Andamaneni tuone, mmezoea kuandamana nyuma ya keyboards, waambieni viongozi wenu waende kwenye mdaharo na huyo mnaemuita Div 0 ili akawaoneshe ni yupi Div 0 kati yao, mbona mnamuogopa sana?
@@allyvuai9762 Ili tujue wapo imara waende congo kupambana na m23, na kuiondosha kabisa m23, ndo tutajua wako imara, sio kuonea wanainchi wao Kwa siraha wanazo nunua Kwa gharama ya jasho la mtanzania. Wewe inaonyesha upo kwenye mfumo wa ccm
Dah unafikra chanya na ninakupongeza kwavile unajua iko siku yetu ya kuboreshana pia kufanya alichofanya nyerere na marehemu sokoine.pesa wameshika iko siku zitataifishwa na wengi mafisadi tutawaweka jela waishi katika mashaka
Makonda wewe ni mjuzi wa maneno, Mh Makonda hali ya maisha mtaani ni ngumu mno mno vitu vinapanda hovyo kodi bila mpangilio nadhani waruhusu wananchi waamue.
Ninyi ndio wale wale hata wakati wa Mwl Nyerere anapambania Uhuru mlikuwepo wanafiki mnasherehekea miaka ya Uhuru bila kujali malengo ya Uhuru maana ni zaidi ya miaka 60 kwani unafikiri watu weusi waliokuwa wafanyakazi wa serikali ,vyombo vya habari kama hivi vya Millard Ayo vilikuwepo lakini ilikuwa magazeti ila vilidhaminiwa na Serikali ya mkoloni kamaleo hivi hawakuunga mkono harakati za Mwl la hasha walimdhihaki kama wanavyomdhihaki leo Mbowe hakuna jipya mnajifanya wastaarabu mnamwona Mbowe mjinga mnasubiri kuvuna matunda ya harakati lakini hamtaki kuwa sehemu mimi ninakwambia ukweli wewe ungekuwepo wakati wa Mwl Nyerere usingemuunga mkono Mwl mnaangalia upande wamaslahi zaidi kuliko uhalisia wa mambo mnasubiri kuchuma tu matunda hamtaki kuvuja jasho wala kuonja maumivu ya harakati
Punguzen mishahara yawabunge pia kwann mnataka atoke kwenye uwenyekiti je mnataka mpandikize mwenyekitiwa ccm Maisha yamtaan nimagum mno je mnalijua hilo weken mambo sawa MBOWE kuitisha maandamano hayupo kisheria kama hayupo kisheria mnahaki yakumzuia kama yupo kisheria fikirien kabla hamja simama kumjibu kwisha
Kweli siyo wajinga na watskao andamana ni manyumbu na mazwazwa tu. Hivi kama nyie ni chama cha democrasia keeli mbowe.anamiaka mingapi ya uenyekiti? Mbona mnafyata.mkia.kumuhozi. msiwe manyumbu. Mbowe.hana cha kupoteza, mtaumia na hakuna wakukusaidia. Utakuwa chambo kwa faida ya mbowe na genge lake
MUNGU akupumzishe kwa amani tele magufuli, hata kama ulikua na mabaya kwa tafsili ya kibinadamu, lakini ilimpendeza MUNGU, kama alivo tenda mfalme daudi. R.I.P jpm. CCM ya sasa unatukaanga kama samamaki bila huruma.
@@YamunguMuhakijana mdogo Kama wewe Bado unashabikia vyama vya wazee nyie ndo mnafanya umasikini uongezeke akuna mabadariko yoyote maisha magumu vitu viko Bei watu wanaona lkn sehemu ya kuongelea shida zao una muda gani umewatumia pesa kwenu uko kazulamimba?
Nyie ccm ni waonev sana sana sis watt wet wanateseka nyie watt wenu mnawapa mavyeo tu mbn mnakuw ivi tambuen dunia ni mapito pendeleen watt wenu tu ipo siku
We makonda acha ujinga Kuna uonevu mkubw kwenye hii nchi watu wanabambikw kesi bila makosa police wanauw wtu wasio na hatia haraf makonda una mama na kusema hii nchi Ina aman duu
Ninavyojua Chadema kilinufaika tu na ujio wa Lowasa kwenye chama hicho. Hakuna sera mbadala hapo, wanataka wanufaike na vurugu tu. Watu kama hao ukiwapa nchi itakuwa kama Somalia. Wasubiri CCM ibomoke watapata wanasiasa wazuri.
