"Namuamini Dogo Janja kwa 80% sio 100%" Irene Uwoya ,Interview ya kwanza baada ya Ndoa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Baada ya kukwepakwepa Interview nyingi za Media TZ baada ya Ndoa yake na Dogo Janja Irene Uwoya apiga Interview na team LeoTena ya Clouds Fm

Комментарии • 435

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua2067 6 лет назад +106

    Kama kuna mtu amemuona huyo Jose mara aliyekazana kumkodolea macho Irene ungana na mamimi hapa

    • @graphixmaster6146
      @graphixmaster6146 6 лет назад

      wilonja hatua namuona namuona😂😂😂

    • @agnecsanga4131
      @agnecsanga4131 6 лет назад

      namuonaa

    • @agnecsanga4131
      @agnecsanga4131 6 лет назад +1

      wilonja hatua Hapo anawaza kwann simumliki janja anafaid 😂😂

    • @wilonjahatua2067
      @wilonjahatua2067 6 лет назад

      agnec sanga sure

    • @nancymohamedy6411
      @nancymohamedy6411 6 лет назад +1

      Anamuangalia uyo dada kiundani zaidi anamchukulia kama ana akili vizuli vile ninavyo hisi mimi kwenye hia zake Jose mara

  • @aminamgaya7511
    @aminamgaya7511 6 лет назад +8

    Dahhh nimempenda sana Irene uwoya anajua kujieleza sana na ni mkweli sio hao wengine. Dahhhh mungu awaongoze ktk maisha yenu yote

  • @vero.alfonse7083
    @vero.alfonse7083 6 лет назад +8

    Wawoooooo nawapenda sana janja & uwoya mt kawekwa kat anaaibu hatariiiiiiii

  • @barikikaroli6088
    @barikikaroli6088 6 лет назад +18

    Mungu awape maisha ya furaha na marefu.

    • @bonasofficial9116
      @bonasofficial9116 6 лет назад

      Bariki Karoli HARMORAPA AIPONDA ALBUM YA DIAMOND click hapa ruclips.net/video/vcuwI1f-7jk/видео.html

  • @raymondmichael7220
    @raymondmichael7220 6 лет назад +4

    Love you ireene. Jomba wa r chuga nimekukubali. Irene umfny revolution.........anythng s pssble.....

  • @mariamsekalutu8385
    @mariamsekalutu8385 6 лет назад +11

    asante janjaroo unatuwakilisha chugaaaaa

  • @lindamwakitawa7493
    @lindamwakitawa7493 6 лет назад +1

    She is very beautiful,na hana maringo kama dada wengine,mungu alinde ndoa yenu Irene

  • @danielmollel2513
    @danielmollel2513 6 лет назад +8

    jmn wifi nakupenda. karibu Ar

  • @salmaothman153
    @salmaothman153 6 лет назад +5

    Big up dogo janja nawapenda sanaa😍😍😍

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад +1

    Mashallah, nawapenda sana, shemela Janjaro nampenda sana kwenye interview yuko vizuri sana.

  • @rosechami649
    @rosechami649 6 лет назад +2

    always beautiful nawapenda sana Irene wema hamisa an aunty Ezekiel huniambii kitu

  • @theresechristensen8190
    @theresechristensen8190 6 лет назад +15

    It's not weird. My boyfriend lives in Tanzania and I live in Denmark but we love each other because we trust each other

  • @سلمىسيف-غ7خ
    @سلمىسيف-غ7خ 6 лет назад +3

    N akupenda sana dada mungu aidumishe ndoa yako

  • @aaassbb8895
    @aaassbb8895 6 лет назад

    congratulations mungu.awabariki.kwa.ndoa.yenu.munaoendena
    sn.mungu.aweoe.mwisho.mwema.mzikane

  • @bigwiketti9496
    @bigwiketti9496 6 лет назад

    True Love
    ....
    Wish you all the best!!!
    From Rwanda

  • @bahatibertha8822
    @bahatibertha8822 6 лет назад

    Mwenyezi Mungu ailinde ndoa yenu nawapenda Sana Irene na Janjaro

  • @aminaally93
    @aminaally93 6 лет назад +6

    Hahahaaa irine nampenda anampanda mumewe na anamuonea aibu mashallah

    • @fathermore9772
      @fathermore9772 6 лет назад +1

      Amina Ally kwahilo nimempenda pia hata kama itakua anajifanyisha lakini mwanamke anastaili kua hivyo mbele zawatu... sio kama kina shilole na wengine mfano wake. mwanamke jicho kavu hamna hata chembe ya aibu hapo mdomoni nikiredio.. mpaka unajiuliza ikiwa mbele zawatu yuko hivi je huko ndani yanyumba itakuaje.....

