- Видео 208
- Просмотров 1 621 509
Tiba Facts online Tv
Добавлен 17 июл 2022
Karibu sana katika Chanel hii ya Tiba Facts online Tv, Katika chanel hii utajifunza Elimu ya tiba kupitia QUR'AN TUKUFU MITISHAMBA,MATUNDA,MAJINA 28 YA BARHATIH,NA ELIMU YA ABJAD.
KANUNI NA MUONGOZO
Muongozo kwa wafuatiliaji (subscribers) wetu
1. Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake
2. TIBA FACTS ONLINE TV ina uhuru wa kufuta maoni yasiyo na maadili au yenye matusi au maneno makali
3. TIBA FACTS ONLINE TV ina uhuru wa kupitia maoni kabla hayajaonekana na watu wote.
4. TIBA FACTS ONLINE TV ina uhuru wa kumzuia mfuatiliaji aliyekiuka masharti asiweze kuona habari zetu au kuweza kuweka maoni.
5.Maoni au matamshi ya mfuatiliaji wetu (Subscriber) sio msimamo wetu kama chombo cha Habari. Hivyo TIBA FACTS ONLINE TV haitowajibika kutokana na Maoni ya Wafuatiliaji wetu.
6.Maelezo yote kwenye tovuti hii ni kwa ajili ya elimu tu na hayaondoi uwepo wa daktari, hospitali au dawa.
KANUNI NA MUONGOZO
Muongozo kwa wafuatiliaji (subscribers) wetu
1. Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake
2. TIBA FACTS ONLINE TV ina uhuru wa kufuta maoni yasiyo na maadili au yenye matusi au maneno makali
3. TIBA FACTS ONLINE TV ina uhuru wa kupitia maoni kabla hayajaonekana na watu wote.
4. TIBA FACTS ONLINE TV ina uhuru wa kumzuia mfuatiliaji aliyekiuka masharti asiweze kuona habari zetu au kuweza kuweka maoni.
5.Maoni au matamshi ya mfuatiliaji wetu (Subscriber) sio msimamo wetu kama chombo cha Habari. Hivyo TIBA FACTS ONLINE TV haitowajibika kutokana na Maoni ya Wafuatiliaji wetu.
6.Maelezo yote kwenye tovuti hii ni kwa ajili ya elimu tu na hayaondoi uwepo wa daktari, hospitali au dawa.
IFAHAMU SIRI ILIYOPO KATIKA MAJINA YA BARHATIH KATIKA KUVUTA MALI NA UTAJIRI.
Tumia majina haya ya barhatih katika kuvuta mali,utajiri mafanikio na maendeleo yako kwa ujumla
Просмотров: 1 290
Видео
TUMIA SURA HII NDANI YA QUR'AN KUFUNGUA VIFUNGO KATIKA MWILI NA MIGODI ILIYOFUNGWA KICHAWI.
Просмотров 1,5 тыс.21 час назад
TUMIA SURA HII NDANI YA QUR'AN KUFUNGUA VIFUNGO VYA KICHAWI KATIKA MWILI NA MIGODI ILIYOFUNGWA.
IFAHAMU MIHURI YA KICHAWI(CHALE TOCHI) NA TIBA ZAKE., Part 2
Просмотров 1,1 тыс.День назад
Hizi ni aina za mihuri za kichawi(chale tochi)
JINSI YA KUWAFUNGA MAJINI WASIWEZE KURUDI KATIKA KICHWA CHA MGONJWA.
Просмотров 1 тыс.14 дней назад
Tumia jina hili la kumi kuwafunga mjini wasiweze kurudi katika kichwa cha mgonjwa
TUMIA JINA HILI LA KARIRY(JINA LA 2) KUWANYONGA MAJINI WALIO KATIKA MWILI WA MGONJWA AU MWILI WAKO.
Просмотров 1,5 тыс.14 дней назад
Jina hili hutumika kuwaadhibu na kuwanyonga majini walio katika mwili wa mgonjwa au mwili wako.
ELIMU YA ABJAD: RUDISHA MALI NA VITU ULIVYODHULUMIWA KWA KUTUMIA HERUFI HII YA SWAAD,Part 2
Просмотров 1,6 тыс.Месяц назад
Hizi ni faida za herufi ya swaad katika kurudisha mali na vitu ulivyodhulumiwa.
