Hamisa kazungumzia Nyumba anazomiliki, vipi thamani yake..?
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Siku ya June 14, 2018 Model Hamissa Mobeto ametumia kushare ftari yake na watoto wasiojiweza na yatima katika kituo kilichopo Sinza Meeda DSM ambapo aliambatana na Mama yake mzazi na moja ya vitu alivyozungumza nipamoja na swala la nyumba anazomiliki ambapo kaeleza ni nyumba ngapi na alipoulizwa kuhusu thamani yake alitoa majibu haya. PLAY kutazama
Mashaalah Mahasidi endeleeni kusisimka ndiyo hivyoo Hamisa huyoooo👌👌👌
Missa love mungu akutiy nguvu
Nimekupenda kwa maneno yako👍👍👍
Vizuri.sana.amisa.mdogo.wangu.
Nakupenda beby hamisa
Safi hamisa.
Love u amisa wangu
Sisi waislam sisi waislam mbona hamuachi zinaa na uwisilam unakataza leo kwa huyu kesho kwa yule. Hata zina pia allah anakataza
yah that is good....
Hamisa unitumie dera 4 zuri kabisa
Penda sana ww
kiasi unajielewa shida unapenda kiki
Lucas Williams mhhhh-kabisa
Hivi kuna star wa bongo hapendi Kiki?
Angekua zar hapo.mngesema hapend kiki?
fathiya abdallah wapo hivi kama Joket utasema ni mtu wa kiki?
Husna Uthman zari kiasiri si mtu wa kiki anashikwa tu
nyie timu kiba endeleen na mambo ya luge waachen WCB
juma monero kabisaa
Uko vizuri turiya beby utafanya mambo makubwa zaidi yahayo
Vitu vya kupata na kuma hazileti bahati ...wamalaya wengi maisha ya huisha vibaya kwaumasikini...
Pesa nya damu inatia kisilani kwa familia nzima
Umesema ukiingilia mambo ya mwenzio hauwezi barikiwa. Na vile ullingilia Zari na boma yake. You are contradicting yourself badly
Love you my dear, Hata ufanye nini najua wewe ni Binadam uwezi kamilika ila Allah tu.
Saumu Hassan wakapendea nini haka kaumbu kiruka njia😂😂😂😂😂
I like how u ignore to your enemies...keep it up.
nakupenda mno bint hassan
Well said Hamisa.Tuliokuelewa tumekuelewa.Watu wanaona sifa kuweka mambo yao public hasa kwenye medias.Umri wako mdogo lkn una mambo makubwa sana.Mola azidi kukuongoza .
😂😂unajidanganya hamisa wale sio ndugu zako my dear
mama wapendeza hila sijui kwann watu wakupendi
😁😁😁😁😁 hana u hakika na penzi la Diamond, yuko njia panda, siri ni yake moyoni,anaogopa kusema ndie mpenzi wake,, kisha kesho amwagwe,
Atapata aibu...
janet mwenye Heri. Sio lumbukeni wakuonesha mahusiano yake km wengine kasema raha anapata mwenyewe
safi sana nyumba ndiyo kila kitu,umefanya jambo la msingi.
Love ❤️ you Queen Hamisa 👍👍👍👍👍❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️😘😘😘😘😘
Much love for u missa
Penda ww misa Bby😘😘😘
Muongo huyo
lakini akitulia atampita wema kimaendleo .
Mama wa nyumba kumi kweli komaa na kutafuta watu ndivyo walivyo
Muombe mungu
Apite mara ngapi?
Mbona kama amesha mpita vileee
Wema ndo nani?
😘😘love u missah😘😛
💕nakuelewa xna missa😍
I thot her mum said the house diamond bought for his son ndio wameacha kurent...hamisi Instagram u slay,but kwa interview she tries to talk English lakini wapi...
Napenda kuuliza hivi ni lazima kuongea kiswahili bila kuchanganya kingereza? Kwasababu naona bora kama unaongea kiswahili ongea kiswahili kuliko kupiga kiswanglish!
Hongera sana misa
Please Hamisa, knock your mind with this verse,Matthew, 7verse7to8 ,Amen,may you try to your songs,to be English, any song,you will produce, lam here USA for 20yrs, we love you with,all my children, we listen to your song ,madam Hero,all the time,change your song,into English Hamisa, because wewe,nimusomi, l have never heard any woman in between Kenya and Tanzania singing English, Try Hamisa, God will be on your side,all the time.,l think God will direct you to sing into English.,we listen your song,madam hero on our offs,even my children loves you,so much,one time and one day,miracles will happen for you,kuna,musemo, unasema,hivi,Alie njuu,mungichee,chini,and A lie chini,mwongochee,njuu, trust me,one time,and one days miracles will,happen for you.Try to pray,all will,pass,and more good news,will approach you,unexpectedly.Eat and sleep without stress, First love yourself and be Happy, mostly have Happiness than wealth Hamisa. God is with you always. Be blessed. I in America mama,mellen.
