MWINISONGOLE AMLIPUA MWIGULU -A-PLAY USHAHIDI WOTE KWENYE SIMU MWIGULU AKISIKIKA -''UNA SHIDA GANI?"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 июн 2024
  • MWINISONGOLE AMLIPUA MWIGULU -A-PLAY USHAHIDI WOTE KWENYE SIMU MWIGULU AKISIKIKA -''UNA SHIDA GANI?"
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 48

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Месяц назад +2

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur Месяц назад +1

    Hongera sana Mh, Mwanisongole Mungu akuzidishiye maisha marefu

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 Месяц назад +4

    Mwuguru ataihalibu hii nchi anatamaa sana

  • @GodfreyMwambwalo-ev9nh
    @GodfreyMwambwalo-ev9nh Месяц назад

    Hongera sana mheshimiwa Mwanisongole kanyagia tena tena bado kodi elekezi

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni Месяц назад +2

    Safi sana mbunge wetu wa mbozi

  • @user-is4jg9gr1p
    @user-is4jg9gr1p Месяц назад

    Uko vizuri mwanisongole

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Месяц назад +2

    Sema kaka tumecho na wafanyakazi waovyo

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale5413 Месяц назад

    Asante mh spika umetuumba mwigulu akiwatetea T R A

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Месяц назад

    Kwa issue ya wakulima uko safi sana, hongera sana

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Месяц назад +2

    Waziri wa fedha anasema "uvivu wa kufikiri...."! Halafu anadai kwamba sheria na kanuni zetu zinazuia kutumia lugha zinazoudhi! Sasa hizi kauli zake ni za kufurahisha? Mbona jeuri inavuka mipaka?

  • @allymwakasege8620
    @allymwakasege8620 Месяц назад

    Na hayo mageti ukweri nimateso kwa wafanya biashara dogodogo ukweri wabungewwtu munamapugufu sana kwenye mamzi yenu sijaona ichi inayo toza ushulu wa matuda na mbogamboga wakati mungu ametupa badari ametupa madini kila Haina wanyama leo taifa ritegemee wakurima

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Месяц назад +1

    Wabunge wasio na aikili ni wengi bungeni, Rais Hana fedha sema serikali imetupatia fedha, hizo ni Kodi za watanzania, yeye Hana biashara anahofanya kuhudumia nchi,poleni mliompigia kura huyu jamaa.

  • @audifacejosephat7071
    @audifacejosephat7071 Месяц назад

    Hakuna waziri mpuuzi kama huyu mwigulu ni wa hovyo sana

  • @mwakapalamwakapala8317
    @mwakapalamwakapala8317 Месяц назад

    Hivi nchi hii Haina wasomi wakushika nafasi ya waziri wa fedha, mpaka awe mwigulu? Kwanini asiondolewe.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад

    Mwigulu nakushangaa sana. Nilikuwa na kuheshimu lakini ulikuwa unaenda Nigeria kwa TB JOSHUA ulikuwa unaenda kufanya nini ili kupata nafasi hiyo ili uwaumize wanainchi.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад

    Wewe Mwigulu huna shida na wanainchi hata mara moja. Nadhani wewe uliweka hii sheria kama hizo. Wewe Mwigulu unatia kichefuchefu sisi wanainchi tunakereka hiyo imewekwa na Mwigulu.

  • @mussathomasdossa4687
    @mussathomasdossa4687 Месяц назад

    Huwa nasema kira mara mwigulu hakunakitu huwa naona madudu naugaidi wa mwigulu yakuwambia wananchi tuhamie Burundi niyule aliemteua anakubaliana naye

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im Месяц назад

    Mwigulu amekaa muda murefu kwenye hii widhara. Lazima Ana njia ya wizi. Mama Samia mutenguwe huyu jamaa anawanyonya watanzania.

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Месяц назад +2

    Mwigulu anadharau sijui analindwa na nani?

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Месяц назад

    Mama asiposikia ya watu, atatuhumiwa na huyu Waziri. Pengine ana nia nzuri, lakini kazi hii is beyond his intellectual scope. Ampe Uwaziri wa Michezo kama...

  • @allymwakasege8620
    @allymwakasege8620 Месяц назад

    Tatizo la bunge letuu mamuzi bila tafiti ya kweri mkurima mdogo awe na madhine

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Месяц назад

    Mwiguru ni mwongo mbona Gali kirikuu wanalazimishwa kuwa ifd machine Sasa kirikuu inaingiza milioni kumi na Moja Kwa mwezi

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад

    Huyo Mwigulu anajiona sana anataka WARABU ndiyo watawala wa Tanganyika. Samia na hao wakina Mwigulu hawana shida na wanainchi wa Tanganyika bali wana interest ya wa WARABU tu take over Tanganyika. CCM wanaificha Tanganyika ili wapate kumaliza mali za Tanganyika
    1. Ili waweze kunufaika kwa ufisadi wao na kuzidi kuibia Tanganyika kwa kujifanya Tanganyika haiko ila Zanzibar ipo
    Iwasaidie wazanzibar kuja kwenye bunge na kulipwa ili kufilisi Tanganyika.

