Kwa wale tunaojua mziki huu ndy mziki ambao hauwezi kufa hata siku moja, kuanzia Melody mpaka waimbaji ni raha tupu, ila watanzania wengi hawajui muzik ila wanajua kelele za muzik that's why kuna baadhi ya wanamuzik wanaoneka wanajua kuliko hawa wenye vipaji vya mziki not only that pia mziki umeshiliwa na watu bila wao mtu huwezi kunufaika na kipaji chako,unadhani kama kweli watanzania wanajua mziki na biashara ya mziki ikawa free bila kushikiliwa na watu wachache si hv vipaji vya msechu na Amini wangekuwa milionea kuliko hv ambavyo unawaona wanapiga mziki wa kuganga na njaa, Amini and Msechu nawakubali sana kaka,msijali kuna siku ukweli utajulikana, like kama tuko pamoja kwa wale wanaojua mziki
Ukilinganisha huu mziki na mziki wa sasa unaona tu tofauti hauhitaji nguvu nyingi kutambua. hii nyimbo unaisikiliza hata na mzee wako. unajenga na wala matusi hakuna. good stuff
Ila Hapa Ulinipiga Na Kitu Kizito Sana. Nimelijua Hili Baada Ya Kuoa Na Kuwa Na Maisha Yangu Mwenyewe. Huko Kucheza Na Part yako Hujapenda Wala Huogopi Maradhi Labda Pia Huyo Awe Mpangaji Mwenzio Ila Siyo Mke Wala Ndugu yako Ayafanye Hayo. Karibu 2022 Tuko Pamoja
Nyota na ing'ae kwako weee nakuombeaa wao wao waooooo duuh bonge la ngoma...msechu na amin mmeua...yani kazi nzuri mno great music everything on point...sichoki kusikiliza yani naimba hata nikiwa bafuni...keep up the good spirit...msechu yo funny tho mwishoni pale wakati unabugia nyama sijui kuku ileee lol...
Amini Amini una sauti amaizing Sana yaan after Alikiba unaweza kuwa Ni wewe, ila unafanya mzaha na muziki huu jaribu kutoa nyimbo serious hasa usikae Sana toa nyimbo Mara kwa Mara na shirikisha watu akina mr.blue na kiba mwenyewe, Mimi mwenyewe Ni mshabiki wako mkubwa Sana naumia kuona uko kimya jaribu usikubali kuwekwa chini ng'ang'ania kwenye chati kaka
Msechuuu kiooo kimetulia sana but jaribu kusimama umoumo ulipotaka kwenda kule tunge kupoteza ile staili ya babalevo mwachie mwenyewe wewe una pita umo AMINI :niskiapo umetoa kitu kipya uwa cjiulizi najua ni shiiiiidaaaah kijana unajua na umo kwenye iyo ngoma daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Wenzetu wana sema NO coment.
Kaka Peter Msechu uko vizuri sana kisha umeshirikisha kijana moja makini sana kjwenye gemu Amini, yaani mumepiga kolabo ya nguvu mussishiye hapo tu leteni mavitu za nguvu. Aisee huu wimbo kila nikiusikia lazima nituliye nisikilize midundo na sauti, usisahau na vina....
Tunaongalia huu wimbo 2024 like hapa❤
It’s 2024 and it’s still a hot banger🔥🔥👏
Nipo 2024 ngonga like
2024 nipe like zang
2024 kama uko live na goma kali kama hili piga like yako kibabee
.......2024 hii ngoma 🔥
Uliye husika kuungalia huu wimbo 2020 naomba tupiaa like ako hapoo
best of all time ( Nyota na ing'ae kwako we bwana amini...nakuombea bado 2024🎉😢
Wimbo mkali sana huu, 2024 mpaka leo unadum
Naikubali sana ii ngoma 2023 gonga like hapa
Bonge la ngoma kama uwelewi utaelewa tu Bigap
Kwa wale tunaojua mziki huu ndy mziki ambao hauwezi kufa hata siku moja, kuanzia Melody mpaka waimbaji ni raha tupu, ila watanzania wengi hawajui muzik ila wanajua kelele za muzik that's why kuna baadhi ya wanamuzik wanaoneka wanajua kuliko hawa wenye vipaji vya mziki not only that pia mziki umeshiliwa na watu bila wao mtu huwezi kunufaika na kipaji chako,unadhani kama kweli watanzania wanajua mziki na biashara ya mziki ikawa free bila kushikiliwa na watu wachache si hv vipaji vya msechu na Amini wangekuwa milionea kuliko hv ambavyo unawaona wanapiga mziki wa kuganga na njaa, Amini and Msechu nawakubali sana kaka,msijali kuna siku ukweli utajulikana, like kama tuko pamoja kwa wale wanaojua mziki
It's 2023, april.but this song hits as if it's new.its a timeless jam.
