SUMU YA PENZI | Full Movie
HTML-код
- Опубликовано: 6 фев 2025
- SUMU YA PENZI | Full Movie
Ni filamu inayomuelezea binti Susu ambaye anashindwa kuitetea ndoa yake na kuiacha idondoke kwenye mikono ya mwanamke mwingine.
Casting: Adam Leo, Adam Mwasa, Zainab Jamal and Kado Actor
Follow us on instagram @adamleotz
#film #bongomovie #2024movies #swahilimovies #sumuyapenzi
Kazi nzuri sana yaani nimejifunza, nikiolewa siez kua mwanamke mjinga na kuondoka kwa mume wangu kwa sababu tuu ya changamoto ndogondogo, kumbe ndoa inahita uvumilivu, nawapenda nyote 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Wewe dada ni muelewa sana
Acha kabisa
Nomaa
Huyu susu mjinga sana anaona kula tu na kitanda huyu nono hana ndoto maishani nimshenzi kabsa Adam Big up bro❤❤❤❤
Shukrani
Ila wanawake tutafika tumechoka hoiiii good job Adam tupo tunainjoy na kujifunzà kupitia Kazi zako Mungu azidi kukubaliki
Shukrani
Naunga mkono hoja
Mashaallah kazi nzur Adam mung azidi kukupa afya njema uzidi kutupa mafunzo ❤❤ila umefanana beby wangu balaa 😊😊 penda san mov zako
Asante
Uko vzr kaka movie zko zinamafunzo kweli nkupenda bure chukua maua yko🎉🎉🎉🎉🎉
Asantee
Adam uko vizuri kaka ,mwanamke huyo hakufai kaka ,hana future kabixa naomba uachane nae
Sawaa
mwanamke mwenyewe anaitwa susu ,ni km masusu ya kuku tu 😂😂😂 @AdamLeoStudios
Unaitikia tena??? @@AdamLeoTv
Duuuh Adam Léo unaweza kweri nakupenda sana kazi yako ata Mimi nankutamani sana ila sina jinsi kwasababu nimeolewa EP 2 kkkkk
Hahahah jamani Mungu akujaalie kheri kwenye ndoa yako
Daaaah jamani Adam nimekupenda bure Adam nakupenda❤❤❤ kula chuma icho naitwa Asha from Arusha
Shukranii
Kazi nzuri sanaaa, napenda movie zenu Adamu ❤️❤️🙏
Asante
Ebwana adam unajua san hongera pili namm nataka kuigiza kaka kama kuna uwezekano nipee namm nafasi kaka
Watatu leo😊😊😊 Kaz mwaaaah 🎉🎉🎉🎉 kongole Adam
Shukrani sana
Movies za kibongo bado zinachangamoto nyingi sana
Dakika tano zote anaonyeshwa Adam na mke wake tu
Haya
Wewe nawe hebu wape moyo kidogo, nchi yetu Ina changamoto sana hasa kwenye tasnia ya filamu ila yote kwa yote wanajitahid.
Funzo zuri sana hilii...............hongera Adam 😊
Asante
Filam zko ni nzurii sana cjawah kupitwaa
Asante dada yang ebu jaribu kuwaelekeza watoto wa
Kike waache ujinga ona hilo limwanamke la Adam nilijinga halijui maana ya maish
Umeona eh
Nakupenda saan Adam ❤❤na fulaha hiia movie zako mungu akutie nguuvu 🎉🎉❤
Amen Recho♥️
Movie za uyu jamaa huwa nazifatilia sana zinafundisha sana.big up brooh kazi yako nzuri.
Asante
Bolingo ezalaka pasi vieux na nga Adamu. Film oyo eza elengi. Big up kaka !
Thanks
Kaka nitaendelea kukupa kongole wewe ni mwalimu wa jamii kuhusu maisha . Kila la kheri sana brother.
