#PART2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #PART2: ANAYEDAI KUNUNUA KIWANJA cha MAMA ANAYELALA NJE MIAKA 11 - ''NAJUTA BABA YAO AMEFARIKI''...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 157

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  3 месяца назад +3

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 3 месяца назад +15

    Huyu jamaaa mwizi safi wala hana mpinzani tapeli mkubwa

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt 3 месяца назад

      Tena dhulma mkubwa loo unamdhulumu huyo mama kalia sana eti milioni 20 nyumba hatari

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 3 месяца назад +7

    Mwenyekiti amekula pesa
    Acheni KUDHULUMU wanyonge

  • @martinlema4192
    @martinlema4192 3 месяца назад +9

    Ushauri, usijichanganye kununua kitu chenye kesi!

  • @FranckDaniel-cc5rg
    @FranckDaniel-cc5rg 3 месяца назад +11

    Ebu acheni akili mgando watu wengi mnaendesha mambo kwa huruma na sio haki ya mtu huyu Jamaa Ana haki amenunua nyumba huyu mama ndo tapeli bhana

    • @Basil-i3c
      @Basil-i3c 3 месяца назад +1

      Umesikiliza pande zote mbili na ukweli umeuelewa sababu ukweli upo wazi sasa kuwa yule mama anayelala nje ndiye tapeli mwenye hila.
      Watu wengi wanaendeshwa na mihemko bila kutathimini maelezo ya pande zote.

    • @gracemartin1670
      @gracemartin1670 3 месяца назад +1

      Kabisa mama mzinguajii

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад +1

      Makonda apewe hii kesi

    • @DearMkasi
      @DearMkasi 3 месяца назад +1

      Mbona hati hana anyone mama

    • @DearMkasi
      @DearMkasi 3 месяца назад +2

      Uyo tapeli mwizi, nakwanini alazimishe kununua apo, ukweli uko njiani soon

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 3 месяца назад +9

    Huyu mzee mwehu kweli manzese ununue nyumba milion 20

  • @ZainbAbubakary
    @ZainbAbubakary 3 месяца назад +4

    Kwaalili yangu fupi tu siwezi kununua kitu ambacho kina mgogogoro ukae namakaratasi hadi yakifo cha mtu ambae hata humjui kutakuwa kunakitu hapa sheria kunahitaji umakinizaidi

  • @Alicemsafiri
    @Alicemsafiri 3 месяца назад +5

    Hapo mimi nilichoona ndugu wa mume wanataka uyu bibi atoke kwenye nyumba na ndio maana wamehamua kufanya mchongo wa kuwa mzee aliuza na ni Mari ya ulithi

  • @sharonyasin7521
    @sharonyasin7521 3 месяца назад +9

    Mwenyekit nae tapeli walewale

  • @user13375
    @user13375 3 месяца назад +5

    Anavyoongea tuu ,tayari ni mwizi😮😮😮

  • @giftmusa6543
    @giftmusa6543 3 месяца назад +5

    Jamaa amenyooka safi sanaaaa

  • @GfgGgg-sc2uy
    @GfgGgg-sc2uy 3 месяца назад +7

    wewe Babu muwongo huyu bibi atakwenda wapi hayo mambo ya kupanga mungu kesho anakungojeni subiri I poweni ok

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan 3 месяца назад +8

    Mahakam sio kazi yao kuiza nyumba

  • @afandechanel1507
    @afandechanel1507 3 месяца назад +4

    Hiii kesi Inge kutana na jerry slaa ndo igenoga zaidi

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 3 месяца назад +4

    Milioni 20 kwa wakati huo ilikuwa ni hela nyingi

  • @bentali5773
    @bentali5773 3 месяца назад +3

    Mwenyekit oovoo

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 3 месяца назад +2

    Kwa nini ulilazimisha ununue pale mpeni huyo mama eneo lake je angekua mama yako anapata tabu ivo au anafanyiwa ivo ungefurahi???mpeni haki yake