Bado tupo nao 2024❤❤❤
kaka ujumbe umefika kwa jamii, umewagusa wengi hasa wenye ndoa zenye matatizo, wakisikiliza ujumbe huu wanavamiwa na machozi.
PAMOJA SANA
Ukilinganisha huu mziki na mziki wa sasa unaona tu tofauti hauhitaji nguvu nyingi kutambua. hii nyimbo unaisikiliza hata na mzee wako. unajenga na wala matusi hakuna. good stuff
"We don't search for old songs"
"We search for gold memories"🎶🎶
2024
Everlasting masterpiece🎉❤
Ambao bado wanangalia ngoma hii mwaka huu naomba like
Hongera kwa kutimiza viewers million 1
Kwakweli ya Amini Ni Madogo, Tatoo Tu inamliza, ILA nimependa hapo mwisho unaona bora ule zako Tu, halafu ukampa "KWENDRAAAAAAAAAA"
Nyota naing'aeee kwakoeee nakuombeaaa
Nipo hapa kuwajua wanaoangilia 2024
Amin na Msechu,kwakweli nawakubali,dah....mungu azidi kuwapaisha kwakweli,nikimfikiria Linah,cjui kwanini aliamua kutemana na Amin kwakweli
Hongera kwa kufikjsha views 1 million
Big up msechu kazi nzuri
The chemistry of those two guys is amizing...who's still watching this ngoma 2020..gonga like ya nguvu apa!
Am here 2020
La fredoh I'm here 🙌
I'm here 🙌
2020 watching with you 💋💋
2021 🙌🙌🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Huu wimbo ndio umekuwa chakula cha masikio yangu kwa sasa
Dua zao zmejibiwa
Kaka tunakusibiria to a mambo! Wimbo nyota yangu umejaa falsafa ya changamoto za ndoa!! Big up brother
Msechu upo juu huu wimbo umetulia.
Daah amazing song❤
Baada ya 1M nimekuja kuangalia tena 🔥🔥🔥
Tunao upenda huu wimbo bado 2019 achia like
Natamani my x girl friend angeisikia hii music.
ya good brother.
😂😂😂😂umeachwa au
huu wimbo uko bomba sana
Hakika .ni wimbo unao ishi ,living song .gonga like kama unakubaliana
Ila Hapa Ulinipiga Na Kitu Kizito Sana.
Nimelijua Hili Baada Ya Kuoa Na Kuwa Na Maisha Yangu Mwenyewe.
Huko Kucheza Na Part yako Hujapenda Wala Huogopi Maradhi Labda Pia Huyo Awe Mpangaji Mwenzio Ila Siyo Mke Wala Ndugu yako Ayafanye Hayo.
Karibu 2022 Tuko Pamoja
Here 2024 song is stil hot 🔥
Nyota na ing'ae kwako weee nakuombeaa wao wao waooooo duuh bonge la ngoma...msechu na amin mmeua...yani kazi nzuri mno great music everything on point...sichoki kusikiliza yani naimba hata nikiwa bafuni...keep up the good spirit...msechu yo funny tho mwishoni pale wakati unabugia nyama sijui kuku ileee lol...
It's 2023 and still I feel blessed listening to this song🙏
Nimeipenda sana hii Peter msechu, ni yanayonitokea sasa
pole
Duu pole
Stay blessed brother
Pole ndio mapenzi ila ushauli tafuta ela utakuwa na furaha
Xhem langu amini unaweza Tena xana gonna like
Amini Amini una sauti amaizing Sana yaan after Alikiba unaweza kuwa Ni wewe, ila unafanya mzaha na muziki huu jaribu kutoa nyimbo serious hasa usikae Sana toa nyimbo Mara kwa Mara na shirikisha watu akina mr.blue na kiba mwenyewe, Mimi mwenyewe Ni mshabiki wako mkubwa Sana naumia kuona uko kimya jaribu usikubali kuwekwa chini ng'ang'ania kwenye chati kaka
Moja ya wimbo wangu bora wa muda wote🔥🔥🔥
2024 mwezi wa 6 Tarehe 29 saa 12 jioni kama Bado unatazama Tujuane
From Zimbabwe and l love this song still watching 2021 👌
brother umefanya vizuri mpaka nimekukubali xana zidi kutoa nyingine mzuri zaidi ya hz
Nyimbo video inaonekana Kama mpy ❤❤❤nyimbo isiyoisha utam ❤❤
Niko hapa baada ya ngoma kuhit 1M😃 🔥 🔥 🔥🔥🔥
Ujumbe umefika kwa wote si mwanaume au mwanamke. Ila🥰🥰🥰
Msechu umetisha sana kaza buti utafika mbali
Nakuelewa sana kaka!!keep it up!!hakika ww ni mwanamuziki!!big up to you & amini!!!
