MWINISONGOLE AMLIPUA MWIGULU -A-PLAY USHAHIDI WOTE KWENYE SIMU MWIGULU AKISIKIKA -''UNA SHIDA GANI?"
HTML-код
- Опубликовано: 3 июн 2024
- MWINISONGOLE AMLIPUA MWIGULU -A-PLAY USHAHIDI WOTE KWENYE SIMU MWIGULU AKISIKIKA -''UNA SHIDA GANI?"
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Hongera sana Mh, Mwanisongole Mungu akuzidishiye maisha marefu
Mwuguru ataihalibu hii nchi anatamaa sana
Hongera sana mheshimiwa Mwanisongole kanyagia tena tena bado kodi elekezi
Safi sana mbunge wetu wa mbozi
Uko vizuri mwanisongole
Sema kaka tumecho na wafanyakazi waovyo
Asante mh spika umetuumba mwigulu akiwatetea T R A
Kwa issue ya wakulima uko safi sana, hongera sana
Waziri wa fedha anasema "uvivu wa kufikiri...."! Halafu anadai kwamba sheria na kanuni zetu zinazuia kutumia lugha zinazoudhi! Sasa hizi kauli zake ni za kufurahisha? Mbona jeuri inavuka mipaka?
Anakula urefu wa kamba yake
Na hayo mageti ukweri nimateso kwa wafanya biashara dogodogo ukweri wabungewwtu munamapugufu sana kwenye mamzi yenu sijaona ichi inayo toza ushulu wa matuda na mbogamboga wakati mungu ametupa badari ametupa madini kila Haina wanyama leo taifa ritegemee wakurima
Wabunge wasio na aikili ni wengi bungeni, Rais Hana fedha sema serikali imetupatia fedha, hizo ni Kodi za watanzania, yeye Hana biashara anahofanya kuhudumia nchi,poleni mliompigia kura huyu jamaa.
Hakuna waziri mpuuzi kama huyu mwigulu ni wa hovyo sana
Hivi nchi hii Haina wasomi wakushika nafasi ya waziri wa fedha, mpaka awe mwigulu? Kwanini asiondolewe.
Mwigulu nakushangaa sana. Nilikuwa na kuheshimu lakini ulikuwa unaenda Nigeria kwa TB JOSHUA ulikuwa unaenda kufanya nini ili kupata nafasi hiyo ili uwaumize wanainchi.
Wewe Mwigulu huna shida na wanainchi hata mara moja. Nadhani wewe uliweka hii sheria kama hizo. Wewe Mwigulu unatia kichefuchefu sisi wanainchi tunakereka hiyo imewekwa na Mwigulu.
Huwa nasema kira mara mwigulu hakunakitu huwa naona madudu naugaidi wa mwigulu yakuwambia wananchi tuhamie Burundi niyule aliemteua anakubaliana naye
Mwigulu amekaa muda murefu kwenye hii widhara. Lazima Ana njia ya wizi. Mama Samia mutenguwe huyu jamaa anawanyonya watanzania.
Mwigulu anadharau sijui analindwa na nani?
Ndiyo tabia yake
Mama asiposikia ya watu, atatuhumiwa na huyu Waziri. Pengine ana nia nzuri, lakini kazi hii is beyond his intellectual scope. Ampe Uwaziri wa Michezo kama...
Hata huo hatoweza
Tatizo la bunge letuu mamuzi bila tafiti ya kweri mkurima mdogo awe na madhine
Mwiguru ni mwongo mbona Gali kirikuu wanalazimishwa kuwa ifd machine Sasa kirikuu inaingiza milioni kumi na Moja Kwa mwezi
Huyo Mwigulu anajiona sana anataka WARABU ndiyo watawala wa Tanganyika. Samia na hao wakina Mwigulu hawana shida na wanainchi wa Tanganyika bali wana interest ya wa WARABU tu take over Tanganyika. CCM wanaificha Tanganyika ili wapate kumaliza mali za Tanganyika
1. Ili waweze kunufaika kwa ufisadi wao na kuzidi kuibia Tanganyika kwa kujifanya Tanganyika haiko ila Zanzibar ipo
Iwasaidie wazanzibar kuja kwenye bunge na kulipwa ili kufilisi Tanganyika.