  • @kwzjkwz3532
    @kwzjkwz3532 3 месяца назад +8

    Huyu anaonekana tapeli

  • @MANAFIWAZONA-ls7kg
    @MANAFIWAZONA-ls7kg 3 месяца назад +1

    Siasa na haki ya binaadamu wapi na wapi acha siasa kwenye dhuluma mwenyekit

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 3 месяца назад +4

    Kwann uliling"ania sana hilo eneo mxinguko mkbea kwann uliteska kulifatilia ununue tumuogope Mungu ushaona kuna likes kubwa ww unfamiliar mahukumu mikatatasi kibaooo ukuona shidaa kuna shots hapoo

  • @kwzjkwz3532
    @kwzjkwz3532 3 месяца назад +8

    Tangu lini kiwanja kiuziwe mahakamani

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 3 месяца назад +1

      Mbona ss tumeuza Mahakamani na kila mtu kapewa chake mkononi unatia saini unahesabu wekundu wako nyumba za urithi kawaida yule mama tamaa ya pesa kaona pesa ndogo nahisi

    • @mishigwan6598
      @mishigwan6598 3 месяца назад

      Kama Mama Anatamaa Mbona Mnunuwaji hana Hati ya Nyumba?

  • @mariasafari1004
    @mariasafari1004 3 месяца назад +2

    Huyu mzee hajielewi kbs anaulizwa kingne anajibu kingne😢

  • @AmriKiziara
    @AmriKiziara 3 месяца назад +1

    Pia tuna muomba waziri wa tamisemi aje mtaa wa mnazi mmoja kata ya Manzese ofisi ya serikali ya mtaa imeuzwa kwa mtindo huo huo wa foji foji nangai za huyo mwenye kiti wa mtaa wa mnazi mmoja 😢😢 😢

  • @hassanmkasi1241
    @hassanmkasi1241 3 месяца назад +5

    Huyu mwenyekiti hapo hapajui anaejua ni mwenyekiti aliepita
    Ikiwa anazo document akachukue nyumba yake kama hana huyo tapeli huwezi kununa nyumba bila document husika

    • @Basil-i3c
      @Basil-i3c 3 месяца назад

      Hivi nyinyi mmesikiliza vizuri hili sakata kweli?
      Au mmehamasishwa na vilio vya yule mama?
      Jambo kama limeenda kisheria, tunatakiwa kusikiliza kwa makini maneno ya pande zote kupata majawabu yaliyo sahihi.
      Hapa tapeli ni huyo mama anayelialia.

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 3 месяца назад

      Yan mi naona kumenyooka tu mtu kanunua wakamgeuka​@@Basil-i3c

    • @DearMkasi
      @DearMkasi 3 месяца назад

      Nyumba inauzwa kwa mkataba au inauzwa kwa hati, nyumba imeuzwa kwa jina la kondo mkasi masenga, na hilo eneo lina hati miliki toka mwaka 1980, na tax property ni ya Ally kondo mkasi vitu viwili tofauti, uyo ni tapeli ila haki itasimama

  • @daudymlauletv8489
    @daudymlauletv8489 3 месяца назад +3

    Sasa mali za family wifi unakuja juu huyo bibi hajitambui

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan 3 месяца назад +10

    We manzese ununue nyumba ml 20 kwani buza hapo umetengezneza mchongo na mdalali madalali tunawjua

  • @funnuelmwalukasa4506
    @funnuelmwalukasa4506 3 месяца назад +1

    Jamaa kabiga pesa Tunduma kaona ahamie dar kulazimisha kununua eneo ambalo siyo halali MUNGU anakuona unamtesa mama wa watu analala nnje kisa pesa

  • @AmriKiziara
    @AmriKiziara 3 месяца назад +1

    Pia tuna muomba waziri wa tamisemi aje mtaa wa mnazi mmoja kata ya Manzese ofisi ya serikali ya mtaa imeuzwa kwa mtindo huo huo wa foji foji nangai za huyo mwenye kiti wa mtaa wa mnazi mmoja 😢😢

    • @DearMkasi
      @DearMkasi 3 месяца назад

      Ni tapeli wakimataifa, pia amewafanyia utapeli kina waziri apa anapofuga kuku amepatapeli kwa kuwadanganya ndugu yao Ana mdai laa cvyo anamfunga eti amekunywa pombe mpaka imefika ela yakuchukua kibanda Chao mungu atamlaani sana

  • @BagambiMukhtaary
    @BagambiMukhtaary 3 месяца назад +13

    Wacha utapeli rudisha nyumbani

  • @jenisanga2281
    @jenisanga2281 3 месяца назад +3

    NYUMBA IMEUZWA KIHALALI .NAWATOTO. WA MWENYE NYUMBA. SASA WAJUKUU.MNAGOMA.KUTOKA.HUO NIUTAPELI WAKIJINGA SHERIA IPO WAZI .NDIO MANA MAHAKAMA ZOTE MMESHINDWA. TOKENI MKATAFUTE VYENU VYA BABU SIO VYENU.MNAJICHELEWESHA TU HAPO NI PAMNUNUZI.SBB KAFATA SHERIA.

