Hamisa kazungumzia Nyumba anazomiliki, vipi thamani yake..?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Siku ya June 14, 2018 Model Hamissa Mobeto ametumia kushare ftari yake na watoto wasiojiweza na yatima katika kituo kilichopo Sinza Meeda DSM ambapo aliambatana na Mama yake mzazi na moja ya vitu alivyozungumza nipamoja na swala la nyumba anazomiliki ambapo kaeleza ni nyumba ngapi na alipoulizwa kuhusu thamani yake alitoa majibu haya. PLAY kutazama

Комментарии • 171

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 6 лет назад +21

    Mashaalah Mahasidi endeleeni kusisimka ndiyo hivyoo Hamisa huyoooo👌👌👌

  • @tatuomar4164
    @tatuomar4164 6 лет назад +18

    Missa love mungu akutiy nguvu

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 4 года назад +1

    Nimekupenda kwa maneno yako👍👍👍

  • @aishamungu.akulazemahalape3277
    @aishamungu.akulazemahalape3277 6 лет назад +3

    Vizuri.sana.amisa.mdogo.wangu.

  • @wakifedhayakub7834
    @wakifedhayakub7834 6 лет назад +4

    Nakupenda beby hamisa

  • @anjelangaiza6258
    @anjelangaiza6258 6 лет назад +6

    Safi hamisa.

  • @happybirungi919
    @happybirungi919 3 года назад

    Love u amisa wangu

  • @hassinaalharthi5984
    @hassinaalharthi5984 6 лет назад +2

    Sisi waislam sisi waislam mbona hamuachi zinaa na uwisilam unakataza leo kwa huyu kesho kwa yule. Hata zina pia allah anakataza

  • @zamzamifra7769
    @zamzamifra7769 6 лет назад

    yah that is good....

  • @Margritkrauchi
    @Margritkrauchi 6 лет назад

    Hamisa unitumie dera 4 zuri kabisa

  • @denniskalisti2570
    @denniskalisti2570 6 лет назад +3

    Penda sana ww

  • @lucaswilliams5761
    @lucaswilliams5761 6 лет назад +11

    kiasi unajielewa shida unapenda kiki

  • @jumamonero7759
    @jumamonero7759 6 лет назад +1

    nyie timu kiba endeleen na mambo ya luge waachen WCB

  • @wakifedhayakub7834
    @wakifedhayakub7834 6 лет назад +11

    Uko vizuri turiya beby utafanya mambo makubwa zaidi yahayo

  • @florigustafsson7618
    @florigustafsson7618 6 лет назад +4

    Vitu vya kupata na kuma hazileti bahati ...wamalaya wengi maisha ya huisha vibaya kwaumasikini...
    Pesa nya damu inatia kisilani kwa familia nzima

  • @mishlamila7870
    @mishlamila7870 6 лет назад +2

    Umesema ukiingilia mambo ya mwenzio hauwezi barikiwa. Na vile ullingilia Zari na boma yake. You are contradicting yourself badly

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад +19

    Love you my dear, Hata ufanye nini najua wewe ni Binadam uwezi kamilika ila Allah tu.

    • @whitswhitney6149
      @whitswhitney6149 6 лет назад

      Saumu Hassan wakapendea nini haka kaumbu kiruka njia😂😂😂😂😂

  • @mkewakasim1263
    @mkewakasim1263 6 лет назад +6

    I like how u ignore to your enemies...keep it up.

  • @catherinemsofe8020
    @catherinemsofe8020 6 лет назад +8

    nakupenda mno bint hassan

  • @margarethkalembwe7636
    @margarethkalembwe7636 6 лет назад +2

    Well said Hamisa.Tuliokuelewa tumekuelewa.Watu wanaona sifa kuweka mambo yao public hasa kwenye medias.Umri wako mdogo lkn una mambo makubwa sana.Mola azidi kukuongoza .

  • @MsFaibe1
    @MsFaibe1 6 лет назад +5

    😂😂unajidanganya hamisa wale sio ndugu zako my dear

  • @susanshadrack3290
    @susanshadrack3290 6 лет назад +2

    mama wapendeza hila sijui kwann watu wakupendi

  • @superwomanmwenyeheri.1367
    @superwomanmwenyeheri.1367 6 лет назад +7

    😁😁😁😁😁 hana u hakika na penzi la Diamond, yuko njia panda, siri ni yake moyoni,anaogopa kusema ndie mpenzi wake,, kisha kesho amwagwe,
    Atapata aibu...

