EXCLUSIVE: HAMISA MOBETTO AKIRI DIAMOND & MAJIZZO KUMNUNULIA MAGARI
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- EXCLUSIVE: HAMISA MOBETTO AFUNGUKA DIAMOND & MAJIZZO KUMNUNULIA MAGARI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Ooow...she talks so sweets and cutiie🥰🥰
Beauty with brain 🥰
Wabongo tujifunze kumpongeza mtu ambaye katuzidi okay let's say kanunua mwenyew bei ya range ni 50M je, wanaoponda uwezo wenu unawaruhusu kununua nini wengne hata baiskel hawawez nunua😂😂😂😂Hongera mobetto nyota kaliii🔥
Hovyo
Nampenda hamisa huwa hakosi kumtaja mungu kwa maongezi yake
Yaani nakupenda sana
♥️♥️♥️♥️🔥🔥🔥🔥 penda sana dada
Hv huyu binti ameishia 4m 4 tuu mbn anaongea kingereza kizuri hv❤️
😀😀Kwan waliomaliza 4 hwajui kingereza,,
Aiseee huwez amini anaongea vizur sana nmependa
@@edwinekatundu6844 Wanaongea ila cha kuunga unga sana😂
@@remmyg252 Mtu kama humjui unawez dhani ana elimu kubwa kumbe kamaliz pale tandika😂
Mimi nikiwa form 4 naongea kama muingereza, mdogo wangu wa darasa la 5 Anaongea fluent English
Rick Ross thanks 😊
🥰🥰
Ninge kuwa mm ndo hamisa nisinge thubut Kuwapa airtime yangu wasafi abadan hasiran kwa roho mbaya wanayokufanyia noooo nooooooo
Yeees kuadvite zinaa ni sawa kabisa
Diamond
Hahaaaa et nilikua na Shep kubwa😄😄😄misa bana .ulilitoa wap tako wewe dada mbona ulikua flat scrn
Mwenzangu
The internet never forgets huyu mdada jamani she lies with a straight face daaaah hata hana aibu
ruclips.net/video/6tia-5UH4MI/видео.html
DAWA YA KUMUWEKA MPENZI KIGANJANI*#* ruclips.net/video/6tia-5UH4MI/видео.html
Hamisa ulikua na mahips yako kweli ama hilo shepu limekuja kuja tu
Mkwel
07:24 kama kangaroo au chura??
mmmm kwenye kuwa na shep zamani huo ni uongo tumepigwa.
Usibishe dear mimi nina Shep mpaka nipende uione unaweza niona ukanichukulia poa siku ukiniona sasa huwa watu wanabaki wanashangaa . Pia nina jitahidi kutokunenepa
@@julianaharrison4356 kwa ww tusiokujua sawa.lkn sio kwahuyo misa
Hamisa wewe ni mrembo mdogo wangu..Maneno hayo hata kwenye kanga yapo..Tatizo ni wivu tu na wanataka sana wakutoe kwenye mstari ..Songa mbele..Tingisha tingisha mama..Wanakufa midomo wazi..💪🏾
Go baby missa kila mabaya wanayokuombea walimwengu na yawarudie kwa jina la Yesu...Tuliopo nyuma yako ni wengi na huwa hatukusahau kwenye maombi yetu 🙏
This lady has something special aki mtu mwenye akili timamu huchoki kumsikiliza🙌Ana akili, anajitambua na anajiamini ndo maana anazidi kupiga hatua kila siku May God protect u🙏
Hamisa mobeto , she’s very beautiful and gorgeous too.. talk of her inner beauty.. girl got a very good heart.. she’s so young but very mature in how she answers questions! If Diamond wanna treat some of his kids like they are less humans, that’s on him. Good thing is, Hamisa is a very good mom!
❤️😍📌
Wanaosema amejinunulia na nyie jinunulieni kama rahisi na wale vishikwambi wengine wanaosema la kurushia watu roho na nyie kakodisheni muwarushe watu wengine roho kama rahisi😂😂😂
Watu hawataki kukubali matokeo
Tatzo watu walimzarau sana hamisa kwhy saiv haaawamini wanachokiona
I am your fan from today...Unaongea vizuri dadangu.