    • @DearMkasi
      @DearMkasi 3 месяца назад

      Ngoja inyeshe tuone panapvuja, nyumba imefanyiwa utapeli jm Hotel na mjumbe mmoja wapo yupo wa serikali ya mtaa ila mama happy kasora ndio amefariki, apo janja janja ila haki itasimama

    • @DearMkasi
      @DearMkasi 3 месяца назад

      Riziki chaula yupo eti hati

    • @EnockNanyaro-lk1zi
      @EnockNanyaro-lk1zi 3 месяца назад

      Hapo mama ana haki yake maana hata mume wake alikuwa mwanafamilia na hapo inaonekana huyu alienunua alikuwa na tamaa na eneo Hilo ndo maana ameitiwa nyumba na upande mmoja na ameoneshwa eneo linalouzwa akadai auziwe na upande wa pili. Kwann ashawishi kuuziwa wakati wamiliki walikuwa hawajawa tayar kuuza? Hapo Kuna tatizo

  • @MANAFIWAZONA-ls7kg
    @MANAFIWAZONA-ls7kg 3 месяца назад +1

    Uyo tapeli na huu ndo mwisho wa kesi ngazi husika muingilie kat huyo bibi miaka yote mvua yake jua lake vumbi lake na anatakiwa ashtakiwe na haki za binaadamu

  • @peterrulagora7403
    @peterrulagora7403 3 месяца назад +2

    Mbona jamaa yupo wazi kbs,wanataka wamdhurumu

    • @DearMkasi
      @DearMkasi 3 месяца назад

      Kwanini apang'ang'anie mpaka kujichosha kufatilia vityu visivyo muhusu mahakamani😂😂😂😂, kwani sehemu nyingine hakuna😊

    • @esterMahenge
      @esterMahenge 3 месяца назад

      @@DearMkasiboss uyo alipenda eneo yuko kariakooo

  • @AmriKiziara
    @AmriKiziara 3 месяца назад +1

    😢😢😢

  • @piusmdoe3200
    @piusmdoe3200 3 месяца назад +2

    Tusisahau maelezo kuwa mgao wa mlalamikaji hawajachukuwa tangu mauziano.Hii ni kiashiria tosha kuwa tangu awali makubaliano ya uuzwaji wa eneo hayajaafikiwa na upande unaolalamika kwa sasa.Ilikuwaje uuzaji ukafanyika.

    • @DearMkasi
      @DearMkasi 3 месяца назад

      Kauza jm Hotel, akiwa yeye mama happy kasora ni Mareham, riziki chaula yupo hai, nawakaleta nyumbani mzee mkasi akawatimua tar 14/2/2012, uliza upewe maana na mama chaula yupo hair, ni matapeli, nahiyo nyumba imeuzwa kwa jina la kondo mkasi, na hati za nyumba toka 1980, mmiliki ni Ally kondo mpaka wkt huuinalipiwa jengo hilo kwa jina la Ally kondo upoo😂

    • @DearMkasi
      @DearMkasi 3 месяца назад

      Afadhali yako unajua Angalau kuwakumbusha wasiona ufahamu

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan 3 месяца назад +7

    Huyo wenyekiti hana lolote niwaleawle tu hao ndo wanasababisha migogoro

  • @feisalmwinyi2429
    @feisalmwinyi2429 3 месяца назад +1

    Naungana na wanao sema ni utapeli umepitaaa.... Walimuhadaaa uyoo marehem ndo watoto walipo kuja juu ama kushtukaa ndo wakadai haiwi nyumba iuzwe pesa iyoo 20m lkn pia Mzee unaweza ondoka apo ulipoo akiingia Jerry Sila eeeeeeeeeeeh mnakatazwa wajumbe msingilie kuzwa kwa viwanja