    • @mamuuwangu1792
      @mamuuwangu1792 6 лет назад +1

      janet mwenye Heri. Sio lumbukeni wakuonesha mahusiano yake km wengine kasema raha anapata mwenyewe

  • @faridasaid8724
    @faridasaid8724 5 лет назад +1

    safi sana nyumba ndiyo kila kitu,umefanya jambo la msingi.

  • @estherhaloim1496
    @estherhaloim1496 6 лет назад +3

    Love ❤️ you Queen Hamisa 👍👍👍👍👍❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️😘😘😘😘😘

  • @queenbi5477
    @queenbi5477 6 лет назад +5

    Much love for u missa

  • @hyzuhuranaombanoyakoplzhus3326
    @hyzuhuranaombanoyakoplzhus3326 6 лет назад +4

    Penda ww misa Bby😘😘😘

  • @riscaoscar6209
    @riscaoscar6209 6 лет назад +2

    Muongo huyo

  • @mbodzebemasika7477
    @mbodzebemasika7477 6 лет назад +13

    lakini akitulia atampita wema kimaendleo .

  • @sabrinaissa5221
    @sabrinaissa5221 6 лет назад +20

    😘😘love u missah😘😛

  • @angellamsangi3809
    @angellamsangi3809 6 лет назад +7

    💕nakuelewa xna missa😍

  • @rahabnyambura688
    @rahabnyambura688 6 лет назад

    I thot her mum said the house diamond bought for his son ndio wameacha kurent...hamisi Instagram u slay,but kwa interview she tries to talk English lakini wapi...

  • @tendwajohn7785
    @tendwajohn7785 6 лет назад +2

    Napenda kuuliza hivi ni lazima kuongea kiswahili bila kuchanganya kingereza? Kwasababu naona bora kama unaongea kiswahili ongea kiswahili kuliko kupiga kiswanglish!

  • @zuhuramwalimushabani8836
    @zuhuramwalimushabani8836 6 лет назад +1

    Hongera sana misa

  • @mellenondieki6329
    @mellenondieki6329 6 лет назад

    Please Hamisa, knock your mind with this verse,Matthew, 7verse7to8 ,Amen,may you try to your songs,to be English, any song,you will produce, lam here USA for 20yrs, we love you with,all my children, we listen to your song ,madam Hero,all the time,change your song,into English Hamisa, because wewe,nimusomi, l have never heard any woman in between Kenya and Tanzania singing English, Try Hamisa, God will be on your side,all the time.,l think God will direct you to sing into English.,we listen your song,madam hero on our offs,even my children loves you,so much,one time and one day,miracles will happen for you,kuna,musemo, unasema,hivi,Alie njuu,mungichee,chini,and A lie chini,mwongochee,njuu, trust me,one time,and one days miracles will,happen for you.Try to pray,all will,pass,and more good news,will approach you,unexpectedly.Eat and sleep without stress, First love yourself and be Happy, mostly have Happiness than wealth Hamisa. God is with you always. Be blessed. I in America mama,mellen.

    • @mellenondieki6329
      @mellenondieki6329 6 лет назад

      Sorry, mungoche njini,and one day,you will be more than ahero,.

  • @tinarama2599
    @tinarama2599 6 лет назад +1

    nakukubal mobeto

  • @ashulamusin9811
    @ashulamusin9811 4 года назад

    Mungu mkubwa km umejenga unaakili sn Mahasidi wanywe sumu hatakingekua chumba 1 nichako my sweet

  • @ckukuu8404
    @ckukuu8404 6 лет назад

    Mi ninaswali kwa wale team misa,sasa huyu mnasema ako 23yrs na amekua amechapuka na mond kwa 9yrs so ni lini alikua na majizzo akamzaa fantasy,na lini alikua na petit alianza akiwa na miaka mingapi??? Mkome kujishusha miaka mxieeeeew

  • @salmaabed8579
    @salmaabed8579 6 лет назад +1

    unaakili sana misa

  • @chantalmulasi5663
    @chantalmulasi5663 6 лет назад +1

    Cheko mbaya 😆😆😆

  • @binuribinuri5330
    @binuribinuri5330 6 лет назад +1

    hongea amissa

  • @hadija846
    @hadija846 6 лет назад +1

    Poa saaana dear Hamisa😘👍

  • @denniskalisti2570
    @denniskalisti2570 6 лет назад +15

    Sasa anayesemA aliaribu familia ya zari aliaribuje labla

  • @winifridamakunja410
    @winifridamakunja410 6 лет назад

    wanao kuchukua watapata tabu sana tena wajinyongeeeee sana ww yko yaan kuendea mama umechukua Mme wa mtu nyoooo mnaloooo

  • @jazzeminecute8422
    @jazzeminecute8422 6 лет назад

    Bado hujakuwaka na moenzi na waume za wenzako yaani wapinzi wa wenzako weee we nikugawa tu kwakutafuta jina please

  • @waryobamarwa20
    @waryobamarwa20 6 лет назад

    No way mshayaoga maji kama alivyosema chibu🔥🔥🔥🔥🔥😂😂😂 kosa sio lenu ila kaboss kenu.

