Peter msechu ft Amin Nyota ❨official music video❩ directed by einxer

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 дек 2014
  • Song title; NYOTA
    Song writers; PETER MSECHU & AMINI
    Audio producer; AMYZ/C9 RECORDS
    Video director; EINXER

Комментарии • 725

  • @luluanania-cb1bw
    @luluanania-cb1bw 3 месяца назад +68

    Tunaongalia huu wimbo 2024 like hapa❤

  • @goldenpoze
    @goldenpoze 5 месяцев назад +70

    It’s 2024 and it’s still a hot banger🔥🔥👏

  • @lilianwaflotina1288
    @lilianwaflotina1288 2 месяца назад +22

    Nipo 2024 ngonga like

  • @bizzonganilevanu9330
    @bizzonganilevanu9330 5 месяцев назад +41

    2024 nipe like zang

  • @perfectchikwende1707
    @perfectchikwende1707 Месяц назад +17

    2024 kama uko live na goma kali kama hili piga like yako kibabee

  • @ndegeboe7883
    @ndegeboe7883 2 месяца назад +9

    .......2024 hii ngoma 🔥

  • @jumachanewstrends6899
    @jumachanewstrends6899 4 года назад +230

    Uliye husika kuungalia huu wimbo 2020 naomba tupiaa like ako hapoo

  • @isabhatototwin6542
    @isabhatototwin6542 14 дней назад +1

    best of all time ( Nyota na ing'ae kwako we bwana amini...nakuombea bado 2024🎉😢

  • @goddamwakimi5889
    @goddamwakimi5889 16 дней назад +1

    Wimbo mkali sana huu, 2024 mpaka leo unadum

  • @fredythomas1848
    @fredythomas1848 Год назад +23

    Naikubali sana ii ngoma 2023 gonga like hapa

  • @AbrahmanAdballah-xm1yc
    @AbrahmanAdballah-xm1yc 19 дней назад +1

    Bonge la ngoma kama uwelewi utaelewa tu Bigap

  • @mbotasimon7188
    @mbotasimon7188 9 лет назад +17

    Kwa wale tunaojua mziki huu ndy mziki ambao hauwezi kufa hata siku moja, kuanzia Melody mpaka waimbaji ni raha tupu, ila watanzania wengi hawajui muzik ila wanajua kelele za muzik that's why kuna baadhi ya wanamuzik wanaoneka wanajua kuliko hawa wenye vipaji vya mziki not only that pia mziki umeshiliwa na watu bila wao mtu huwezi kunufaika na kipaji chako,unadhani kama kweli watanzania wanajua mziki na biashara ya mziki ikawa free bila kushikiliwa na watu wachache si hv vipaji vya msechu na Amini wangekuwa milionea kuliko hv ambavyo unawaona wanapiga mziki wa kuganga na njaa, Amini and Msechu nawakubali sana kaka,msijali kuna siku ukweli utajulikana, like kama tuko pamoja kwa wale wanaojua mziki

  • @dicksonbonyi9559
    @dicksonbonyi9559 Год назад +35

    It's 2023, april.but this song hits as if it's new.its a timeless jam.

  • @ChidyKenny-dc1ue
    @ChidyKenny-dc1ue 28 дней назад +2

    Bado tupo nao 2024❤❤❤

  • @victormgaya708
    @victormgaya708 9 лет назад +32

    kaka ujumbe umefika kwa jamii, umewagusa wengi hasa wenye ndoa zenye matatizo, wakisikiliza ujumbe huu wanavamiwa na machozi.
    PAMOJA SANA

    • @maverickcreativesolutions8285
      @maverickcreativesolutions8285 3 года назад

      Ukilinganisha huu mziki na mziki wa sasa unaona tu tofauti hauhitaji nguvu nyingi kutambua. hii nyimbo unaisikiliza hata na mzee wako. unajenga na wala matusi hakuna. good stuff