  • @hadijaselemankidunda1516
    @hadijaselemankidunda1516 6 лет назад +50

    Tulia mwaya bora ww umeolewa wamesema sasa hivi wametulia endelea na maisha yako na mumeo dada kuolewa na kuoa ni sunah ya Mtume s.w.s

    • @mwanaherimohamedy6978
      @mwanaherimohamedy6978 6 лет назад

      Hadija Seleman Kidunda, umeona hee wengine wanakesha kutafuta ndoa mwenzangu mwanume mwanaume tu

    • @bonasofficial9116
      @bonasofficial9116 6 лет назад

      Hadija Seleman Kidunda HARMORAPA AIPONDA ALBUM YA DIAMOND click hapa ruclips.net/video/vcuwI1f-7jk/видео.html

    • @graphixmaster6146
      @graphixmaster6146 6 лет назад

      kuolewa na mtoto/kumuoa mamayako ni laana

    • @mariamfabian558
      @mariamfabian558 6 лет назад +1

      +Graphix Master kwani ni mama yake au baba yake kwani nani aliyesema lazima mwanaume amzidi mwanamke

    • @msaflus2492
      @msaflus2492 6 лет назад

      +Graphix Master 😂😂😂😂 mtume Muhamad alimuoa bi Aysha akiwa mdogo miaka 25 chini ya bi Aysha kiliharibika kipi??

  • @neemamwinuka8525
    @neemamwinuka8525 6 лет назад +3

    nimefurahi sana nakupenda uwoya

  • @princesssalmahtz4531
    @princesssalmahtz4531 6 лет назад +1

    Nawapenda sanaa Iren na dogo janja

  • @swaleherajabu4662
    @swaleherajabu4662 6 лет назад +1

    Dogo Janja umekua sana mdogo wangu HONGERA

  • @rahimarajab4306
    @rahimarajab4306 6 лет назад +2

    Mapenzi hayoo hadiraaa....nice

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 6 лет назад +5

    Ni kweli umri namba poa sana

  • @abumoyo840
    @abumoyo840 6 лет назад +4

    Nakukubali m2 wangu wa nguvu janjaro

  • @kgchippy
    @kgchippy 6 лет назад +4

    These people are really making good couple

  • @janekajange7745
    @janekajange7745 6 лет назад +9

    jamani huyo Jose hapo nyumaaa kaaah..! ilo jicho utazani paka mwizi

  • @salmaothman153
    @salmaothman153 6 лет назад +6

    mungu awape maisha marefu

  • @kimah9855
    @kimah9855 6 лет назад

    Mama Irene wewe naona vile unafanya macho wewe umependa sana Kadogo" I can see u you are so inlove🤗

  • @aishahassan137
    @aishahassan137 6 лет назад +7

    mungu awalinde kwenye ndoa yenuuuu

  • @congratskendy1845
    @congratskendy1845 6 лет назад

    Wish you happy marriage Irene

  • @mojay793
    @mojay793 6 лет назад

    Mungu aipe maisha marefu ndoa hii

  • @Rossehunter-uy6ef
    @Rossehunter-uy6ef Год назад

    Nakukubali sana dada napenda uchezaj wako mm nimsanii chipukiz naww ndo lory moddle wangu nataman sikumoja tufanye kaz pamoja

  • @saidkaoneka2648
    @saidkaoneka2648 6 лет назад +14

    Ongea bc Jaman dada nakupenda pole kwa aibu

  • @pendorusota2884
    @pendorusota2884 6 лет назад

    hongera kuolewa suna watu tunakesha tukiomba hta tuolewe tu lkn WAP😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍

  • @godfroidbasubire8355
    @godfroidbasubire8355 6 лет назад +18

    Dogo kiwukweli unajuwa kujihereza kushinda wengi apo bongo

  • @acruxe5810
    @acruxe5810 6 лет назад +6

    Sasa kumbe dogo janja amenunua gazeti jioni

  • @alibinali_
    @alibinali_ 6 лет назад

    Nawapenda sawa

  • @mimahsaid2326
    @mimahsaid2326 6 лет назад +6

    nmpenda iren anajielewaa sanaaa2

  • @claragodfrey6740
    @claragodfrey6740 6 лет назад +13

    huyo kaka jicho vpiiii mke wamtu huyo

  • @georgesamwelchacha7680
    @georgesamwelchacha7680 6 лет назад +11

    Kuna lijamaa hapo kushoto kwa Irene limekaa kama bod guard limedindisha kinomaaaa

  • @asmahndagae9420
    @asmahndagae9420 6 лет назад

    nakupenda sana Irene

  • @alexandrinadomaino9868
    @alexandrinadomaino9868 6 лет назад +3

    Aiseee Irene umenichekesha

  • @sajeedavirani6331
    @sajeedavirani6331 6 лет назад +4

    Dunia sasa imekwisha yaani watu ndio mmefanya mradi mkubwa wa kufuatilia maisha ya watu

    • @khamisdaima1455
      @khamisdaima1455 6 лет назад

      Huaga nackia mkiristo akibadili dini anabadili hadi na jina ila kwa Irine hatujui jina lake la kiislamu.

  • @Ukis_
    @Ukis_ 6 лет назад +1

    Aaah Dogo Janja ni MJANJA asee. Hii Toto ni Motooo...

  • @sarahsamwel3019
    @sarahsamwel3019 6 лет назад +2

    Jose jicho hilooo mmmmm kumuangalia mwenzio ivooo veepeee

  • @fatmaamran9739
    @fatmaamran9739 6 лет назад

    Nawapenda sana

  • @MegaMtanzania
    @MegaMtanzania 6 лет назад

    Namuona kama Jose mara kunakitu anakijua zaidi juu ya huyu Bibi arusi.anyway bigup Janjaro bigup Irine kwa uamuzi mgumu.Ewe mwenyezi bariki haya mahusiano yawe fundisho kwa wengi Amen.

  • @areejareej1233
    @areejareej1233 6 лет назад

    Mungu awakalie maisha mema

  • @hassanmbarouk748
    @hassanmbarouk748 6 лет назад

    Upo vzr Irene

  • @hadijalihumbo5493
    @hadijalihumbo5493 6 лет назад

    Jmn nakupenda bure wifi..mpnde mpendane kweli tu n kaka ang.Allah awatangulie Inshallah

  • @nassoroshaweji4719
    @nassoroshaweji4719 6 лет назад

    nimejikuta naipenda sana hii couple

  • @mathewstanley4063
    @mathewstanley4063 6 лет назад +5

    Interview iko poa sana

  • @hamedalsaadi7350
    @hamedalsaadi7350 6 лет назад

    asante Dada

  • @sikojuma7882
    @sikojuma7882 6 лет назад

    Consider years interval before marriage, bless u xo much

  • @brightnessmmuni8081
    @brightnessmmuni8081 6 лет назад

    nakupenda uwoya

  • @audrineniyubahwe4781
    @audrineniyubahwe4781 6 лет назад

    nice Irene sema tu uyo jama kwa ilo jicho ni balaa

  • @graceapolinary4171
    @graceapolinary4171 6 лет назад

    N kweli mwanaume wa kweli utamjua tu haj kwasababu akueleze gar na nyumba aliyokuwa nayo.....wanaume mjifunze kuwa opens sio sound hatuztak

  • @benardcharo3860
    @benardcharo3860 6 лет назад

    I rene unabahati sana....Dada nakuombea uitenze doa yako Tena kwasana usikubali hata ckumoja kueka sikio lako wazi kwawanafiki wandoa yako Dada kuolewa nisuna

  • @rechok.k.m.5117
    @rechok.k.m.5117 6 лет назад

    Honger mamy

  • @bahatiagape7121
    @bahatiagape7121 2 года назад

    Niko hapa 2021.like kwangu ambao yunaitizama huu mwaka..