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 3 месяца назад +1

    Hugo pesa ai Akanunue chanika Banda Hata la.vyumba viwili wakaishi huko

  • @jenisanga2281
    @jenisanga2281 3 месяца назад +1

    Global tunaomba maelezo ya part 3.ya msimamizi wa milathi ili habari imfikie vizuri waziri wa Ardhi. Na MAHAKAMA ijue.kuna wajukuu wapo juu ya sheria.tena hawa wajukuu wajipange kumlipa fidia mnunuzi coz miaka 11.ya usumbufu na garama zitawahusu sbb kisheria hao wajukuu ni matapeli.wamezizalau hukumu zote tupeni part3.grobal tv😂

    • @DearMkasi
      @DearMkasi 3 месяца назад

      Iache inyeshe tuone panapovuja

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 3 месяца назад +1

    Hela kwenye Account vya mahakama ZINAFANYA NINI?

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 3 месяца назад

    Tunaomba waziri Jerry silaha limfikie hili. Vinginevyo bibi nenda wizara ya Ardhi chumba namba 303

  • @PatrinusSanga
    @PatrinusSanga 3 месяца назад +2

    Amenunua kiharali mpeni nyumba

  • @AminaMkasi
    @AminaMkasi 3 месяца назад +2

    Ndo tamati imefika usilete mambo ya itikadi

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 3 месяца назад +2

    Huyu jitapeli safi kutokana na story zake wazi mbele nyuma lol 😆 tapeli

  • @umranim5854
    @umranim5854 3 месяца назад +3

    Huyu baba kanunua nyumba kihalali na kanunua njia ya mahakama kwa sababu ni mirithi na wenye kusema kanunua rahisi kumbukeni ni miaka 11 nyuma na kupitia sheria zote msilaumu

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад

      Miaka 11 nyuma?
      Kwahiyo ni km 2013 hivi

    • @DearMkasi
      @DearMkasi 3 месяца назад

      Hii chungu ailiki, eti anatoa cheti cha mazishi😂😂😂😂😂, mtamuokota tapeli

    • @AmriKiziara
      @AmriKiziara 3 месяца назад

      We ujui kitu na unachangia usicho kifaham uyo mama c mpumbavu na mahakam wacnge kuwa kmya wala uyo mwenye nyumba au mnunuzi asinge kaa kimya miaka yote kumwacha mtu ikiwa katoa pesa yake inaonesha na kudhihirisha alicheza kamali yeye na mwenyekiti kweny aki ya mtu na maisha ya mtu...

    • @AmriKiziara
      @AmriKiziara 3 месяца назад

      Ni mjinga gani atakae toa pesa zake bila kwenda kwa mwenyekiti kupata usibiyisho wa eneo kwenda mahakamani wanakwenda bahada kutoka kwa mwenyekiti kwa uwakika yeye mwenye kiti alikuw na uwakika gani kama kunauzwa na uyo mnunuzi walielekezana nn mpak uyo akapat iman ya kutoa pesa 😢😢😢😢😢

    • @DearMkasi
      @DearMkasi 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 3 месяца назад

    Huyu jamaa ni tapeli bwana ,jerry slaa asimamie hiyo kesi watu watakufa vibaya na dhuluma zao

  • @MANAFIWAZONA-ls7kg
    @MANAFIWAZONA-ls7kg 3 месяца назад

    Mbona ana ulizwa na anacho jibu chengingine iyo ninguvu ya pesa iLiyo tumika hapO😢😢

  • @navioma4882
    @navioma4882 3 месяца назад +2

    Waziri tunakuomba huku kuna tapeli 😢😢😢

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan 3 месяца назад +6

    We muha lete janajajnja yako tu, slaa anakuja kukunya,ganja mbwa we,

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 3 месяца назад

      Kabisa asubir joto la jiwe

    • @merygodfrey3709
      @merygodfrey3709 3 месяца назад +1

      Yaani ulipogundua tu!!!Eneo linamgogoro ulipaswa uwachane nalo.Sasa ona mwenyemali kashafariki mnunuzi unahangaishwa.

