MAKONDA AMVAA MBOWE “AMEDHALILISHA AMESEMA MANENO MAZITO SANA”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 янв 2024

Комментарии • 331

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 6 месяцев назад +7

    Wewe upo hapo kutetea TUMBO lako Mbowe kaongea ukweli 😊

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u 6 месяцев назад +25

    AISEE MBONA Mnaanza kuomba Msamaha mapema ??? Maandamano ni lazima

    • @shadymbuki87
      @shadymbuki87 6 месяцев назад

      Andamaneni tuone, mmezoea kuandamana nyuma ya keyboards, waambieni viongozi wenu waende kwenye mdaharo na huyo mnaemuita Div 0 ili akawaoneshe ni yupi Div 0 kati yao, mbona mnamuogopa sana?

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 6 месяцев назад +13

    Mwabukusi kwenye mdahalo asikose akil nyingi sana jamaa ndo mtetezi wa taifa letu

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u 6 месяцев назад +14

    CCM mbona MMEANZA Kuomba msamaha mapema sana!?? ?? Maandamano ni lazima. Iwe jua iwe mvua lazima tutaandamana mpaka tumuondoe mama SAMIA MADARAKANi

    • @donnngeta
      @donnngeta 6 месяцев назад

      hama kwnza kwa shemeji yko ndio ukaandamanee

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu 6 месяцев назад

      ​Wee nae unamjuwa huyu jamaa au bangi tuu​@@donnngeta

    • @allyvuai9762
      @allyvuai9762 6 месяцев назад

      Ingieni tu walinzi wa taifa hili wapo imara sana na watawawajibisha

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 6 месяцев назад

      ​@@allyvuai9762 Ili tujue wapo imara waende congo kupambana na m23, na kuiondosha kabisa m23, ndo tutajua wako imara, sio kuonea wanainchi wao Kwa siraha wanazo nunua Kwa gharama ya jasho la mtanzania. Wewe inaonyesha upo kwenye mfumo wa ccm

    • @jumamnemo8383
      @jumamnemo8383 6 месяцев назад

      Tunampango wa kufanya usafi siku hiyo fanyeni maandamano ili tupate kusafisha taka zote zinazoirejesha nyuma nchi hii.

  • @theson1987
    @theson1987 6 месяцев назад +11

    uki angalia kwa mbali unaona kama wako makini sana ila unapo sogea kalibu sanaa unagundua haw jamaa wanacheza na akili za watu

  • @SayiMadaha-fq7tu
    @SayiMadaha-fq7tu 6 месяцев назад +14

    Siku nchi hii itachukuliwa na mzalendo tutawafilisi mafisadi wote

    • @petersilas4234
      @petersilas4234 6 месяцев назад +1

      Hao wazalendo ni wakina nani, hao wanaowekeza Dubai au kuishi Ubelgiji na watoto Marekani!!!!

    • @nicopalangyo4371
      @nicopalangyo4371 6 месяцев назад

      Dah unafikra chanya na ninakupongeza kwavile unajua iko siku yetu ya kuboreshana pia kufanya alichofanya nyerere na marehemu sokoine.pesa wameshika iko siku zitataifishwa na wengi mafisadi tutawaweka jela waishi katika mashaka

  • @hollojuma9538
    @hollojuma9538 6 месяцев назад +17

    WW makonda watanzania sio wajinga tunaelewa baya nazuri mikutano yahazara nihaki yetu, hakika tunataka katiba mpya Kwanza! Acha brabra

    • @shadymbuki87
      @shadymbuki87 6 месяцев назад

      Nyinyi WATANZANIA wapi? unamaanisha wewe na mumeo?

  • @geraldmassawe2663
    @geraldmassawe2663 6 месяцев назад +23

    Jitahidi bwana Mbowe kwani hakuna mageuzi yaliyowahi kutokea mezani. Tupo pamoja na wale wote wanaopinga uonevu

    • @brendasamson2086
      @brendasamson2086 6 месяцев назад

      Wewe jamaa ni matako mageuzi unayoyataka kageuze familia yako watetea tumbo

  • @reginas1832
    @reginas1832 6 месяцев назад +12

    Bunge lenyewe lote ni la ccm halikuchaguliwa na Wenye Nchi. Mmetufanya watoto muda mrefu

  • @titusrobert5890
    @titusrobert5890 6 месяцев назад +4

    Makonda wewe ni mjuzi wa maneno, Mh Makonda hali ya maisha mtaani ni ngumu mno mno vitu vinapanda hovyo kodi bila mpangilio nadhani waruhusu wananchi waamue.