Wakati magu anadili na hawa viumbe mlimuona mtu hafai sasa acheni wawapande vichwani. Hawa hawanaga shukrani wengine walikuwa wakimbizi lakini saa hii vichwa juu.
Acheni woga mbowe akiongea tu matumbo joto kwani uongo janja janja nying kwenye mswada nani asiejua? Tuburuzeni tu mpini simmeshka nyiniyi,,ila kumbukeni wakati wa mungu unakuja na upo,ongea ongea uongo wako tu @makonda...ila kwasasa watu wanajitambua sana 💪moja tutawka tu.
Haujitambui au uko ndani ya genge la watu wachache wanao tafuna Kodi za walipakodi wengi wa nchi hii unatetea maslahi yako nakupa pole Sasa watu wamesoma japo shule za kata lakini Sasa wako macho pole sana ndugu yangu.
Makonda leo unataka ukutane na mbone uzungumze nae nn ? We si ulitangaza kua upinzani tz hakuna Leo unataka mdahalo na mbowe ili iweje angalia mungu alivyo wa ajabu ndio maana tunaambiwa ! Mungu hamfichi mnafiki!!!
Kama maandamano yatafanyika Daressalaam basi wajue siku hiyo Majeshi ya Tanzania yatakuwa yanafanya usafi katika miji huo huo tar.23-24 sasa sijui kama majeshi hayo yatashindwa kufanya usafi kwaajili yao 😂😂😂😂😂😂. Mm niko paleeeeee nasubili siku ifike.
Hapana Mimi ni CCM ndaki ndaki.ila nyie viongozi wangu wa CCM Mnaboa bwana mambo ni maguma huku nyie mko na V8 mnakula viyoyozi wana nchi huku wanakufa na njaaa.hapana me kiukweli nimechokaaa kweli.😢
Jamaa kigeu geu, nani aliwaambia kesi yake ya Ugaid muifute? Fujo ndio hoja zake na mitafaruku, atawavuruga Saaana na uchaguzi bado, macho yake hayaongopi , ukiyatazama macho yake hayana Nia njema na Taifa, ana mchezo mchafu saaana na Siasa zake za kikanda na kikoo
Makonda leo unatakaje kukaa na watoa taarifa.. shughulika na mambo ya chama chako acheni cdm wafanye mambo yao.. na swala la kusema cdm wanataka wabunge 700 hapa ni uongo kabs ivi si hao cdm waliwatimua wabunge wao 19 lkn chama chako kinaendelea kuwakumbatia mwaka 4 sasa wamekuwa ni sehem ya wabunge wa ccm..
Wewe upo hapo kutetea TUMBO lako Mbowe kaongea ukweli 😊
AISEE MBONA Mnaanza kuomba Msamaha mapema ??? Maandamano ni lazima
Andamaneni tuone, mmezoea kuandamana nyuma ya keyboards, waambieni viongozi wenu waende kwenye mdaharo na huyo mnaemuita Div 0 ili akawaoneshe ni yupi Div 0 kati yao, mbona mnamuogopa sana?
Mwabukusi kwenye mdahalo asikose akil nyingi sana jamaa ndo mtetezi wa taifa letu
Akili kubwa au Wajinga wengi.
CCM mbona MMEANZA Kuomba msamaha mapema sana!?? ?? Maandamano ni lazima. Iwe jua iwe mvua lazima tutaandamana mpaka tumuondoe mama SAMIA MADARAKANi
hama kwnza kwa shemeji yko ndio ukaandamanee
Wee nae unamjuwa huyu jamaa au bangi tuu@@donnngeta
Ingieni tu walinzi wa taifa hili wapo imara sana na watawawajibisha
@@allyvuai9762 Ili tujue wapo imara waende congo kupambana na m23, na kuiondosha kabisa m23, ndo tutajua wako imara, sio kuonea wanainchi wao Kwa siraha wanazo nunua Kwa gharama ya jasho la mtanzania. Wewe inaonyesha upo kwenye mfumo wa ccm
Tunampango wa kufanya usafi siku hiyo fanyeni maandamano ili tupate kusafisha taka zote zinazoirejesha nyuma nchi hii.
uki angalia kwa mbali unaona kama wako makini sana ila unapo sogea kalibu sanaa unagundua haw jamaa wanacheza na akili za watu
Siku nchi hii itachukuliwa na mzalendo tutawafilisi mafisadi wote
Hao wazalendo ni wakina nani, hao wanaowekeza Dubai au kuishi Ubelgiji na watoto Marekani!!!!
