MAAJABU YA SURATUL WAQIAH KATIKA KUTATUA SHIDA MBALIMBALI, NO.2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 16

  • @SADIKIMALISAWA-ou8sk
    @SADIKIMALISAWA-ou8sk 25 дней назад

    Jazaka llahi khaira sisiniwatuwamashamba wanyama wanatusumbua kulachakula tunatumia duagani

  • @JumatanoNuhu-ou9hl
    @JumatanoNuhu-ou9hl 5 месяцев назад

    Nashukuru kwa Allah...kupata chaneli yako:::Dunia yote imeelekea kwa pesa...naomba unapo. Kufundisha usibakize kitu ili atakaye yafanya apate kama ilivyo fundisha(utapendwa mno)

  • @halimaahmed166
    @halimaahmed166 Год назад +1

    Mashallaah nimepnda Dua zako

  • @MtamaFaki-dz9ds
    @MtamaFaki-dz9ds Год назад +1

    Allah akuzidishie elimu na fahamu.ila ostadh je sisi wanawake tutasoma VP siku 40mana kuna masiku tunakua kwenye hedhi

    • @tibafactsonlinetv
      @tibafactsonlinetv  Год назад

      Ukia katika eda yako utapumzika kisha ukitoka utaendelea inshaallah

    • @MtamaFaki-dz9ds
      @MtamaFaki-dz9ds Год назад

      Nashkuru ostadhi kwa ufafanuzi.jazakallahu khayru

  • @sadikimalisawa
    @sadikimalisawa 7 месяцев назад

    Salam alay kum ustadhu kama mumewangu yukom Bali naitaji aniite nisome marangapi

  • @fikrahasani7677
    @fikrahasani7677 Год назад +1

    ishallah shekhe kama hauwez kuzisoma

  • @mwanabsada7377
    @mwanabsada7377 10 месяцев назад

    Aslama.aleikm.ustadh.sualalangu.nauliza.sasaukiwanashida.uisome.mara..41kwakutumiziwa.shidayako.moja.au.hatakama.unashida.zaidi..utaje.zoty.naunaweza.kukidhiwa

  • @sheikhchande2372
    @sheikhchande2372 Год назад

    Kuwatuliza wakeweza wasigombane

  • @HalimaKhamisi-nc4ro
    @HalimaKhamisi-nc4ro Год назад

    Sasa kwa ss wanawake itakuwaje mana tuna ada ya mwezi hatuzipat 40

  • @MaryammHamiddd
    @MaryammHamiddd Год назад

    Kama Hali ngum je niisome mara ngp?samahani sana Hali ngm

  • @reymfinanga8262
    @reymfinanga8262 Год назад

    Kwa mwanamke mfululizo siku arobaini hatakuwa na udhu siku nyingine

  • @sessekiza2047
    @sessekiza2047 7 месяцев назад

    Sasa mwalimu kama sisi wa nawake atuwezi kufanya siku 40 atuja ingiya musiku zetu unaweza kusoma nusu ukitoka mu siku zako una maliza

  • @MuhaMawele-yw8eg
    @MuhaMawele-yw8eg Год назад

    Eeeeeeeee