EXCLUSIVE: HAMISA MOBETTO AKIRI DIAMOND & MAJIZZO KUMNUNULIA MAGARI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • EXCLUSIVE: HAMISA MOBETTO AFUNGUKA DIAMOND & MAJIZZO KUMNUNULIA MAGARI
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 226

  • @bonymigbo4526
    @bonymigbo4526 2 года назад +18

    Ooow...she talks so sweets and cutiie🥰🥰

  • @febinmokeira
    @febinmokeira 2 года назад +7

    Beauty with brain 🥰

  • @Faith_joseph
    @Faith_joseph 2 года назад +41

    Wabongo tujifunze kumpongeza mtu ambaye katuzidi okay let's say kanunua mwenyew bei ya range ni 50M je, wanaoponda uwezo wenu unawaruhusu kununua nini wengne hata baiskel hawawez nunua😂😂😂😂Hongera mobetto nyota kaliii🔥

  • @salimriziki2660
    @salimriziki2660 2 года назад +2

    Nampenda hamisa huwa hakosi kumtaja mungu kwa maongezi yake

  • @gracepeter7307
    @gracepeter7307 2 года назад

    Yaani nakupenda sana

  • @shelanassoro9419
    @shelanassoro9419 2 года назад

    ♥️♥️♥️♥️🔥🔥🔥🔥 penda sana dada

  • @Faith_joseph
    @Faith_joseph 2 года назад +20

    Hv huyu binti ameishia 4m 4 tuu mbn anaongea kingereza kizuri hv❤️

    • @edwinekatundu6844
      @edwinekatundu6844 2 года назад +1

      😀😀Kwan waliomaliza 4 hwajui kingereza,,

    • @remmyg252
      @remmyg252 2 года назад +1

      Aiseee huwez amini anaongea vizur sana nmependa

    • @Faith_joseph
      @Faith_joseph 2 года назад

      @@edwinekatundu6844 Wanaongea ila cha kuunga unga sana😂

    • @Faith_joseph
      @Faith_joseph 2 года назад +2

      @@remmyg252 Mtu kama humjui unawez dhani ana elimu kubwa kumbe kamaliz pale tandika😂

    • @mcback4384
      @mcback4384 2 года назад

      Mimi nikiwa form 4 naongea kama muingereza, mdogo wangu wa darasa la 5 Anaongea fluent English

  • @masikalagatrude6618
    @masikalagatrude6618 2 года назад +4

    Rick Ross thanks 😊

  • @perisamina6978
    @perisamina6978 2 года назад +3

    🥰🥰

  • @nuruosward8161
    @nuruosward8161 2 года назад +1

    Ninge kuwa mm ndo hamisa nisinge thubut Kuwapa airtime yangu wasafi abadan hasiran kwa roho mbaya wanayokufanyia noooo nooooooo

  • @inearclassictz1233
    @inearclassictz1233 2 года назад +1

    Yeees kuadvite zinaa ni sawa kabisa

  • @fridahkagendo8779
    @fridahkagendo8779 2 года назад

    Diamond

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 2 года назад +5

    Hahaaaa et nilikua na Shep kubwa😄😄😄misa bana .ulilitoa wap tako wewe dada mbona ulikua flat scrn

    • @zahratahmad7990
      @zahratahmad7990 2 года назад +2

      Mwenzangu

    • @Blckurban
      @Blckurban 2 года назад

      The internet never forgets huyu mdada jamani she lies with a straight face daaaah hata hana aibu

  • @djtiffa9664
    @djtiffa9664 2 года назад +1

    ruclips.net/video/6tia-5UH4MI/видео.html
    DAWA YA KUMUWEKA MPENZI KIGANJANI*#* ruclips.net/video/6tia-5UH4MI/видео.html

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 2 года назад +5

    Hamisa ulikua na mahips yako kweli ama hilo shepu limekuja kuja tu

  • @ashamshona9321
    @ashamshona9321 7 месяцев назад

    Mkwel

  • @RuzoOwzy
    @RuzoOwzy 2 года назад

    07:24 kama kangaroo au chura??

  • @aishakulwa4821
    @aishakulwa4821 2 года назад +1

    mmmm kwenye kuwa na shep zamani huo ni uongo tumepigwa.

