SIRI YA KIFO - EPISODE 22 | STARRING CHUMVINYINGI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • #chumvinyingi #kifo #series

Комментарии • 308

  • @zakia4169
    @zakia4169 Год назад +29

    Mashallah nimeipenda hio🎉🎉🎉🎉lkn chunvi mim nkuomba 2 hio kofia isiende popote chunvi plz😢😢😢😢😢😢🎉🎉nipeni liles zngu hapa km filamu ya leo waikubali❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Babyfaty-m3y
    @Babyfaty-m3y Год назад +5

    Nakukubali chumv dem uyo kja mwenyew ❤❤❤❤kofia inakuletea madem usiitowe kofia iyo

  • @theopisterjovent3483
    @theopisterjovent3483 Год назад +20

    Kawia ufike❤ nipo hapa wadau wa chumvinyingi Gang🎉 mko poa💪

  • @modestamodesta3940
    @modestamodesta3940 Год назад +11

    Yaan sijalala nilikuwa nausubil love so much chumvi nying❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ZawadiHaji-b6j
    @ZawadiHaji-b6j Год назад +18

    Kiruuuuuuuuuuuuu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nimependa ❤ulivo mshtuwa shem wako kwa binami yako respect 😂😂

  • @zeinabmohammad1073
    @zeinabmohammad1073 Год назад +29

    Lete mzigo chumvi tupo kwaajili Yako ❤❤

    • @SabraOman-e8t
      @SabraOman-e8t Год назад +3

      nikikosaga hii kitu Sina furaha kabsa❤❤❤Asanteni sana

    • @zeinabmohammad1073
      @zeinabmohammad1073 Год назад

      @@SabraOman-e8t kwa sote jmniii chumvi unakonga nyoyo zetu❤️❤️

    • @wa_chera
      @wa_chera Год назад +1

      Anta mimi

  • @kingmtetezi6670
    @kingmtetezi6670 Год назад +18

    Hili gang la chuvinyingi ni hatari sana 🔥

  • @sheinmpayo
    @sheinmpayo Год назад +10

    Daah nlkua naanz kusinzia nlvosikia notification umeish wote tayal kuungan na my gang✊💯💯💯💯💯💥💥💥💥💥💥💥

  • @bakariharry2229
    @bakariharry2229 Год назад +7

    Eeh eeh eeh jamani kk watisha eeeee hubahatishi kila ikitoka moto n ukiachia unaachia moto uko juu surely inshaallah mola atafikisha mahali pale unataka ua the best 👌 👍 😍 🎉🎉🎉🎉

  • @ghostdesign4687
    @ghostdesign4687 Год назад +22

    Wana nzengo wa chumvinyingi gang naomben hata likes 10

  • @dani12comedy
    @dani12comedy Год назад +12

    Nimekua wa 238 naombeni like kama zote❤ love chumvi gang

  • @Joyce-qf5px
    @Joyce-qf5px Год назад +3

    Chumviii nyingi Les gooooo

  • @asmatabdallah1368
    @asmatabdallah1368 Год назад +3

    Chumvi safali hii ume mkosea sana ustazi jamn hii sene haija mpendeza hata kidogo

  • @FatmaIssa-zl1pu
    @FatmaIssa-zl1pu Год назад +3

    Jana nimeisubir sanaaa mpka nikaamua kulala tu jaman chumv nying gang nawapenda sanaa✌️❤️