Nimerudi kuuangalia huu wimbo na kuuskiliza
Nipo hapa kushuhudia 1M after six years
Hongera sana brow maana hii nyimbo ina mafundisho
Mudy Salum kaka ongeza bidii wimbo nyota ukojuu safi sana
kazi hii ilinipoza sana moyo miaka ile ya mateso
mr peter u deserve some thng this is awere song!!! great work
Namkumbuka dj arungu aiseee whose 2024
Kaz nzur # Amos msechu team
Kama bado unabisha hii ni nyimbo kali ya mda wote basi kaombewe
Msechu we ni zaidi ya msanii hongera mwene wachu
Nice song!
wow! Peter Msechu from all the way from Tusker Project Fame to the world! proud to be an East African. listening from Nairobi, Kenya.
to day 2024 may song still hitting,big up a lot broo
Mr msechu usikae kimya toa njimbo kali zaidi ya hii
Nyimbo nzur mno na Ina mafundisho
Nyimbo hii inanikumbusa Bali xana da lafiki yangu Steven da mungu amulaze mahali pema peponi 🙏😤😤
Michael Paulo steven ndio nani??
Ngoma Kali sanaaa 👊 👊🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ety saivi vijana wako kwenye Amapiano 😂😂😂🙌🙌
Hiyo vocal inayomalizia kwa mbaaali inaonyesha kweli msechu noma!
Ninekuongezeaaa viewers 😂😂😂 Una milioniii na moja😂🙆🏽♀️
Tisha sana msechu yaniii,gudgud bana ,,,,amin aminia ubaridi ubaridini
Zidi kusema na Mola ataitikaaa.... Aseee hii nyimboo ni yenyeweee kabisaaa
Nyimbo moja inakufanya itazamwe mapenzi kwa upana wake... Love always wins guys
2024 nimekuja kusikiliza nyimbo nzuri kutoka kwa Msechu
bonge la collabo mzee baba
Huu wimbo naukubali san
Nimekuja kutazama ih nyimbo baada ya Boflo Star Seach Kigoma
Duu nyota bonge ngona bado linaishii
unyamaa sanaaa
Alijitahidi sana kaimba wimbo unahusu inviromental issue
Wote tulio upa seport huu wimbo mpka elf 2020 tia comment hapa niambie umegundua nini mimi natamani hawa jamaa waungane kama rostam
Yamenikut imenibidi nije kuichek hii 2024 iko pw sn
Hii ilikua ni kitu bora sanaa kutoka kwenu asee...... 2020 bado tunaishi nayo.
Views ml moja hongera na mi ndo nimekuja kuona now
Msechuuu kiooo kimetulia sana but jaribu kusimama umoumo ulipotaka kwenda kule tunge kupoteza ile staili ya babalevo mwachie mwenyewe wewe una pita umo
AMINI :niskiapo umetoa kitu kipya uwa cjiulizi najua ni shiiiiidaaaah kijana unajua na umo kwenye iyo ngoma daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Wenzetu wana sema NO coment.
2019 and I still can't watch bongo flavour without listening to this nyota ing'ae kwenu nyote mnaouangalia huu mwimbo hadi leo
Msechu and Amini love your collabo, great job and i always love the message in this song.
Nimekuja kuview na mimi mwaka 2021
2023
Wlikutana mafundi tupu yaan Huwa sichoki kuusikiliza huu wimbo😊
msechu c uko juu uko mkali zaidi ya venye ulikuwa tpf
Wimbo mzuri brothers, huu ndio muziki tunautaka
Tunao Maliza mwaka 2020 huku bado tunaskiliza This good Music Pitisha like hapa Kizalendo
Kaka Peter Msechu uko vizuri sana kisha umeshirikisha kijana moja makini sana kjwenye gemu Amini, yaani mumepiga kolabo ya nguvu mussishiye hapo tu leteni mavitu za nguvu. Aisee huu wimbo kila nikiusikia lazima nituliye nisikilize midundo na sauti, usisahau na vina....
Peter Msechu naupenda wimbo wako hadi naumwa...doh..yaani good beat, good voice mmejitahidi keep it up
2021 but still hot
Mimi siwezi kuvumilia ujinga anakuja na mshikaji wake naona lazima niwachinje chinje siwezi kabisa
Mapenzi ni ya wawili kweli msechu wasioachana solemba. Very creative na hongera.
msechu nakukubali yamenikuta hayo
Sija wahi kuu choka mwimbo huu
Nalia na Mungu wangu😢
From Congo Brazzaville watching now
who else in 2019???
Ameshachora mas tatooo tatooo mpenzi wake mdanganyi hahaha kazi kwelikweeli