Jinsi Mch.Katekela alivyookoka kutoka kwa Uchawi na Freemason•Ushauri wake kwa waliokuwa kama yeye

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 29

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess3846 8 месяцев назад +3

    Ubarikiwe zaidi nazaidi Mtumishi wa MUNGU

  • @stanslausmchena4021
    @stanslausmchena4021 8 месяцев назад +2

    Mchungaji hongera umefafanua vizuri Sana maana ya msalaba na mahusiano yetu na huo msalaba

  • @Spark8Technoo
    @Spark8Technoo 2 месяца назад +1

    Asante Mungu Kwa kunineemisha kuskia mafundisho haya

  • @princessprecious6995
    @princessprecious6995 3 месяца назад +1

    Mungu akutunze mtumishi wa Mungu

  • @MarthalukasHerman
    @MarthalukasHerman 8 месяцев назад +2

    Amen Mungu akibariki sana 🙏🙏🙏

  • @PrinceRevocatus
    @PrinceRevocatus 3 месяца назад +1

    Ubarikiwe sana mchungaji umenivusha sana unapatikana wapi

  • @GggyJhh-y4x
    @GggyJhh-y4x 7 месяцев назад

    Amina pastor kwa mafundisho mazuri uinuliwe viwango vya ju babaaa

  • @violetnasimiyu8718
    @violetnasimiyu8718 8 месяцев назад +1

    Amen mtumishi wa Mungu

  • @BenjaminiNgatitse-ut1oc
    @BenjaminiNgatitse-ut1oc 7 месяцев назад +1

    Mungu akubarikiwe mtumishi

  • @eliethmwanguya7118
    @eliethmwanguya7118 8 месяцев назад +1

    Hakika Mungu ni mwema

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 8 месяцев назад +1

    Amina Amina

  • @stephanoedward5763
    @stephanoedward5763 6 месяцев назад +1

    God is good

  • @marryhebron6185
    @marryhebron6185 7 месяцев назад

    Bwana Yesu asifiwe Mtumishi Mungu akubariki kwa kazi yake,mi na swali mbona bado una sema maneno ya kiarabu badhabauni

  • @Ndutiyefidele-l5h
    @Ndutiyefidele-l5h Месяц назад

    Bwana Yesu akubariki mimi niliwahi kufanya uganga kwaniokoke nikwanguvu yaYesu kwamba nilikubali kuchoma dawazote nilizokuwa nikitumiya kwakutibu watu namitishamba leohiinina fanyakazi yamungu nabwana akaniponya Sida ninamskuru bwana Yesuali yenisamehe zambina kuniponya Sida hiindiyo ushuda ninayoshudiya

    • @Ndutiyefidele-l5h
      @Ndutiyefidele-l5h Месяц назад

      Wafundivizuri kwamfundisho kwakusoma nenolamungu tundiyoushindi Amen

  • @GraceChabonga
    @GraceChabonga Месяц назад +1

    Mm nkuelewa sana mtumish ila je yesu amekuruhusu unyoe hvo mbna hta katika biblia andiko linakataza unyoaji huo je tusikilize neno tusikuanglie jinc ulivo?

  • @EliasHerman-qy4gt
    @EliasHerman-qy4gt 4 месяца назад +3

    Naomba uniombeee. Niupokeee uzima wa milel

  • @StephanoKayange
    @StephanoKayange 3 месяца назад +1

    Nitumie namba yako

  • @aggreyokemwa8314
    @aggreyokemwa8314 7 месяцев назад

    Hapo kwa mambo ya msalaba soma Hesabu 21:8 - 12 na Injili ya Yohana 3:14 Na utuambie vile unaelewa kuhusu msalaba 1 Wakorintho 1: 18

  • @veronicahkhaikwa4929
    @veronicahkhaikwa4929 5 месяцев назад +1

    Hapo kwa bibilia ukweli mtupu hata wao wana yao,ni heri kuchoma

  • @HelenKodi
    @HelenKodi 6 месяцев назад +1

    Ananibatiki sana

  • @MariciaMerchades
    @MariciaMerchades 6 месяцев назад

    Napenda kusikiliza ushuhuda wako, mbona ulibakiza bangili Ile yenye Raman ya Tanzania

  • @MadeleineOmbangazi
    @MadeleineOmbangazi 5 месяцев назад

    Kate lamungu akubariki naaendeliyekulinda

  • @stephanoedward5763
    @stephanoedward5763 6 месяцев назад

    😮😮😮😮😊❤🎉

  • @HelenKodi
    @HelenKodi 6 месяцев назад

    Mimi nashukuru kwa huyo mtumishi Katekela ananivariki sana naeza mpata vipi?

  • @samwelnaal7952
    @samwelnaal7952 8 месяцев назад

    Endelea kuwadanganya