Eeh eeh eeh jamani kk watisha eeeee hubahatishi kila ikitoka moto n ukiachia unaachia moto uko juu surely inshaallah mola atafikisha mahali pale unataka ua the best 👌 👍 😍 🎉🎉🎉🎉
Naipenda sana kazi hii make Huwa inaniburudisha ila kasoro ipo, nyau kuongea vile hapo amepotea mwambie aongee kawaida kama ilivokuwa katika series ya gizan alikuwa ananogesha na sio sasa
Mashallah nimeipenda hio🎉🎉🎉🎉lkn chunvi mim nkuomba 2 hio kofia isiende popote chunvi plz😢😢😢😢😢😢🎉🎉nipeni liles zngu hapa km filamu ya leo waikubali❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mambo
@@tombombo267 poa
Nakukubali chumv dem uyo kja mwenyew ❤❤❤❤kofia inakuletea madem usiitowe kofia iyo
Kawia ufike❤ nipo hapa wadau wa chumvinyingi Gang🎉 mko poa💪
Yaan sijalala nilikuwa nausubil love so much chumvi nying❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kiruuuuuuuuuuuuu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nimependa ❤ulivo mshtuwa shem wako kwa binami yako respect 😂😂
Lete mzigo chumvi tupo kwaajili Yako ❤❤
nikikosaga hii kitu Sina furaha kabsa❤❤❤Asanteni sana
@@SabraOman-e8t kwa sote jmniii chumvi unakonga nyoyo zetu❤️❤️
Anta mimi
Hili gang la chuvinyingi ni hatari sana 🔥
Daah nlkua naanz kusinzia nlvosikia notification umeish wote tayal kuungan na my gang✊💯💯💯💯💯💥💥💥💥💥💥💥
Eeh eeh eeh jamani kk watisha eeeee hubahatishi kila ikitoka moto n ukiachia unaachia moto uko juu surely inshaallah mola atafikisha mahali pale unataka ua the best 👌 👍 😍 🎉🎉🎉🎉
Wana nzengo wa chumvinyingi gang naomben hata likes 10
Nimekua wa 238 naombeni like kama zote❤ love chumvi gang
Chumviii nyingi Les gooooo
Chumvi safali hii ume mkosea sana ustazi jamn hii sene haija mpendeza hata kidogo
Jana nimeisubir sanaaa mpka nikaamua kulala tu jaman chumv nying gang nawapenda sanaa✌️❤️
Hiiii ni hatal na nusu kaka umetixh sanaaaaa❤ unaijua let's go walet baba
Kazi nzuri vip kuusu episode nyinge lini mnatoa
Unapmbana sana brother mungu azid kukupa ngv
❤❤❤
oya chumvi nyingi muwe mnatoa adi jumapil mnatupa shid sisi mashabiki
Nmetegea apa next balaa❤❤❤😊😊😊Asante chumvi kwa kuteka akili zetu😅
Mambo? Dad
Jameniii chendu yuko wap tangu ameenda kufukua mait mpk sasa😀😀😀
Kaz nzur nmeipenda sna ❤❤❤
Kazi nzurii team chumvi nyingi Gang
Chumviii bwana toa kila siku mbili mbilii ❤❤❤❤❤❤ jamani
❤❤chumv nying fundiiiiii
Lete Mizigoo chumvi nyingi 💪🏿🫡tupo pamoja
Chumvi nyingi gang kazi nzuri ... Respect kwa wote mnaoshiriki hii season mnaupiga mwingi...