She's very beautiful✨❤️
Heeeeyyyy dadaaa, WTF Kumbe ulikuwa unamshapeeee kubwaaa wakati unaanzaa modelling wenzako walikuwa wembambaa, Acha uongoooo 😂🤣🤣 Liaaaar Liaaaarrr, Na shape umeongeza umekuwaa mbayaaaaaa jamanii kama Nickminaj vileee umekuwaa wa ajabuuu 😁😁😁 Tako haliendani na Pajaaa Kabisaa... UNAPENDA MASHINDANO WEWE... You are cute on your way ila you're too much acting
Bora na wewe umwambie
Huyu dada ni manipulator na anataka kushindana na baby mamas wenzie bila kuonyesha kuwa anataka kuwaumiza. Kuna haja gani aongelee jinsi ambavo wote alozaa nao walimnunulia magari? ni kutaka tu kuwaumiza Lulu na Zari pamoja na wanawake wengine waliozaa na Majizo na Mondi. Kinamama huwa wana vimbinu fulani vya kuwaumiza wenzie bila watu kugundua
Please stop, she was asked and she answered. She praised the fathers of her children cause she’s not bitter!
@@tausikoko8671 true babe
@@tausikoko8671 Thank you for this
Kanye soda naanapenda toka zamani wanaomjua nimtu wa namnagani mungu atusamehe
This lady is something else 😍😍. Always humble and lovely.. keep minding your own business.. you'll make it 🥂
Nakupenda tu Mobetto wangu, Mungu akuweke inshallah 🙏
Kuna kitu katika haya matako ya kutengeneza. Yanakuwa kama mzigo mzito kwenye mwili wa binadamu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣umenichekesha sana
😂😂😂😂
Niko njian Nada mm😁😁😂
Kweli kweli
Yamakalio sema butt augmentation #implants ,ya maziwa ni breast implants na silicone . Sasa Kuna Dada zetu wengine huwekwa size kubwa mpaka inaudhi.
I love this woman so much,Hamise
Talk of super woman, she's the one, why lie
Sihabba hamisa kua unajua kua hiyo unayoifanya nizinaa Allah akuongoe ishaAllah
Mobetto me nakupenda Sanaa yaan❤️❤️
Moral of the story "Danga kwa Faida"
Kiukweli unapendeza Sana maana unarudi utoto. Thanks 👍 Hamisa
Anatumia mafuta ya kupaka yanaongeza matako.
Mmmh sio kubadilik kwaivy bhnaa wee
Huyu mwanamke ndie ninae mpenda baada ya Beyonce wa Marekani dah
🤣🤣🤣🤣🤣
Ila mm nakupenda mzuri sifa yko nakupa lkn Shepu kubwa mm nakumbuka kipindi kile ni hyo wema na ww ulikuwa nayo lkn ndogo ya kawaida tu
HII IKUFIKIE HAMISA. SASA PENDEZA PIA KWA MOLA WAKO UTAKUA MWANAMKE MWEMA , FANYA IBADA NA WATOTO WAKO WAFUNDISHE MILA YA MTUME MUHAMMAD. SAW. HAMISA MTOTO WA KIISILAMU. ALLAH AKULINDE NA AKUONGOE UTETE DINI YAKO UVAE STARA USIVAE UTUPU. UTAJIRI WA DUNIA HAUDUMU. UFUNGE NDOA USITEMBEE NA WANAUME . NAKUPENDA MUISILAMU MWENZANGU NAKUKUMBUSHA .
Mi mkristo, yote sibishani na wewe, lakini mwanamke anatafuta wa kumuoa? Naskia unamwambia aolewe
Atuliyeee tu kwenye mitindoooo
Uko kungineee badooo sanaaa🥱🥱🥱
HAKUNA MSANII HAPO danga international UNAKUMBUKA YA RICK ROSE😂😂😂😂😂😂
I love this lady,she is brilliant 😘
Super brilliant
Very!
Ayo magar yote uliokuwa unapewa,yako wp kwa Sasa,misa kwel una nyota,ngoja na mm nijitoe BBY wng nimnunulie hata IST
Nakupenda hupendi unafiki 🥰🥰🥰
I really hate women who intentionally help heartless men to cheat on women in their relationships. Why not tell the man to leave the woman she's with and be with you alone if you are so special? No matter how hard I try all I see is a cleaned up loose woman with loose Morals. But as long as her conscience is clear her generation is safe.
