"Namuamini Dogo Janja kwa 80% sio 100%" Irene Uwoya ,Interview ya kwanza baada ya Ndoa
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Baada ya kukwepakwepa Interview nyingi za Media TZ baada ya Ndoa yake na Dogo Janja Irene Uwoya apiga Interview na team LeoTena ya Clouds Fm
Kama kuna mtu amemuona huyo Jose mara aliyekazana kumkodolea macho Irene ungana na mamimi hapa
wilonja hatua namuona namuona😂😂😂
namuonaa
wilonja hatua Hapo anawaza kwann simumliki janja anafaid 😂😂
agnec sanga sure
Anamuangalia uyo dada kiundani zaidi anamchukulia kama ana akili vizuli vile ninavyo hisi mimi kwenye hia zake Jose mara
Dahhh nimempenda sana Irene uwoya anajua kujieleza sana na ni mkweli sio hao wengine. Dahhhh mungu awaongoze ktk maisha yenu yote
Amina Mgaya ukweli kabisa
Wawoooooo nawapenda sana janja & uwoya mt kawekwa kat anaaibu hatariiiiiiii
Mungu awape maisha ya furaha na marefu.
Bariki Karoli HARMORAPA AIPONDA ALBUM YA DIAMOND click hapa ruclips.net/video/vcuwI1f-7jk/видео.html
Love you ireene. Jomba wa r chuga nimekukubali. Irene umfny revolution.........anythng s pssble.....
asante janjaroo unatuwakilisha chugaaaaa
She is very beautiful,na hana maringo kama dada wengine,mungu alinde ndoa yenu Irene
jmn wifi nakupenda. karibu Ar
Big up dogo janja nawapenda sanaa😍😍😍
Mashallah, nawapenda sana, shemela Janjaro nampenda sana kwenye interview yuko vizuri sana.
always beautiful nawapenda sana Irene wema hamisa an aunty Ezekiel huniambii kitu
It's not weird. My boyfriend lives in Tanzania and I live in Denmark but we love each other because we trust each other
Therese Christensen ..good, Am a Tanzanian and my boyfriend is danish😃
Therese Christensen nice wifi
N akupenda sana dada mungu aidumishe ndoa yako
congratulations mungu.awabariki.kwa.ndoa.yenu.munaoendena
sn.mungu.aweoe.mwisho.mwema.mzikane
True Love
....
Wish you all the best!!!
From Rwanda
Mwenyezi Mungu ailinde ndoa yenu nawapenda Sana Irene na Janjaro
Hahahaaa irine nampenda anampanda mumewe na anamuonea aibu mashallah
Amina Ally kwahilo nimempenda pia hata kama itakua anajifanyisha lakini mwanamke anastaili kua hivyo mbele zawatu... sio kama kina shilole na wengine mfano wake. mwanamke jicho kavu hamna hata chembe ya aibu hapo mdomoni nikiredio.. mpaka unajiuliza ikiwa mbele zawatu yuko hivi je huko ndani yanyumba itakuaje.....
Tulia mwaya bora ww umeolewa wamesema sasa hivi wametulia endelea na maisha yako na mumeo dada kuolewa na kuoa ni sunah ya Mtume s.w.s
Hadija Seleman Kidunda, umeona hee wengine wanakesha kutafuta ndoa mwenzangu mwanume mwanaume tu
Hadija Seleman Kidunda HARMORAPA AIPONDA ALBUM YA DIAMOND click hapa ruclips.net/video/vcuwI1f-7jk/видео.html
kuolewa na mtoto/kumuoa mamayako ni laana
+Graphix Master kwani ni mama yake au baba yake kwani nani aliyesema lazima mwanaume amzidi mwanamke
+Graphix Master 😂😂😂😂 mtume Muhamad alimuoa bi Aysha akiwa mdogo miaka 25 chini ya bi Aysha kiliharibika kipi??
