Mai Zumo kumbe ni tajiri hv,anamiliki jumba kubwa masaki na gari la kifahari

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 апр 2021
  • #maizumo #habibazumo #ankozumo #comedy

Комментарии • 56

  • @fauziadola3496
    @fauziadola3496 3 года назад +3

    Tatizo mai ako luck juu ndo msichana pekee na mungu kampa kipaji chake.mashallah mai hongera sna mamy.ila hiyo mali ndio nimepigwa tatu bila🤣🤣🤣🤣🤣

  • @faridaiddi104
    @faridaiddi104 3 года назад +4

    Mashallah mungu awalinde watoto wazuri jamni watoto wazuri

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 3 года назад +4

    Beautiful girl mai . Mungu awaweke kwa uzima ishaallah

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l 3 года назад +5

    Mama Mai beautiful sana

  • @mch7434
    @mch7434 3 года назад +3

    Kijana mdogo anahema sana fanya mazoezi

  • @amanikipondamali6354
    @amanikipondamali6354 3 года назад +2

    Ooh mai your very beautiful then wafanya kaz nzuriiiiiii mamy endelea hvhv

  • @mariamakanu1690
    @mariamakanu1690 3 года назад +3

    mashaallah nimekupenda mama mai

  • @superdeeboy6100
    @superdeeboy6100 3 года назад +2

    Ma ashallah familiy ongera san my na watot inapendez kwa kweli

  • @habbytzee6796
    @habbytzee6796 Год назад +1

    Mashallah love you Mai♥️

  • @pendohillrey1164
    @pendohillrey1164 3 года назад +4

    Mashallah mama mai ukona mwilimzuri mtu haezi amini ukona kijana mkubwa mungu awa zidishie

    • @omzahara5985
      @omzahara5985 3 года назад +1

      Wamke mwenzie uyo wake wawili tu lakin nimependa kasema wote wake

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 3 года назад +3

    Huyu mai anafana ma mamaake kibao

  • @amaniomballa1855
    @amaniomballa1855 3 года назад +5

    Kila mtoto Anakuja na baraka zake Fikilia kipaj na nyota ya Mai inawapa riziki familia nzima na wanaish kwa furaha Wadada msitoe mimba zetu ..kisa mnashaka na uwezo wa kuwatunza ..

  • @vesitinarevocatus7333
    @vesitinarevocatus7333 2 года назад +1

    Heee kumbe wote niwatoto wa zumo

  • @sudidoto9759
    @sudidoto9759 3 года назад +1

    Jamaa nyie waongo Mmmh izo kki zenu bhn mmh

  • @yassintaibrahim24
    @yassintaibrahim24 2 года назад +1

    Beautiful Family 🔥🔥🔥😘😘😘

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 3 года назад +2

    Ahhh hujuwi miaka yako wala kabila gani??? Vipi Mama Mai...

  • @aggyiddi1015
    @aggyiddi1015 3 года назад +1

    Mmmmm n mwapendeza

  • @subirielisamwazembe9562
    @subirielisamwazembe9562 3 года назад +6

    Mtoto wa Kwanza afanyishwe mazoezi pumzi Hana

    • @mchajuma4271
      @mchajuma4271 3 года назад

      Definitely kaka kinyume naivo itakua hatarii

  • @njmahn3262
    @njmahn3262 3 года назад +1

    Mashaallah

  • @wivinemwamini9110
    @wivinemwamini9110 3 года назад +2

    Mungu nimwema zumo

  • @zuhurasuleiman919
    @zuhurasuleiman919 3 года назад +1

    Mbona Shari Kama duster

  • @rehemamsuya2263
    @rehemamsuya2263 3 года назад +2

    Omari mbonge huyo

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 3 года назад +3

    Kumbe unawatoto weng honger

    • @khdigahk4246
      @khdigahk4246 3 года назад

      Habiba kazingua apo ao wakubwa wamke mwengine Waka kwanza wameachana

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 3 года назад +5

    Watangazaji acheni uchuro wenu huyu mtoto wa watu musianze kumuingiza kwenye ushindani wenu wa kijinga.

  • @laurinfred2931
    @laurinfred2931 3 года назад +2

    Hamuwezi kupata subsciber kwa aina hii

  • @azzaalmaamry5817
    @azzaalmaamry5817 3 года назад +3

    Maashaallah

  • @bokasa5150
    @bokasa5150 3 года назад +3

    Acheni stori za kitoro

  • @eissamwakapiki6660
    @eissamwakapiki6660 3 года назад +2

    Issa Mwakapiki

  • @nurunuru8072
    @nurunuru8072 3 года назад +2

    Huo utajiri mbona hatujauona??

  • @imamudaawaakakuma3674
    @imamudaawaakakuma3674 2 года назад +1

    Wameniwekea matangazo tayari

    • @THETHIRDTV_
      @THETHIRDTV_  2 года назад +1

      Hayo matangazo sio ya monetization..ni matangazo wanayowekewa watu wote ili uweze kulipwa unatakiwa kumonetize channel yako

    • @imamudaawaakakuma3674
      @imamudaawaakakuma3674 2 года назад

      @@THETHIRDTV_ Nitamunitaizi vipi nisaidie

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 3 года назад +1

    Makuma nyinyi uyo kikojozi amfikie mond

  • @priscaleonce5614
    @priscaleonce5614 3 года назад +1

    Huyu kaka yake mai apunguze mwili maana hata kupumua shida

  • @annasaidi9437
    @annasaidi9437 3 года назад

    Ni watoto wako niambie mama

  • @justinashayo3743
    @justinashayo3743 3 года назад +3

    Kwenda zako una miaka 42 wewe. Uso si unaonekana?

  • @ruqiyanasir7141
    @ruqiyanasir7141 3 года назад +3

    Miyaka 30 muongo uso uashazeka tuwachiye uwongo mwengine unakiyasi

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 3 года назад

      Umemzaa wewe hadi umuite muongo. Hebu tulia achana na watoto wa wenzio hangaikia wako kama unao.

    • @zenadaudzena2849
      @zenadaudzena2849 3 года назад

      😂😂😂

    • @aminahmohd8950
      @aminahmohd8950 3 года назад +1

      Labda alizaa karibu karibu

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 3 года назад

      @@aminahmohd8950 Inaweza kuwa.

    • @upendolema9809
      @upendolema9809 3 года назад

      Atakua alianza kuzaa mapema,unaweza mkuta mtu ana miaka mingi lakini anaonekana mdogo

  • @tatotato506
    @tatotato506 3 года назад

    We mtangazaji achaujinga falawewe

    • @THETHIRDTV_
      @THETHIRDTV_  3 года назад +2

      Sasa me nimefanyaje jmn

    • @mariamfunga4343
      @mariamfunga4343 3 года назад +1

      @@THETHIRDTV_ maskin wapokea matuc na ujafanya kosa lolote mpenzy

    • @marymanoni5536
      @marymanoni5536 2 года назад

      Maisha magumu ameona bora atukane fikra mbovu