Dah unafikra chanya na ninakupongeza kwavile unajua iko siku yetu ya kuboreshana pia kufanya alichofanya nyerere na marehemu sokoine.pesa wameshika iko siku zitataifishwa na wengi mafisadi tutawaweka jela waishi katika mashaka
WW makonda watanzania sio wajinga tunaelewa baya nazuri mikutano yahazara nihaki yetu, hakika tunataka katiba mpya Kwanza! Acha brabra
Nyinyi WATANZANIA wapi? unamaanisha wewe na mumeo?
Jitahidi bwana Mbowe kwani hakuna mageuzi yaliyowahi kutokea mezani. Tupo pamoja na wale wote wanaopinga uonevu
Wewe jamaa ni matako mageuzi unayoyataka kageuze familia yako watetea tumbo
Bunge lenyewe lote ni la ccm halikuchaguliwa na Wenye Nchi. Mmetufanya watoto muda mrefu
Makonda wewe ni mjuzi wa maneno, Mh Makonda hali ya maisha mtaani ni ngumu mno mno vitu vinapanda hovyo kodi bila mpangilio nadhani waruhusu wananchi waamue.
Hii nchi bhana mfanyakazi wa private sector anakatwa kodi asilimia 18% lkn mbunge na waziri hawakatwi kodi duuh hatarii
Maandamano ni lazima! LAZIMA tumuondoe SAMIA MADARAKANi
Hauna upavu huo
@@YamunguMuhatulia wewe muha
😂😂😂
Mbowe mwenyewe tumekuchoka
Na muungano tunauvunja kummazenu watanganyika nyote mrudi kwenu
Maandamano yanawatia Presha ?? Hatutaki wakuu wa WILAYA, Wakuu wa mikoa Wala wakurugenzi Tunataka Wabunge wawili TU ndani ya halmashauri zetu Inatosha
Hutaki kama nan
@@mayaally2512kama mtu au we kima
Niseme tu unapojibu hoja za wapinzani jikite kujadili malalamiko yao
Yan limakonda linakela jaman
Well said MAKONDA TUMESHA WAZOEA GLORY HUNTERS 😢😢😢😢😢😢
Ninyi ndio wale wale hata wakati wa Mwl Nyerere anapambania Uhuru mlikuwepo wanafiki mnasherehekea miaka ya Uhuru bila kujali malengo ya Uhuru maana ni zaidi ya miaka 60 kwani unafikiri watu weusi waliokuwa wafanyakazi wa serikali ,vyombo vya habari kama hivi vya Millard Ayo vilikuwepo lakini ilikuwa magazeti ila vilidhaminiwa na Serikali ya mkoloni kamaleo hivi hawakuunga mkono harakati za Mwl la hasha walimdhihaki kama wanavyomdhihaki leo Mbowe hakuna jipya mnajifanya wastaarabu mnamwona Mbowe mjinga mnasubiri kuvuna matunda ya harakati lakini hamtaki kuwa sehemu mimi ninakwambia ukweli wewe ungekuwepo wakati wa Mwl Nyerere usingemuunga mkono Mwl mnaangalia upande wamaslahi zaidi kuliko uhalisia wa mambo mnasubiri kuchuma tu matunda hamtaki kuvuja jasho wala kuonja maumivu ya harakati
Hivi kumbe ma Ommy ni mapumbavu kiasi hiki
@@user-pq3jt5rb2lJenga hoja, heshimu maoni ya wengine.
😂😂😂😂
Mwenye nia njema na hii nchi hawez kukubaliana na haya maisha alio nayo mtanzania kwa sasa
Acheni tuandamane msikie kilio chetu hatuna pakusemea kwenye maandamano tutasema. Tunataka haki mbowe kaza Mzee mm nipo tayar
Kwenye hili acheni ukweli usemwe maisha nimagumu sana mtaani na viongozi hawana wanacho kifanya KAZI kusifiatu 👐👐
Ni kweli, acha liwe liwalo tumechoka.
Sukari bei gani saivi?
@@ahmedhamis4000 1kg kwa Dar es salaam ubungo apa😢
Mbowe tuvushe baba tumechoka sana
Hahaha...fisadi likubwa liwavushe..!!!?