nimefurahi sana nakupenda uwoya
Nawapenda sanaa Iren na dogo janja
Dogo Janja umekua sana mdogo wangu HONGERA
Mapenzi hayoo hadiraaa....nice
Ni kweli umri namba poa sana
Nakukubali m2 wangu wa nguvu janjaro
These people are really making good couple
jamani huyo Jose hapo nyumaaa kaaah..! ilo jicho utazani paka mwizi
😂😂😂😂
Haaaaaa nimechk kifalaaa sanaaaa khaaaaa😅😅😅😅🤣
mungu awape maisha marefu
Mama Irene wewe naona vile unafanya macho wewe umependa sana Kadogo" I can see u you are so inlove🤗
mungu awalinde kwenye ndoa yenuuuu
Wish you happy marriage Irene
Mungu aipe maisha marefu ndoa hii
Nakukubali sana dada napenda uchezaj wako mm nimsanii chipukiz naww ndo lory moddle wangu nataman sikumoja tufanye kaz pamoja
Ongea bc Jaman dada nakupenda pole kwa aibu
Saed Kaoneka 😂😂😂
yan ww 😂😂
Saed Kaoneka kweli nimeamin irene anampenda dogo
Saumu Hassan 😘
hongera kuolewa suna watu tunakesha tukiomba hta tuolewe tu lkn WAP😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
Dogo kiwukweli unajuwa kujihereza kushinda wengi apo bongo
Godfroid Basubire anajihereza kwelikweli
sanaaaa aaiiseee joombaa
Sasa kumbe dogo janja amenunua gazeti jioni
Nawapenda sawa
nmpenda iren anajielewaa sanaaa2
huyo kaka jicho vpiiii mke wamtu huyo
Kuna lijamaa hapo kushoto kwa Irene limekaa kama bod guard limedindisha kinomaaaa
nakupenda sana Irene
Aiseee Irene umenichekesha
Dunia sasa imekwisha yaani watu ndio mmefanya mradi mkubwa wa kufuatilia maisha ya watu
Huaga nackia mkiristo akibadili dini anabadili hadi na jina ila kwa Irine hatujui jina lake la kiislamu.
Aaah Dogo Janja ni MJANJA asee. Hii Toto ni Motooo...
Jose jicho hilooo mmmmm kumuangalia mwenzio ivooo veepeee
Nawapenda sana
Namuona kama Jose mara kunakitu anakijua zaidi juu ya huyu Bibi arusi.anyway bigup Janjaro bigup Irine kwa uamuzi mgumu.Ewe mwenyezi bariki haya mahusiano yawe fundisho kwa wengi Amen.
Mungu awakalie maisha mema
Upo vzr Irene
Jmn nakupenda bure wifi..mpnde mpendane kweli tu n kaka ang.Allah awatangulie Inshallah
nimejikuta naipenda sana hii couple
Interview iko poa sana
asante Dada
Consider years interval before marriage, bless u xo much
nakupenda uwoya
nice Irene sema tu uyo jama kwa ilo jicho ni balaa
N kweli mwanaume wa kweli utamjua tu haj kwasababu akueleze gar na nyumba aliyokuwa nayo.....wanaume mjifunze kuwa opens sio sound hatuztak
I rene unabahati sana....Dada nakuombea uitenze doa yako Tena kwasana usikubali hata ckumoja kueka sikio lako wazi kwawanafiki wandoa yako Dada kuolewa nisuna
Honger mamy
Niko hapa 2021.like kwangu ambao yunaitizama huu mwaka..
janjarooo uko powa nakukubali sana
hamna ndoa hapa mara naitwa sheila mara mungu nimmoja dah hawa hapa ninachokiona ni busness tu tena usishangae huyu janjaro manager wake ni huyu dada so movies inaendelea hapo
Issa Saidi exactly hamna ndoa hapo
Nimependa San majibu yenu
Mbavu zangu jamani, xo Dogo sasa hivi hawezi fanya shooting na demu mwingine, inabidi awe dume jike, daah.
