Mie ni mwanamke pia lakin Wallah sitaki kabisa mume wangu Anione mie bora kuliko mama ake.Mke rafki tu mzazi wako ni pepo yake .wanawake tumeshindwa kujua kwamba pepo ya mume wako iko chini ya miguu ya Mama ake .Mimi kwangu ni Mama wake mume wangu ni moyo na mimi ni mapigo ya moyo.Allah Anipe mwenye Kheir Na mimi
Uchimbo tu! Ndio mana wari wa siku hz wamecharukwa! Familia zimekaa km hazina wazee mpaka kufunzwa mitandaoni? Wazee, ndugu na jamaa wapo wapi? Ndio mana hata hzo ndoa hazidumu kwa uchimbo mwingi wa mitandaoni
Allah akufanyie wepec katk safari yak ya mwisho ya akhera
Aamiin ya Rabb from Kenya..Msa 001
Pumzika kwa amani kungwi wetu Allah akupe daraja la juu in sha Allah
Allah akupokee mikono miwili akupe kauli thabiti kwenye safari yako yako ya mwisho na maisha mpya in sha Allah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭🇰🇪
mungu akupunguzie adhabu za kaburi
Innaalillah wainnaa ilayh rajiun
Allah akupe kauli thabit dada Fatma
Mashaallah you are right my dear mashaallah shukuran
Mwenyezi mungu alipe mwanga kaburi lako amiin na awatie nguvu ndugu jamaa na marafiki
nani yupo hapa baada ya kifo? njoo tujuane tumlilie wote
Innahlillah wainnah illah rajiun Allah amrehemu.
Allah akulaze pema peponi aameen
Asante sanaa Kungwi umegonga ndipo Mbona, Ni hivyo hivyo hasaaa.Hongeraaa ndimu mkata shombo.
Nimiaka imepita lakini bado namic yaraba akupunguzie adhabu ya kaburi😭
Innalillah wainna ilaih rajion, Allah akupe kauli thabit
Allah amsameh .ila dai anajuwa kuwamaliza wafanya kazi wa wasafi 😢
Allahumma ghafrllah warhmah waskan filjanah
Penda sana tuma
Inna ilahi Wainna ileyhi Rajiuun (R.i.p)
Mie ni mwanamke pia lakin Wallah sitaki kabisa mume wangu Anione mie bora kuliko mama ake.Mke rafki tu mzazi wako ni pepo yake .wanawake tumeshindwa kujua kwamba pepo ya mume wako iko chini ya miguu ya Mama ake .Mimi kwangu ni Mama wake mume wangu ni moyo na mimi ni mapigo ya moyo.Allah Anipe mwenye Kheir Na mimi
Yaani da!!!nakupenda kwahayo yoote Mungu akujalie asante kwa mafunzo🤗
@@mwajumakitano842 asante dear ameen
Innalillahi Wainna Ilayhii Rajiuun Allah Akulaze mahali pema Peponi Amiin
Innallilahi wainnailehi warajiun Allah akueke pema dada
Allah akurehemu mamy
Pumzika kwa aman mama la mama
Nimeipenda
Asante kungwi
Wallah unanifuraisha wakweeeee zangu ujumbe wahooo uyooo
Aallah aakurehem😭😭😭😭💔💔
Nini ilimfanya
Asante kungwi la ukwee
Ndim mkata xhomb unanikoxhaje hunagubu lamme walawfiii teeenaaa👌👌👌
Inna lillah wainna illahy rajiun
Tenaaaa waambieee hawoooo
Penda sana somo yke na mie
😃😃😃😃😃👌👌wambieeee waskieeee
Maa shaa Allaah bi Fatma binti Abdallaah umenena momy natamani nikuone live
Kungwiii Ahxnt umegusa kunako
Inna lillahi wainna ilahyi rajiun
Innalillah wa inalillah rajuun Allah akulaze mahali pema 😭😭
Mimi nimejuta haswaaaaaaaaa
Asanta somo
Shukran sana
R.i.p fatma ....😢😢😢
Umenenaa daa fatma
Yamenikuta hayo na mawifi
umenena dada
Sijuw aya mafunzo tutayotowa wapi pumuzika kwa amani Dada😭😭
amni
Inna lilah wainna ilahi lajihun
Innalilah wahinalilah rajiun 😥
RIP DADA FATUMA
Innalillah wainna ilaih raajiu'n,
Allah akupe kauli thabiti.
