Adam kweli wewe ni mjeshi wa filamu asante Sana kwa kuendeleza filamu zuri zenye mafunzo imara kwenye jamii haswa Karne hii ya ishirini na moja, wewe kweli ni kanumba dungu yetu endeleza zaidi alipo achia mwenda zake stive, much love from Kenya ADAM endelea hivyo hivyo ❤
Mi nimependa kweli huyo jamaa kamuachia demu chumba hakutaka ateseke yeye amejali tu afya yake good job wanaume wa kibong angekufukuza bila hata kukup nguo zako😂😂😂
Ahahhahahhahah adam kaskia dem ana umeme akachokaa mpka bc kama ingekuw ni halisi kabs afu kwel ana umeme hahahaha sipatii pichaa jasho mwili mzima ungelow nyang'anyang'aaa 😅😅😅 hahaa penda snaa broo siachi kukufatilia una madini mengi snaa 🎉
Wengi hawakuiona yote kwa urefu kuna vipande walimiss ndiyo maana tumeiandika jina lile lile la UMEME ili ambao hawakuiona waweze kuitazama yote na kwa urefu🙏🏻
Kado ana alibu mchango Adam alikuwa ana usikilizia ila fresh Ongereni sana jamani mana wengine tuna kuwa na stress za waarabu nawapenda sana woteee❤❤❤❤
Adam kweli wewe ni mjeshi wa filamu asante Sana kwa kuendeleza filamu zuri zenye mafunzo imara kwenye jamii haswa Karne hii ya ishirini na moja, wewe kweli ni kanumba dungu yetu endeleza zaidi alipo achia mwenda zake stive, much love from Kenya ADAM endelea hivyo hivyo ❤
Shukrani sana asante🙏🏻🙏🏻🙏🏻
CONGRATULATIONS MY BROTHER ADAM. Nzuri sana na inafunza sana♥♥🎤
Asante sana
Hiii
🎉nice inakubalika kipaji ni nyota na kila mtu mola kambariki na ya kwake nice job bro
Shukrani sana
Kwa kweli nimeamza kupenda filamu zenyu🎉🎉nawapenda sana adam na team❤❤❤❤
Asante sana
Congratulations 🎊 ❤❤ Adam much love from kenya ❤️🔥 🎉
Shukrani sana
Adam anajitaidin kutegeneza filamu yenye uboraa naufanisii mkubwa unapaswa upewe tunzo yau utengenezaji wa filamu kali san🙏🙏
Asante
Mnaosema hana cha kupost tulizeni mshono kuna wengine hawakuiona kaka Adam asante kwa kutukumbusha ten kwa hii filamu nzur
😂😂😂😂afazali Kwanza kuna mim pia ndo kwanza naiona mpya
Asante sana nawapenda wote watu wanguu❤️❤️❤️🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Mi mwenyewe ndio naiona sahii
Mi mwenyewe ndio naiona sahii, alafu waume nyie jirani mwenyewe hata aliyumbi na Adam udenda unamtoka 😂
Hata mie ndio naitazama
Kwenye filamu hakuna kitu nakipenda kama behind the scenes. Well done guys❤
Thanks a lot
Safi sana kaka kazi nzuri ❤
Shukrani
Big up Adama leo and your team, watching from Saudi Arabia
Thanks a lot
Mashallah movie tamu sana ambayo haiboeshi kabisa utamu kwenda mbele 😂😂😂😂
Shukrani sana
Saf ,adam .hauko nje ya Mungu ,bal uko ndan ya Mungu ..fikra zako za kimungu .