    • @julianaharrison4356
      @julianaharrison4356 2 года назад

      Usibishe dear mimi nina Shep mpaka nipende uione unaweza niona ukanichukulia poa siku ukiniona sasa huwa watu wanabaki wanashangaa . Pia nina jitahidi kutokunenepa

    • @aishakulwa4821
      @aishakulwa4821 2 года назад

      @@julianaharrison4356 kwa ww tusiokujua sawa.lkn sio kwahuyo misa

  • @berthatz
    @berthatz 2 года назад +48

    Hamisa wewe ni mrembo mdogo wangu..Maneno hayo hata kwenye kanga yapo..Tatizo ni wivu tu na wanataka sana wakutoe kwenye mstari ..Songa mbele..Tingisha tingisha mama..Wanakufa midomo wazi..💪🏾

  • @remmyg252
    @remmyg252 2 года назад +31

    Go baby missa kila mabaya wanayokuombea walimwengu na yawarudie kwa jina la Yesu...Tuliopo nyuma yako ni wengi na huwa hatukusahau kwenye maombi yetu 🙏

  • @diamondplatnumz9250
    @diamondplatnumz9250 2 года назад +38

    This lady has something special aki mtu mwenye akili timamu huchoki kumsikiliza🙌Ana akili, anajitambua na anajiamini ndo maana anazidi kupiga hatua kila siku May God protect u🙏

  • @tausikoko8671
    @tausikoko8671 2 года назад +22

    Hamisa mobeto , she’s very beautiful and gorgeous too.. talk of her inner beauty.. girl got a very good heart.. she’s so young but very mature in how she answers questions! If Diamond wanna treat some of his kids like they are less humans, that’s on him. Good thing is, Hamisa is a very good mom!

  • @anniehamza225
    @anniehamza225 2 года назад +24

    Wanaosema amejinunulia na nyie jinunulieni kama rahisi na wale vishikwambi wengine wanaosema la kurushia watu roho na nyie kakodisheni muwarushe watu wengine roho kama rahisi😂😂😂

    • @dianajoseph6673
      @dianajoseph6673 2 года назад +1

      Watu hawataki kukubali matokeo

    • @mayrose9772
      @mayrose9772 2 года назад

      Tatzo watu walimzarau sana hamisa kwhy saiv haaawamini wanachokiona

  • @mohamedshaaban9740
    @mohamedshaaban9740 2 года назад +20

    I am your fan from today...Unaongea vizuri dadangu.

  • @Faith_joseph
    @Faith_joseph 2 года назад +27

    She's very beautiful✨❤️

  • @rehemanelson8366
    @rehemanelson8366 2 года назад +2

    Heeeeyyyy dadaaa, WTF Kumbe ulikuwa unamshapeeee kubwaaa wakati unaanzaa modelling wenzako walikuwa wembambaa, Acha uongoooo 😂🤣🤣 Liaaaar Liaaaarrr, Na shape umeongeza umekuwaa mbayaaaaaa jamanii kama Nickminaj vileee umekuwaa wa ajabuuu 😁😁😁 Tako haliendani na Pajaaa Kabisaa... UNAPENDA MASHINDANO WEWE... You are cute on your way ila you're too much acting

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 2 года назад +11

    Huyu dada ni manipulator na anataka kushindana na baby mamas wenzie bila kuonyesha kuwa anataka kuwaumiza. Kuna haja gani aongelee jinsi ambavo wote alozaa nao walimnunulia magari? ni kutaka tu kuwaumiza Lulu na Zari pamoja na wanawake wengine waliozaa na Majizo na Mondi. Kinamama huwa wana vimbinu fulani vya kuwaumiza wenzie bila watu kugundua

    • @tausikoko8671
      @tausikoko8671 2 года назад +6

      Please stop, she was asked and she answered. She praised the fathers of her children cause she’s not bitter!

