет назад +2

    بالتوفيق سيمبا بالتوفيق شيبوب

  • @francismuchai9346
    @francismuchai9346 5 лет назад +1

    Naona kahata ana fanya mambo

  • @abouyusrayasrisaadomar6620
    @abouyusrayasrisaadomar6620 5 лет назад +2

    Nani huyoooooooooo

  • @paulopaulochristopher3306
    @paulopaulochristopher3306 5 лет назад +1

    Diamond

  • @barakanyambele6642
    @barakanyambele6642 4 года назад

    Daaa mpira bhana, yani shibubu alikosa nafasi simba

  • @jumajoseph7707
    @jumajoseph7707 3 года назад

    Simba na yanga