  • @mtafutajihachoki5937
    @mtafutajihachoki5937 6 лет назад

    janjarooo uko powa nakukubali sana

  • @issasaidi1019
    @issasaidi1019 6 лет назад +10

    hamna ndoa hapa mara naitwa sheila mara mungu nimmoja dah hawa hapa ninachokiona ni busness tu tena usishangae huyu janjaro manager wake ni huyu dada so movies inaendelea hapo

  • @mamamagita560
    @mamamagita560 6 лет назад +3

    Mbavu zangu jamani, xo Dogo sasa hivi hawezi fanya shooting na demu mwingine, inabidi awe dume jike, daah.

  • @michaeltuingilegewaubaridi8570
    @michaeltuingilegewaubaridi8570 6 лет назад

    Nimtependa story

  • @modestsanga1495
    @modestsanga1495 6 лет назад +1

    Duuuu uyo Jose maraa ayo mochii kama nomaaa

  • @sadickallykingengena4034
    @sadickallykingengena4034 6 лет назад

    Big up janja

  • @paschallito656
    @paschallito656 6 лет назад

    Respect

  • @pennystang6065
    @pennystang6065 6 лет назад +2

    Shyness ya nini na huo umri utafikiri dada wa 12 years

  • @lindasophia1288
    @lindasophia1288 6 лет назад +39

    Sasa uyo kaka kwa jicho ilo kwa IRENE vipee??😂😂🙄

  • @goodluckymartin334
    @goodluckymartin334 6 лет назад

    Janjarooooooooo ni noumahhhh cnaaaaa🔥🔥🔥🔝🔝🔝🔝👏👏👏

  • @zenaakimaro9063
    @zenaakimaro9063 6 лет назад

    nampenda sana mke wa janjaro jamani

  • @darriesyvonne7527
    @darriesyvonne7527 6 лет назад

    I like this couples be blessed

  • @issataslima6280
    @issataslima6280 6 лет назад +5

    ninukuuu ktk hili usimchezee mungu sasa jamni harusigaani hainabaraka yamungu nahapo kunakitu kimejificha baadae mtainanini kitahappen

    • @smillingandfunnytv8008
      @smillingandfunnytv8008 6 лет назад

      Issa Taslima mbn nyie islamic mnapenda sana watu waje kwa dini yenu?? ndoa kwan nan kasema lazma mbadili dini?? kila mtu anaweza baki dini yake ili mradi kila mtu anafata yale Yaliyopo ktk vitabu vya dini

    • @sharijohn6207
      @sharijohn6207 6 лет назад

      Issa Taslima mmmmmmmmh

  • @tonynuru435
    @tonynuru435 6 лет назад +7

    Hiv katoto vnabemendwa na haya makurubembe lkn havkomi ... mamaee

  • @lucyngare8993
    @lucyngare8993 6 лет назад

    Mbona hajielezi vzr

  • @bantuempress1744
    @bantuempress1744 6 лет назад +3

    Jamani hilo jicho vipi😉😉😉

  • @sophiakihongo9221
    @sophiakihongo9221 6 лет назад

    Irene lazima ukubali kazi ya mumeo. hyo cyo sawa

  • @OdilleMukundente
    @OdilleMukundente 5 месяцев назад

    Love you🇷🇼🇷🇼🇷🇼❤️❤️❤️🌹

  • @bashirhasan255
    @bashirhasan255 6 лет назад

    Nimeipenda

  • @faridahangedo5554
    @faridahangedo5554 6 лет назад

    Nawaombeeni ndoa y enye Baraka telee

  • @fatmamajuu5255
    @fatmamajuu5255 6 лет назад +20

    siku aliyoojiwa janjaro kuhusu ndoa nakumbuka jose alisema anaswali kwa irene mbona leo ajamuuliza kaishia kumkata jicho mpaka basi kulikoni naomba mumuulize jose kuhusu swali lake kwa irene kalifunika kwenye kapu kama anaweza anijibu

    • @moshimongelwa7795
      @moshimongelwa7795 6 лет назад

      fatma fatma 😂😂😊 itakuwa kasha shoboka kwa mke wa mtu

    • @fatmamajuu5255
      @fatmamajuu5255 6 лет назад

      +Abedi Jonas kweli nimeliona ilo mke wa mtu sumu au nyumbani kwa jose kunamaziwa?

    • @tunubashiri4118
      @tunubashiri4118 6 лет назад

      nakamkata kweli

    • @fatmamajuu5255
      @fatmamajuu5255 6 лет назад

      +Tunu Bashiri 😂😂umeona ee!