😂😂😂😂😂 mwakwanza leo nimewahi jaman naombeni like zang jmn ❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂🎉😢
Vp
@@tombombo267 saf
Chumvi nyingi gang ni balaaa lik nyingi kwao❤️❤️
Wakwanza kama unamkubali chumvi nying nipewe like zangu❤
Nakwanini uwa munapiganiya like inafaida gan kwako
Chuvinying gang muko juu kipaji mkona cho heteni Mambo mazuri zaidi
Nimewahi😂 kaz nzur❤❤❤
Lesgooooo❤❤❤❤ from Kenya 🤣🤣🔥
Unyama mwingi 🎉🎉
Chumvi akicheza na mambwende huwa ma enjoy sana
😂😂😂😂kzi unayo chumvi naona msaada utakushinda kwachendu❤❤
Wakwaza kabsa leo naomba like jamani sijawai kuomba❤❤❤❤
Hahahaha😂😂 kaja dem wake mfungo wa pipi 😂😂😂
Chunvi umetisha sana😂😂
❤❤❤ chumvi
MashaAllah movie poa ❤❤ nasubiria 23
😂😂😂😂😂 chagama unachekeshaa sanaa na hichoo kihindii chakoo
Duuu nitamu mbaka inakela ❤❤❤
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Alooh nakubali sanaa ♥️🔥
Chuvi una kazi bado daa pia ana dawa kiunoni kazi unayo chuvi❤❤
Ikabidi asafiri kuelekea kwamwenyekiti nailikuwa malayake ya kwanza kuvua kofia😂😂😂😂😂😂 ila chagama umetisha sana ilafu nimeipenda iyo 💪🤝
Mc wewe unatisha 😂
Mc😀😀😀😀😀
Naipenda sana kazi hii make Huwa inaniburudisha ila kasoro ipo, nyau kuongea vile hapo amepotea mwambie aongee kawaida kama ilivokuwa katika series ya gizan alikuwa ananogesha na sio sasa
Nmependezw na hii movie yaan Iko vzur snaaaa ...i like... ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Wa Kwanzaa ❤
Nimetamani kumuona chendu mm jamen Ila nawapenda nyote sina ubaguzi mmmmmhh 😂😂😂 much love chunvyinyingi 😅😊😊
Mambo
@@tombombo267 Poa sana
Ety rafiki yangu ameenda wafukua nyiier😂😂😂😂chunvi bwanaa😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
@@hadejamohammadi9824 umeonaee🤣🤣🤣🤣
Daah😂 uyo mwindi m'bongo anajua kuigiza😂😂😂
Sana😀😀😀😀
Domo zege chumvi nyingi
Wa kwnza leo❤❤❤❤❤
Mambo
Leo wa kwanzaaaa hatal❤❤
Chumvinyingi safi sana kazinjema❤❤🇧🇮👌
Chumvi upo vzri sn ntmni huuu mchezo usiishe ety
Tunaipandisha Tena 💪🤝🤝🤝🤝
Daaa tam kinyama
Mwenzang kaenda kuwafukua nyie
Wa kwanza mie
Chumvi nyingi unatutesa tumeni ata vitatu vitatu kak
Sikufanyi lezi gooo😂😂😂😂
No 1 only
Chumvi kama nakuona vile dawa imefungwa kiunoni iyo kwako ni rahisi tu kufunguwa 😂😂😂😂😂
Dah tatz unachelewa sana kutupa mwendelezo
Let's Go
Ahahhahaa inamaana Chumvi wakati unamzagamua huyo Dada haukuona Kama amefungwa Dawa Kiunoni au uliona kavaa Shanga
Dawa kiunoni😂mbn mnampa mitihan chendu😂😂😂😂
Chumvinyingi gang mambo n 🔥🔥🔥🔥
❤❤❤❤ unabamba saana
Laaaa unaniumiz kichwa OK lez go
Chumvi we hatari 🎉🎉🎉🎉🎉
Weka kila siku chumvi
Muendelezo
Jamani Dokta Ofishoo tunamuhitaji wakuuu
Uhakika kaka
hatari mazee
Wakwanza kutoka kenya 🇰🇪
Wa kwanza mm leo
Kaka kazi nzur sana kaka
Khaaa nyie hamlali
Chumvi nying hapaaaaa❤
Chunvi unazagamuwa maiti mpka kapagawa zagamuwa wote mpka shem yko kwa chendu akija vibaya😂😂😂
Kisofa nakupendaga bure unajuwa sana 🎉🎉🎉
Super vidéo
Bro chumvi mpunguze chagama hajui
chumvi kwanin unatoa sir sas
Nawakubali san
Leo umetuchelewesha sana
I love this 💕💕from🇰🇪
Iddy
Jitahi uhogez md et babu
Masha'Allah 🥰♥️✨☝️🥰♥️♥️✨
Staling wa mchezo mchezo mzuri sn ila unachelwa kupost etu , mm nachelewa kull kwa ajili y huu mchezo ujue
Nice 👍nilikwambia utazagamua mifungo ya pipi 🤣asa umezagamua mfu 😂🤣😂🤣 . Nice 👏👏
Pamojw san ❤
Wakwanza naomben like zangu
Chumv anajuaa💥💥💥✌
mr chumvi dk ofisho vp hayupo?