    • @Salma_malkia
      @Salma_malkia 2 года назад

      @@tausikoko8671 true babe

    • @vailethpaschal5846
      @vailethpaschal5846 2 года назад

      @@tausikoko8671 Thank you for this

    • @khamysamursally5932
      @khamysamursally5932 2 года назад +1

      Kanye soda naanapenda toka zamani wanaomjua nimtu wa namnagani mungu atusamehe

  • @joycejohn493
    @joycejohn493 2 года назад +3

    This lady is something else 😍😍. Always humble and lovely.. keep minding your own business.. you'll make it 🥂

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад +6

    Nakupenda tu Mobetto wangu, Mungu akuweke inshallah 🙏

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 2 года назад +21

    Kuna kitu katika haya matako ya kutengeneza. Yanakuwa kama mzigo mzito kwenye mwili wa binadamu.

    • @tabithajohn8254
      @tabithajohn8254 2 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣umenichekesha sana

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 2 года назад

      😂😂😂😂

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 2 года назад

      Niko njian Nada mm😁😁😂

    • @alhabsi6430
      @alhabsi6430 2 года назад

      Kweli kweli

    • @nellymatalanga5033
      @nellymatalanga5033 2 года назад

      Yamakalio sema butt augmentation #implants ,ya maziwa ni breast implants na silicone . Sasa Kuna Dada zetu wengine huwekwa size kubwa mpaka inaudhi.

  • @shakiramuhammad8790
    @shakiramuhammad8790 2 года назад +10

    I love this woman so much,Hamise

  • @Nikita_8017
    @Nikita_8017 2 года назад +7

    Talk of super woman, she's the one, why lie

  • @mouzaseif1099
    @mouzaseif1099 2 года назад +4

    Sihabba hamisa kua unajua kua hiyo unayoifanya nizinaa Allah akuongoe ishaAllah

  • @bahatibushiri1610
    @bahatibushiri1610 2 года назад +18

    Mobetto me nakupenda Sanaa yaan❤️❤️

  • @charlesstephen9668
    @charlesstephen9668 2 года назад +6

    Moral of the story "Danga kwa Faida"

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 2 года назад +4

    Kiukweli unapendeza Sana maana unarudi utoto. Thanks 👍 Hamisa

  • @kishakisha730
    @kishakisha730 2 года назад +1

    Anatumia mafuta ya kupaka yanaongeza matako.

  • @pilikhamis7830
    @pilikhamis7830 2 года назад +1

    Mmmh sio kubadilik kwaivy bhnaa wee

  • @perfumewise
    @perfumewise 2 года назад +5

    Huyu mwanamke ndie ninae mpenda baada ya Beyonce wa Marekani dah

  • @shadyaloaf8694
    @shadyaloaf8694 2 года назад +2

    Ila mm nakupenda mzuri sifa yko nakupa lkn Shepu kubwa mm nakumbuka kipindi kile ni hyo wema na ww ulikuwa nayo lkn ndogo ya kawaida tu

  • @bamitaonlinetv9672
    @bamitaonlinetv9672 2 года назад +2

    HII IKUFIKIE HAMISA. SASA PENDEZA PIA KWA MOLA WAKO UTAKUA MWANAMKE MWEMA , FANYA IBADA NA WATOTO WAKO WAFUNDISHE MILA YA MTUME MUHAMMAD. SAW. HAMISA MTOTO WA KIISILAMU. ALLAH AKULINDE NA AKUONGOE UTETE DINI YAKO UVAE STARA USIVAE UTUPU. UTAJIRI WA DUNIA HAUDUMU. UFUNGE NDOA USITEMBEE NA WANAUME . NAKUPENDA MUISILAMU MWENZANGU NAKUKUMBUSHA .

    • @sheckycobb5240
      @sheckycobb5240 2 года назад

      Mi mkristo, yote sibishani na wewe, lakini mwanamke anatafuta wa kumuoa? Naskia unamwambia aolewe

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 2 года назад +4

    Atuliyeee tu kwenye mitindoooo
    Uko kungineee badooo sanaaa🥱🥱🥱

  • @neemacurthbert
    @neemacurthbert Год назад

    HAKUNA MSANII HAPO danga international UNAKUMBUKA YA RICK ROSE😂😂😂😂😂😂

  • @christopherkaganyanjogubom776
    @christopherkaganyanjogubom776 2 года назад +42

    I love this lady,she is brilliant 😘

  • @edwinekatundu6844
    @edwinekatundu6844 2 года назад +2

    Ayo magar yote uliokuwa unapewa,yako wp kwa Sasa,misa kwel una nyota,ngoja na mm nijitoe BBY wng nimnunulie hata IST

  • @prencesnaah4063
    @prencesnaah4063 2 года назад +5

    Nakupenda hupendi unafiki 🥰🥰🥰

  • @J.G7088
    @J.G7088 2 года назад +10

    I really hate women who intentionally help heartless men to cheat on women in their relationships. Why not tell the man to leave the woman she's with and be with you alone if you are so special? No matter how hard I try all I see is a cleaned up loose woman with loose Morals. But as long as her conscience is clear her generation is safe.