    • @bonasofficial9116
      @bonasofficial9116 6 лет назад

      fatma fatma HARMORAPA AIPONDA ALBUM YA DIAMOND click hapa ruclips.net/video/vcuwI1f-7jk/видео.html

  • @ruqaiyahali8055
    @ruqaiyahali8055 6 лет назад +4

    Mnamchekesha sna jmn

    • @bonasofficial9116
      @bonasofficial9116 6 лет назад

      Ruqaiyah Ali HARMORAPA AIPONDA ALBUM YA DIAMOND click hapa ruclips.net/video/vcuwI1f-7jk/видео.html

  • @husnamarandu8380
    @husnamarandu8380 6 лет назад +4

    Mbna eti huyo mtangazaji anatumbua jicho kma samak Kwa irene! Ata swal alosema atamuulza Irene hakumbuk tena! Hapo ni udenda unamshuka tu

  • @elphaceleleo5870
    @elphaceleleo5870 6 лет назад

    safi

  • @stainasmkoko604
    @stainasmkoko604 6 лет назад

    Nice irene tulia mwaya

  • @abdallahmohamed8997
    @abdallahmohamed8997 6 лет назад +1

    mtangulizeni mungu

  • @queenluizy1508
    @queenluizy1508 6 лет назад +1

    aaaah jaman wivuuu

  • @jiongezetv6896
    @jiongezetv6896 6 лет назад +1

    yeah ndoa ya ukweli saaana

  • @asiazuberi2624
    @asiazuberi2624 6 лет назад +2

    Mbna iren anashindwa kujieleza

  • @ashuraomar4935
    @ashuraomar4935 6 лет назад

    IRENE TULIA SANA MAANA KUOLEWA NI BAHATI HASA HUKO KWENU BONGO WOOOOTE WANAWAKE MWENZAKE WANAKUONEA WIVU SANAAA... KUHUSU UNRI NO SUNNAH YETU YA MTUME TENA ABDUL NI MTOTO ANAONYESHA KWENYE MAPENZI SANA KWAKO.. NAKUOMBEENI DUA MZIDI KUPENDA INSHA ALLAH

    • @ashuraomar4935
      @ashuraomar4935 6 лет назад

      I MEANT UMRI NI SUNNA YETU YA MTUME NAWAOMBEA DUA MZIDI I KUPENDANA OMAHA ALLAH..AGE JUST A NUMBER

  • @kesiamenyaulilaizer392
    @kesiamenyaulilaizer392 6 лет назад

    Bora uko na mumeo halafu mmependeza.safi sana kipi bora umalaya au kuolewa na dogo.Mahaba niue

  • @sky-wz5zi
    @sky-wz5zi 6 лет назад +3

    yaan musa hussen mbea jmn😂😂😂😂nimechekaa eti "hisia hisia onesha hisia"😂😂

  • @mchemungukifokipo4287
    @mchemungukifokipo4287 6 лет назад +3

    Uyo jamaa aliekaa pemben ya uwoya namkubali sanaaaaa.
    jamaa nahic ndio bingwa wa kuimba tanzania......daaa cjui nani alimshawishi aache kuimba akiamunguuuuu......brother rudi aiseeee

  • @rosemarybenjamin4333
    @rosemarybenjamin4333 6 лет назад +12

    Hapan mm siwez kuamin km kunandoa apa

  • @muhammadnufailmuhammadnufa4261
    @muhammadnufailmuhammadnufa4261 6 лет назад

    Irene unayo aibu hataree kitandani unaonekana nimtu sana kwa ma love love

  • @larickmtui2852
    @larickmtui2852 6 лет назад +14

    Kwel dogo janja ana enjoy kitandan maana dah dude limekaa poa kinoma ila kama akizingua me navuta

  • @mwanashazinga9538
    @mwanashazinga9538 6 лет назад +1

    hapana ndowa hapo

  • @KidotiTwiga
    @KidotiTwiga 6 лет назад +4

    Dahuu usimsemee musa bana kama hajaelewa asisemeee 😂😂😂

  • @twahagora5127
    @twahagora5127 6 лет назад

    Duh

  • @shaniarthur4266
    @shaniarthur4266 6 лет назад +1

    Jose punguza kumkata jicho Irene jamani 😳😂😂😂😂