ELIMU YA ABUJAD: JINSI YA KUMUADHIBU ADUI YAKO KWA. KUTUMIA HERUFI HII YA SWAAD. Part 1
Просмотров 2,8 тыс.Месяц назад
Tumia njia hii kumuadhibu adui yako kwa jambo lolote ulitakalo ,kwa kutumia herufi hii ya SWAAD.
VUTA UTAJIRI KWA HARAKA KWA AMBARI NYEUPE YA BAHARINI.
Просмотров 2,3 тыс.Месяц назад
Hizi ni faida za ambari nyeupe ya baharini
HII NDIO DUA YA KUFANYA ILI UWEZE KUAJIRIWA.
Просмотров 2,1 тыс.Месяц назад
Tumia utaratibu huu wa dua ili uweze kupata kazi ya kuajiriwa,katika kampuni ai selikalini.
DAWA YA KULIPWA DENI LAKO/KUTONGOZEA/KUMSHAWISHI MTU
Просмотров 3,1 тыс.Месяц назад
Hii no dawa itakayokusaidia kukufanya ulipwe deni lako kwa wepesi au kuweza kumshawishi MTU.
HII NDIO DUA YA KUSIMAMISHA GARI KAMA LIMEKUACHA KATIKA SAFARI.
Просмотров 1,8 тыс.Месяц назад
Dua hii hutumika kusimamisha gari kama limekuacha katika safari
HAYA NDIO MAENEO WANAYOKAA/KUISHI MAJINI
Просмотров 1,3 тыс.Месяц назад
Yafahamu maeneo haya wanayoishi majini,vyakula vyao pamoja na kuzaliana kwao.
ZIFAHAMU CHALE TOCH ZA KICHAWI NA MADHARA YAKE. No.1
Просмотров 1,5 тыс.Месяц назад
Haya ni madhara yatokanayo na chale tochi za kichawi
ELIMU YA MAJINI; HIZI NDIO SABABU ZA MAJINI KUWAINGIA BINADAMU NA KUWASABABISHIA MATATIZO.
Просмотров 1,6 тыс.2 месяца назад
Fahamu kuhusu sababu za majini kuwaingia binadamu.
TUMIA DAWA HII YA MLIPULIPU KUOMBA KAZI KATIKA OFISI YOYOTE UTAFANIKIWA, No2
Просмотров 2,4 тыс.2 месяца назад
Huu ni muendelezo wa faida ya dawa ya mlipulipu katika elimu ya tiba
MRUDISHE MPENZI/MKE/MUME KWA DAWA YA MLIPULIPU, ANAGALIA HADI MWISHO VIDEO HII.
Просмотров 2 тыс.2 месяца назад
MRUDISHE MPENZI/MKE/MUME KWA DAWA YA MLIPULIPU, ANAGALIA HADI MWISHO VIDEO HII.
FUNGA KESI AU ADUI YAKO AU MKE AU MUME ASICHEPUKE NJE YA NDOA KWA DUA HII.
Просмотров 4,2 тыс.3 месяца назад
FUNGA KESI AU ADUI YAKO AU MKE AU MUME ASICHEPUKE NJE YA NDOA KWA DUA HII.
ELIMU YA ABJAD: MAAJABU YA HERUFI ZEE KATIKA KUVUTA MVUA NA KUONGEZA KIPATO ,Part 2
Просмотров 1,6 тыс.3 месяца назад
ELIMU YA ABJAD: MAAJABU YA HERUFI ZEE KATIKA KUVUTA MVUA NA KUONGEZA KIPATO ,Part 2
TUMIA HERUFI HII YA SHIIN KUFUNGUA UJAUZITO ULIOFUNGWA KICHAWI.
Просмотров 1,9 тыс.4 месяца назад
TUMIA HERUFI HII YA SHIIN KUFUNGUA UJAUZITO ULIOFUNGWA KICHAWI.
TUMIA SURAT BURUUJ KUWEKA KINGA YA MWILI DHIDI YA MAJINI NA UCHAWI.
Просмотров 3,4 тыс.4 месяца назад
TUMIA SURAT BURUUJ KUWEKA KINGA YA MWILI DHIDI YA MAJINI NA UCHAWI.
JITIBU NGUVU ZA KIUME KWA DAWA HII
Просмотров 3,8 тыс.4 месяца назад
JITIBU NGUVU ZA KIUME KWA DAWA HII
TUMIA JINA HILI LA BARHATIH KUMUHAMISHA ADUI YAKO ANAYEKUSUMBUA.
Просмотров 3,5 тыс.4 месяца назад
TUMIA JINA HILI LA BARHATIH KUMUHAMISHA ADUI YAKO ANAYEKUSUMBUA.