  • @deniseliuter3002
    @deniseliuter3002 6 месяцев назад +4

    Hii nchi bhana mfanyakazi wa private sector anakatwa kodi asilimia 18% lkn mbunge na waziri hawakatwi kodi duuh hatarii

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u 6 месяцев назад +18

    Maandamano ni lazima! LAZIMA tumuondoe SAMIA MADARAKANi

    • @YamunguMuha
      @YamunguMuha 6 месяцев назад

      Hauna upavu huo

    • @elvisoscar9912
      @elvisoscar9912 6 месяцев назад

      ​@@YamunguMuhatulia wewe muha

    • @anoldjose7793
      @anoldjose7793 6 месяцев назад

      😂😂😂

    • @AllyhHassani
      @AllyhHassani 6 месяцев назад

      Mbowe mwenyewe tumekuchoka

    • @user-zi1lr8wk3w
      @user-zi1lr8wk3w 6 месяцев назад

      Na muungano tunauvunja kummazenu watanganyika nyote mrudi kwenu

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u 6 месяцев назад +12

    Maandamano yanawatia Presha ?? Hatutaki wakuu wa WILAYA, Wakuu wa mikoa Wala wakurugenzi Tunataka Wabunge wawili TU ndani ya halmashauri zetu Inatosha

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 6 месяцев назад +6

    Niseme tu unapojibu hoja za wapinzani jikite kujadili malalamiko yao

  • @LIFESTYLE_1999
    @LIFESTYLE_1999 6 месяцев назад +12

    Yan limakonda linakela jaman

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 6 месяцев назад +14

    Well said MAKONDA TUMESHA WAZOEA GLORY HUNTERS 😢😢😢😢😢😢

    • @mwlpierre
      @mwlpierre 6 месяцев назад

      Ninyi ndio wale wale hata wakati wa Mwl Nyerere anapambania Uhuru mlikuwepo wanafiki mnasherehekea miaka ya Uhuru bila kujali malengo ya Uhuru maana ni zaidi ya miaka 60 kwani unafikiri watu weusi waliokuwa wafanyakazi wa serikali ,vyombo vya habari kama hivi vya Millard Ayo vilikuwepo lakini ilikuwa magazeti ila vilidhaminiwa na Serikali ya mkoloni kamaleo hivi hawakuunga mkono harakati za Mwl la hasha walimdhihaki kama wanavyomdhihaki leo Mbowe hakuna jipya mnajifanya wastaarabu mnamwona Mbowe mjinga mnasubiri kuvuna matunda ya harakati lakini hamtaki kuwa sehemu mimi ninakwambia ukweli wewe ungekuwepo wakati wa Mwl Nyerere usingemuunga mkono Mwl mnaangalia upande wamaslahi zaidi kuliko uhalisia wa mambo mnasubiri kuchuma tu matunda hamtaki kuvuja jasho wala kuonja maumivu ya harakati

    • @user-pq3jt5rb2l
      @user-pq3jt5rb2l 6 месяцев назад

      Hivi kumbe ma Ommy ni mapumbavu kiasi hiki

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 6 месяцев назад

      ​@@user-pq3jt5rb2lJenga hoja, heshimu maoni ya wengine.

    • @seraphinjosephmboya3646
      @seraphinjosephmboya3646 6 месяцев назад

      😂😂😂😂

  • @medsonulendo4221
    @medsonulendo4221 6 месяцев назад +4

    Mwenye nia njema na hii nchi hawez kukubaliana na haya maisha alio nayo mtanzania kwa sasa

  • @lovegodmunisi1006
    @lovegodmunisi1006 6 месяцев назад +4

    Acheni tuandamane msikie kilio chetu hatuna pakusemea kwenye maandamano tutasema. Tunataka haki mbowe kaza Mzee mm nipo tayar

  • @rejobu9723
    @rejobu9723 6 месяцев назад +11

    Kwenye hili acheni ukweli usemwe maisha nimagumu sana mtaani na viongozi hawana wanacho kifanya KAZI kusifiatu 👐👐

    • @raymondnlelwa427
      @raymondnlelwa427 6 месяцев назад

      Ni kweli, acha liwe liwalo tumechoka.

