Haki ndiyo nimemukumbuka huyu dada😭😭😭😭nilikua sijuwi kama alikua yule alieye fariki 💘💔💔💔😭😭😭imeniuma sana but allah alimupenda sana innalillahi wainailehi rajiuni allah akusamehe popote ulipo kosea nasi atupe mwisho mwema amiin
Mzanzibar umeongea point, Me nilipata ujauzito nikiwa chini ya miaka 16, alienipa ujauzito hakukataa ila hakuwa na matunzo ya mimba wala mtoto, baada ya miezi mitatu alijirudi akawa anatoa kimche cha sabuni cku mojamoja baada ya mtoto kukaribia mwaka aliondoka bila kuniaga, ghafla tu, akawa cku akijisikia anatuma kigauni cha mtoto, baadae alipotea kabisa ckumuona tena, nikapewa namba ya cm kila nikimpigia ni ugomvi, nikaachana nae, tukakutana tena 2016 ckukataa tamaa nikajua ipo cku tutakaa chini na kuelewana kuusu kumlea mtoto, nilimfanyia kitu kizuri ambacho Mwanamke yoyote alietendwa awezi fanya, mwisho wa cku nilishindwa na hana Msaada na mimi miaka tisa iliyopita amjui mtoto anahitaji nini wala ana avaa nini, sasaivi namshukuru Allah yuko darasa la saba nasimama mwenyewe na mtoto wangu, najua ipo cku atanisaidia tu, niko radhi nisivae Nguo nzuri au chochote kizuri nimtimizie mwanangu, mimi yaliyo nikuta kupata mimba ya utotoni ni kutokana nakukosa malezi bora, sababu nimekuwa yatima chini ya miaka tisa, pamoja na haya yote namshukuru sana Allah kwa kuendelea kunipa pumzi na nguvu za kuweza kumtaftia rizk ya halali mwanangu. 😭😭😭 Alhamdulilah.
Pole sana mpenzi, me wangu ajakataliwa ila hana malezi kutoka babaake toka anamiaka miwili, mpaka Leo hii yuko la saba kila kitu juu yangu, Alhamdulilah nishamshukuru Allah amekuwa na najimudu kumlea na Sina mawasiliano nae na wala simtaki.
Haki ndiyo nimemukumbuka huyu dada😭😭😭😭nilikua sijuwi kama alikua yule alieye fariki 💘💔💔💔😭😭😭imeniuma sana but allah alimupenda sana innalillahi wainailehi rajiuni allah akusamehe popote ulipo kosea nasi atupe mwisho mwema amiin
Allah akulaze mahala pema dada😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mungu akupokee fatuma
Alllah akurehem dada😭😭😭😭😭😭😭😭💔💔💔💔💔
Aallah akuwe peponi
Baba mtoto wangu kakimbia malezi, wanaume ni noma sanaa.
Mungu haniachi napambana kumlea mtoto wangu.
Allah akurehemu
Kungi Leo umenifulaish mm yamenikut. MNA MTT nimemqambi Bb kaf
Diamond message delivered hapo cha cha
Mzanzibar umeongea point, Me nilipata ujauzito nikiwa chini ya miaka 16, alienipa ujauzito hakukataa ila hakuwa na matunzo ya mimba wala mtoto, baada ya miezi mitatu alijirudi akawa anatoa kimche cha sabuni cku mojamoja baada ya mtoto kukaribia mwaka aliondoka bila kuniaga, ghafla tu, akawa cku akijisikia anatuma kigauni cha mtoto, baadae alipotea kabisa ckumuona tena, nikapewa namba ya cm kila nikimpigia ni ugomvi, nikaachana nae, tukakutana tena 2016 ckukataa tamaa nikajua ipo cku tutakaa chini na kuelewana kuusu kumlea mtoto, nilimfanyia kitu kizuri ambacho Mwanamke yoyote alietendwa awezi fanya, mwisho wa cku nilishindwa na hana Msaada na mimi miaka tisa iliyopita amjui mtoto anahitaji nini wala ana avaa nini, sasaivi namshukuru Allah yuko darasa la saba nasimama mwenyewe na mtoto wangu, najua ipo cku atanisaidia tu, niko radhi nisivae Nguo nzuri au chochote kizuri nimtimizie mwanangu, mimi yaliyo nikuta kupata mimba ya utotoni ni kutokana nakukosa malezi bora, sababu nimekuwa yatima chini ya miaka tisa, pamoja na haya yote namshukuru sana Allah kwa kuendelea kunipa pumzi na nguvu za kuweza kumtaftia rizk ya halali mwanangu. 😭😭😭 Alhamdulilah.
Jm pole dear
@Petro Rajabu Khasanteni nyote.
pole snaaa mpendwaaa allah azidi kukupa nguvu
Pole sana wanaume ndio walivyo hivyo
pole sn mpenzi mungu azid kukup nguvu usijali
Hahaha,santhaa mama waambie wamezidi sanaaa..nakupenda mommy
Aki umeogea ukweli tuna pata tapu sana💔😢 unauma kwa kweli yani inafika una uoni raha maishani Mungu tusaidie atupe nguvu tuwalee wtoto wetu
Kwnn uigongeshe na ww
Nimependa nguo yako rangi nzur sana
innallilah wainailaih rajiun
Swadakita
Shukran habity I hope wamekusikia
Asante kumngwi
Kichambo Day 👌👌👌👌
Heheheee halooo teeena maneno kuntu wape mama nimekupenda bure
Asante kungwi
Ahsante kungwi
Swadakta Dada umenigusa Leo tena mtuanakupamimba Kisha anaikataa 😭😭😭😭😭
Message sending
Wape kungwi liwashuke vishuka
Wasichana pia wanayataka wenyewe waachiwe watupiwe watoto, kwani hajui kama atabeba mimba, inakuwa hakubakwaa
Waachetu wakatae yawezekana wamzaa bos wako ooh shaulizao
Daaah yamenikuta aya mpka sasa naangaika na mtoto wang...tangu mimba mpaka sasa mwanang anamiaka 3 baba yake alimkataa inaumaaa sana.............
Pole sana mpenzi, me wangu ajakataliwa ila hana malezi kutoka babaake toka anamiaka miwili, mpaka Leo hii yuko la saba kila kitu juu yangu, Alhamdulilah nishamshukuru Allah amekuwa na najimudu kumlea na Sina mawasiliano nae na wala simtaki.
@@saumuhassan6365 malipoa apa apa dunia...bdae mtoto akishakua na uwezo wake...ndo baba anajitokeza...
Saumu Hassan mm wangu hakukataliwa lakin baba kakimbia majumumu mtt sasa yupo form 2 na hamjui baba na ndo mtt wake wa kwanza wa ujanani
@@zara1892 We acha tu, ila cheti cha kuzaliwa ckumpa jina la Baba mwingine, nimemuandika uyo uyo jini kisirani.
Pole mpnz
Imenitach😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭yamenikuta
Lavalava inamuhusu hii
Uo ni ukwelii kungwi ntkukodi cku ya hrux yngu ningeomb t utup nmba ya CMU
Mwambie baba ake boss😂
Boc wenu uyo
Duh dada unaongea kiswahili mpaka najiskia raha, kiswahili kimenyooka