  • @realscholarships-bolde.2344
    @realscholarships-bolde.2344 23 дня назад +2

    "We don't search for old songs"
    "We search for gold memories"🎶🎶
    2024
    Everlasting masterpiece🎉❤

  • @rakshiminimakuka9802
    @rakshiminimakuka9802 2 года назад +8

    Ambao bado wanangalia ngoma hii mwaka huu naomba like

  • @samwelykashililika6530
    @samwelykashililika6530 3 года назад +1

    Hongera kwa kutimiza viewers million 1

  • @amosjulius1523
    @amosjulius1523 7 лет назад +16

    Kwakweli ya Amini Ni Madogo, Tatoo Tu inamliza, ILA nimependa hapo mwisho unaona bora ule zako Tu, halafu ukampa "KWENDRAAAAAAAAAA"

  • @salha.d5060
    @salha.d5060 8 месяцев назад +1

    Nyota naing'aeee kwakoeee nakuombeaaa

  • @OmarmakameHaji
    @OmarmakameHaji 8 дней назад

    Nipo hapa kuwajua wanaoangilia 2024

  • @zumibrown1939
    @zumibrown1939 9 лет назад +2

    Amin na Msechu,kwakweli nawakubali,dah....mungu azidi kuwapaisha kwakweli,nikimfikiria Linah,cjui kwanini aliamua kutemana na Amin kwakweli

  • @sele2507
    @sele2507 3 года назад +4

    Hongera kwa kufikjsha views 1 million

  • @frolajoseph6937
    @frolajoseph6937 Год назад +1

    Big up msechu kazi nzuri

  • @lafredoh2953
    @lafredoh2953 4 года назад +125

    The chemistry of those two guys is amizing...who's still watching this ngoma 2020..gonga like ya nguvu apa!

  • @jumawaziri4217
    @jumawaziri4217 8 лет назад +17

    Huu wimbo ndio umekuwa chakula cha masikio yangu kwa sasa

  • @AM-mx6ns
    @AM-mx6ns 9 лет назад +11

    Kaka tunakusibiria to a mambo! Wimbo nyota yangu umejaa falsafa ya changamoto za ndoa!! Big up brother

  • @jumalichawi4223
    @jumalichawi4223 9 лет назад +1

    Msechu upo juu huu wimbo umetulia.

  • @josephmagembe4294
    @josephmagembe4294 4 месяца назад +2

    Daah amazing song❤

  • @freddieelice6377
    @freddieelice6377 3 года назад +5

    Baada ya 1M nimekuja kuangalia tena 🔥🔥🔥

  • @edwingwesso129
    @edwingwesso129 5 лет назад +91

    Tunao upenda huu wimbo bado 2019 achia like

  • @sadockgotta962
    @sadockgotta962 8 лет назад +14

    Natamani my x girl friend angeisikia hii music.
    ya good brother.

  • @MaridadiRashidilikwesoLikweso
    @MaridadiRashidilikwesoLikweso 7 дней назад

    huu wimbo uko bomba sana

  • @isaacluvanda5022
    @isaacluvanda5022 3 года назад +3

    Hakika .ni wimbo unao ishi ,living song .gonga like kama unakubaliana

  • @babyruhuu9478
    @babyruhuu9478 Год назад

    Ila Hapa Ulinipiga Na Kitu Kizito Sana.
    Nimelijua Hili Baada Ya Kuoa Na Kuwa Na Maisha Yangu Mwenyewe.
    Huko Kucheza Na Part yako Hujapenda Wala Huogopi Maradhi Labda Pia Huyo Awe Mpangaji Mwenzio Ila Siyo Mke Wala Ndugu yako Ayafanye Hayo.
    Karibu 2022 Tuko Pamoja

  • @tuzungumzeafya
    @tuzungumzeafya 2 месяца назад +3

    Here 2024 song is stil hot 🔥

  • @abm4183
    @abm4183 9 лет назад +23

    Nyota na ing'ae kwako weee nakuombeaa wao wao waooooo duuh bonge la ngoma...msechu na amin mmeua...yani kazi nzuri mno great music everything on point...sichoki kusikiliza yani naimba hata nikiwa bafuni...keep up the good spirit...msechu yo funny tho mwishoni pale wakati unabugia nyama sijui kuku ileee lol...