    • @Zaburi-
      @Zaburi- 3 месяца назад +1

      Mwandishi yupo vizuri,hongera

    • @ayshasaid1547
      @ayshasaid1547 3 месяца назад

      Bisaaa siku akija yeye in sha Allah na wish siku hiyo naisubir nisikie japo nipo so far

    • @aloycemacha9894
      @aloycemacha9894 3 месяца назад

      Jamaa ni smart kanunua kihalali

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 3 месяца назад

    Ww kaka tapeli kumbuka Kuna kufa na hiyo Ardhi itakuzika na kuoza. Ardhi hii itakubana siku utakayo kufa na kuzikwa kuwa na hofu ya Mungu. Dhuluma mbaya sana.

  • @YunisJerald
    @YunisJerald 3 месяца назад +1

    Na wewe uliendaje kununua kiwanja cha urithi na wewe .vinavokuwa na ukoo wa mgawanyo utaweza hizo kasheshe za ndugu wewe.

  • @TOUNDISELASSIE-xj8oy
    @TOUNDISELASSIE-xj8oy 3 месяца назад

    Mr msigwa yuko sahihi.
    Document za mahakamani na maelezo ya mwenyekiti vinaashiria usahihi wa jambo hili. Nyakati za ununuzi na nyakati za malalamiko ndio sababu. Kununua eneo na kuwaacha waendelee kuishi hapohapo. Nyakati hizi thamani za maeneo ziko juu sana hasta maeneo ya wilaya ya kinondoni na ilala. Hapo wanataka wauze tena kwa thamani ya ardhi ya dar ya sasa ambayo ni kubwa. Kisha wamrudishie msigwa hela aliyowalipa kisha wabaki na hela kibao. Serikali iwaangalie sana watu wa namna hii.

  • @DearMkasi
    @DearMkasi 3 месяца назад

    Kimaro ni mwizi mkubwa, mzee mkasi aitwi kondo, apo ni watyu wawili tofauti apo ulipo jiandae kujibu kesi yako ya kuuza ofisi yetu ya serikali ya mtaaa iliojengwa na msangi hardwere, mungu anakulaani mpaka unachoulizwa sicho unachojibu mwizi mkubwa

  • @solihanegier890
    @solihanegier890 3 месяца назад +1

    Nani kakwambia kua urithi asimamie mwanamke na kua kaka yao yupo

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 3 месяца назад +2

    mh ngoja Nikae kimya bn saw umenunua

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 3 месяца назад +3

    Huyu mwizi. Kuna mchongo hapo

    • @ayshasaid1547
      @ayshasaid1547 3 месяца назад

      Haswaaa unamuongopea maiti 😢hao ni wezi

    • @aloycemacha9894
      @aloycemacha9894 3 месяца назад

      Nyumba kanunua mahakamani na imeuzwa kihalali

    • @esterMahenge
      @esterMahenge 3 месяца назад

      Sio mwizi namjua ni boss na mmoja hapa kariakoo na nyumba kafata taratibu kanunua maakamani😮

  • @aishaalbalushaishabalush8291
    @aishaalbalushaishabalush8291 3 месяца назад

    swali la msingi hajajibu kuwa hawakuhusika kuuza zaid yakupokea taarifa ya kuuzwa kwa nyumba

  • @ZainabuNondo
    @ZainabuNondo 3 месяца назад +1

    Uyo mzee tapering jamniii mrudishieni uyo mama nyumba yake uyo kaka yupo manzse ndio shughuri zake za taperi uyo

  • @HadiaAme-x5f
    @HadiaAme-x5f 3 месяца назад

    Mm nisingenunua kitu cha mgogoro khaa

  • @MANAFIWAZONA-ls7kg
    @MANAFIWAZONA-ls7kg 3 месяца назад

    Mbona maswali anayo ulizwa mwenyekit pamoja na alio nunua wanaonekana maelezo Yao ya uongo wanacho ulizwa na wanacho jibu chengine😂😂😂 selikal na mamlaka husika mumuone mwanchi huyu jaman

  • @Cheafmakasa
    @Cheafmakasa 3 месяца назад +3

    Brother ngoso

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 3 месяца назад

    Wewe acha uhuni vitu vya familia walikusainia au magumashi cheti siyo hati sema mikataba ikoje na hati ipo

  • @ShukranMwakyambo
    @ShukranMwakyambo 3 месяца назад

    Tiptop hiii

  • @RajabuMerci-cq4lb
    @RajabuMerci-cq4lb 3 месяца назад

    Kwa Nini unagagania sehemu ya fucho ?

