Padre Kamugisha: Msamaha hauna kikomo / Kusamehe ni kutakasa kumbukumbu/ Hasira ni kichaa cha muda.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Paroko wa Parokia ya Mt. Yohana Maria Muzeyi Jimbo Katoliki la Bukoba, Padre Dkt Fautsine Kamugisha katika homilia yake katika Misa ya Dominika ya 24 ya mwaka A katika Parokia ya Mt. Augistino Manundu Korogwe Jimbo Katoliki la Tanga.
    #ShajaraFaraja

Комментарии • 13