  • @suinance-jr
    @suinance-jr Год назад +16

    It's 2023 and still I feel blessed listening to this song🙏

  • @harifumunir6004
    @harifumunir6004 9 лет назад +70

    Nimeipenda sana hii Peter msechu, ni yanayonitokea sasa

  • @emmanuelkarera7155
    @emmanuelkarera7155 4 года назад +1

    Amini Amini una sauti amaizing Sana yaan after Alikiba unaweza kuwa Ni wewe, ila unafanya mzaha na muziki huu jaribu kutoa nyimbo serious hasa usikae Sana toa nyimbo Mara kwa Mara na shirikisha watu akina mr.blue na kiba mwenyewe, Mimi mwenyewe Ni mshabiki wako mkubwa Sana naumia kuona uko kimya jaribu usikubali kuwekwa chini ng'ang'ania kwenye chati kaka

  • @edgarmagogozwa9175
    @edgarmagogozwa9175 8 месяцев назад +1

    Moja ya wimbo wangu bora wa muda wote🔥🔥🔥

  • @user-kg4wp4hr5d
    @user-kg4wp4hr5d День назад

    2024 mwezi wa 6 Tarehe 29 saa 12 jioni kama Bado unatazama Tujuane

  • @princemazani4066
    @princemazani4066 3 года назад +10

    From Zimbabwe and l love this song still watching 2021 👌

  • @fredylickykayansikorey6937
    @fredylickykayansikorey6937 7 лет назад +1

    brother umefanya vizuri mpaka nimekukubali xana zidi kutoa nyingine mzuri zaidi ya hz

  • @jamilahsakina1561
    @jamilahsakina1561 Год назад

    Nyimbo video inaonekana Kama mpy ❤❤❤nyimbo isiyoisha utam ❤❤

  • @Mrs.Adam7
    @Mrs.Adam7 3 года назад +2

    Niko hapa baada ya ngoma kuhit 1M😃 🔥 🔥 🔥🔥🔥

  • @josephatmitimingi3016
    @josephatmitimingi3016 4 года назад

    Ujumbe umefika kwa wote si mwanaume au mwanamke. Ila🥰🥰🥰

  • @mussamwita2155
    @mussamwita2155 9 лет назад +1

    Msechu umetisha sana kaza buti utafika mbali

  • @fredysaligwekibanda5615
    @fredysaligwekibanda5615 9 лет назад +2

    Nakuelewa sana kaka!!keep it up!!hakika ww ni mwanamuziki!!big up to you & amini!!!