Adamu uko vizuri movie zako ndefu san tunapenda san alfu kuna mafundisho ❤❤❤❤🎉
Asante
Adam kazi nzuri kijana
Asante mkuu
Mwanangu unajuaa . Unampendaa apendekii bora upige chini . Ila kwenye misimamo upo vzurii mno pigapu . Sana nimeinjoii
Shukrani kaka
@@AdamLeoTv usijalii kaka nipo bega kwa bega . Unafanya kazi nzuri mno kijuml unaweza 💪💪🤝
Big up sana adam unajua sana pindi ninapoangalia kazi zako najifunza vitu vingi sanaaa kwenye maisha mungu aendeelee kukuwezesha ufanikiwe
Amen
Hongera kaka mm nkukubali nataza Sasa nikiwa Kenya ❤❤❤❤❤❤
Shukrani
Yaani huyu mwanamke hana akili kabisa😢badala a 4:49 support mume wake anafikiria kitanda duh😏💔Adam enda mbele na plan zako❤🎉🎉🎉🎉
Kabisa kabisa
Kweli kaka Adam unafunza vitu sahihi❤❤❤❤ nmependa sana kaka Adam
Shukrani
Adamu una kipaji kikubwa mnoo😊ufike mbali aisee movie zoote zimekaa poa❤nipe namba nikupe hata ya juice kidogo😂
0652393960 whatsapp 🙏🙏
Kwaiyo Adam Watuambie Uyo Bint Interview Ndio Nae Kapita 💯
Ahaha
😀😀😀😀😀
Unapenda makande ww duuh hatar sana
Adam cku moja utuambie walicho kufany wasichna wa morogoro mana cio kwa kuwasimanga huko kweny kila movie😂😂😂😂💔
Hahahah nawapenda na ni watani zangu
adam umeeka rikodi kwa kutoa muvi mpya kila baada ya wiki mbili sidhani kama kuna msani anaeza kutoa muvi mpya kila baada ya wiki mbili akika ww ni kiboko ya wasanii wote Bongo muvi
Shukrani endelea ku enjoy
Tena za muda mrefu ongera kaka
Hakuna hata kumalizia kwao shida
Hongera kaka na enjoy nikiwa Kenya 🇰🇪🇰🇪@@AdamLeoTv
Ameweza yaniii
good movie
Thanks
Napenda sana move zako adam❤❤❤🎉🎉🎉
Shukrani sana
😂😂Ila kk Adam unapenda sana kula makande😂😂😂kila movies nime Pika makande
Adi amenifanya nigoole nijue ni chakula gani😂😂😂kumbe githeri mahindi na maharage waah🙄🙄
Hahaha jamani
Makande 😂
Adam pambana ununuwe kiwanja cako kuishi kwako raha uyo mwanamuke lofa sana mwanamuke anapiganiya kupata kitanda tu nanyumba yenyewe ya kulipa codi 🤔😏❤🇧🇮🇧🇮
Kabisa kabisa
Nimeielewa hiyoo kaka big up ❤❤❤❤
Asante
Natamani ningepata mwanaume kama Adamu mwanaume jasiri hongera❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Asante jamanii
Simu yangu imegandia kiganjani niki tazama movie🎬 zako hapa Jijini Nairobi
Mie Mkenya. Ewe ❤
Shukrani
Napenda movie zako adam
Asante
Hongera ❤🎉🎉KaAdam movie zako zina elimisha Sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Asante sana
Kazi nzuri sana broo Adam napenda sana movie zako ❤❤❤
Shukrani sana
Yani unapenda sema sana ndugu zangu wa moro au kakngu adamu na ww wa moro au nimepata funzo zuri sana
Hahaha nawakubali wa moro wote
Nakufuatilia zaidi nikiwa kenya movie zako ziko poa bro.
Shukrani
Kuna chakujifunza mungu atusaidie ❤
Kabisa kabisaa
Kweli
Adam tupo pamoja 💪
Shukrani
Honger san kak adam kwakaz nzur
Shukrani
Filamu nzuri kabisa
Asante sana
Hongera sana Adam,,kazi nzuri sana❤❤❤❤❤
Asante
You become the best actor❤
Thanks G
Uyo susu linaoboa alina ata aibu 😂😂😂😂😂chefuu imebid nicoment bila kumaliza kuangalia mana linatia aibu kwa kweli,
Jamanii
Hii ni filamu tu ndugu yangu, yabebe mafunzo tu na ujumbe ila usiwawekee uhalisia wa filamu kuwa ndo maisha yao binafsi.
🎉🎉🎉❤❤❤ Kali sana kutoka Lusaka zambia
Shukrani sana sana
Nipo jamani, nawapenda sana adam studios
Shukrani sana
❤❤❤kuinjoy ahsee MUNGU akuwekeee saana bro
Ameen
Nice one❤❤❤
Thanks 🔥
Napenda misimamo ya Adam❤🎉
Asante🙏
Wakwaza mimi nipen lak zangu ❤❤❤❤
Enjoy
biger up my brother kaz nzur tuko pamoj 🤝
Shukrani
❤❤
We Adam nikikuon Morogoro moja kwa moja police😂😂😂
Ila we mwanamke duu hatar
Hahahah nakuja Morogoro na nataka nikuonee
Kazi nzuri 🔥 ila uyo mwanamke hayupo tayar kufanya maendelezo ya kimaisha naww
Umeona eh
Move nzur masha allah ya funza
Asante sana
Leo nimewahi u😮 ❤❤❤🎉
🙏🙏♥️
Present ❤
Super!