  • @wahidamohammed7294
    @wahidamohammed7294 3 месяца назад +1

    Wampe huyo kaka nyumba waache uhuni

  • @OmanOman-hz1qm
    @OmanOman-hz1qm 3 месяца назад

    Huyo uso wake tu ni jizi na tapeli hana hata huruma mama analia ivo kenge wewe we ujambazi huo juso baya

  • @basumegheMbotwa
    @basumegheMbotwa 3 месяца назад

    Pole jamaa nakukumbuka TDM border Dunia ina mambo

  • @RajabuMerci-cq4lb
    @RajabuMerci-cq4lb 3 месяца назад

    Ni mambo ya chama hayo kafu yatoka wapi hapo

  • @ashaally6993
    @ashaally6993 3 месяца назад +8

    Hakuna nyumba ya milioni 20 wewe umepangwa na waliokuuzia ili mumgandamize yule mama
    Jipange acha longolongo... utapeli umefika mwisho

    • @DearMkasi
      @DearMkasi 3 месяца назад

      😂😂😂😂, eti ilikuwa nyingi miaka hiyo, waongo wakubwa hii chungu ailiki

  • @AmriKiziara
    @AmriKiziara 3 месяца назад

    Pia tuna muomba waziri wa tamisemi aje mtaa wa mnazi mmoja kata ya Manzese ofisi ya serikali ya mtaa imeuzwa kwa mtindo huo huo wa foji foji nangai za huyo mwenye kiti wa mtaa wa mnazi mmoja 😢😢 10:50 10:52

  • @teddyhenry2579
    @teddyhenry2579 3 месяца назад

    Mzeee mbona umeruka kujibu swali umeulizwa wewe uliwapelekea taarifa kuwa nyumba inavunjwa

  • @AmriKiziara
    @AmriKiziara 3 месяца назад

    Jamuhuri ya muungano wa Tanzania kazi iyendeleee ni kweli kabisa mama huyu ana nyanyaswa ana teswa ana zalilishwa na sababu kubwa za mateso yake ni udhalimu wa mwenyekiti wa mtaa wa mnazi mmoja tuna muomba waziri wa ardhi jery slaa aje mta wa mnazi mmoja kata ya Manzese wilaya ya ubungo

    • @DearMkasi
      @DearMkasi 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂

  • @jennet6484
    @jennet6484 3 месяца назад

    Huyu mpumbavu ushaona kuna mgogoro kwanini ulszimishe kununua??

  • @VitalisMmassi-oh4jb
    @VitalisMmassi-oh4jb 3 месяца назад

    Wachie nyumba wasitafute huruma nyumba ilinunuliwa ki halali.

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 3 месяца назад

    Huyu kaka na Mwenyekiti wote matapeli

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 3 месяца назад +3

    Muongp huyu tapeli

  • @teddyhenry2579
    @teddyhenry2579 3 месяца назад

    17:30

  • @DennisDidas
    @DennisDidas 3 месяца назад

    Kwa namna mambo yalivyo katika dunia ya sasa, ukinunua kitu kwa kufuata taratibu za kisheria hakikiasha pia unawarekodi na video kabisa.

  • @RajabuMerci-cq4lb
    @RajabuMerci-cq4lb 3 месяца назад

    Ni mambo ya vyama

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 3 месяца назад +2

    Unauza harafu unaitani

  • @DearMkasi
    @DearMkasi 3 месяца назад

    Kesi hii aijawahi kusimamiwa na Mh Twaha Tasilima

  • @MANAFIWAZONA-ls7kg
    @MANAFIWAZONA-ls7kg 3 месяца назад

    Utanunuaje kitu ambacho kina matatzo we tapeli na mwizi

  • @narfatkarama5743
    @narfatkarama5743 3 месяца назад

    Jicho la mwandishi 😢

  • @BagambiMukhtaary
    @BagambiMukhtaary 3 месяца назад +3

    Mzee we mnafiki

    • @DearMkasi
      @DearMkasi 3 месяца назад

      Tena huyo kimaro ni mwizi wa kimataifa, ameuza ofisi ya serikali ya mtaa ambayo ilijengwa na Msangi hardware, nakugushi saini za watyu , asha nzige, riziki chaula, Anna mtemele

    • @DearMkasi
      @DearMkasi 3 месяца назад

      Nawengine itajulikana tyu mbivu nambichi

  • @peterjohnbahhi1565
    @peterjohnbahhi1565 3 месяца назад +1

    Ni kazi yako kuelezea vitu vya watu?