    • @kammie8174
      @kammie8174 2 года назад +5

      Heal......there is always 3 sides to a story why would you think you know the whole truth???

    • @didam1884
      @didam1884 2 года назад +2

      sasa unataka kulia??😂😂😂😂😂, jaji mwenyewe, We hujui the whole story na uko hapa passing judgement left right centre, abeg, please rest.

    • @sammaisak7503
      @sammaisak7503 2 года назад +2

      I think you missed the part where Hamisa was with Diamond way before Zari 🤷‍♀️ just that their relationship was on the down low.. Diamond years back was known to date more than 1 woman at the same time

    • @J.G7088
      @J.G7088 2 года назад +3

      @@didam1884 I know what she said herself on air. How she had miscarriages while being hidden kama Bangi yet she still stayed with the guy. By the way Only fools use that kulia statements because they have been cornered and can’t think anymore, be better.

    • @J.G7088
      @J.G7088 2 года назад

      @@kammie8174 Actually you and everyone who thinks a woman who is hidden while a man shows another woman and keeps sleeping with the guy and miscarries but doesn’t demand more is the one who needs healing and divine intervention. By the way this were her words on air so yes I know enough. To make it worse you are hidden by every one you date and the only one who could atleast accept you for a few months is a man who parades himself with naked women in clubs. Ah naah. Be better then maybe you will be treated better.

  • @aminaanab1071
    @aminaanab1071 2 года назад +23

    Yani hamisa nakupenda sana yani ninge kua na uwezo ninge ua madui wako wate..nakuombea mungu wamalize wote na husda yao

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 2 года назад +8

    Huyu dada anapenda Sana wanaume wenye mafanikio ,,
    Yawezekana hana mapenz ya kweli,
    Ukanjanja wake anaufany ki international 😄😄

  • @richlymo
    @richlymo 2 года назад +16

    Shabiki wa harmonize wakwanza kumpenda hamissa

  • @lulumalima1739
    @lulumalima1739 2 года назад +6

    Hamisa mcute girl friend you rock mama. We love you!

  • @sheylaomar2864
    @sheylaomar2864 2 года назад +8

    I just love her

  • @bahiyalumelezy3016
    @bahiyalumelezy3016 Год назад

    Shep au unazungumzia matako?shep na matako ni vitu viwili tafauti ujuwe.

  • @husnawright3554
    @husnawright3554 Год назад

    Tunaokaa nje tunajua, operesheni huwekwi more than 3 days its very expensive, only one day second day usharuhusiwa hardy 3 days.

  • @davidoscar5115
    @davidoscar5115 2 года назад +8

    🤣🥰🥰🥰anaekulaa hapoo ana rahaa sanaa

    • @hono1232
      @hono1232 2 года назад

      Ni wewe basi una raha

  • @janethedwin8068
    @janethedwin8068 2 года назад +3

    Amisa nampenda kwanza anapambana na watoto wako

  • @rukiamzee8621
    @rukiamzee8621 2 года назад +3

    Yaani Misa anajega gorofa kubwa lakini yuko kimya mpaka akamilishe

  • @eyabdimaha3698
    @eyabdimaha3698 2 года назад +2

    Subutuuuu hio shape sio yako wadanganye vipofu wema peke yake na masongange ndio mizigo yao original

