ALLY HAPI AMVAA TUNDU LISSU MCHANA KWEUPE - "MZEE MWINYI ALITOKA ZANZIBAR - TURUDI KUVAA NGOZI?"...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • ALLY HAPI AMVAA TUNDU LISSU MCHANA KWEUPE - "MZEE MWINYI ALITOKA ZANZIBAR - TURUDI KUVAA NGOZI?"...
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 101

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  5 месяцев назад

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @anordiobadia.nycsong8123
    @anordiobadia.nycsong8123 5 месяцев назад

    Big up tundu lissu watanzania tunakuelewa

  • @nassibu-hy5ny
    @nassibu-hy5ny 5 месяцев назад +3

    Wewe ally happy Acha ujinga mwiny hakuwa mzanzibar

  • @AlbertSabo-hp3ss
    @AlbertSabo-hp3ss 5 месяцев назад +3

    Mbona ujajibu hoja za Lisu swala sio kufanya maamuzi swala ni kuuza mali za Tanganyika.

  • @LeopardAmoskomba
    @LeopardAmoskomba 5 месяцев назад +2

    Tena akae kwa kutulia kweli kwel ale ashibe vya mwisho

  • @mocomoja4229
    @mocomoja4229 5 месяцев назад +2

    Jibuni hoja za lissu sio porojo

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 5 месяцев назад

    Umeanza kubadilika na ww angalia hoja ya Lissu inahusu nn shida ni kuuza mali za Tanganyika na masharti ya katiba ya zanzibar kuzuia watu wa Tanganyika kumiliki ardhi na kuingia kwa passport wakati tuna nchi moja, Ambayo ni jamhuri ya muungano wa Tanzania pia pato la muungano linatumika mpaka zanzibar wakati la zanzibar halitumiki huku Tanganyika

  • @AloneChuga
    @AloneChuga 5 месяцев назад +3

    Tundu Lissu ni mpambavu moja faraa furani hivi. Hivi mmesahau alivyo kuwa akizunguka Dunia nzima kuitukana Tanzania, akipewa press na viombo vikubwa vya magharibu,leo Lissu ana upendo gani na Tanzania

    • @musachongowe1695
      @musachongowe1695 5 месяцев назад

      Wee mwehu kwani kufanya mikutano nje ndio sio mzalendo

    • @PoulFred
      @PoulFred 5 месяцев назад

      Wew ndiye mavi ya kijani hiv hujuwi tundu lisu alipatwa na maswahibu gan mpaka uchoko wako kichwani upoteze kumbukumbu ovyo

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 5 месяцев назад

      Kweli kabisa tundu lisu ni kibaraka na hana Uchungu na nchi hii yeye tayari ni raia wa ubelgiji na watoto wake wapo ulaya ikitokea vita yeye ndo wa kwanza kupanda ndege halafu sisi ndo tutaumia hebu tuache ujinga kumsikiliza huyu mtu

    • @PoulFred
      @PoulFred 5 месяцев назад

      @@halimamasai2234 wew na family yako ndo mmeaminishwa hivyo kufanya mabadiliko ya kiutawala na uongozi ni vita shinz kabisa wew pamoja family yako

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 5 месяцев назад

    Huyu jamaa sijawahi mwelewa, ni uchawa tu.

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 5 месяцев назад +3

    Sisi watanzania tunawaelewa ccm hao chadema hatuwaelewi

    • @optatusduqangw1071
      @optatusduqangw1071 5 месяцев назад

      Siyo watanzania ni wewe na kichwa chako kibovu

    • @PoulFred
      @PoulFred 5 месяцев назад

      Sema wew kilaza wa kijani na wala siyo watanzania wote mbafu zako

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 5 месяцев назад +1

      Sisi na nani? Acha kujumuisha wengine kwenye upuuzi wako

    • @yusuphmtuga4951
      @yusuphmtuga4951 5 месяцев назад

      Weka umoja unatujibia na sisi wengine we vipi

  • @mohammedkhimji7505
    @mohammedkhimji7505 5 месяцев назад

    Mzee Mwinyi alikuwa mtu wa Kivure Pwani.... pia alitaka azikwe huko... mlimnyima haki yake... Inna Lillahi Wa Inna Ilayhi Raajeon... Usimtumie Mzee Mwinyi kutetea maada zako dogo... yeye alikuwa mtu mkarimu