UKITUMIA KINGA HII KATIKA NYUMBA YAKO ,MCHAWI AKIJA HAWEZI KUUONA MJI WAKO.
Просмотров 4,5 тыс.4 месяца назад
UKITUMIA KINGA HII KATIKA NYUMBA YAKO ,MCHAWI AKIJA HAWEZI KUUONA MJI WAKO.
JIFUNGUE VIFUNGO VIKALI VYA KICHAWI AU MAJINI KWA SURA HII NDANI YA QIR'AN TUKUFU.
Просмотров 15 тыс.4 месяца назад
JIFUNGUE VIFUNGO VIKALI VYA KICHAWI AU MAJINI KWA SURA HII NDANI YA QIR'AN TUKUFU.
ELIMU YA ABJAD;MAAJABU YA HERUFI SIIN KATIKA KUMSHINDA MTU KATIKA KESI /MAHOJIANO. part 2
Просмотров 1,9 тыс.5 месяцев назад
ELIMU YA ABJAD;MAAJABU YA HERUFI SIIN KATIKA KUMSHINDA MTU KATIKA KESI /MAHOJIANO. part 2
ELIMU YA ABJAD; MAAJABU YA HERUFI SIIN KATIKA KUPATA UWEZO WA KUTABIRI MAMBO YA SIRI.
Просмотров 3,2 тыс.5 месяцев назад
ELIMU YA ABJAD; MAAJABU YA HERUFI SIIN KATIKA KUPATA UWEZO WA KUTABIRI MAMBO YA SIRI.
MAAJABU YA MTI WA MUEMBE KATIKA KUTENGENEZA MVUTO MKALI NA WA AJABU KATIKA MWILI., Part 2
Просмотров 2,3 тыс.5 месяцев назад
MAAJABU YA MTI WA MUEMBE KATIKA KUTENGENEZA MVUTO MKALI NA WA AJABU KATIKA MWILI., Part 2
MAAJABU YA RUQYA YA BARHATIH KATIKA KUANGAMIZA MAJINI NA UCHAWI KATIKA MWILI
Просмотров 4,8 тыс.5 месяцев назад
MAAJABU YA RUQYA YA BARHATIH KATIKA KUANGAMIZA MAJINI NA UCHAWI KATIKA MWILI
ELIMU YA NYOTA; IFAHAMU NYOTA YA PUNDA NA MAAJABU YAKE KATIKA MAISHA, Part 2
Просмотров 2,7 тыс.5 месяцев назад
ELIMU YA NYOTA; IFAHAMU NYOTA YA PUNDA NA MAAJABU YAKE KATIKA MAISHA, Part 2
MAAJABU YA MTI WA MUEMBE NA KAZI ZAKE KATIKA ELIMU YA TIBA
Просмотров 3,6 тыс.6 месяцев назад
MAAJABU YA MTI WA MUEMBE NA KAZI ZAKE KATIKA ELIMU YA TIBA
Asalam alaikum je sheikh nauliza hiv jini mtu aliekua kafanyiwa uchawi na jini wake hapandi kichwani. Je unaweza kutumia majina hayo ya barhatii na ukatoa amri jini uyo Auliwe popote alipo , anaweza kuliwa au huliwa kwa jini aliepanda kichwani tu?
Na je niianze hii Dua siku Gani ktk juma
Je ustadh ktk kuzifanya hizi Dua ni lazima nikae riadhwa au nitimize haya uloyasema na iendelee na shughuli zangu za Kila siku
Asalam aleikum shekhe,kama sijaweza kuyahifadhi haya majina barhatihi naweza kuyasoma kwa kuyaandika kwenye karatasi
Mashaallah jazakaallahu kheyr
Mashaallah jazakaallahu kheyr
Assalamwalaykum warahmatullah wabarakatuh sheikh nilikuwa nauliza hapo kwenye kumuhamisha adui au kumuangusha adui utaisoma hiyo dua kwa muda wa siku ngapi? Au ni mara moja tu?
samah sheke nataka kukuliza Kama nataka kutumia jina lapili kutaka kuomba mahudam kuja kuwauwa Majin wabaya je nitumie wati wazohali au wakati wamirihi au niwakati wowote
Wakat wowote unafaa
Sasa mimi docta kimeota kinyama kwenye jicho nimetumia dawa za hasptar ila nimeshindwa je hidawa itanisaidia
Siku ngapi
Mwalimi nimekuelewa kwa kuvuta mali na utajiri nisome siku ngapi
Haya majina ni zaidi ya maajab,mi tangu nimeanza kuyasoma jicho langu la kulia linanicheza kila wakati,
Duhh!! Linakucheza kivipi
Kwan hujui macho kucheza??