Shukrani sana sana
Karbu
Onger kaz nzur❤❤🎉🎉
Asante sana
Asante sana
❤q
Masha'Allah ,Adam Leo hapo kipaji kipo asiseme mtu ,insha'Allah Mwenyezi Mungu akuzidishie kongole sana ,dua zangu tu🤲
Shukrani mno🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Congratulations team adam nawapenda nyote ❤❤❤🎉🎉🎉
Asantee❤️❤️❤️
Nice work Adam much love from saudia ❤❤❤❤🎉
Thank you 🙌
Ayeeee!!! Nipeni maua yangu leo nimewahi kuwahi❤❤😊😊
Endelea ku enjoy
Uyu jamaa tumbo alicheza misukosuko jplus na mzee chacha na bad boy ila jina nimemsahau
Alipigwa mpaka akawa bubu na bad boy
Daaa kak ake nakukubar sana❤❤❤❤❤❤❤
Shukrani sana
❤❤❤
Wenye tunanza kuiona na tumeipenda lakes hapa
Endelea ku enjoy❤️❤️❤️
😅😊, @@AdamLeoStudios
Vipi
Adam una tufunza sana kazi yako ni nzur
Uyo dada nampenda uliezindua nae chumba nampenda sana adam uko vizur sana nafatilia move zako
Shukrani
Kazi nzuri kaka Adam huwa Hauna kazi mbovu ww kazi zako ni🔥🔥🔥🔥
🔥🔥
kama mliona wangine leo ndo tumeona honger sana kaka adam from burundi
Shukrani sana
Wow kaka adam hii imenifunza vitu vingi sana na Vya muhimu sana ❤😅
Shukrani sana sana
Na karibu sana kenya na tuna kupenda sana kwa ajili ya Allah
Adam 🤣🤣🤣Una kiherehere cha kukandwa 😂😂😂ila unaweza sana broo. Good job 🌹❤.
Thanks a lot🙏🏻🙏🏻🙏🏻
😂😂😂😂😂
Good job Adam love so much❤❤ from 🇧🇮
Thanks
Big up all and congratulations 👏👏👏❤❤❤🎉🎉🎉
Thanks a lot
Oya bro, unajua mpaka unajua tena, haujawahi kutoa Boko kwenye movie zangu, Mungu aendelee kukutendea mema na hakika utafika mbali zaidi ya sana
Shukrani sana
❤❤❤ nzuri 🎉🎉🎉
Asante sana
Napenda move zako zinanijenga Sana Zina mafunzo 🙏❤️❤️ nawapenda nawaombea pia
Asante
We need English subtitles on all your movies please 👍
We work on it🙏🏻🙏🏻
Hii movie ni nzuri Sana 🙌🔥🙌 Hongera Sanaa Adam
Shukrani sana
Ninzuri inaelimisha hongera🎉🎉
Asante
muvi zako zinafunza jamii kaka big up adam
Shukrani sana🙏🙏
Napenda move zako nzury Sana Yani adamu leo Nice
Shukrani sana
Upo vzr Adam mpe Pole kado maana chozi lilimtoka kama kafiwa
Asyaa
Big up guys 🎉🎉🎉Watching from Saudi Arabia
Thanks a lot
I love your movies. They are amazing👍
Thanks a lot
Adamu umeweza sanaa kka na utupa mafunzo
Shukrani
Mbona movies zako ziko vzr kaka, hongera.
Asante sana
Ndio naangalia ila najua kaka Adam uwaga habahatishi❤
Endelea ku enjoy kibibi hutojutia🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Nazipenda sana filam zako kaka Adam asante sana ♥️♥️♥️
Shukrani mno
Kudos once again
Shukrani sana
Mafunzo mazuri mashaailah
Asante sana
Ujawai kufel broo ❤
Shukrani sana
Dah umetisha mwanang umeondoa unyanyapaaji
Kweli kabisa!
MashaAllah ❤️❤️❤️❤️
❤️❤️❤️❤️🙏🏻
Nzuri sanaa
Asante
Adam unasaut nzur Sana we mkaka
Asante sanaa
Watching from Canada 🇨🇦
Enjoy from Canada
Jamani Adam sauty yako kaka ✔️✔️
Jamaaani asante
Congratulations my dear Adam 🎉🎉 kazi nzuri walaah
Shukrani
Ur movies r very good keep it up ❤
Thanks🙏🙏
Lete vitu mr: Adam
Bila shaka endelea ku enjoy🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Nimeipenda sana hongera kwa kazi nzuri ❤❤❤❤
Nashukuru sana sana!
𝐽𝐴𝑀𝐴𝑁𝐼 𝑁𝑍𝑈𝑅𝐼 ❤
Asante
Nimeipenda sana
Asante sana
Wow nmeipenda muno ❤❤❤
Shukrani
Vipi kaka adam..ata pia mimi sikua nimewatch..wacha nicheki basi..alafu naona uko karibu 100 subs..💪💪👏uko sawa bro..