  • @mbwanahasan2971
    @mbwanahasan2971 5 месяцев назад +1

    Kalime pilipili huko usitudanganye hapa tushapata akili tunajitambua jibuni hoja za lisu lisu hata muwe CCM wote hamumuwezi kumjibu mnaleta stori tu

  • @ElvisTabula
    @ElvisTabula 5 месяцев назад

    Mmmmh

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba9489 5 месяцев назад

    Huwezi kuwa mwanasiasa bora kwa kulambalamba matako watu

  • @cosmaswilliam3805
    @cosmaswilliam3805 5 месяцев назад

    Maji shingoni.

  • @ChamiKiondo
    @ChamiKiondo 5 месяцев назад +4

    Pumbavu sanaaa hyoooo

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 5 месяцев назад

      Pumbavu we na huyo tundu lako shenzi sana nye

  • @songweboytaifa1990
    @songweboytaifa1990 5 месяцев назад +1

    Post habari za pande mbili

  • @SamNecessity
    @SamNecessity 5 месяцев назад

    Ali Hap hawez kuvaa hao....awavue tu..au awafue
    .

  • @DavidKagulu
    @DavidKagulu 5 месяцев назад

    Hakuna mtu ccm anayeweza kujibu maswali ya lissu

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 5 месяцев назад

      Ni kweli kwa sababu CCM hawawezi kumjibu tahira na mkimbizi toka ubelgiji na sasa ni shoga 🤣🤣🤣

  • @allenikaduma1488
    @allenikaduma1488 5 месяцев назад

    😢

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo 5 месяцев назад +1

    Ally hapi ajichubua au la?
    Huyu jamaa ni upinde....

    • @romanamassawe814
      @romanamassawe814 5 месяцев назад

      Rainbow?. Aaa, Mungu wangu mtoto sii riziki,

  • @QasammaMachibya
    @QasammaMachibya 5 месяцев назад +1

    lisu agent. wa mashoga hatumwerewi, nn?maa damanoyake?kusdilakenn?ushogasiyo?

    • @madegezakayo3232
      @madegezakayo3232 5 месяцев назад

      As wew mbona hata kuandika hujui kweli ccm ina wajinga wengi

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 5 месяцев назад

      Haya majitu yasiyojua kusoma na kuandika ndio mitaji ya CCM hatushangai

  • @YassinRajabu
    @YassinRajabu 5 месяцев назад

    kwani alie waveshe ngozi alikua raisi wa chama gani 😂😂😂😂😂

  • @brendangabriel1643
    @brendangabriel1643 5 месяцев назад +3

    Ally Hapi, hoja za Lissu ni nzito, sio za kuparamia wewe kijana. Jipange kwanza ndipo uje.

    • @barackawithokiswaga2686
      @barackawithokiswaga2686 5 месяцев назад

      Peleka huko upumbavu na wewe ana hoja nzito zipi? Kubwabwaja ujinga tu kutwa hizo ndio hoja nzito? Zipi eleza hapa

    • @PhineasOcholla
      @PhineasOcholla 5 месяцев назад

      ​@@barackawithokiswaga2686twambie kwa nini Tanganyika hatuna katiba wakati Zanzibar wanayo?

    • @PhineasOcholla
      @PhineasOcholla 5 месяцев назад

      ​@@barackawithokiswaga2686kwa nini wazanzibar wanaserikali yao na WA Tanganyika hatuna?

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 5 месяцев назад

    Hili jinga la wapi ?. Ccm Kuna shida gani ?. Mbona mnaokota majitu yasiyo na contents ?

    • @barackawithokiswaga2686
      @barackawithokiswaga2686 5 месяцев назад +1

      I think wewe ndo lijinga😅😅

    • @romanamassawe814
      @romanamassawe814 5 месяцев назад

      @@barackawithokiswaga2686 huko chini vipi Kuna lika ?.

