Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

SOMA SURA HIZI TATU KUFUNGUA RIZKI ZAKO BIASHARA NA KAZI ZOZOTE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 май 2024

Комментарии • 29

  • @user-fe9jc5di9f
    @user-fe9jc5di9f 2 месяца назад +2

    Shukran sana shekhe wetu ila vp majina ya Allah ndotumefikia mwisho

    • @TURIYU
      @TURIYU  2 месяца назад

      Bado tunaendelea maalim

  • @abinandrimana7150
    @abinandrimana7150 2 месяца назад +3

    shukrani mimi huwa nazisoma kila baada ya kusali salat fajri ila nilikuwa sisomi mara saba saba

    • @TURIYU
      @TURIYU  2 месяца назад

      Basi jitahidi usome mara Saba inshaa allah

    • @abinandrimana7150
      @abinandrimana7150 2 месяца назад

      @@TURIYU inshaa allah

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 2 месяца назад +2

    siku gan nzur ya kusoma sura hizo

    • @TURIYU
      @TURIYU  2 месяца назад

      Ukianza jumatano ni Bora zaidi

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 2 месяца назад +1

    Allah akubariki sana sheikh wetu kwa elimu yako madhubuti

    • @TURIYU
      @TURIYU  2 месяца назад

      Ameen

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana8928 2 месяца назад +2

    Mashallah

    • @TURIYU
      @TURIYU  2 месяца назад

      👍

  • @mekijitiomary8506
    @mekijitiomary8506 2 месяца назад +1

    Shukrani kwa somo zuri,Mimi hua nasoma sana surat yaasin kila siku kwenye biashara yangu,hiyo surat Waqia na surat mulk Bado sijawahi kuisoma kwa kweli na labda hapo naona sijaona mafanikio

    • @TURIYU
      @TURIYU  2 месяца назад

      Basi jitahidi usome zote Kwa pamoja naamini mambo yatakua vizuri maa shaa allah

  • @sufomussa4550
    @sufomussa4550 2 месяца назад +1

    JazakuhAllah khaira Allah akusimamie kwa kila laheri.
    Tunasubiria vitabu in sha Allah...(Moz 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿)

    • @TURIYU
      @TURIYU  2 месяца назад

      Inshaa allah msijali vitabu vinakuja inshaa allah

  • @FaidaRuamuka
    @FaidaRuamuka 2 месяца назад +1

    Allahuma Amina ❤

    • @TURIYU
      @TURIYU  2 месяца назад

      Ameeen

  • @user-nh2wt4yd7w
    @user-nh2wt4yd7w 2 месяца назад +2

    Asalaam aleykum wasoma mara moja ama mara saba saba yasin waqia na suratul mulk

    • @TURIYU
      @TURIYU  2 месяца назад

      Soma mara Saba Kila sura

  • @user-rv9vw7in2s
    @user-rv9vw7in2s 2 месяца назад +1

    Shukran jazakallaahu khair,,,nashukuru nitafufua biashara yangu inshaallah,,

    • @TURIYU
      @TURIYU  2 месяца назад

      Inshaa allah

  • @baturirashid1521
    @baturirashid1521 2 месяца назад +1

    Nashukuru sana mwanangu Allah akuzidishie riziki na akujaalie upate watoto wema Allah akuzidishie masomo naomba namba yako shekhe

    • @TURIYU
      @TURIYU  2 месяца назад

      Ameeen thumma ameen shukran sana Kwa Dua Yako mamaangu no yangu ni ±255713521944

    • @firstlady9848
      @firstlady9848 2 месяца назад

      ​@@TURIYUshukraan Sheikh

  • @user-cb8gz6qn3o
    @user-cb8gz6qn3o 2 месяца назад +1

    Assalam ghalaykum warahmatullah. Wabarakatuh. Je ukiwa unafanya kazi za ndani unaweza kusoma

    • @TURIYU
      @TURIYU  2 месяца назад

      Yes unaweza kusoma
      Hii ni kwakazi yoyote tu iliyo yahalali

    • @user-cb8gz6qn3o
      @user-cb8gz6qn3o 2 месяца назад

      @@TURIYU aha shkran Allah akubariki

  • @mussampeyama6795
    @mussampeyama6795 2 месяца назад +1

    Shehee mm naomba msaada kuhusu sura 3 za kufungua riziki mimi sijasoma hata kidogo korohani jee duwa hiyo siwezi soma kwa kiswahili? Kama inawezekana kwa msaada naomba kitabu cha tafsiri kwa kiswahili kinacho husu duwa mbalimbali niko tayari kulipia shehe

    • @TURIYU
      @TURIYU  2 месяца назад

      ONDOA shaka vitabu vinakuja sio mda mrefu inshaa allah