asante mamy
Hatar sana
Dunia bure
Inalilqh wainalilah rajuun
😅😅😅😅 mbona raha
AHSANTUM👌👌👌
Kukwigi... Niko kwa hiyo Ndoa...hata Sina Raha.... 😭😭😭😭
Pole
R.I.P Madame Fatma abdallah😢😢😢😢😢
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hatari sana wambie hao 😂😂😂😂😂😂
Duuh umegonga ndipo unt Fatma
Dah kila nafsi Itaonj umaut
R I P kungwi
That is exactly things sema moms do it guys come on you guys
Rest in peace
😭😭😭
Penda saana wee
Rip kungwi
👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌
Ukidelete ujumbe umefika
Nakushauri uvae soksi ukichooshamiguu yatisha madole yametokeza
Amira fathi nimecheka kwa sauti hahahaaaaa gubu hilo mdogo wng
Rukia Hassan hahhhah hapna wajua anapendeza akivaa nguozake mnyonge mnyongeni hakiake mpeni lakin mileo kklankitizama naona madole tu yesimuoni
+Amira Fathi madole kama virungu vya bendi hahahahaaaaaaa
Rukia Hassan hahhahhahhhahhahahahahahahahhahahhahahahahhahahahhahahaahaahahahahahah wasije kutublok
+Amira Fathi watakua gubu wanalo wao sie akaa
Bi Fatma anamisemo kama yote😅
RIP
Nauliza ivi kuna mnyalu anamaneno kam huyu jmni 😂😂mbon m siwez hata robo jamen
Hehehhe penda sana wee tuma mwenye utamu wako weeee
Rest in peace mom
Mama chibu na dada yake chibu ina wahusu hiyo 🤣🤣🤣
hahahaaaaaa jaman
Eeeeh kweliiii
Kweli kabisa
khanifa yusuf . Wewe
Hayo unayoyaongea yapo ni kweli lkn tuweni na staha na aibu wanawake
Inalillah wainaillah rajiun
mama dangoti na Esma wake mufuzwe na kungwi yale yaliyo mukita tanasha.mama dangoti yete paka cini yakitanda. petit mane alikibiya yeye
R.I.P
Nenanena bifatuma imefika
Wallah nyie mnasema tu Hao wanawake wanaolewa huwa si wazr
Halooooo hichi kipindi mama na mwana huwa wanakiangaliaga kweli Bi last saying
Tena Dada mawifi wamezidi waambie
Kwakweli😭😭😂😂😂😂😂😂
Dada umeolewa mi natafuta wife nahisi utanifaa wewe😍😘😘
mariaumu we wif au mama mkwe mbona imekuuma hahahah
Uchimbo tu! Ndio mana wari wa siku hz wamecharukwa! Familia zimekaa km hazina wazee mpaka kufunzwa mitandaoni? Wazee, ndugu na jamaa wapo wapi? Ndio mana hata hzo ndoa hazidumu kwa uchimbo mwingi wa mitandaoni
ushasema somu
MHHHH WASAFI MMEKOSA KIPINDI KABISA
Duuh
Create RUclips chanel
Ww unaelewa 2upe shoga
R l p
mm nataka hizo nguo tu
eka nambar ya simu
+966 kipindi nakipata vizuri 😀
hahahah
Rip
R.I.P
Rip
Rip
RIP