Heal......there is always 3 sides to a story why would you think you know the whole truth???
sasa unataka kulia??😂😂😂😂😂, jaji mwenyewe, We hujui the whole story na uko hapa passing judgement left right centre, abeg, please rest.
I think you missed the part where Hamisa was with Diamond way before Zari 🤷♀️ just that their relationship was on the down low.. Diamond years back was known to date more than 1 woman at the same time
@@didam1884 I know what she said herself on air. How she had miscarriages while being hidden kama Bangi yet she still stayed with the guy. By the way Only fools use that kulia statements because they have been cornered and can’t think anymore, be better.
@@kammie8174 Actually you and everyone who thinks a woman who is hidden while a man shows another woman and keeps sleeping with the guy and miscarries but doesn’t demand more is the one who needs healing and divine intervention. By the way this were her words on air so yes I know enough. To make it worse you are hidden by every one you date and the only one who could atleast accept you for a few months is a man who parades himself with naked women in clubs. Ah naah. Be better then maybe you will be treated better.
Yani hamisa nakupenda sana yani ninge kua na uwezo ninge ua madui wako wate..nakuombea mungu wamalize wote na husda yao
Ungeanza kuuwa maadui zako kwanza ungekua unaakili cn
Sina ma adui Labda ukue wewe adui wa hamisa
@@rahmamollely5296 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
Hata mimi aiseee
Huyu dada anapenda Sana wanaume wenye mafanikio ,,
Yawezekana hana mapenz ya kweli,
Ukanjanja wake anaufany ki international 😄😄
Kanagawa kwa future 🤣
Ndio vizuri sasa aichoshe papuchi yake bure? 😅
@@roselynngallo1872 atuinspire kwakweli
hahahah we jamaa umejua kunichekesha
Shabiki wa harmonize wakwanza kumpenda hamissa
Hamisa mcute girl friend you rock mama. We love you!
I just love her
Shep au unazungumzia matako?shep na matako ni vitu viwili tafauti ujuwe.
Tunaokaa nje tunajua, operesheni huwekwi more than 3 days its very expensive, only one day second day usharuhusiwa hardy 3 days.
🤣🥰🥰🥰anaekulaa hapoo ana rahaa sanaa
Ni wewe basi una raha
Amisa nampenda kwanza anapambana na watoto wako
Yaani Misa anajega gorofa kubwa lakini yuko kimya mpaka akamilishe
Vzr penda maendeleo Kwa hamisa
Subutuuuu hio shape sio yako wadanganye vipofu wema peke yake na masongange ndio mizigo yao original
Wema alijaliwa kiuno yule Dada💕hata kajala shepu yake natural
Hiki kitoto kizuri bana, na Nyota imekaa IMEWAKA
That’s a good girl
Imba mama kipaji unacho usiogop
mtangazaji ukiwa unawaoji awa wasani waoji kwa kizungu sasa akisema lugha yake atapigwa usha ukiwa mwingi tabu yani mtu unakua kama kizungu ndo anaona ndo kila kitu alafu wasani wa tz wakishaonekana kwenye tz basi wananza kujifanya uzungu Aya sasa kama kweli unanunua gar alafu nyumba badae yani😂😂😂😂😂😂
Hapo kwenye kubadilika maumbile umetupiga na kitu kizito kichwani tako limekua mzigo had linaenda kukulemea na kuuhusu mahusiano yako ushazoeaga kumegwa kimya kimya kwa kufichwa km madawa ya kulevya hiyo tushakuzoe
Nikweli kajinunulia hawezi kumrusha roho mondi , mondi yuko busy hatari😄😄😄😄😄😄😄
Nimependa leo ulivyoongea Misa❤️
Uwongo 😂😂😂😂
I love her 💕
🔥
