TAJIRIKA HARAKA KWA KUTUMIA SURATUL WAQIAH, ISOME KWA UTARATIBU HUU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 дек 2021
  • Wasiliana na Sheikh Nassoro Muhammad kwa namba hizi 0717749113 kwa Maswali, ushauri na kwatiba za kuwatoa majini na vifungo mbalimbali
    ⚫️ WASILIANA NASI MIRAJ KHAN ( WHATSAPP +255 713 730 907), ( +255 745 661 711)
    ⚫️ Email: buikhan21@gmail.com

Комментарии • 51

  • @wahidaysf1278
    @wahidaysf1278 2 года назад +3

    Shukran snaa ustadh. Allah akuweke pamoja na kipenzi chetu mtume (saw)wetu peponi in shaaAllah

  • @anliomar4308
    @anliomar4308 Год назад +1

    Shukuran sana sheikh wangu mungu akubariki daima milele

  • @AbrahamManzi-db4gx
    @AbrahamManzi-db4gx 3 месяца назад +1

    Na Mimi naomba msada wa duwa nisomewe hii kwasababu nimejikita kwenye ufakiri wa Siku nyingi sana kbx Jina langu naitwa Ibrahim Rajab napayikana inci jirani ya Rwanda Kigali

  • @umutetsidayana5770
    @umutetsidayana5770 Год назад

    Allah akupe zaidi shehk wetu

  • @nasirshekhi6070
    @nasirshekhi6070 2 года назад +1

    Jazzakka Allahu khyern 🤲❣️🌹❣️🤲

  • @AbrahamManzi-db4gx
    @AbrahamManzi-db4gx 3 месяца назад

    Shukrani kwako bwana Cheikh

  • @AbrahamManzi-db4gx
    @AbrahamManzi-db4gx 3 месяца назад

    Awww habari zenu bwana Cheikh

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 2 года назад +1

    بارك لله فيك

  • @selemansalum
    @selemansalum 2 года назад

    Jazzakh la kheir maaljm

  • @abdulmalickupete9015
    @abdulmalickupete9015 2 года назад

    Shukrani

  • @user-vf1su9ur5w
    @user-vf1su9ur5w Год назад

    Shuquran

  • @SaidKatuga-qx1xr
    @SaidKatuga-qx1xr 2 месяца назад

    Mtume ,saw kafundisha hayo kweli.toa ushahidi jamani usizungumzee tu

  • @user-uf6jm4jr7r
    @user-uf6jm4jr7r 11 месяцев назад

    Allah akulipe kheri

  • @wazirisalum8227
    @wazirisalum8227 Год назад +4

    Sheikh kwa hesabu ya chini hyo dua itachukua masaa 9 na dakika 8.

    • @Namanda425
      @Namanda425 Год назад

      Yani lau ukaanza sa moja asubuhi utamaliza SAA tisa.

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 10 месяцев назад

      ​@@Namanda425hatari kweli. Si utakufa

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 10 месяцев назад +1

    😂😂21mara 7 wallah ni kweli nimejaribu lakin nimedondka mama mzigo

  • @hyasintajoseph2589
    @hyasintajoseph2589 Год назад +1

    Shukran hapo inabid hapa mtu ufunge mkanda khaasa

  • @saidakunga2586
    @saidakunga2586 2 года назад

    a alahkum je muda sahihi ni upi

  • @asiamuhammad8718
    @asiamuhammad8718 2 года назад +3

    Sasa waqia 100 na zaidi si uchache wa yaqin kikubwa mtu kutengeneza mafungamano mazuri na mola wako kila kitu kitakaa sawa

  • @alidugesh
    @alidugesh Год назад

    Subhan Allah hamna dalili kabisa.... Naomba tufate quran na suna...... Siyo hawa na Shiekh kupoteza watu

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад

    Jifunze qran kusoma na kuandika gusa picha yangu hapo

  • @foodcook3626
    @foodcook3626 Год назад

    Uliitumia wakati gani ?