Punguzen mishahara yawabunge pia kwann mnataka atoke kwenye uwenyekiti je mnataka mpandikize mwenyekitiwa ccm
Maisha yamtaan nimagum mno je mnalijua hilo weken mambo sawa MBOWE kuitisha maandamano hayupo kisheria kama hayupo kisheria mnahaki yakumzuia kama yupo kisheria fikirien kabla hamja simama kumjibu kwisha
WATANZANIA SIO WATOTO
Kweli siyo wajinga na watskao andamana ni manyumbu na mazwazwa tu. Hivi kama nyie ni chama cha democrasia keeli mbowe.anamiaka mingapi ya uenyekiti? Mbona mnafyata.mkia.kumuhozi. msiwe manyumbu. Mbowe.hana cha kupoteza, mtaumia na hakuna wakukusaidia. Utakuwa chambo kwa faida ya mbowe na genge lake
@@godfreymasele8853shida ya Sasa Ivi ni katiba mpya na tume huru bc watanzania tunapenda Sana amani na Tanzania ni kisawa Cha amani
Nyie watu wa CCM wananchi wenu tumewachoka kabiss
Yan chama changu sisiem inatakiwa kirekebishe mfumo wa uongozi kuna majinga mengi ndani ya chama
😂Sisiem ccm
@@inocentngogo1259😊ujumbe umekufikia lakini😮
MUNGU akupumzishe kwa amani tele magufuli, hata kama ulikua na mabaya kwa tafsili ya kibinadamu, lakini ilimpendeza MUNGU, kama alivo tenda mfalme daudi. R.I.P jpm. CCM ya sasa unatukaanga kama samamaki bila huruma.
Maneno hayaendani na uzoefu wa vitendo Mkuu. Mbowe is very right.
Well said comrade! Mwenye sikio na asikie
Mzee wa michuzi mboye
😂😂 Makonda uyu ni Chawa Kama machawa wengine wa Samia
Mh. Mwenezi leo umeongea kwa hekima sana.... Bro
Leo hajajichetua km alivozoea. .. madam presidaa hapendi mabavu km alivokua Mwendazake
Mbunge mmoja kazi awezi peke yake pia pesa mnazo walipa ukigawa mala mbili sio mbaya bado kazi itakuwa nzuri zaidi
Alafu huyu ni mwongo
😢😢😢😢😢 miladi imesimama mbagala mwendo kasi inaota nyasi ... Jeshi lifanye usafi na sio kulinda mipaka daaaaa mungu ana waona amini ani. Mikopo inakopwa 😢😢😢😢😢😢😢 Badilikeni 😢😢😢😢😢😢😢
ACHANA NAO HAO WANAFIKI MBONA HAWAKUSEMA HAYO WAKATI WA MWENDAZAKE WALIOZEA JELA NA WENGINE KAKIMBIA NCHI PUMBAVU TU HAO
Mbowe kipindi uliambiwa umerambishwa asali sasa kwa hili ukirudi nyuma tu tushapata jib
Anaongea kwa dharau kama vile hamna kifo badae
Kakudharau wewe??acha kujipendekeza,kama kufa na wewe utakufa
@@YamunguMuhakijana mdogo Kama wewe Bado unashabikia vyama vya wazee nyie ndo mnafanya umasikini uongezeke akuna mabadariko yoyote maisha magumu vitu viko Bei watu wanaona lkn sehemu ya kuongelea shida zao una muda gani umewatumia pesa kwenu uko kazulamimba?
😂😂😂 hiii Nchiii Rahaa Sana sema tuishi nayo tu lkn😂😂😂😂
Nyie ccm ni waonev sana sana sis watt wet wanateseka nyie watt wenu mnawapa mavyeo tu mbn mnakuw ivi tambuen dunia ni mapito pendeleen watt wenu tu ipo siku
Makonda peleka ujinga wako huko tuko pamoja na mbowe
Matoto yao yako ulaya si wanataka tupigwe malungu tuwe walemavu walete watoto wao tuwe wote kwenye vilung
Ukitaka kulala lala aujalazimishwa Kama unaona akuna umuimu kausha
Hapo nakuunga mkono
Ye ni kama nani katika serikali hii,kasemwa Raisi sio mwenyekiti wa ccm mbona ujue?