    • @shikoshania953
      @shikoshania953 2 года назад +1

      Wema alijaliwa kiuno yule Dada💕hata kajala shepu yake natural

  • @aikaM74
    @aikaM74 Год назад

    Hiki kitoto kizuri bana, na Nyota imekaa IMEWAKA

  • @florencekafeero220
    @florencekafeero220 2 года назад +6

    That’s a good girl

  • @BujaBoy-rk6nh
    @BujaBoy-rk6nh 25 дней назад

    Imba mama kipaji unacho usiogop

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm 2 года назад +1

    mtangazaji ukiwa unawaoji awa wasani waoji kwa kizungu sasa akisema lugha yake atapigwa usha ukiwa mwingi tabu yani mtu unakua kama kizungu ndo anaona ndo kila kitu alafu wasani wa tz wakishaonekana kwenye tz basi wananza kujifanya uzungu Aya sasa kama kweli unanunua gar alafu nyumba badae yani😂😂😂😂😂😂

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 2 года назад +7

    Hapo kwenye kubadilika maumbile umetupiga na kitu kizito kichwani tako limekua mzigo had linaenda kukulemea na kuuhusu mahusiano yako ushazoeaga kumegwa kimya kimya kwa kufichwa km madawa ya kulevya hiyo tushakuzoe

  • @p.kasongot979
    @p.kasongot979 Год назад

    Nikweli kajinunulia hawezi kumrusha roho mondi , mondi yuko busy hatari😄😄😄😄😄😄😄

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 7 месяцев назад

    Nimependa leo ulivyoongea Misa❤️

  • @angelwamiye8727
    @angelwamiye8727 2 года назад +4

    Uwongo 😂😂😂😂

  • @ashaabdallah9729
    @ashaabdallah9729 2 года назад +8

    I love her 💕

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 2 года назад +3

    🔥

  • @shadyaloaf8694
    @shadyaloaf8694 2 года назад +1

    Mh mm hupenda kusema ukweli shepu kubwa ww hukuwa nayo ht hpo ulipokua unaigiza mtu mwenye shepu kubwa Alie kuwa anaonekan ni wema sepeto n.k

    • @elipendoseth4412
      @elipendoseth4412 2 года назад

      Ahaaaahaaa acha bwana amisa shepu kubwa wapi mdada ila wewe ni mrembo tu unajiharibiaga tu kubebelea aume za watu tafuta wako u enjoy usiishi kwa kuumia umia bila 7babu

  • @diajames4380
    @diajames4380 2 года назад +1

    hata akinunua mwenyew si mlisemaga ela hana

  • @issakamangila4143
    @issakamangila4143 2 года назад +3

    Hamisa anakuwa na tako jamani

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 2 года назад +3

    Naka penda ❣️❣️❣️❣️💖💖💖🌹

  • @marymwaluko3364
    @marymwaluko3364 2 года назад

    Hapo kwenye shepu kubwa hapooo😂😂😂 hebu tuoneshe picha za zamani basi bebi🤭

  • @chidymedia7051
    @chidymedia7051 2 года назад

    HATIMAYE NANDY AJIFUNGUA, BILLNASS NILITAMANI WATOTO MAPACHA👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽
    ruclips.net/video/xN-stvFDfqc/видео.html
    #SHARE NA WENGINE 🙏🏽

  • @joypot3730
    @joypot3730 2 года назад +2

    Jamani make up zinafica mengi sana huyo bibi bila make up nicura

    • @masika.zubeda.430
      @masika.zubeda.430 2 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️

  • @djtiffa9664
    @djtiffa9664 2 года назад +1

    ruclips.net/video/6tia-5UH4MI/видео.html
    DAWA YA KUMUWEKA MPENZI KIGANJANI*#* ruclips.net/video/6tia-5UH4MI/видео.html

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 2 года назад +2

    acha Kua Mtumwa Hamisa ongea kiswahili wewe ni.mswahili.ukiwa na mzungu nawe utaongea kizungu

    • @eyabdimaha3698
      @eyabdimaha3698 2 года назад

      tuache tu watanzania na kizungu kila tukiongea tunapata confidence si wajua sio lugha yetu

    • @yahyahamad1802
      @yahyahamad1802 2 года назад

      @@eyabdimaha3698 oh sawa nimekulewa

  • @nacebamr4722
    @nacebamr4722 2 года назад +19

    Demu wa kawaidaa sanaaaaa! Ila wa bongo kwa ushambaa mmh

    • @diamondplatnumz9250
      @diamondplatnumz9250 2 года назад +2

      Ts not about ushamba tunazungumzia confidence na self esteem aliyonayo atafika mbali sana