Nimtependa story
Duuuu uyo Jose maraa ayo mochii kama nomaaa
Big up janja
Respect
Shyness ya nini na huo umri utafikiri dada wa 12 years
Sasa uyo kaka kwa jicho ilo kwa IRENE vipee??😂😂🙄
Linda Sophia hehhehehe
jese macho hayo vip
😂😂😂😂😂
Anamuangalia kama anamdharau flani
😂😂😂😂😂😂😂
Janjarooooooooo ni noumahhhh cnaaaaa🔥🔥🔥🔝🔝🔝🔝👏👏👏
nampenda sana mke wa janjaro jamani
I like this couples be blessed
ninukuuu ktk hili usimchezee mungu sasa jamni harusigaani hainabaraka yamungu nahapo kunakitu kimejificha baadae mtainanini kitahappen
Issa Taslima mbn nyie islamic mnapenda sana watu waje kwa dini yenu?? ndoa kwan nan kasema lazma mbadili dini?? kila mtu anaweza baki dini yake ili mradi kila mtu anafata yale Yaliyopo ktk vitabu vya dini
Issa Taslima mmmmmmmmh
Hiv katoto vnabemendwa na haya makurubembe lkn havkomi ... mamaee
nc
tony nuru hahahaaa
Mbona hajielezi vzr
Jamani hilo jicho vipi😉😉😉
Irene lazima ukubali kazi ya mumeo. hyo cyo sawa
Love you🇷🇼🇷🇼🇷🇼❤️❤️❤️🌹
Nimeipenda
penda sana hawa watu
Nawaombeeni ndoa y enye Baraka telee
siku aliyoojiwa janjaro kuhusu ndoa nakumbuka jose alisema anaswali kwa irene mbona leo ajamuuliza kaishia kumkata jicho mpaka basi kulikoni naomba mumuulize jose kuhusu swali lake kwa irene kalifunika kwenye kapu kama anaweza anijibu
fatma fatma 😂😂😊 itakuwa kasha shoboka kwa mke wa mtu
+Abedi Jonas kweli nimeliona ilo mke wa mtu sumu au nyumbani kwa jose kunamaziwa?
nakamkata kweli
+Tunu Bashiri 😂😂umeona ee!
fatma fatma HARMORAPA AIPONDA ALBUM YA DIAMOND click hapa ruclips.net/video/vcuwI1f-7jk/видео.html
Mnamchekesha sna jmn
Ruqaiyah Ali HARMORAPA AIPONDA ALBUM YA DIAMOND click hapa ruclips.net/video/vcuwI1f-7jk/видео.html
Mbna eti huyo mtangazaji anatumbua jicho kma samak Kwa irene! Ata swal alosema atamuulza Irene hakumbuk tena! Hapo ni udenda unamshuka tu
safi
Nice irene tulia mwaya
mtangulizeni mungu
aaaah jaman wivuuu
yeah ndoa ya ukweli saaana
Mbna iren anashindwa kujieleza
IRENE TULIA SANA MAANA KUOLEWA NI BAHATI HASA HUKO KWENU BONGO WOOOOTE WANAWAKE MWENZAKE WANAKUONEA WIVU SANAAA... KUHUSU UNRI NO SUNNAH YETU YA MTUME TENA ABDUL NI MTOTO ANAONYESHA KWENYE MAPENZI SANA KWAKO.. NAKUOMBEENI DUA MZIDI KUPENDA INSHA ALLAH
I MEANT UMRI NI SUNNA YETU YA MTUME NAWAOMBEA DUA MZIDI I KUPENDANA OMAHA ALLAH..AGE JUST A NUMBER
Bora uko na mumeo halafu mmependeza.safi sana kipi bora umalaya au kuolewa na dogo.Mahaba niue
yaan musa hussen mbea jmn😂😂😂😂nimechekaa eti "hisia hisia onesha hisia"😂😂
Uyo jamaa aliekaa pemben ya uwoya namkubali sanaaaaa.
jamaa nahic ndio bingwa wa kuimba tanzania......daaa cjui nani alimshawishi aache kuimba akiamunguuuuu......brother rudi aiseeee
Hapan mm siwez kuamin km kunandoa apa
Irene unayo aibu hataree kitandani unaonekana nimtu sana kwa ma love love
Kwel dogo janja ana enjoy kitandan maana dah dude limekaa poa kinoma ila kama akizingua me navuta
Larick Mtui 😂😂😂
Larick Mtui hahahaha
Larick Mtui 😀😀😀😀😀😀😀halloooo
hahahaa
uwoya una aibu ww mwanamke unaolewa n mwanaume hata mama ako hajawahi kumonaa
hapana ndowa hapo
Dahuu usimsemee musa bana kama hajaelewa asisemeee 😂😂😂
Duh
Jose punguza kumkata jicho Irene jamani 😳😂😂😂😂