Makonda kazi nzuri mbowe ni kichaa
aisee kunawatu katika nchi i
Kicha ni wewe siyo mbowe
Tangia nianze kumuona Makonda anaongea leo ndo naona yupo mnyonge sana kweli naona mahandamano Yana watisha
We makonda acha ujinga Kuna uonevu mkubw kwenye hii nchi watu wanabambikw kesi bila makosa police wanauw wtu wasio na hatia haraf makonda una mama na kusema hii nchi Ina aman duu
Viongoz kuwen makin na porojo porojo wahutimu wa vyuo ni wengi mtaan so watch out yuor porojos.😅😅😅😅😅😅
Weken na kipengele cha kutokuiba kura😂😂ndio tutawaelewa
Mmesha Choka nyie tupeni katiba mpya msitudanganye Kila siku.
Kweli makonda umeongea vizur nasi wananchi tunasemaje tunataka mdahaloo
CCM
CCM
CCM
nimewaita maratatu mumekosa mtu kbsa Mumetuletea Bashite..? Mungu anawaona
✌️❤️❤️🇹🇿
Bashite hana uwezo wa kufanya mdahalo pengine afanye na watoto wa chekechea sijuwe kama anajitambua anatuhuma nyingi sijuwi nchi kuongozwa na makomedy
duh huyu jamaa alikuwa akasome siasa kwanza huyu jamaa siasa kwake zero yupo anapokea mshahara wa kulaumu wanasheria tu hana jengine ..
Mnaturubuni....hakuna nia ya dhati apo. Mnataka kutawala milele
Nilitaka kucoment lakini nimeacha 7bu naona unanichanganya sikuelewi, bora kubeti kuliko ccm
Makonda uwa anapenda sifa sana 😊
Ninavyojua Chadema kilinufaika tu na ujio wa Lowasa kwenye chama hicho. Hakuna sera mbadala hapo, wanataka wanufaike na vurugu tu. Watu kama hao ukiwapa nchi itakuwa kama Somalia. Wasubiri CCM ibomoke watapata wanasiasa wazuri.
Chawa mjinga
Wakati magu anadili na hawa viumbe mlimuona mtu hafai sasa acheni wawapande vichwani. Hawa hawanaga shukrani wengine walikuwa wakimbizi lakini saa hii vichwa juu.
Ivi unahisi kuna wanao faa kuishi hii nchi na wengine hapana?? Kwenye watawala wako unahisi wanamzidi nani akili
Mueshimiwa makonda upo safi sana
CCM chama imala akitoumbishwa na madalali
Wewe ulipaswa kua gerezan shoga mkubwa umetesa watu wengi sana mshenz mkubwa
Why Makonda is not prosecuted,
For what?
Asante mwenez, pamojaxana
Acheni woga mbowe akiongea tu matumbo joto kwani uongo janja janja nying kwenye mswada nani asiejua? Tuburuzeni tu mpini simmeshka nyiniyi,,ila kumbukeni wakati wa mungu unakuja na upo,ongea ongea uongo wako tu @makonda...ila kwasasa watu wanajitambua sana 💪moja tutawka tu.
Sasa hivi hawana sera...wanaboyoka tu! Subiri uone kama kuna mtu atajitokeza kuandamana...unafikiri kuandamana ni kazi rahisirahisi tu???....ndegelec
Nilijua mbowe anatatizo la macho kumbe hata akili hana
Chawa
Huku mtaani tunakuta mama kashidwa vitu vinapanda bei kila kukicha sasa hivi sukari kiteto kilo 5000
Aoneshe 150 alizo zila na familia yake.😂😂 mbowe ajui kusoma alama za nyakati kuandamana atoke yeye na familia yake 😂😂 afu wafuas wake wafuate nyuma
Haujitambui au uko ndani ya genge la watu wachache wanao tafuna Kodi za walipakodi wengi wa nchi hii unatetea maslahi yako nakupa pole Sasa watu wamesoma japo shule za kata lakini Sasa wako macho pole sana ndugu yangu.
@@possianokigwinya9988 usha left group wewe, nenda kaandamane ujinyee 😏😏😏🤗
Hii pumba inaogea ungoro mbowe tuko pamoja baba kwa vyovyoye tuko pamoja
Makonda wew ni msemaji wa ccm na sio msemaji wa serekali
Makonda leo unataka ukutane na mbone uzungumze nae nn ? We si ulitangaza kua upinzani tz hakuna Leo unataka mdahalo na mbowe ili iweje angalia mungu alivyo wa ajabu ndio maana tunaambiwa ! Mungu hamfichi mnafiki!!!