100k subscribers....
Asante bila ninyo mie si kitu kabisa🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Adam hongera ❤❤❤🎉🎉
Asante
Oyoooo I'm namber one
Thanks
Adam, well done kaka🎉
Shukrani sana
Pongez kwa wahusika wote❤❤❤🎉
Shukrani sana
Adam uk saf congratulations
Shukrani
Ongera san kaka ngoja nilale nime injoy san ❤
Enjoy
Mko vizuri❤❤❤❤❤
Asante sana
I like the second man coz he did what I could do and stick with one
Thanks a lot
Good job Adam
Shukrani sana
Nice 👍👍❤❤❤
Many many thanks
Nzr sana
Asante
🔥🔥🔥🔥🔥🫶🫶🫶❤️… watching from USA 🇺🇸
Thanks a lot endelea ku enjoy!
Inafundisha mashallah
Asante
Weee mhh, yataka moyo kuishi nao💔😰
Umeona eh
Kazi nzuri bro 🎉🎉
Asante
Jaman me ningependa uigize bas na Hemedy Chande
Sawa kheri
Move ni nzuri sana
Shukrani sana
Mm sijaona
Tuliiweka kwaajili yenu! Endelea ku enjoy🙏🏻
good movie
Thanks
💔💔💔💔 Huyu dem kasepe kbsa mbona alikubali umsadie na yeye ataki akusaidie kaende 💔💔💔💔
Umeona eh
😮mm sijaiyona
Basi itazame na uenjoy
Watching from Saudi, ❤❤❤
Endelea ku enjoy🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Adam afanana na shadow au n macho yangu😂😂❤
Shadow ndiyo nani?
Kanzi nzuri adam❤❤❤❤
Shukrani
Yani ADAM LEO unajua nimeazakkuangali jana najikuta mdaotea nakuangali ochokikuangali kilaunavoangali unakutakitukipya
Shukrani endelea ku enjoy
Uzur daa huu anawakinga sema..nyinyi wenyewe waume. Mnashindwa kujiongeza.
Ni kweli kabisa😂
Mi nimependa kweli huyo jamaa kamuachia demu chumba hakutaka ateseke yeye amejali tu afya yake good job wanaume wa kibong angekufukuza bila hata kukup nguo zako😂😂😂
Umeona eh
Ninzuri.
Asante
"Amemtilia nyama ya pweza!"
Hahaha
Nice ❤❤❤❤
Many many thanks
Keep up bro
Thanks
Mr Adam kiukweli ujue ununae mpenda ameathirika utakubali kweli
Yaani mtihani kwa kweli
Waah 🤔 hapa nimejifuza kitu nisipime mpenzi wangu na macho😳 Adam leo ata wewe umesema uingie kwa hiyo shimo?🤔
Naam
❤❤❤
❤️❤️
Umemeeeeehee😂😂😂huu ugongwa mbona auzoeleki jamani..
Kweli kabisa
bora kaka mana me mwenyewe sikuiona
Endelea ku enjoy!
Mwenye ukimwi ako na ulimi hata😂😂😂Alafu jeuri balaa
Ahahha jamani
Ahahhahahhahah adam kaskia dem ana umeme akachokaa mpka bc kama ingekuw ni halisi kabs afu kwel ana umeme hahahaha sipatii pichaa jasho mwili mzima ungelow nyang'anyang'aaa 😅😅😅 hahaa penda snaa broo siachi kukufatilia una madini mengi snaa 🎉
Shukrani sana sana
legit
Newly MDANGAJI is out
Kaka hii tuliangalia na ipo kwenye page yako
Wengi hawakuiona yote kwa urefu kuna vipande walimiss ndiyo maana tumeiandika jina lile lile la UMEME ili ambao hawakuiona waweze kuitazama yote na kwa urefu🙏🏻
Pita tu
Nice
Thanks
Unaenda kubeba kinga unakutana na kado anaharib mambo😂😂😂😂😂😂❤❤❤
Hahaha yaani mambo ovyo kabisaa yaani😂😂
Kado ana alibu mchango Adam alikuwa ana usikilizia ila fresh Ongereni sana jamani mana wengine tuna kuwa na stress za waarabu nawapenda sana woteee❤❤❤❤
Toto lina umeme 😂😂😂😂