Watu wa Burundi tunakupendz sana adam
I love you so much ❤❤❤❤kk mwana mke huyo Hana lolote
Asant adam movie zako nzuri na zinafundisha
Asante
Kweli Adam Leo mvizako zinamafunzwa mazuri Dana Kwa muelewa
Asante
Mafunzo mazuri ❤❤safi sana Adam ❤❤❤❤
Asante sana
Waaaah huyu dada..😂😂mnafiki ila huyu bibi aliataka mwenyewe nae pia😂
Umeona eh
Mapema ndy best🎉❤
Endelea ku enjoy
Mwana wanakubania tu award's ila wewe unastahili mzeiya 🤝
Shukrani sana
Adam mungu azidi kukubaliki buloo 🎊🎉🎉🎊🎊🎊🇿🇲
Amen
Kaka Adamu uko vizur huyo mwanamke hakufai
Kabisa
Much love Adam ❤❤❤❤
Thanks
Congratulations mafunzo mazuri
Interview imegeuka mama kijacho,pambeee susu kayakanyaga mwenyew
Mno
Big up brother adamuuuhhh
Thanks
Du kweli yashankutaga kwa mke wangu Ivo Ivo Yan kama mlikuwa mnatusikiliza tukilumbana
Pole jamani
Adamu nimekupenda san kaka angu fukuza shenzi uyo mjinga asie jielewa😂😂😂
Kabisaa
Adam umenifurahisha.kumchukuwa.uyo.shemela
😂😂😂jamani
Up vzr San zinafundish
Asante
😂😂😂 heee mwanamke anawaza tv na kitanda badala ya awaze maendeleo anayofanya Mumewe jamani
Yaani ovyo kabisa
Susu mtu akiamua kutafuta mwenza wake kumaanisha ametafuta msaidizi..akikwama umsaidie na umpe moyo..na sio kumuumiza kwa ubinafsi wako.eenh maisha magumu haya usitegemee kz ya mume..laxima mume kz mke kz ili msaidiane majukumu.haya sisi tuko waarabuni twaosha vyombo vya waarabu.
Ni kweli kabisa kabisa
Kuna somo kubwa sana umu
Shukrani sana kaka
Uyu dada nae kumlazimisha mwenzie akae na kidada na ndoa yake bado changa si akae nae mwenyewe
Umeona eh
Anaekupenda pendana nayo asiekupenda achana nayo
Amen
Mimi napenda tu ukizungumzia kupika makandee jamani🙌itakuwa unayapenda sana😂😂
Mnooo
Umeua leo🙌
Shukrani
Kazi zuri ila bora ange pata mwanmke mwengine siyo mdogo wa shoga ake
Jamani etio eh
Hehehe hatk boda anataka TV jmn😂😂😂😂😂😂😂
Hahaha acha kabisa
kazi mnzuri mashaailah
🤝🤝
Good job Adam🎉🎉
Asante
Mwanamke mapepe yaani shida ya ndani Kila cku matangazo Adam amechukua chombo na katoto atapata muda c mrefu!!! Wanawake tulieni ndoa ni kuvumiliana!!😅😅
Umeona eh😂😂
Sitaki kabisa kukaa na vidada kwangu
Umeona eh
Kaka Adam huyo sio mke umeyatimba sema nn umepata mke mzuri ambaye ni shemeji yako anaonesha kukujari sana lakin hilo lingine linawaza ujinga tu
Kweli aisee
@@AdamLeoTv Ndio ivo
hahaha kuwa na wanawake wa tatu wa akili kama huyu dd aisée utafa masikini kabisa 😅
Umeona eh
Adam Mbona umewaandama wanawake wa moro
Nawapenda
Jamaa anapenda kupika makande
Mnooo
Guys mniombee nlifanya maendeleo kama hivi Adams anapanga familia yake after kila kitu kimekuwa laini mtoto wa mtu aliniruka 😢😢😢 sijui nimuachie Mungu ama nimuroge
Muachie MUNGU
😂😂😂😂 iyo sio bb adam
Shukrani
Kazi nzuri adamu
Asante sana
Adamu umekosa kuoa bro huyo hana maono kbs
Kabisa kabisa umeona eh
Adam kwnn unapenda kuwasema wadada wa moro
Nawapenda