  • @sondice3364
    @sondice3364 4 месяца назад

    ivi vtu mnatoa wap jmn na mwenyez haikalfish nafsi kw ktu isichoweza

  • @maryammohammed1991
    @maryammohammed1991 2 года назад

    mbona hupokei ukipigwa

  • @ramadhaniadinani744
    @ramadhaniadinani744 4 месяца назад

    She masaa mangapi

  • @jamillahaidha8184
    @jamillahaidha8184 2 года назад +6

    IDADI kubwa sanaaa jamani 21 kweli kila mubiin Subhanallah nna dhiki sana ila hii nitaiweza kweli maana naamini dua bora niyakujiombea mwenyewe

    • @SheikhNassorMuhammad
      @SheikhNassorMuhammad 2 года назад +2

      ondosha uvivu na kukata tamaa utafanikiwa inshaallah

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 Год назад +1

      Sio idadi kubwa Jamillah ukilinganisha na shida zetu Wallahi!
      Tujitahid kumlilia Allah SW

    • @alidugesh
      @alidugesh Год назад

      Hamna kitu hapo.... Ni uongo mtupu.... Hamna hadithi wala aya la hi jambo.... Ingekuwa ukweli mbona maskini bado ???? Yeye mwenyewe angekuwa ame park Lamborghini inje..... Tusikubali kila kitu

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 10 месяцев назад

      ​@@alidugeshwe huelew sis ni wavivu wa kusoma Qur'an hata angesema mara 2 bado si rahis mi nikaanza Tu usingizi mzito au naongea mambo ya ajabu

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 10 месяцев назад

      ​@@lifeinmiddleeast8179labda una majini

  • @Namanda425
    @Namanda425 Год назад

    Mubin ni nini?

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 Год назад

      Anamaanisha!
      Ukisoma suratu Yaasiin!
      Kuna aya ambazo mwisho wake kuna neno
      Mubiin

  • @Abdulshakur_fawzan
    @Abdulshakur_fawzan 11 месяцев назад

    sasa Kama nimuskiti muda ya usiku

  • @ramadhaniadinani744
    @ramadhaniadinani744 4 месяца назад

    Wanaingiza pesa tu

  • @alidugesh
    @alidugesh Год назад

    Tuna omba dalili yake... Quran??? Au hadithi??? Wewe ni tajiri???? Wangapi wame tajirika na hi????

  • @zawaidarashid7099
    @zawaidarashid7099 6 месяцев назад

    Unaisoma muda gani sasa

  • @SalumuMatimbwa
    @SalumuMatimbwa 2 месяца назад

    uyo anaye zungumza yeye tajir? hizo siri za surat waqiy na hayo matumiz mtume aliyaficha yeye ndio anatuambia

  • @shabanihassan8678
    @shabanihassan8678 Год назад

    Waqia kwa speed ina dakika 5 unaisoma mara 22x 7 (mubin Za yasin) = 5 x 22 x 7 = 770 dakika Sawa na masaa 12.8 takriban masaa 13 ukisoma slow itachukuwa takriba masaa 15-16
    Ivi sheikh iyo kweliiiiii ao unatuongopea 😅😅😅😅
    Mhhhh

  • @fredquinbi2389
    @fredquinbi2389 2 года назад

    Maneno ambayo hayana dalili mwisho nilijua ni udalali tu,,umsomee mtu Ili iweje

    • @broumaiyyah8018
      @broumaiyyah8018 Год назад

      Dalili ya mvua au nn unataka!!

    • @sfiaalanazi5479
      @sfiaalanazi5479 Год назад +1

      @@broumaiyyah8018 wanataka vya rahisi na hakuna walizoea kulala tu

    • @broumaiyyah8018
      @broumaiyyah8018 Год назад +2

      @@sfiaalanazi5479 we km iman ako haikufany uamin tulia tuachie sie tunao amin

    • @sfiaalanazi5479
      @sfiaalanazi5479 Год назад

      @@broumaiyyah8018 kabisaaa mtaka cha mvunguni sharti ainame sasa hizo waaqia 21 alikuwq yuwataka aambiwe2 😂😂😂😂

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 10 месяцев назад

      ​@@sfiaalanazi5479😅😅