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 3 года назад +1

    Nimerudi kuuangalia huu wimbo na kuuskiliza

  • @Chiefmukama
    @Chiefmukama 3 года назад +1

    Nipo hapa kushuhudia 1M after six years

  • @wemamahulidiy2029
    @wemamahulidiy2029 Год назад +1

    Hongera sana brow maana hii nyimbo ina mafundisho

  • @mudysalum4093
    @mudysalum4093 8 лет назад

    Mudy Salum kaka ongeza bidii wimbo nyota ukojuu safi sana

  • @kibibimimi3927
    @kibibimimi3927 9 месяцев назад +1

    kazi hii ilinipoza sana moyo miaka ile ya mateso

  • @mbarukhamad7780
    @mbarukhamad7780 9 лет назад +11

    mr peter u deserve some thng this is awere song!!! great work

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk 3 месяца назад +1

    Namkumbuka dj arungu aiseee whose 2024

  • @johnsonpaulo2933
    @johnsonpaulo2933 3 года назад +1

    Kaz nzur # Amos msechu team

  • @mcbarton4252
    @mcbarton4252 3 года назад

    Kama bado unabisha hii ni nyimbo kali ya mda wote basi kaombewe

  • @TheKEBELO
    @TheKEBELO 9 лет назад

    Msechu we ni zaidi ya msanii hongera mwene wachu

  • @johnstoneolefa913
    @johnstoneolefa913 Год назад +3

    wow! Peter Msechu from all the way from Tusker Project Fame to the world! proud to be an East African. listening from Nairobi, Kenya.

  • @Georgeshema_0933
    @Georgeshema_0933 Месяц назад

    to day 2024 may song still hitting,big up a lot broo

  • @user-ew1ss7we7f
    @user-ew1ss7we7f 6 месяцев назад

    Mr msechu usikae kimya toa njimbo kali zaidi ya hii

  • @zaidihussein4311
    @zaidihussein4311 Год назад

    Nyimbo nzur mno na Ina mafundisho

  • @michaelpaulo626
    @michaelpaulo626 5 лет назад +1

    Nyimbo hii inanikumbusa Bali xana da lafiki yangu Steven da mungu amulaze mahali pema peponi 🙏😤😤

    • @petermsechu
      @petermsechu  5 лет назад

      Michael Paulo steven ndio nani??

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 3 года назад +1

    Ngoma Kali sanaaa 👊 👊🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @mcgabby
    @mcgabby Месяц назад

    Ety saivi vijana wako kwenye Amapiano 😂😂😂🙌🙌

  • @samsonmwakikuti5318
    @samsonmwakikuti5318 2 года назад

    Hiyo vocal inayomalizia kwa mbaaali inaonyesha kweli msechu noma!

  • @neemasulle4548
    @neemasulle4548 3 года назад +2

    Ninekuongezeaaa viewers 😂😂😂 Una milioniii na moja😂🙆🏽‍♀️

  • @michaeltuingilegewaubaridi8570
    @michaeltuingilegewaubaridi8570 9 лет назад +1

    Tisha sana msechu yaniii,gudgud bana ,,,,amin aminia ubaridi ubaridini

  • @shozylamparboom8393
    @shozylamparboom8393 4 года назад

    Zidi kusema na Mola ataitikaaa.... Aseee hii nyimboo ni yenyeweee kabisaaa

  • @sandykimmaster7977
    @sandykimmaster7977 Год назад +1

    Nyimbo moja inakufanya itazamwe mapenzi kwa upana wake... Love always wins guys

  • @vanessajames2192
    @vanessajames2192 5 месяцев назад

    2024 nimekuja kusikiliza nyimbo nzuri kutoka kwa Msechu

  • @michaelmmbishi1144
    @michaelmmbishi1144 7 лет назад +8

    bonge la collabo mzee baba

  • @GetrudaJedani
    @GetrudaJedani 2 месяца назад

    Huu wimbo naukubali san

  • @johnteonas3144
    @johnteonas3144 Год назад +1

    Nimekuja kutazama ih nyimbo baada ya Boflo Star Seach Kigoma

  • @nammavanguuchocho4680
    @nammavanguuchocho4680 3 года назад

    Duu nyota bonge ngona bado linaishii

  • @e-tvnews9231
    @e-tvnews9231 2 месяца назад +1

    unyamaa sanaaa

  • @atupakisyemwakikali6777
    @atupakisyemwakikali6777 5 месяцев назад

    Alijitahidi sana kaimba wimbo unahusu inviromental issue

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin941 3 года назад +3

    Wote tulio upa seport huu wimbo mpka elf 2020 tia comment hapa niambie umegundua nini mimi natamani hawa jamaa waungane kama rostam

  • @hansmswagara2789
    @hansmswagara2789 5 месяцев назад +1

    Yamenikut imenibidi nije kuichek hii 2024 iko pw sn

  • @hilalyissa5630
    @hilalyissa5630 4 года назад

    Hii ilikua ni kitu bora sanaa kutoka kwenu asee...... 2020 bado tunaishi nayo.