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 5 месяцев назад

      @@romanamassawe814 mfuate tu huyo kunalika

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 5 месяцев назад

      We shika adabu yako CCM wameja vijana wenye kujielewa unadhani yale machkora wenu kina mdude CCM kuanzia ngazi ya chini ina vijana hatari

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 5 месяцев назад

      @@halimamasai2234 wewe mwenyewe huna adabu unaandika vitu kama mtu anayejitoa ufahamu, unadhani huyo mjinga wako amejibu hoja yoyote ya Lissu hapo.

  • @SalumKombo-sf5gs
    @SalumKombo-sf5gs 5 месяцев назад +2

    Ne wewe hapi ndo 000

  • @richardmwandanji65
    @richardmwandanji65 5 месяцев назад

    Tunasema watanganyika tunasema.tunaongea pekeyetu kama vichatu mehalibikiwa tusaidieni ninani kauza bandari zetu niyupi niwawapi twambieni sisi ni wenye bandali hivi ninani kawafukuza wamasai hivi huo sio unyanyasaji mbona hamtaki kutusikiliza sie watanganyika Tanzania niyetu wote tusibaguane kwa itikadi za vyiama ukiwa ccm unasikilizwa ukiwa chama kingine unabaguliwa eti mnasema wapiga kelele mliànza ninyi kutubagua

  • @QasammaMachibya
    @QasammaMachibya 5 месяцев назад +1

    katba kwasasa hatutaki, tunataka maendeteo tu,urohowakuongozadora chadema waache

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 5 месяцев назад

      Na kweli wanadhani uongozi ni rahisi kwanza sera hawana kila siku ni kutoa tarifa, kulaumu, ubaguzi hawana jipya

  • @ezekielkiduge8730
    @ezekielkiduge8730 5 месяцев назад +1

    Wewe Allly Hapi unafeli wapi mbona unashindwa kabisa kujibu hoja za MH LSSU?????

  • @KasangaKalanga-vo6od
    @KasangaKalanga-vo6od 5 месяцев назад +1

    Nyie wenyewe ni wabaguzi mbona mnawabagua wamasai kua sio watanzania

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 5 месяцев назад

    Tatizo lako hapi wewe ni maamma huna elimu ,elimu uliyo nayo ni ya kuungaunga ,sasa tukutoe ujinga aliye ruhusu vyama vingi ni nyerere wala siyo huyo unae msema, pia kwani

  • @musachongowe1695
    @musachongowe1695 5 месяцев назад +3

    Nyerere ndie alianzisha vyama vingi inaonekana Bado unashidaya kumbukumbu

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 5 месяцев назад

      92 raisi alikua nyerere

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 5 месяцев назад

      Hata iyo tume ya nyalali ilikua 1990 mpaka iyo 92 sa nyerere alitoka wapi sasa?

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 5 месяцев назад

      @@FahadAbubakari kuwa rais sio shida, mambo mengi ya nchi yalikuwa yanaamuliwa na nyerere .Mwinyi hakuwa na noma na mtu, hata mkapa kubwa rais alipendekezwa na nyerere

    • @PhineasOcholla
      @PhineasOcholla 5 месяцев назад

      ​@@eliajimmy95😂😂😂😂😂😂😂

  • @SalumKombo-sf5gs
    @SalumKombo-sf5gs 5 месяцев назад

    Na na wewe ndo hanma😮

  • @marwasaid8283
    @marwasaid8283 5 месяцев назад +1

    Kijana nenda shule ya uelewa, acha kuparamia hoja

  • @benoseaone
    @benoseaone 5 месяцев назад +1

    Kuna kazi rahisi kuelimisha wajinga kuliko kuelimisha wasomi wapumbavu. Wasomi wengi wamekuwa watumwa wa siasa kiasi kwamba kuzitumikia elimu zao hawawezi kabisa.
    Kila mtu atimize wajibu wake.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 5 месяцев назад