    • @ahmedhamis
      @ahmedhamis 6 месяцев назад +1

      Sukari bei gani saivi?

    • @rizikiminga3010
      @rizikiminga3010 6 месяцев назад

      ​@@ahmedhamis4000 1kg kwa Dar es salaam ubungo apa😢

  • @user-do5by8jl6g
    @user-do5by8jl6g 6 месяцев назад +5

    Mbowe tuvushe baba tumechoka sana

    • @shadymbuki87
      @shadymbuki87 6 месяцев назад

      Hahaha...fisadi likubwa liwavushe..!!!?

  • @emmanuelmwanzalima8337
    @emmanuelmwanzalima8337 6 месяцев назад +1

    Punguzen mishahara yawabunge pia kwann mnataka atoke kwenye uwenyekiti je mnataka mpandikize mwenyekitiwa ccm
    Maisha yamtaan nimagum mno je mnalijua hilo weken mambo sawa MBOWE kuitisha maandamano hayupo kisheria kama hayupo kisheria mnahaki yakumzuia kama yupo kisheria fikirien kabla hamja simama kumjibu kwisha

  • @lucaskatoga6896
    @lucaskatoga6896 6 месяцев назад +7

    WATANZANIA SIO WATOTO

    • @godfreymasele8853
      @godfreymasele8853 6 месяцев назад

      Kweli siyo wajinga na watskao andamana ni manyumbu na mazwazwa tu. Hivi kama nyie ni chama cha democrasia keeli mbowe.anamiaka mingapi ya uenyekiti? Mbona mnafyata.mkia.kumuhozi. msiwe manyumbu. Mbowe.hana cha kupoteza, mtaumia na hakuna wakukusaidia. Utakuwa chambo kwa faida ya mbowe na genge lake

    • @elvisoscar9912
      @elvisoscar9912 6 месяцев назад

      ​@@godfreymasele8853shida ya Sasa Ivi ni katiba mpya na tume huru bc watanzania tunapenda Sana amani na Tanzania ni kisawa Cha amani

  • @dullayomwinyi3359
    @dullayomwinyi3359 6 месяцев назад +3

    Nyie watu wa CCM wananchi wenu tumewachoka kabiss

  • @abdulismail6072
    @abdulismail6072 6 месяцев назад +4

    Yan chama changu sisiem inatakiwa kirekebishe mfumo wa uongozi kuna majinga mengi ndani ya chama

    • @inocentngogo1259
      @inocentngogo1259 6 месяцев назад +1

      😂Sisiem ccm

    • @talents7934
      @talents7934 6 месяцев назад

      ​@@inocentngogo1259😊ujumbe umekufikia lakini😮

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 6 месяцев назад +2

    MUNGU akupumzishe kwa amani tele magufuli, hata kama ulikua na mabaya kwa tafsili ya kibinadamu, lakini ilimpendeza MUNGU, kama alivo tenda mfalme daudi. R.I.P jpm. CCM ya sasa unatukaanga kama samamaki bila huruma.

  • @wahurumasibale6155
    @wahurumasibale6155 6 месяцев назад

    Maneno hayaendani na uzoefu wa vitendo Mkuu. Mbowe is very right.

  • @brightonwaltermushi2570
    @brightonwaltermushi2570 6 месяцев назад +1

    Well said comrade! Mwenye sikio na asikie

  • @visitmbeya3356
    @visitmbeya3356 6 месяцев назад +1

    Mzee wa michuzi mboye

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 6 месяцев назад +1

    😂😂 Makonda uyu ni Chawa Kama machawa wengine wa Samia

  • @deogratiusbrilliantshayo4262
    @deogratiusbrilliantshayo4262 6 месяцев назад +1

    Mh. Mwenezi leo umeongea kwa hekima sana.... Bro

    • @jesuinababili2280
      @jesuinababili2280 6 месяцев назад

      Leo hajajichetua km alivozoea. .. madam presidaa hapendi mabavu km alivokua Mwendazake