    • @barakaamani8657
      @barakaamani8657 2 года назад

      Kweli kabisa ndoooo,najiuliza diamond anaujua uchi wake na majuto pia anaujua uchi wake kwa hiyo anaona fahari kufanywa kwenye uchi wake na wanaume wawili tofauti(USHAURI WANGU WADADA WA KITANZANIA VIPO VITU VERY POSITIVE VYA KUJISIFIA Ila sio """"""KUTOMBWA hovyohovyohata kama unataka I kuwa cerebrity,,,,,,narudia ni aibuuuuu huyu MOBETO ni malaya sema anaufunika na umitindo wake hana kitu"""""anayoyafanya siyo MILA ZETU DADA ZANGU

    • @josephinenyangi9484
      @josephinenyangi9484 2 года назад +4

      Ana uzuri gani tako la kubumba

    • @christinemangaza6303
      @christinemangaza6303 2 года назад

      Wallh

    • @minjesha
      @minjesha 2 года назад +3

      @@josephinenyangi9484 hao unaowaona wazuri kina beyonce, Kardashians, jlo na wengine wengi wote wametengeneza shape mara mia zaidi kina zari wote hao lakini unawaona wazuri..japo hamisa hajatengeneza...ni kitu wivu tu hakuna kingine..au labda useme tu una sababu zako za kumchukia ila uzuri anao sana tu

  • @khadijaamur6032
    @khadijaamur6032 2 года назад +2

    Ukiwa independent baby daddy hatakubali kukusaidia. Lazima ujipendekeze tu 😀 sie wengine tunakula jeuri zetu 😀

  • @kamumjoy756
    @kamumjoy756 2 года назад +11

    I just love this gal🥰

  • @ashamshona9321
    @ashamshona9321 7 месяцев назад

    Mrembo sanaa

  • @zuleikhaahmed7220
    @zuleikhaahmed7220 2 года назад +5

    ❤❤❤

  • @dottohamis4427
    @dottohamis4427 2 года назад +4

    Masha Allha ww nzuri sana ❤️

  • @shelanassoro9419
    @shelanassoro9419 2 года назад +1

    She's very beautiful 😍🥰😍

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 2 года назад +1

    U nyota ya kununuliwa magari

  • @jacquirinekatto1764
    @jacquirinekatto1764 2 года назад +3

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ulkua na mahips yako!

  • @fatmaali4921
    @fatmaali4921 2 года назад +2

    chausiku ulikuwa huna shepu jana niliiona mie au yule sio ww

  • @shylee9181
    @shylee9181 2 года назад

    Muongo umefanya hata shoga yako mange anajua

  • @zerochanneltanzania3797
    @zerochanneltanzania3797 2 года назад +5

    Too much Kiki… bora diamond alipiga akasepa. Hamna mtu hapo.

  • @irenenyauhule6017
    @irenenyauhule6017 2 года назад +1

    Binafsi nakupenda ti

  • @ritaeliass8971
    @ritaeliass8971 Год назад

    Umetulia sana my acha ucharuko tulia my

  • @ModextaModexta-on7mi
    @ModextaModexta-on7mi 7 месяцев назад

    💪🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 2 года назад +2

    Ila uwe unawekeza ,,mwilli kuna wakati utazeeka ,hutakuwa na mvuto tena ,,au make up zitahusika😁😁😁😁

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 2 года назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kaykay4629
    @kaykay4629 2 года назад +2

    Love you so much

  • @johannahakim8470
    @johannahakim8470 2 года назад

    Acha wongo kama weye Hamida iyo siyo chape Yako yangu zamani

  • @aminashoo7923
    @aminashoo7923 2 года назад +1

    Ngoja na mimi ni zae tako langu liwe kubwa kama lako

  • @Mummysworldke
    @Mummysworldke 2 года назад +2

    I love this lady

  • @ModextaModexta-on7mi
    @ModextaModexta-on7mi 7 месяцев назад

    ❤❤❤❤😂😂

  • @tonygee5680
    @tonygee5680 2 года назад +3

    Range Rover bongo ni kama watu wamechelewa saana kuijua hizi gari mbona nchi jirani zimekua karibu 30 yrs ago 👏