Mh mm hupenda kusema ukweli shepu kubwa ww hukuwa nayo ht hpo ulipokua unaigiza mtu mwenye shepu kubwa Alie kuwa anaonekan ni wema sepeto n.k
Ahaaaahaaa acha bwana amisa shepu kubwa wapi mdada ila wewe ni mrembo tu unajiharibiaga tu kubebelea aume za watu tafuta wako u enjoy usiishi kwa kuumia umia bila 7babu
hata akinunua mwenyew si mlisemaga ela hana
Hamisa anakuwa na tako jamani
Naka penda ❣️❣️❣️❣️💖💖💖🌹
Hapo kwenye shepu kubwa hapooo😂😂😂 hebu tuoneshe picha za zamani basi bebi🤭
HATIMAYE NANDY AJIFUNGUA, BILLNASS NILITAMANI WATOTO MAPACHA👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽
ruclips.net/video/xN-stvFDfqc/видео.html
#SHARE NA WENGINE 🙏🏽
Jamani make up zinafica mengi sana huyo bibi bila make up nicura
🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏾♀️🏃🏾♀️
ruclips.net/video/6tia-5UH4MI/видео.html
DAWA YA KUMUWEKA MPENZI KIGANJANI*#* ruclips.net/video/6tia-5UH4MI/видео.html
acha Kua Mtumwa Hamisa ongea kiswahili wewe ni.mswahili.ukiwa na mzungu nawe utaongea kizungu
tuache tu watanzania na kizungu kila tukiongea tunapata confidence si wajua sio lugha yetu
@@eyabdimaha3698 oh sawa nimekulewa
Demu wa kawaidaa sanaaaaa! Ila wa bongo kwa ushambaa mmh
Ts not about ushamba tunazungumzia confidence na self esteem aliyonayo atafika mbali sana
Kweli kabisa ndoooo,najiuliza diamond anaujua uchi wake na majuto pia anaujua uchi wake kwa hiyo anaona fahari kufanywa kwenye uchi wake na wanaume wawili tofauti(USHAURI WANGU WADADA WA KITANZANIA VIPO VITU VERY POSITIVE VYA KUJISIFIA Ila sio """"""KUTOMBWA hovyohovyohata kama unataka I kuwa cerebrity,,,,,,narudia ni aibuuuuu huyu MOBETO ni malaya sema anaufunika na umitindo wake hana kitu"""""anayoyafanya siyo MILA ZETU DADA ZANGU
Ana uzuri gani tako la kubumba
Wallh
@@josephinenyangi9484 hao unaowaona wazuri kina beyonce, Kardashians, jlo na wengine wengi wote wametengeneza shape mara mia zaidi kina zari wote hao lakini unawaona wazuri..japo hamisa hajatengeneza...ni kitu wivu tu hakuna kingine..au labda useme tu una sababu zako za kumchukia ila uzuri anao sana tu
Ukiwa independent baby daddy hatakubali kukusaidia. Lazima ujipendekeze tu 😀 sie wengine tunakula jeuri zetu 😀
Pugiii mitayaaaa
Mabox
😂😂😂Ndo hvyo sijui wapoje na wanavyomuona anazid kupiga hatua hv hawapend
I just love this gal🥰
Mrembo sanaa
❤❤❤
Masha Allha ww nzuri sana ❤️
She's very beautiful 😍🥰😍
U nyota ya kununuliwa magari
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ulkua na mahips yako!
🤣🤣🤣🤣uturuki noma
chausiku ulikuwa huna shepu jana niliiona mie au yule sio ww
😂😂😂😂muongo huyoo
Hahahahahahahahah
Muongo umefanya hata shoga yako mange anajua
Too much Kiki… bora diamond alipiga akasepa. Hamna mtu hapo.
Wivu. Diamond hana jipya kuhusu wanawake
Binafsi nakupenda ti
Umetulia sana my acha ucharuko tulia my
💪🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️
Ila uwe unawekeza ,,mwilli kuna wakati utazeeka ,hutakuwa na mvuto tena ,,au make up zitahusika😁😁😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Love you so much
Acha wongo kama weye Hamida iyo siyo chape Yako yangu zamani
Ngoja na mimi ni zae tako langu liwe kubwa kama lako
Yaani nA mimi
I love this lady
❤❤❤❤😂😂
Range Rover bongo ni kama watu wamechelewa saana kuijua hizi gari mbona nchi jirani zimekua karibu 30 yrs ago 👏
I among of luxurious car in the world