    Lissu ni chizi😢 na kobra😢

  • @Gilbertnyanda
    @Gilbertnyanda 5 месяцев назад +1

    Hujamaa anamajibu ya kitoto katiba mpya kwanza

  • @francismomo7067
    @francismomo7067 5 месяцев назад

    Bado hujajibu hoja.
    Lissu kasema wazi kua katiba ndo inaleta ubaguzi na kuleta upendeleo.jibu hoja juu ya madaraka makubwa ya rais kikatiba,upendeleo wanaopewa wazanzbar juu ya Muungano.
    .katiba ya Tanganyika ipo wapi?,Mwinyi aliruhus vyama Ving bara na visiwan je misitu,bandar na mbuga zilizobinafisishwa ni za bara na visiwan?.je mtanganyika anawezapata ajira zanzbar,anaweza enda zenji bila passport?

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 5 месяцев назад +2

    LISSU KAWASHIKA PABAYA KWELI KWELI HAWA JAMAA.ALI HAPI TWAMBIE KWA NINI SISI TUINGIE ZANZIBAR I KWA PASPOTI HALAFU WAINGIE TANGANYIKA BILA PASPOTI?

  • @Abs-tz8dl
    @Abs-tz8dl 5 месяцев назад

    Ccm haijampa myu kitu, wao ni majambazi wa kodi za watanzania

  • @gabrielsanya3278
    @gabrielsanya3278 5 месяцев назад

    Ally Happy, Acha porojo vyama vingi vilianzshwa na Mwalimu Nyerere nasio Mzee Rucksa. Rudi Maria wakufundishe sasa.

    • @rashidsuleiman9253
      @rashidsuleiman9253 5 месяцев назад

      Mfumo wa vyama nchini Tanzania kwanza tukubaliane ulirejeshwa mwaka 1992. nimetumia neno kurejeshwa na sio kuanzishwa kwani hapo awali ulikuepo huo mfumo lakini ukafutwa na huyo Nyerere usemae wakati akiwa rais wa Tanzaina. Mnamo Novemba 1985 mpaka Novemba 1995 rais wa Tanzania alikua Mzee Ali Hassan Mwinyi. sasa labda unaweza kutusaidia kutwambia ni kigezo gani unachotumia na kusema mfumo wa vyama vingi uliletwa na Nyerere na sio Mwinyi? tusaidie tafadhali.

  • @Yuken-gh1kf
    @Yuken-gh1kf 5 месяцев назад

    Mwinyi ni Mzanzibari?

  • @PoulFred
    @PoulFred 5 месяцев назад

    Wew siyo Ally tena ni wali jibu hoja za tundu lisu siyo kubwabwaja tu au kilimo cha nyanya kimekuchota hakir zote kichwani umekuwa kama tango

  • @mangenyanyondo8691
    @mangenyanyondo8691 5 месяцев назад +1

    Hoja za chadema huwezi kufafanua

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 5 месяцев назад

      Wana nini chadema wezi tu na nchi hawataongoza kamwe matako zenu

  • @eliajimmy95
    @eliajimmy95 5 месяцев назад

    Ccm bila kuongea uongo hawawezi.

  • @michaelbachubira7197
    @michaelbachubira7197 5 месяцев назад

    Kikokotoo kipo akipo?

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 5 месяцев назад

    Wewe ni mwongo natapeli, uhooooooooooooo. Nani nyi Watanzania mnaowauna mkono mmelanika hamjitambui mmedanganywa na vimos Tano,namtaburuzwa na CCM mpaka na vitukuu vyenu

  • @rejobu9723
    @rejobu9723 5 месяцев назад

    Ally hapi nakuamini sama lkn kwa Sasa unaaza kupoteza imani na Mimiushauri wangu achena kuficha moto kwani ipo siku Moshi utawaumbua au ndio kuchumia tumbo 😂😂😂😂

