Padre Dkt Kamugisha: Matatizo sio tatizo/ Mungu hakupi tatizo ambalo hauliwezi/ Endelea mbele
HTML-код
- Опубликовано: 29 апр 2021
- Ni mafundisho kutoka kwa Padre Dk Faustine Kamugisha Paroko wa Parokia yaMinziro Jimboni Bukoba katika mafundisho maalum ya Saa takatifu katika kanisa kuu la Jimbo Katoliki la Bukoba juu ya Mada ya Matatizo sio tatizo.
#ShajaraFaraja
Fadher Kamugisha nakupenda sana Mungu akupe baraka nyingi sana
Nakukubali kamugisha
Mungu akupigania Baba yetu
Amen..asante sana padre.Dr.FAUSTINE mungu akumiminie Baraka daima
OGod strengthen faith of pradre kamugisha to countiue in is mission.
Ningepata mutu wakunitumia whatAAP ni kashare na watu wengi kwa maubili Haya❤️ 💪💪💪
Nice
Nashukuru saaana kwa maubili yako fafher Yaani nimeirudiadia kusikiliza 🙏🙏🙏🙏🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Amina mtumishi
Mungu akubariki baba yetu
Asante Father
Asante padre
00
Amen 🙏 asante baba yetu kwakutulisha neno lamungu
Asante sana padri mungu akubaliki somo limenibadilisha na limenigusa kwenye maisha yangu sana
OGod strengthen all catholic believes.
Huyu padr yupo kanisa gan jumapil moja nije nikasalipo japo sijui ni bukoba sehem gan
Amina
Vitabu vyako vinapatikana wapi?