  • @erastonyaga875
    @erastonyaga875 3 года назад +4

    Views ml moja hongera na mi ndo nimekuja kuona now

  • @mhando2553
    @mhando2553 9 лет назад +4

    Msechuuu kiooo kimetulia sana but jaribu kusimama umoumo ulipotaka kwenda kule tunge kupoteza ile staili ya babalevo mwachie mwenyewe wewe una pita umo
    AMINI :niskiapo umetoa kitu kipya uwa cjiulizi najua ni shiiiiidaaaah kijana unajua na umo kwenye iyo ngoma daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
    Wenzetu wana sema NO coment.

  • @christineachieng6211
    @christineachieng6211 5 лет назад +3

    2019 and I still can't watch bongo flavour without listening to this nyota ing'ae kwenu nyote mnaouangalia huu mwimbo hadi leo

  • @didasela4929
    @didasela4929 9 лет назад +9

    Msechu and Amini love your collabo, great job and i always love the message in this song.

  • @charlessimon7728
    @charlessimon7728 3 года назад +4

    Nimekuja kuview na mimi mwaka 2021

  • @rehemaurungu1219
    @rehemaurungu1219 7 месяцев назад

    Wlikutana mafundi tupu yaan Huwa sichoki kuusikiliza huu wimbo😊

  • @joshuamogaka6042
    @joshuamogaka6042 8 лет назад

    msechu c uko juu uko mkali zaidi ya venye ulikuwa tpf

  • @hassanhimboko6249
    @hassanhimboko6249 9 лет назад +1

    Wimbo mzuri brothers, huu ndio muziki tunautaka

  • @praygodayubu4971
    @praygodayubu4971 3 года назад +2

    Tunao Maliza mwaka 2020 huku bado tunaskiliza This good Music Pitisha like hapa Kizalendo

  • @MrRammearly
    @MrRammearly 9 лет назад

    Kaka Peter Msechu uko vizuri sana kisha umeshirikisha kijana moja makini sana kjwenye gemu Amini, yaani mumepiga kolabo ya nguvu mussishiye hapo tu leteni mavitu za nguvu. Aisee huu wimbo kila nikiusikia lazima nituliye nisikilize midundo na sauti, usisahau na vina....

  • @leylanyenzi5821
    @leylanyenzi5821 9 лет назад

    Peter Msechu naupenda wimbo wako hadi naumwa...doh..yaani good beat, good voice mmejitahidi keep it up

  • @nuruhnyiti3190
    @nuruhnyiti3190 3 года назад +25

    2021 but still hot

  • @mdl6463
    @mdl6463 3 года назад +1

    Mimi siwezi kuvumilia ujinga anakuja na mshikaji wake naona lazima niwachinje chinje siwezi kabisa

  • @josephmwita8721
    @josephmwita8721 8 лет назад

    Mapenzi ni ya wawili kweli msechu wasioachana solemba. Very creative na hongera.

  • @nicelove4162
    @nicelove4162 9 лет назад

    msechu nakukubali yamenikuta hayo

  • @elastompamba2559
    @elastompamba2559 20 дней назад

    Sija wahi kuu choka mwimbo huu

  • @KeylineMkojera
    @KeylineMkojera 2 дня назад

    Nalia na Mungu wangu😢

  • @aguerowakujidai6509
    @aguerowakujidai6509 3 года назад

    From Congo Brazzaville watching now

  • @clementsimbila5035
    @clementsimbila5035 5 лет назад +28

    who else in 2019???

    • @simbadaudi492
      @simbadaudi492 5 лет назад

      Ameshachora mas tatooo tatooo mpenzi wake mdanganyi hahaha kazi kwelikweeli