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im Месяц назад

    Sheria mbovu ni ya kukuruhusu wewe kuwa waziri kwa muda murefu. Mwigulu lazima unyatuke

  • @jellyyatta7597
    @jellyyatta7597 Месяц назад

    Kaka Leo umeripuka Hilo limeisha hukonkunaitwa kujilipua

  • @user-hj4sy9fy4g
    @user-hj4sy9fy4g Месяц назад

    Kweli ni ujinga uliokithiri! Ushamba mkubwa!

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 Месяц назад +2

    Tatzo liko na rais Hana kauli

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Месяц назад

      Yeye ndie aliwaruhusu mwenyewe kuwa wale urefu wa kamba zao

    • @bockerNyarusahi
      @bockerNyarusahi Месяц назад

      Rais hana muda huo

  • @user-rh3gz7fo2n
    @user-rh3gz7fo2n Месяц назад

    Wewe ni mtetezi Wawa nyonge mh,mbuge

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y Месяц назад +1

    Wewe ni mbunge wa ovyo sana na waziri wa kijinga katika nchi hii

  • @robertzingu9889
    @robertzingu9889 Месяц назад

    Hivi ni Rais anawapa mbegu au serikali? Ooh, mheshimiwa Rais katupa mbolea? Huyu Rais ana mbolea toka wapi?

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah Месяц назад

    Viongozi wa nchi hii inayoongozwa na Samia ni uchafu mtupu 🚮💯

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Месяц назад

    Muwape waarabu wakusanye

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 Месяц назад +2

    Huyu waziri ni mtu waajabu sana kuwahi kutokea hapa Tanzania namshauri mama mtoe huyu shetani hafai kuwa kiongozi

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Месяц назад

      Unamshauri mama......! Haya bwana!

    • @chrismassawe2939
      @chrismassawe2939 Месяц назад

      Hawezi kukuskiliza hapa awekwe makonda

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 Месяц назад

      Kwel kabisaa mwigulu ni nguruwee kabisaaa

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Месяц назад

      Huyo mama sio wakusikiliza wananchi ni wakupokea mapokeo kwa mzeee wa mzoga

  • @maximilianludovick5407
    @maximilianludovick5407 Месяц назад

    Hivi rais huwa hakosei? Kwa nini kila baya liibukalo serikalini wanatupiwa mawaziri na kila jema lililopo anatupiwa rais? Ukweli ni kwamba mawaziri wanakutana na uhalisia wa hisia za wabunge na wanasiasa, kwa sababu tu hawana mamlaka makubwa yenye uwezo wa kuuminya na kuubananga UKWELI. Changamoto iliyopo ni kwamba, Rais wetu wa nchi hufunikwa kwa MWAMVULI wa unafiki dhidi ya KWELI, kwa kuwa tu anayo mamlaka makubwa yenye na uwezo wa kuuminya na kuubananga UKWELI. NAMNA PEKEE YA KUIFANYA NCHI YETU IONGOZWE KWA MISINGI YA HAKI NA KWELI HALISI, NI KUWAPUNGUZIA MAMLAKA VIONGOZI WOTE WALIO NA MAMLAKA MAKUBWA YALIYO NA UWEZO WA KUUMINYA UKWELI. IKUMBUKWE Rais ni mtumishi mkuu wa watanzania anayeifanya kazi yake kwa mshahara, na si mzazi au mlezi wa nchi anayeilea familia yake kwa majitoleo binafsi yaliyojazwa upendo asili kwa wote anaowahudumia.

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Месяц назад +1

      Unaakili sana watu wepesi hawawezi kukuelewa tz nchi ya hovyo mnoo raisi anaonekana kama Mungu hivi ndo mana akitokea mtu kumkosoa watu wote humgeuka na kumshambulia

    • @maximilianludovick5407
      @maximilianludovick5407 Месяц назад

      @@FahadAbubakari Kabisa ndugu yangu, hali hii inaniumiza sana rohoni, maana fika ndio sababu inayotufanya sisi kama nchi na taifa tuendelee kuwa masikini.

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Месяц назад

      @@maximilianludovick5407 kusifia tu Leo raisi anakwenda Korea kusaini mkopo wa bilioni 2 dola ikiwa 5 yrs ago tulikua tunasema mapato ya dsm kwa b ambapo ukiangalia hiyo hela ni too little hakuna anaeuliza zaidi yakusifia sifia na uchawa wakipuuzi puuzi tulisema tz ya viwanda je hilo limelufa hatutaki tena viwanda na Sera yetu ya sasa haswa baada ya kutupa iyo tz ya viwanda ni nini

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Месяц назад +1

    Hakuna hela matumizi makubwa kuliko mapato