Sorry, mungoche njini,and one day,you will be more than ahero,.
nakukubal mobeto
Mungu mkubwa km umejenga unaakili sn Mahasidi wanywe sumu hatakingekua chumba 1 nichako my sweet
Mi ninaswali kwa wale team misa,sasa huyu mnasema ako 23yrs na amekua amechapuka na mond kwa 9yrs so ni lini alikua na majizzo akamzaa fantasy,na lini alikua na petit alianza akiwa na miaka mingapi??? Mkome kujishusha miaka mxieeeeew
unaakili sana misa
Cheko mbaya 😆😆😆
hongea amissa
Poa saaana dear Hamisa😘👍
Sasa anayesemA aliaribu familia ya zari aliaribuje labla
Dennis Kalisti apo sasa
wanao kuchukua watapata tabu sana tena wajinyongeeeee sana ww yko yaan kuendea mama umechukua Mme wa mtu nyoooo mnaloooo
Bado hujakuwaka na moenzi na waume za wenzako yaani wapinzi wa wenzako weee we nikugawa tu kwakutafuta jina please
No way mshayaoga maji kama alivyosema chibu🔥🔥🔥🔥🔥😂😂😂 kosa sio lenu ila kaboss kenu.
ACHAGA UONGO HAMISA
Nakukubali misa u are the best
safi
Nakupenda dada
Sasa tu kubali nani moja eti ameazima kwetu; mwengine eti imeshonwa kwangu 😅😅😅
Duh hii kaz kweli kila mtu anasema nguo yake yetu macho
Millard ayo hatimaye umeona bila wcb family biashara haiwezi kwenda umekuja mwenyewe
Love you hamissa
mnafki mkubwaa wewe uongo tu unavyopost miguu wewe na diamond
You use your witchcraft in a negative way why not come up forward rather than back word?
MUONGOO UMEIGA STAILI YA WATU KWENDAAA KWA KUSHONA GANI NAKOO
Ukirudi office huna kazi umemtaja diamond why?
kweli ukisikiliza ya watu ufanikiw
Dada muongo wewe si useme umeanzima loooh
Muanze kupiga na nymbo za mondi au VP milad
Good Misa
Amina Yahya
Panda Sana hamisa
Hamisa pambana mama mungu yu naww
hahahahah hakuna mitandao.ya kijamii.bila.diamond mmalize tofauti tu jaman
I wish ingekuwa kweli unayoyaongea just don't pretend!!!
Sanura Hamad polee
KADADA SIKAPENDI HAKA
😂
HAUNA CHOCHOTE...WIVU UTAKUUWA....KAZI NI KUCOPY TU...SIKUPENDI VILE ULIVYO
MERCY AMUNGA kweli kabisa kanatia kichefuchefu sijawahi ona
MERCY AMUNGA unampeda umkule au umfanyie nini kwa mfano?hakujui so she does nt care if you like her or not
MERCY AMUNGA mungu kampa uhai amempenda anatosha
😂
Unajiproud ww muislam bas acha zinaa Hamisa olewa uzae watoto wa halali........