  • @ashas7542
    @ashas7542 6 лет назад +6

    ACHAGA UONGO HAMISA

  • @mkewakasim1263
    @mkewakasim1263 6 лет назад +1

    Nakukubali misa u are the best

  • @chinathoby2008
    @chinathoby2008 6 лет назад +1

    safi

  • @nancymwaipopo8649
    @nancymwaipopo8649 2 года назад

    Nakupenda dada

  • @chantalmulasi5663
    @chantalmulasi5663 6 лет назад

    Sasa tu kubali nani moja eti ameazima kwetu; mwengine eti imeshonwa kwangu 😅😅😅

  • @zubedahussein1044
    @zubedahussein1044 6 лет назад +3

    Duh hii kaz kweli kila mtu anasema nguo yake yetu macho

  • @sethrudovick5593
    @sethrudovick5593 6 лет назад

    Millard ayo hatimaye umeona bila wcb family biashara haiwezi kwenda umekuja mwenyewe

  • @Roz923
    @Roz923 6 лет назад +1

    Love you hamissa

  • @salhaak.amgeni8908
    @salhaak.amgeni8908 6 лет назад

    mnafki mkubwaa wewe uongo tu unavyopost miguu wewe na diamond

  • @lisally09
    @lisally09 6 лет назад +3

    You use your witchcraft in a negative way why not come up forward rather than back word?

  • @salhaak.amgeni8908
    @salhaak.amgeni8908 6 лет назад

    MUONGOO UMEIGA STAILI YA WATU KWENDAAA KWA KUSHONA GANI NAKOO

  • @selemanimkonga8150
    @selemanimkonga8150 6 лет назад

    Ukirudi office huna kazi umemtaja diamond why?

  • @ccmchadema8107
    @ccmchadema8107 6 лет назад +1

    kweli ukisikiliza ya watu ufanikiw

  • @esteralbert4720
    @esteralbert4720 6 лет назад +11

    Dada muongo wewe si useme umeanzima loooh

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 6 лет назад +8

    Good Misa

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 4 года назад

    Hamisa pambana mama mungu yu naww

  • @chibutvonline8710
    @chibutvonline8710 6 лет назад

    hahahahah hakuna mitandao.ya kijamii.bila.diamond mmalize tofauti tu jaman

  • @sanurahamad4578
    @sanurahamad4578 6 лет назад +17

    I wish ingekuwa kweli unayoyaongea just don't pretend!!!

  • @ashas7542
    @ashas7542 6 лет назад +6

    KADADA SIKAPENDI HAKA

  • @mercyamunga7265
    @mercyamunga7265 6 лет назад +4

    HAUNA CHOCHOTE...WIVU UTAKUUWA....KAZI NI KUCOPY TU...SIKUPENDI VILE ULIVYO

    • @hellenmwayole8715
      @hellenmwayole8715 6 лет назад

      MERCY AMUNGA kweli kabisa kanatia kichefuchefu sijawahi ona

    • @hellygeorge7147
      @hellygeorge7147 6 лет назад

      MERCY AMUNGA unampeda umkule au umfanyie nini kwa mfano?hakujui so she does nt care if you like her or not

    • @rosemaiko9405
      @rosemaiko9405 6 лет назад

      MERCY AMUNGA mungu kampa uhai amempenda anatosha

    • @allyzicko8149
      @allyzicko8149 6 лет назад

      😂

  • @sheikhasalim609
    @sheikhasalim609 6 лет назад

    Unajiproud ww muislam bas acha zinaa Hamisa olewa uzae watoto wa halali........