  • @thejordanband1516
    @thejordanband1516 6 месяцев назад +2

    Mbunge mmoja kazi awezi peke yake pia pesa mnazo walipa ukigawa mala mbili sio mbaya bado kazi itakuwa nzuri zaidi

  • @user-rg5sg1xz8p
    @user-rg5sg1xz8p 6 месяцев назад +1

    😢😢😢😢😢 miladi imesimama mbagala mwendo kasi inaota nyasi ... Jeshi lifanye usafi na sio kulinda mipaka daaaaa mungu ana waona amini ani. Mikopo inakopwa 😢😢😢😢😢😢😢 Badilikeni 😢😢😢😢😢😢😢

    • @RamaKimbeu-tw4po
      @RamaKimbeu-tw4po 6 месяцев назад

      ACHANA NAO HAO WANAFIKI MBONA HAWAKUSEMA HAYO WAKATI WA MWENDAZAKE WALIOZEA JELA NA WENGINE KAKIMBIA NCHI PUMBAVU TU HAO

  • @user-is5gl3xi1t
    @user-is5gl3xi1t 6 месяцев назад +1

    Mbowe kipindi uliambiwa umerambishwa asali sasa kwa hili ukirudi nyuma tu tushapata jib

  • @LIFESTYLE_1999
    @LIFESTYLE_1999 6 месяцев назад +4

    Anaongea kwa dharau kama vile hamna kifo badae

    • @YamunguMuha
      @YamunguMuha 6 месяцев назад

      Kakudharau wewe??acha kujipendekeza,kama kufa na wewe utakufa

    • @elvisoscar9912
      @elvisoscar9912 6 месяцев назад

      ​@@YamunguMuhakijana mdogo Kama wewe Bado unashabikia vyama vya wazee nyie ndo mnafanya umasikini uongezeke akuna mabadariko yoyote maisha magumu vitu viko Bei watu wanaona lkn sehemu ya kuongelea shida zao una muda gani umewatumia pesa kwenu uko kazulamimba?

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z 6 месяцев назад

    😂😂😂 hiii Nchiii Rahaa Sana sema tuishi nayo tu lkn😂😂😂😂

  • @nassoropigauwa2503
    @nassoropigauwa2503 6 месяцев назад

    Nyie ccm ni waonev sana sana sis watt wet wanateseka nyie watt wenu mnawapa mavyeo tu mbn mnakuw ivi tambuen dunia ni mapito pendeleen watt wenu tu ipo siku

  • @mangenyanyondo8691
    @mangenyanyondo8691 6 месяцев назад +5

    Makonda peleka ujinga wako huko tuko pamoja na mbowe

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m 6 месяцев назад +2

    Matoto yao yako ulaya si wanataka tupigwe malungu tuwe walemavu walete watoto wao tuwe wote kwenye vilung

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 6 месяцев назад +1

    Ye ni kama nani katika serikali hii,kasemwa Raisi sio mwenyekiti wa ccm mbona ujue?

  • @kikongajoel5172
    @kikongajoel5172 6 месяцев назад

    Makonda kazi nzuri mbowe ni kichaa

  • @user-tn7ic2ky3i
    @user-tn7ic2ky3i 6 месяцев назад +5

    Tangia nianze kumuona Makonda anaongea leo ndo naona yupo mnyonge sana kweli naona mahandamano Yana watisha

  • @nassibu-hy5ny
    @nassibu-hy5ny 6 месяцев назад

    We makonda acha ujinga Kuna uonevu mkubw kwenye hii nchi watu wanabambikw kesi bila makosa police wanauw wtu wasio na hatia haraf makonda una mama na kusema hii nchi Ina aman duu

  • @DavidDanken-uf7kp
    @DavidDanken-uf7kp 6 месяцев назад

    Viongoz kuwen makin na porojo porojo wahutimu wa vyuo ni wengi mtaan so watch out yuor porojos.😅😅😅😅😅😅

  • @diametz5899
    @diametz5899 6 месяцев назад

    Weken na kipengele cha kutokuiba kura😂😂ndio tutawaelewa

  • @LeonardJacob-uv1ml
    @LeonardJacob-uv1ml 6 месяцев назад

    Mmesha Choka nyie tupeni katiba mpya msitudanganye Kila siku.