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go 5 месяцев назад

    Mimi ni Mzanzibari lakini sina imani na CCM hata mmoja

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 5 месяцев назад

      Ccm majambazi yaliyovaa suti

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 5 месяцев назад

    All hapi acha ujinga unatetea ujinga samia ameuza bandari zetu zoote sasa unatetea nini acha ubwege tumia akili

    • @labunaabouna6122
      @labunaabouna6122 5 месяцев назад

      Mzee mwinyi Sio kweli hakutoka zanzibar huyu jamaa anajua lkn anasema nini mbona muongo au nayeee hajui haha mwinyi katoka bara na ndio kwao

  • @HajiMakame-m8l
    @HajiMakame-m8l 5 месяцев назад

    Mwinyi katoka chapo mueshimiwa.ali mwenasheria wewe lakini humuezi tundulisu

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 5 месяцев назад +1

    TUNATAKA KATIBA MPYA ITAKAYOIFANYA TANGANYIKA KUWA NA KATIBA YAKE PIA NA MAAMUZI YAKE.HUYU ANAYE TUUZIA VITU VYETU ANAACHA KUUZA VYAO HAPANA

    • @elioimer8423
      @elioimer8423 5 месяцев назад

      Mwambie huyu kijana hatujui nchi anayoita Tanzania bara.

    • @elioimer8423
      @elioimer8423 5 месяцев назад

      Shida zote ya maswali unayotaka yajibiwe yameletwa na siasa mbovu za ccm sio chama kingine ndio mliokuwa mnatawala sasa unamsukumia Lissu ajibu wakati ndio mlituletea tabu zote.

  • @eliajimmy95
    @eliajimmy95 5 месяцев назад

    Wewe ni muongo, Nyerere ndiye aliyelazimisha mfumo wa vyama vingi, kila mtu anajua hivyo.

    • @rashidsuleiman9253
      @rashidsuleiman9253 5 месяцев назад

      suali sio kulazimisha, bali ni nani alieleta na kuruhusu. vipi unaweza kulazimisha kitu kama huna mamlaka nacho?

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 5 месяцев назад

      @@rashidsuleiman9253 kwani mwinyi alikuwa na mamlaka nacho

    • @rashidsuleiman9253
      @rashidsuleiman9253 5 месяцев назад

      @@eliajimmy95 ndio kwa sababu ndie aliekua rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Na kama hili hujui kaa kimya usisumbue watu huna ujualo

  • @fratelltutiilaudatosi4153
    @fratelltutiilaudatosi4153 5 месяцев назад

    Kwani aliuza bandari

  • @husseinjosephitocho6754
    @husseinjosephitocho6754 5 месяцев назад

    ally hapi acha ujinga we ni mtoto ujui kitu ally hassani mwinyi sio mzanzibar ni mtanganyika kwao ni pwani mkulanga kule Zanzibar aliamia akiwa na miaka mitano na izo pye pye pye zako unaongea utumbo tu

  • @mussamsilangamunubimussa2009
    @mussamsilangamunubimussa2009 5 месяцев назад +1

    Ally hapy ila auna akili unafikili sisi watanzania bado ni wajinga ww tulia majibu mwaka huu na mwakani

  • @Abs-tz8dl
    @Abs-tz8dl 5 месяцев назад

    Tutakufuta wewe, aache watanzania

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba9489 5 месяцев назад

    Maamuzi gani mbona husemi we dogo huwezi kumtisha mtu wewe na kwa lisu wewe ni kama ki vids achana treni yetu treni inapita huyo iache lisu hamumuwezi nyie wote mlobaki wezi tu we dogo ninchawa

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 5 месяцев назад

    Mjibu kwa hoja. Huu muungano ni miongoni mwa miungano ya hovyo kipindukia.
    Vijana njaa itawaua. Hivi kweli Ally Happy ndo wa kuongea utumbo kiasi hiki? Wajinga tu ndo wanakuelewa.

    • @paulstambuli7307
      @paulstambuli7307 5 месяцев назад

      jibu hoja ya nchi moja kuwa na katiba mbili pili je katiba ya zanzibar inawatambua watanzania au wazanzibar na mengine kadha wa kadha yaliyozungumzwa na mh. lissu