  • @mariamhaidarijamali806
    @mariamhaidarijamali806 6 лет назад +21

    Uyu Hamisa akifanyiwa interview anavyo ongea utadhani n mkarimu lakini ebu pitia kw page zake z instergram anarusha jichembe sai anajifanya kuwa mwemakutwa kupost familia y chibu leo unasema n kama ndugu zako 😏😏😏😏😏😏😏

    • @rosemaiko9405
      @rosemaiko9405 6 лет назад +4

      MARIAM HAIDARI JAMALI wanamchokoza hata ungekuwa we

    • @mayamohamad710
      @mayamohamad710 6 лет назад +1

      MARIAM HAIDARI JAMALI Yani mm sipendi huyu Mungu anisamehe ukitaka kumjua mtu mzuri ni mwenzo ulikujaa vibaya na mwisho umeona ubaya wako family ya Dee itakufahamu Misa lkn tabia azisahauliki

    • @mariamhaidarijamali806
      @mariamhaidarijamali806 6 лет назад +1

      Mariam Mohamad kweli kabisaa akifanyiwa interview utasema maskini yuwaonewa kumbe tabia zake ndiozamponza

    • @mayamohamad710
      @mayamohamad710 6 лет назад

      MARIAM HAIDARI JAMALI Misa ni mzuri lkn ana ilaaa first impression jiulize kwanini Misa alisema mashabiki wanampenda zari na wema it's how u Carry yourself Misa

    • @mariamhaidarijamali806
      @mariamhaidarijamali806 6 лет назад

      Mariam Mohamad True😂😂😂😂😂😂😂

  • @maryammarym4437
    @maryammarym4437 6 лет назад +9

    Penda hamisa mola akubariki

  • @durggyos8874
    @durggyos8874 6 лет назад +1

    Nic miss

  • @chapochapos1696
    @chapochapos1696 6 лет назад

    MBONA ULITOA MAVIDEO

  • @luluamri370
    @luluamri370 6 лет назад

    Moto south Africa, karma karma

  • @athanastheonest6728
    @athanastheonest6728 6 лет назад

    Mond ni Maji msipo muoga mtamnywa

  • @jemimhayvette6551
    @jemimhayvette6551 3 года назад

    I love this girl a lot

  • @winfridapeter4458
    @winfridapeter4458 6 лет назад +3

    love you mabebe

  • @dusengmireille5179
    @dusengmireille5179 6 лет назад +3

    hawakupendi,hata ufanyeje

  • @hakunamatata8065
    @hakunamatata8065 6 лет назад

    Kweli kama maji lazima uyanywe au uyaoge mkumbania Diamond mtamzungumzia tuu 😀😀

  • @johnselinaselina7478
    @johnselinaselina7478 6 лет назад

    yaani kama mtu vile

  • @sesyberege3901
    @sesyberege3901 6 лет назад

    BLACK

  • @tuliansibula4859
    @tuliansibula4859 6 лет назад

    You rock my girl

  • @reginamanyangu6682
    @reginamanyangu6682 6 лет назад +4

    ni kwer hamisa ukijaribu kuharibu kitu cha mtu htofanikiwa, unahic ww ulivoharibu penzi la zari nadamond utafanikiwa? jibu unalo,

    • @uwimanauwimana5519
      @uwimanauwimana5519 6 лет назад

      hamisa hakuharibu penzi la zari na mind ni wema ndo aliharibu kipindi hamisa kajifunguwa mtt mbona zari alikuwa hajachukuwa mamuzi ya kumkata mond semeni mnayo ya juwa mpo

    • @reginamanyangu6682
      @reginamanyangu6682 6 лет назад

      +Uwimana Uwimana we unachojua n nn

    • @uwimanauwimana5519
      @uwimanauwimana5519 6 лет назад

      +REGINA Manyangu ww ndounayo ya juwa msikaliye fitna na mwenzenu

    • @uwimanauwimana5519
      @uwimanauwimana5519 6 лет назад

      kamshutumu wema aloharibu penzi la zari kipindi hamisa kajifunguwa mtt mbona hakuchukuwa mamuzi yeyote . na zari mungu hakumwandikiya mond peke hata kwa Avin aliachika . ajabu hapo ipowapi pelekeni majungu huko

    • @reginamanyangu6682
      @reginamanyangu6682 6 лет назад

      +Uwimana Uwimana ukisema et aliachika kwa ivan huyo hwakuachika kwa majizo, bas yaishe ma hunielewi

  • @christineouma2957
    @christineouma2957 6 лет назад +8

    huyu Dada hakai mtu wa 23 jamani,

    • @anetikapami4228
      @anetikapami4228 6 лет назад

      Christine Ouma, umeonaeee huyu kwenye 30. anadanganya eti 23 uongo mtupu

    • @beatricekingsley5062
      @beatricekingsley5062 6 лет назад

      Christine Ouma ana 30 Hutu😂😂😂

  • @camilakilimtali7141
    @camilakilimtali7141 6 лет назад

    hahahahaaaaaa jomoni

  • @reginakibona9052
    @reginakibona9052 6 лет назад

    koongooo

  • @jonathanermas7245
    @jonathanermas7245 6 лет назад

    muachane na habari za diamond make mnamkazia xo hata za familia yake muache

    • @jumaakubo8197
      @jumaakubo8197 6 лет назад +1

      Jonathan Ermas Diamond aliwaambia yeye kama maji ukishindwa kuyaoga utayanywa naona washaanza kuyanywa 🤣🤣