  • @user-gd3xl1qh8t
    @user-gd3xl1qh8t 6 месяцев назад

    Kweli makonda umeongea vizur nasi wananchi tunasemaje tunataka mdahaloo

  • @jacksonbohbahck6307
    @jacksonbohbahck6307 6 месяцев назад

    CCM
    CCM
    CCM
    nimewaita maratatu mumekosa mtu kbsa Mumetuletea Bashite..? Mungu anawaona

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 6 месяцев назад +1

    ✌️❤️❤️🇹🇿

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 6 месяцев назад

    Bashite hana uwezo wa kufanya mdahalo pengine afanye na watoto wa chekechea sijuwe kama anajitambua anatuhuma nyingi sijuwi nchi kuongozwa na makomedy

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 6 месяцев назад +1

    duh huyu jamaa alikuwa akasome siasa kwanza huyu jamaa siasa kwake zero yupo anapokea mshahara wa kulaumu wanasheria tu hana jengine ..

  • @brother_majesty
    @brother_majesty 6 месяцев назад +1

    Mnaturubuni....hakuna nia ya dhati apo. Mnataka kutawala milele

  • @ayubunato-lg7yy
    @ayubunato-lg7yy 6 месяцев назад

    Nilitaka kucoment lakini nimeacha 7bu naona unanichanganya sikuelewi, bora kubeti kuliko ccm

  • @anitajacob3641
    @anitajacob3641 6 месяцев назад

    Makonda uwa anapenda sifa sana 😊

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 6 месяцев назад +1

    Ninavyojua Chadema kilinufaika tu na ujio wa Lowasa kwenye chama hicho. Hakuna sera mbadala hapo, wanataka wanufaike na vurugu tu. Watu kama hao ukiwapa nchi itakuwa kama Somalia. Wasubiri CCM ibomoke watapata wanasiasa wazuri.

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dh 6 месяцев назад +1

    Wakati magu anadili na hawa viumbe mlimuona mtu hafai sasa acheni wawapande vichwani. Hawa hawanaga shukrani wengine walikuwa wakimbizi lakini saa hii vichwa juu.

    • @nabimanyafesto5014
      @nabimanyafesto5014 6 месяцев назад

      Ivi unahisi kuna wanao faa kuishi hii nchi na wengine hapana?? Kwenye watawala wako unahisi wanamzidi nani akili

  • @AbdulmalikFedrick-ct7nb
    @AbdulmalikFedrick-ct7nb 6 месяцев назад

    Mueshimiwa makonda upo safi sana
    CCM chama imala akitoumbishwa na madalali

  • @jumaally2469
    @jumaally2469 6 месяцев назад

    Wewe ulipaswa kua gerezan shoga mkubwa umetesa watu wengi sana mshenz mkubwa

  • @LIFESTYLE_1999
    @LIFESTYLE_1999 6 месяцев назад +3

    Why Makonda is not prosecuted,

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x 6 месяцев назад

    Asante mwenez, pamojaxana

  • @sundayyohana-qx3ys
    @sundayyohana-qx3ys 6 месяцев назад

    Acheni woga mbowe akiongea tu matumbo joto kwani uongo janja janja nying kwenye mswada nani asiejua? Tuburuzeni tu mpini simmeshka nyiniyi,,ila kumbukeni wakati wa mungu unakuja na upo,ongea ongea uongo wako tu @makonda...ila kwasasa watu wanajitambua sana 💪moja tutawka tu.