A.Allaykum. Ustadh, jebaada ya riadhwa unaeza kuendekea kutumia vyakula vya kiroho? Na je baada ya riadhwa, kila nitakapohitaji kuyatumia majina ya barhatih, mfano nimeyatumia asubuhi, je mchana waeza kula vyakula vya kiroho, na je pia vipi kuhusu kutumia kitunguu swaumu au kula pilau, je haina athari ?
Asalam Alykum ustadh naomba hio namna ya kusafisha nitaipatje
Maalumu je ni ya wadudu au ya kudurusu nikiona lipi aswaa😅😅
Maalumu je ni ya wadudu au ya kudurusu nikiona lipi aswaa😅😅
Ni YAA WADUWDU
Shukrani shekh
Cna maana ctak wasome bhana nawataka waamke na wenyewe wasome shekhe kama mm nilipata simu mpya na kompyuta basi wenyewe wakiamua wanaweza jenga inshallah na ndo maana ya kucheka kwa imoji 😂
Shekh uk vzr unajua mambo mengi,Allah akujalie duniani na kesho akhera
Maashaallah, faida tunaziona sheikh wang...wanaoona kama unahadithia hadith za sungura na fisi we waache wapuuze t...sisi tupo pamoja
Shukurani sheikh mi nimefkuzwa kazi.nna wiki sasa wameniweka tu hapa accomodation sheikh
Asalam alykm warahmatulah wabarakatu,naomba uzazi wa mpango
Shukuran
Allah akulipen kwa mongoloid mzuri
6 Bazjal🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Shkuraan shekhe 🎉🎉🎉🎉🎉mungu akupe afya njema
Assalam aleykum warahmatullah wabarakatuh namshukuru Allah kupitia hii barhatiih nimepata simu ya laki 3 na kompyuta na hata ckuisoma kila siku ni wiki tuu ambao hawajaanza nawashauri msianze maana nahc mtajenga 😂😂😂
🤣🤣🤣
Maanshaallah ❤❤❤Amina ❤❤❤Mazjal y❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Mfano jina langu ni B yaani Ng"ombe na mimi kuzaliwa ni Punda sasa nishike ipi?
Tena tabia zangu zinaendana na nyota hizo mbili sasa ipi ni ipi?
Maalimu hilo tonge unsmezea chini ya maji au kabla ya siijazama
Unameza ukiwa chini ya maji
Una group WhatsApp tafadhali,,
Asalam alykm warahmatulah wabarakatu,shehe mwenyezi Mungu akuhifadhi duniani na akhera akupe ushindi zidi ya maadui wanaokufatilia na endelea kujitoa kwa ajili ya allahu
Asante sana analysis uko laudi clever hapa kenya
Mbona mwalimu hakuna jina la 15&16 kwa nin.
Jitahid upate kitabu chake,utsyakuta majina yote na kazi zake
@@tibafactsonlinetv sawa
Alhamndulilah rabilaalamina,shehe mwenyezi akuhifadhi duniani na akhera,je mnaweza kusomewa na mtu halafu ninatumia ,,?maji hayo tunaweza kutumia zaidi ya moja
Yes
Mashallah ❤
Kama mazingira hayaruhusu kuchoma kitu nitasoma tu itaswihi
Ahsante kwa elimu naomba uzazi wa mpango
Ustazi, aomba WatsApp yako, mi Niko mozambique, naomba sana sana
Shukraanni🎉🎉
Nice
Je mkila wote PAMOJA tunda ilo litakua na ATHARI kwako pia Ama itafaenda kwa Nia tu
Assalam aleikum sheikh, naomba dua Au Dawa ya kunfanya mchawi ,ache uchawi na kuwachana kabissa na mambo ya kichawi
Njia panda nini nielemishe?plz
Mimi mumewago ataki kufanha kitendo cha chandoa nisaidie
Mozambique
OE obrigado Tanzânia
Nakufuatilia sana
Shukrani Mola akuzidishie,bt sheke somo la nyota tafandhali sheke
Inshaallah talileta muda sio mrefu
Kaka@@tibafactsonlinetv
Shukrani Mola akuzidishie,bt sheke somo la nyota tafandhali sheke