Kama maandamano yatafanyika Daressalaam basi wajue siku hiyo Majeshi ya Tanzania yatakuwa yanafanya usafi katika miji huo huo tar.23-24 sasa sijui kama majeshi hayo yatashindwa kufanya usafi kwaajili yao 😂😂😂😂😂😂. Mm niko paleeeeee nasubili siku ifike.
Makonda Leo mbona upo polaiti Sana vp bro binaadamu timamu anapaswa kuongea Kama ulivyo ongea Leo kwa utaratibu watu watakufajam %
Nani atawauwa hao watu kwani ni vita au ni maandamano ya Amani
unamuweza mh mboe kwa hoja
Ninia amedhaliisha? Au amesema ukweli , ndio kosa???
Safi makonda
Jukum lako nikusifu ili ufiliske
Wewe mwongo muogope Mungu brother nini mnaogopa maandamano? Let’s them show their feelings
Watanzania tupo pamoja na Mbowe ujinga wa miccm tunaujua
Sema wewe sio watanzania
Kaka yangu makonda nakukubali sana lakini kwa hili umefeli tuwsche tuandamane please 👈
Mh mbowe kazeeka aache udikteta kuwa mwenyekiti wa chama ameshindwa aachie ngazi au yeye anataka awe kiongozi wa milele
mmmh sio kwel siasa mbaya sana
Sisemi kitu nakaaa kimyaaa lakin
CCM hamna nia ya haki
Mmm! Uongo! Propagandaaa...aliyoyasema Mbowe ni kweli,lkn mazito kwenu sio kwa wananchi
Wewe Makonda Usidandie gari mbele,Mbowe haupendi ulimsingizia madawa ya kulevya,
Hapana Mimi ni CCM ndaki ndaki.ila nyie viongozi wangu wa CCM Mnaboa bwana mambo ni maguma huku nyie mko na V8 mnakula viyoyozi wana nchi huku wanakufa na njaaa.hapana me kiukweli nimechokaaa kweli.😢
Fanya kazi mambo marahisi yapo nchi gani ? Si uende ?Nenda kaandamane kenya
Makonda aje kutetea na wakulima wa miwa kilombero
Asante makonda tunawaombea
Makonda chawa
Hakuna hakika mnaye tenda ccm thidi tu kuwa nyanyaza Wana inch
Huyu jamaa ndezi kweli hiyo haki iko wapi hadi sasa katiba hatujapata tunataka katiba
Jamaa kigeu geu, nani aliwaambia kesi yake ya Ugaid muifute? Fujo ndio hoja zake na mitafaruku, atawavuruga Saaana na uchaguzi bado, macho yake hayaongopi , ukiyatazama macho yake hayana Nia njema na Taifa, ana mchezo mchafu saaana na Siasa zake za kikanda na kikoo
Kalele ww tutaandamanaaaa tumewachokaaa
Kwenye hili nachangia hili mAkonda usiangalie tumbo lako to angalien mtaan kukoje mimi nimwana ccm nakadi ninayo ccm siwaelew kabisa
Makonda leo unatakaje kukaa na watoa taarifa.. shughulika na mambo ya chama chako acheni cdm wafanye mambo yao.. na swala la kusema cdm wanataka wabunge 700 hapa ni uongo kabs ivi si hao cdm waliwatimua wabunge wao 19 lkn chama chako kinaendelea kuwakumbatia mwaka 4 sasa wamekuwa ni sehem ya wabunge wa ccm..
We jamaa ni mwongo kichizi
Dawa ya ugumu wa maisha, sio kukaa kijiweni, nikufanya kazi, tupunguze starehe
kweli bashite ujasoma shule kabisa mbowe kakosea wapi??? mbona wewe muuji tukuitaje?? wewe bashite
Wote, mboe vs makonda. Wanasiasa, Tunataka katiba mpya
safi mwenezi
Mbona hauongei hoja za msingi alizoongea mbowe na unaongea hoja za maajabu hit kwenye point za mbowe usijizungushe hit pointi za mbowe usijiumeume.
Njoo mtaani uone hakuna unachoongea ukalala tu
Chadema kila wanacho omba ccm wakikuabali wanageuka lengo lao ccm wakatae wapate cha kuongea
Njaa mbaya!!!
Makonda wanainchi tunataka katiba mpya je wee unalizungumziaje