Sheria mbovu ni ya kukuruhusu wewe kuwa waziri kwa muda murefu. Mwigulu lazima unyatuke
Kaka Leo umeripuka Hilo limeisha hukonkunaitwa kujilipua
Kweli ni ujinga uliokithiri! Ushamba mkubwa!
Tatzo liko na rais Hana kauli
Yeye ndie aliwaruhusu mwenyewe kuwa wale urefu wa kamba zao
Rais hana muda huo
Wewe ni mtetezi Wawa nyonge mh,mbuge
Wewe ni mbunge wa ovyo sana na waziri wa kijinga katika nchi hii
Hivi ni Rais anawapa mbegu au serikali? Ooh, mheshimiwa Rais katupa mbolea? Huyu Rais ana mbolea toka wapi?
Viongozi wa nchi hii inayoongozwa na Samia ni uchafu mtupu 🚮💯
Muwape waarabu wakusanye
Huyu waziri ni mtu waajabu sana kuwahi kutokea hapa Tanzania namshauri mama mtoe huyu shetani hafai kuwa kiongozi
Unamshauri mama......! Haya bwana!
Hawezi kukuskiliza hapa awekwe makonda
Kwel kabisaa mwigulu ni nguruwee kabisaaa
Huyo mama sio wakusikiliza wananchi ni wakupokea mapokeo kwa mzeee wa mzoga
Hivi rais huwa hakosei? Kwa nini kila baya liibukalo serikalini wanatupiwa mawaziri na kila jema lililopo anatupiwa rais? Ukweli ni kwamba mawaziri wanakutana na uhalisia wa hisia za wabunge na wanasiasa, kwa sababu tu hawana mamlaka makubwa yenye uwezo wa kuuminya na kuubananga UKWELI. Changamoto iliyopo ni kwamba, Rais wetu wa nchi hufunikwa kwa MWAMVULI wa unafiki dhidi ya KWELI, kwa kuwa tu anayo mamlaka makubwa yenye na uwezo wa kuuminya na kuubananga UKWELI. NAMNA PEKEE YA KUIFANYA NCHI YETU IONGOZWE KWA MISINGI YA HAKI NA KWELI HALISI, NI KUWAPUNGUZIA MAMLAKA VIONGOZI WOTE WALIO NA MAMLAKA MAKUBWA YALIYO NA UWEZO WA KUUMINYA UKWELI. IKUMBUKWE Rais ni mtumishi mkuu wa watanzania anayeifanya kazi yake kwa mshahara, na si mzazi au mlezi wa nchi anayeilea familia yake kwa majitoleo binafsi yaliyojazwa upendo asili kwa wote anaowahudumia.
Unaakili sana watu wepesi hawawezi kukuelewa tz nchi ya hovyo mnoo raisi anaonekana kama Mungu hivi ndo mana akitokea mtu kumkosoa watu wote humgeuka na kumshambulia
@@FahadAbubakari Kabisa ndugu yangu, hali hii inaniumiza sana rohoni, maana fika ndio sababu inayotufanya sisi kama nchi na taifa tuendelee kuwa masikini.
@@maximilianludovick5407 kusifia tu Leo raisi anakwenda Korea kusaini mkopo wa bilioni 2 dola ikiwa 5 yrs ago tulikua tunasema mapato ya dsm kwa b ambapo ukiangalia hiyo hela ni too little hakuna anaeuliza zaidi yakusifia sifia na uchawa wakipuuzi puuzi tulisema tz ya viwanda je hilo limelufa hatutaki tena viwanda na Sera yetu ya sasa haswa baada ya kutupa iyo tz ya viwanda ni nini
Hakuna hela matumizi makubwa kuliko mapato