    • @jonathanermas7245
      @jonathanermas7245 6 лет назад

      jumaa kubo 😂😂😂😂

  • @nancymuthoni2428
    @nancymuthoni2428 6 лет назад +35

    kweli "ukijaribu kuharibu kitu ya mtu hutafanikiwa",hamisa. Kwaivo hautafanikiwa saabu uliharibu familia ya zari hutofanikiwa basi

    • @reemiiomar9386
      @reemiiomar9386 6 лет назад +7

      Essy Mungai hayo nimalipo zari alimkimbia IVAN sababu alikuwa akidate n msichana wauganda alishinda BIG BROTHER mungu naye kamlipa

    • @jamillaibrahim7068
      @jamillaibrahim7068 6 лет назад +2

      Essy Mungai haha wchekesha hamisa karibu ndoa ya nani kaolewa zari hawara hta yeye

    • @zayanazayana5353
      @zayanazayana5353 6 лет назад +2

      Reemii Omar ulimuona au maneno ya vijiweni tu

    • @adamzakaria2463
      @adamzakaria2463 6 лет назад

      Reemii Omar poa

    • @fgjjgbnko4383
      @fgjjgbnko4383 6 лет назад +5

      Essy Mungai 😂😂😂😂dua la kuku halimpati mwewe zari mwenyewe mzinitu tuu

  • @Six-jv5cg
    @Six-jv5cg 6 лет назад +4

    We jamaa milad ayo uache shobo.kwakuwa una chuki na diamond basi uache pia kuizungumzia familia yake. Hatukkukubali

    • @jonathanermas7245
      @jonathanermas7245 6 лет назад

      Six 666 kabisaa

    • @margarethkalembwe7636
      @margarethkalembwe7636 6 лет назад

      Ameizungumziaje ?By the way aliyefanya mahojiano na Hamisa siyo Milardayo na wala hajaizungumzia family ya Diamond.Issue kuu ya mahojiano ni mambo yanayomhusu Hamisa.Sikiliza vizuri

  • @queen-jamila6199
    @queen-jamila6199 6 лет назад

    Wenye nyumba au pesa yawajitangazi ni jamii inawaona hata kuwekwa kwa vitabu vya kumbukumbu ya GUINNESS BOOK. HUYU HANA KITU NIKUJIPA JINA LISILO LAKE.

  • @fridalazaro6488
    @fridalazaro6488 6 лет назад

    mnafiki wewe ulivyoingia kwa zari na Mondi ulinitia kichefu chefu

  • @kokujuli4816
    @kokujuli4816 6 лет назад +2

    Acha uongo Hamisa utakuwa na Mama wangapi? Maana bado unaangaika

  • @hawasulley3474
    @hawasulley3474 6 лет назад

    usoni kama mwema vile kumbe lichawi likubwa linaloongoza tanzania

  • @kishetimiddle9564
    @kishetimiddle9564 6 лет назад

    Na hiyo mikope ya bandia upo kama sanamu

  • @goldgold.
    @goldgold. 6 лет назад

    Always deserve natural beauty. Hamisa tosha

  • @MaryAnn-vh2xl
    @MaryAnn-vh2xl 6 лет назад

    Kanakaa vibaya.ooooh

  • @adyaa8922
    @adyaa8922 6 лет назад

    Sasa hivi ushafanikisha kupangiwa nyumba kilicho baki ndoa maana adui yako hayupo kama ni dawa ishafanya kazi kwailo nakupa ongera kazana sasa mufunge ndoa sio kuzini

    • @uwimanauwimana5519
      @uwimanauwimana5519 6 лет назад

      ndowa hutoka kwa mungu hata zari aliza na hakujaliwa kufunga ndowa na yy kama imeandikwa itafungwa

    • @uwimanauwimana5519
      @uwimanauwimana5519 6 лет назад

      hakuna anaye mshinda mganda uchawi mwambiye na zari akawange amtulize mond tatizo hamulewi hamissa mtt wa kibongo ajuwa kuongeya maneno matamu kwahiyo msikaliye fitna