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 3 месяца назад

    Uyu bibi sasa mtampeleka wapi jamani

  • @helenekisesa2786
    @helenekisesa2786 3 месяца назад

    Weye ni mwizi

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 3 месяца назад

    Kwann ununue kitu chenye mgogoro ww

  • @ummuissa5883
    @ummuissa5883 3 месяца назад +7

    Ww muonho mkubwa huna lolote pumvavu

  • @StellaMleba
    @StellaMleba 3 месяца назад

    Wewe kizazi chako umekiweka kwa shida

  • @peterjohnbahhi1565
    @peterjohnbahhi1565 3 месяца назад +1

    Unaongea sana

  • @bentali5773
    @bentali5773 3 месяца назад +2

    Maelezo.yako ovyo

  • @JescaJoseph-uh4zo
    @JescaJoseph-uh4zo 3 месяца назад +1

    Jiziii wewe

  • @YusuphMwangobola
    @YusuphMwangobola 3 месяца назад +1

    Ww tulia

  • @munamuna7488
    @munamuna7488 3 месяца назад +4

    Muongo mkbwa

    • @willysampa2995
      @willysampa2995 3 месяца назад

      Jerry slaa anawanyoosha ngoja asikie

  • @ShukranMwakyambo
    @ShukranMwakyambo 3 месяца назад

    Mzeee wangu kimaro

    • @DearMkasi
      @DearMkasi 3 месяца назад +1

      Mwizi wa kimataifa, kauza ofisi ya serikali ya mtaa nakugushi saini za wajumbe , Anna mtemele, Asha nzige na wengine Riziki chaula

    • @ShukranMwakyambo
      @ShukranMwakyambo 3 месяца назад

      @@DearMkasi Dunia hiiii watu wameweka pesa pesa mbele

    • @DearMkasi
      @DearMkasi 3 месяца назад

      Yani cjui watamshufaia nini muumba wetu, alafu yeye kimaro hatujui labda hamisi kizenga, wkt yeye anakuja kutoka moshi alifikia kwa dada yake twiga bar, tena watoto tukiwa na akili zetu timamu mwizi mkubwa , na ofisi yaserikali ndio aliofanya utapeli wakuuza na kumshawishi baba wawatyu mgonjwa auze nyumba yake baba baba salehee wkt mkewe yuko msibani maeneo ya kwa matonda

    • @ShukranMwakyambo
      @ShukranMwakyambo 3 месяца назад

      @@DearMkasi inaumizaa jamani dahaaa

  • @AmriKiziara
    @AmriKiziara 3 месяца назад

    Pia tuna muomba waziri wa tamisemi aje mtaa wa mnazi mmoja kata ya Manzese ofisi ya serikali ya mtaa imeuzwa kwa mtindo huo huo wa foji foji nangai za huyo mwenye kiti wa mtaa wa mnazi mmoja 😢😢

  • @MANAFIWAZONA-ls7kg
    @MANAFIWAZONA-ls7kg 3 месяца назад

    Mbona ana ulizwa na anacho jibu chengingine iyo ninguvu ya pesa iLiyo tumika hapO😢😢

  • @AmriKiziara
    @AmriKiziara 3 месяца назад +1

    Pia tuna muomba waziri wa tamisemi aje mtaa wa mnazi mmoja kata ya Manzese ofisi ya serikali ya mtaa imeuzwa kwa mtindo huo huo wa foji foji nangai za huyo mwenye kiti wa mtaa wa mnazi mmoja 😢😢

  • @AmriKiziara
    @AmriKiziara 3 месяца назад

    Pia tuna muomba waziri wa tamisemi aje mtaa wa mnazi mmoja kata ya Manzese ofisi ya serikali ya mtaa imeuzwa kwa mtindo huo huo wa foji foji nangai za huyo mwenye kiti wa mtaa wa mnazi mmoja 😢😢 😢

  • @AmriKiziara
    @AmriKiziara 3 месяца назад

    😢😢😢