Sheikha Salim 0
Uyu Hamisa akifanyiwa interview anavyo ongea utadhani n mkarimu lakini ebu pitia kw page zake z instergram anarusha jichembe sai anajifanya kuwa mwemakutwa kupost familia y chibu leo unasema n kama ndugu zako 😏😏😏😏😏😏😏
MARIAM HAIDARI JAMALI wanamchokoza hata ungekuwa we
MARIAM HAIDARI JAMALI Yani mm sipendi huyu Mungu anisamehe ukitaka kumjua mtu mzuri ni mwenzo ulikujaa vibaya na mwisho umeona ubaya wako family ya Dee itakufahamu Misa lkn tabia azisahauliki
Mariam Mohamad kweli kabisaa akifanyiwa interview utasema maskini yuwaonewa kumbe tabia zake ndiozamponza
MARIAM HAIDARI JAMALI Misa ni mzuri lkn ana ilaaa first impression jiulize kwanini Misa alisema mashabiki wanampenda zari na wema it's how u Carry yourself Misa
Mariam Mohamad True😂😂😂😂😂😂😂
Penda hamisa mola akubariki
Nic miss
MBONA ULITOA MAVIDEO
Moto south Africa, karma karma
Mond ni Maji msipo muoga mtamnywa
I love this girl a lot
love you mabebe
hawakupendi,hata ufanyeje
Kweli kama maji lazima uyanywe au uyaoge mkumbania Diamond mtamzungumzia tuu 😀😀
Jaman wewe dada
yaani kama mtu vile
BLACK
You rock my girl
ni kwer hamisa ukijaribu kuharibu kitu cha mtu htofanikiwa, unahic ww ulivoharibu penzi la zari nadamond utafanikiwa? jibu unalo,
hamisa hakuharibu penzi la zari na mind ni wema ndo aliharibu kipindi hamisa kajifunguwa mtt mbona zari alikuwa hajachukuwa mamuzi ya kumkata mond semeni mnayo ya juwa mpo
+Uwimana Uwimana we unachojua n nn
+REGINA Manyangu ww ndounayo ya juwa msikaliye fitna na mwenzenu
kamshutumu wema aloharibu penzi la zari kipindi hamisa kajifunguwa mtt mbona hakuchukuwa mamuzi yeyote . na zari mungu hakumwandikiya mond peke hata kwa Avin aliachika . ajabu hapo ipowapi pelekeni majungu huko
+Uwimana Uwimana ukisema et aliachika kwa ivan huyo hwakuachika kwa majizo, bas yaishe ma hunielewi
huyu Dada hakai mtu wa 23 jamani,
Christine Ouma, umeonaeee huyu kwenye 30. anadanganya eti 23 uongo mtupu
Christine Ouma ana 30 Hutu😂😂😂
hahahahaaaaaa jomoni
koongooo
muachane na habari za diamond make mnamkazia xo hata za familia yake muache
Jonathan Ermas Diamond aliwaambia yeye kama maji ukishindwa kuyaoga utayanywa naona washaanza kuyanywa 🤣🤣
jumaa kubo 😂😂😂😂
kweli "ukijaribu kuharibu kitu ya mtu hutafanikiwa",hamisa. Kwaivo hautafanikiwa saabu uliharibu familia ya zari hutofanikiwa basi
Essy Mungai hayo nimalipo zari alimkimbia IVAN sababu alikuwa akidate n msichana wauganda alishinda BIG BROTHER mungu naye kamlipa
Essy Mungai haha wchekesha hamisa karibu ndoa ya nani kaolewa zari hawara hta yeye
Reemii Omar ulimuona au maneno ya vijiweni tu
Reemii Omar poa
Essy Mungai 😂😂😂😂dua la kuku halimpati mwewe zari mwenyewe mzinitu tuu
We jamaa milad ayo uache shobo.kwakuwa una chuki na diamond basi uache pia kuizungumzia familia yake. Hatukkukubali
Six 666 kabisaa
Ameizungumziaje ?By the way aliyefanya mahojiano na Hamisa siyo Milardayo na wala hajaizungumzia family ya Diamond.Issue kuu ya mahojiano ni mambo yanayomhusu Hamisa.Sikiliza vizuri
Wenye nyumba au pesa yawajitangazi ni jamii inawaona hata kuwekwa kwa vitabu vya kumbukumbu ya GUINNESS BOOK. HUYU HANA KITU NIKUJIPA JINA LISILO LAKE.
mnafiki wewe ulivyoingia kwa zari na Mondi ulinitia kichefu chefu
Acha uongo Hamisa utakuwa na Mama wangapi? Maana bado unaangaika
usoni kama mwema vile kumbe lichawi likubwa linaloongoza tanzania
Na hiyo mikope ya bandia upo kama sanamu
Always deserve natural beauty. Hamisa tosha
Kanakaa vibaya.ooooh
Sasa hivi ushafanikisha kupangiwa nyumba kilicho baki ndoa maana adui yako hayupo kama ni dawa ishafanya kazi kwailo nakupa ongera kazana sasa mufunge ndoa sio kuzini
ndowa hutoka kwa mungu hata zari aliza na hakujaliwa kufunga ndowa na yy kama imeandikwa itafungwa
hakuna anaye mshinda mganda uchawi mwambiye na zari akawange amtulize mond tatizo hamulewi hamissa mtt wa kibongo ajuwa kuongeya maneno matamu kwahiyo msikaliye fitna