  • @danielelikana2615
    @danielelikana2615 6 месяцев назад

    Sasa hivi hawana sera...wanaboyoka tu! Subiri uone kama kuna mtu atajitokeza kuandamana...unafikiri kuandamana ni kazi rahisirahisi tu???....ndegelec

  • @hamdincatalonia3272
    @hamdincatalonia3272 6 месяцев назад +1

    Nilijua mbowe anatatizo la macho kumbe hata akili hana

  • @gasperaroni5751
    @gasperaroni5751 6 месяцев назад

    Huku mtaani tunakuta mama kashidwa vitu vinapanda bei kila kukicha sasa hivi sukari kiteto kilo 5000

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 6 месяцев назад +1

    Aoneshe 150 alizo zila na familia yake.😂😂 mbowe ajui kusoma alama za nyakati kuandamana atoke yeye na familia yake 😂😂 afu wafuas wake wafuate nyuma

    • @possianokigwinya9988
      @possianokigwinya9988 6 месяцев назад

      Haujitambui au uko ndani ya genge la watu wachache wanao tafuna Kodi za walipakodi wengi wa nchi hii unatetea maslahi yako nakupa pole Sasa watu wamesoma japo shule za kata lakini Sasa wako macho pole sana ndugu yangu.

    • @tiffanyakramJr822
      @tiffanyakramJr822 6 месяцев назад

      @@possianokigwinya9988 usha left group wewe, nenda kaandamane ujinyee 😏😏😏🤗

  • @SamweliKsingu
    @SamweliKsingu 6 месяцев назад

    Hii pumba inaogea ungoro mbowe tuko pamoja baba kwa vyovyoye tuko pamoja

  • @omaryahya337
    @omaryahya337 6 месяцев назад

    Makonda wew ni msemaji wa ccm na sio msemaji wa serekali

  • @allymkazi2775
    @allymkazi2775 6 месяцев назад

    Makonda leo unataka ukutane na mbone uzungumze nae nn ? We si ulitangaza kua upinzani tz hakuna Leo unataka mdahalo na mbowe ili iweje angalia mungu alivyo wa ajabu ndio maana tunaambiwa ! Mungu hamfichi mnafiki!!!

  • @Wami-Sababisho
    @Wami-Sababisho 6 месяцев назад +1

    Kama maandamano yatafanyika Daressalaam basi wajue siku hiyo Majeshi ya Tanzania yatakuwa yanafanya usafi katika miji huo huo tar.23-24 sasa sijui kama majeshi hayo yatashindwa kufanya usafi kwaajili yao 😂😂😂😂😂😂. Mm niko paleeeeee nasubili siku ifike.

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 6 месяцев назад +1

    Makonda Leo mbona upo polaiti Sana vp bro binaadamu timamu anapaswa kuongea Kama ulivyo ongea Leo kwa utaratibu watu watakufajam %

    • @jacquelinebaitani8370
      @jacquelinebaitani8370 6 месяцев назад

      Nani atawauwa hao watu kwani ni vita au ni maandamano ya Amani

  • @saididuri3518
    @saididuri3518 6 месяцев назад +1

    unamuweza mh mboe kwa hoja

  • @TheSalama2525
    @TheSalama2525 5 месяцев назад

    Ninia amedhaliisha? Au amesema ukweli , ndio kosa???

  • @ashrafbunu2371
    @ashrafbunu2371 6 месяцев назад +1

    Safi makonda

  • @eliphasmlengu6331
    @eliphasmlengu6331 6 месяцев назад

    Wewe mwongo muogope Mungu brother nini mnaogopa maandamano? Let’s them show their feelings

  • @kamalabuberwa2001
    @kamalabuberwa2001 6 месяцев назад +6

    Watanzania tupo pamoja na Mbowe ujinga wa miccm tunaujua

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 6 месяцев назад

      Sema wewe sio watanzania

  • @saiditasher8362
    @saiditasher8362 6 месяцев назад

    Kaka yangu makonda nakukubali sana lakini kwa hili umefeli tuwsche tuandamane please 👈

  • @user-zx4zr3hc7y
    @user-zx4zr3hc7y 6 месяцев назад

    Mh mbowe kazeeka aache udikteta kuwa mwenyekiti wa chama ameshindwa aachie ngazi au yeye anataka awe kiongozi wa milele

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 6 месяцев назад

    mmmh sio kwel siasa mbaya sana

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 6 месяцев назад

    Sisemi kitu nakaaa kimyaaa lakin

  • @brother_majesty
    @brother_majesty 6 месяцев назад +1

    CCM hamna nia ya haki

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 6 месяцев назад

    Mmm! Uongo! Propagandaaa...aliyoyasema Mbowe ni kweli,lkn mazito kwenu sio kwa wananchi

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc 6 месяцев назад

    Wewe Makonda Usidandie gari mbele,Mbowe haupendi ulimsingizia madawa ya kulevya,

  • @humphreybilly7437
    @humphreybilly7437 6 месяцев назад

    Hapana Mimi ni CCM ndaki ndaki.ila nyie viongozi wangu wa CCM Mnaboa bwana mambo ni maguma huku nyie mko na V8 mnakula viyoyozi wana nchi huku wanakufa na njaaa.hapana me kiukweli nimechokaaa kweli.😢

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 6 месяцев назад

      Fanya kazi mambo marahisi yapo nchi gani ? Si uende ?Nenda kaandamane kenya

  • @allyalasbahi8776
    @allyalasbahi8776 6 месяцев назад

    Makonda aje kutetea na wakulima wa miwa kilombero

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 6 месяцев назад

    Asante makonda tunawaombea

  • @user-pd8ms5xn5y
    @user-pd8ms5xn5y 6 месяцев назад

    Hakuna hakika mnaye tenda ccm thidi tu kuwa nyanyaza Wana inch

  • @AndrewJulius-hg4bd
    @AndrewJulius-hg4bd 6 месяцев назад

    Huyu jamaa ndezi kweli hiyo haki iko wapi hadi sasa katiba hatujapata tunataka katiba

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 6 месяцев назад +1

    Jamaa kigeu geu, nani aliwaambia kesi yake ya Ugaid muifute? Fujo ndio hoja zake na mitafaruku, atawavuruga Saaana na uchaguzi bado, macho yake hayaongopi , ukiyatazama macho yake hayana Nia njema na Taifa, ana mchezo mchafu saaana na Siasa zake za kikanda na kikoo

  • @user-hb8er6dq2q
    @user-hb8er6dq2q 6 месяцев назад

    Kalele ww tutaandamanaaaa tumewachokaaa

  • @wilsonandlea8614
    @wilsonandlea8614 6 месяцев назад

    Kwenye hili nachangia hili mAkonda usiangalie tumbo lako to angalien mtaan kukoje mimi nimwana ccm nakadi ninayo ccm siwaelew kabisa

  • @sifuelinyaki3341
    @sifuelinyaki3341 6 месяцев назад

    Makonda leo unatakaje kukaa na watoa taarifa.. shughulika na mambo ya chama chako acheni cdm wafanye mambo yao.. na swala la kusema cdm wanataka wabunge 700 hapa ni uongo kabs ivi si hao cdm waliwatimua wabunge wao 19 lkn chama chako kinaendelea kuwakumbatia mwaka 4 sasa wamekuwa ni sehem ya wabunge wa ccm..

  • @genesmnganya5744
    @genesmnganya5744 5 месяцев назад

    We jamaa ni mwongo kichizi

  • @robertwarkoi7353
    @robertwarkoi7353 6 месяцев назад

    Dawa ya ugumu wa maisha, sio kukaa kijiweni, nikufanya kazi, tupunguze starehe

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 6 месяцев назад +1

    kweli bashite ujasoma shule kabisa mbowe kakosea wapi??? mbona wewe muuji tukuitaje?? wewe bashite

  • @user-su6yd2lt5f
    @user-su6yd2lt5f 6 месяцев назад

    Wote, mboe vs makonda. Wanasiasa, Tunataka katiba mpya

  • @libomsaki8386
    @libomsaki8386 6 месяцев назад

    safi mwenezi

  • @possianokigwinya9988
    @possianokigwinya9988 6 месяцев назад

    Mbona hauongei hoja za msingi alizoongea mbowe na unaongea hoja za maajabu hit kwenye point za mbowe usijizungushe hit pointi za mbowe usijiumeume.

  • @user-ze8jo1jf9w
    @user-ze8jo1jf9w 6 месяцев назад

    Njoo mtaani uone hakuna unachoongea ukalala tu

  • @Mumewangu
    @Mumewangu 6 месяцев назад

    Chadema kila wanacho omba ccm wakikuabali wanageuka lengo lao ccm wakatae wapate cha kuongea

  • @alexandergwau
    @alexandergwau 6 месяцев назад

    Njaa mbaya!!!

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura7597 6 месяцев назад

    Makonda wanainchi tunataka katiba mpya je wee unalizungumziaje