  • @HazardBoy-vc1tt
    @HazardBoy-vc1tt Год назад +12

    Hiiii ni hatal na nusu kaka umetixh sanaaaaa❤ unaijua let's go walet baba

  • @abdulivale
    @abdulivale Год назад +1

    Kazi nzuri vip kuusu episode nyinge lini mnatoa

  • @ShafiiTwahilu-ws2mo
    @ShafiiTwahilu-ws2mo Год назад +4

    Unapmbana sana brother mungu azid kukupa ngv

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili Год назад +3

    ❤❤❤

  • @arcancadhi1524
    @arcancadhi1524 Год назад +3

    oya chumvi nyingi muwe mnatoa adi jumapil mnatupa shid sisi mashabiki

  • @mwashashamohamed6467
    @mwashashamohamed6467 Год назад +11

    Nmetegea apa next balaa❤❤❤😊😊😊Asante chumvi kwa kuteka akili zetu😅

  • @KifosaKifosa
    @KifosaKifosa Год назад +5

    Jameniii chendu yuko wap tangu ameenda kufukua mait mpk sasa😀😀😀

  • @FaridaAndoleFaridaAndole
    @FaridaAndoleFaridaAndole Год назад +3

    Kaz nzur nmeipenda sna ❤❤❤

  • @samsonmsakamba7394
    @samsonmsakamba7394 Год назад +11

    Kazi nzurii team chumvi nyingi Gang

  • @Joyce-qf5px
    @Joyce-qf5px Год назад +7

    Chumviii bwana toa kila siku mbili mbilii ❤❤❤❤❤❤ jamani

  • @CelinaMartina-c4v
    @CelinaMartina-c4v Год назад +7

    ❤❤chumv nying fundiiiiii

  • @philipomussa
    @philipomussa Год назад +3

    Lete Mizigoo chumvi nyingi 💪🏿🫡tupo pamoja

  • @slimmuhabesh2400
    @slimmuhabesh2400 Год назад +3

    Chumvi nyingi gang kazi nzuri ... Respect kwa wote mnaoshiriki hii season mnaupiga mwingi...

  • @annamathias4794
    @annamathias4794 Год назад +19

    😂😂😂😂😂 mwakwanza leo nimewahi jaman naombeni like zang jmn ❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂🎉😢

  • @jamesmdoe6145
    @jamesmdoe6145 Год назад +10

    Chumvi nyingi gang ni balaaa lik nyingi kwao❤️❤️

  • @ElastoEmma
    @ElastoEmma Год назад +21

    Wakwanza kama unamkubali chumvi nying nipewe like zangu❤

    • @JamaalAbubakar
      @JamaalAbubakar Год назад +1

      Nakwanini uwa munapiganiya like inafaida gan kwako

  • @SolomonKombo-i5m
    @SolomonKombo-i5m Год назад +3

    Chuvinying gang muko juu kipaji mkona cho heteni Mambo mazuri zaidi

  • @halimamohemed950
    @halimamohemed950 Год назад +6

    Nimewahi😂 kaz nzur❤❤❤

  • @alexwanjala9886
    @alexwanjala9886 Год назад +11

    Lesgooooo❤❤❤❤ from Kenya 🤣🤣🔥

  • @BarosBabaGerry
    @BarosBabaGerry Год назад +1

    Unyama mwingi 🎉🎉

  • @simonphanuel1205
    @simonphanuel1205 Год назад +4

    Chumvi akicheza na mambwende huwa ma enjoy sana

  • @HhBbh-tn5uh
    @HhBbh-tn5uh Год назад +2

    😂😂😂😂kzi unayo chumvi naona msaada utakushinda kwachendu❤❤

  • @indexchitanda4477
    @indexchitanda4477 Год назад +14

    Wakwaza kabsa leo naomba like jamani sijawai kuomba❤❤❤❤

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Год назад +2

    Hahahaha😂😂 kaja dem wake mfungo wa pipi 😂😂😂

  • @KirivoloKakule-hu7ge
    @KirivoloKakule-hu7ge Год назад +9

    Chunvi umetisha sana😂😂

  • @rosemarenga832
    @rosemarenga832 Год назад +6

    ❤❤❤ chumvi

  • @antoniadudus7917
    @antoniadudus7917 Год назад +1

    MashaAllah movie poa ❤❤ nasubiria 23

  • @kazunguu49
    @kazunguu49 Год назад +3

    😂😂😂😂😂 chagama unachekeshaa sanaa na hichoo kihindii chakoo

  • @WitnessMontana
    @WitnessMontana Год назад +3

    Duuu nitamu mbaka inakela ❤❤❤

  • @RenathaCharles-wc6ln
    @RenathaCharles-wc6ln Год назад +2

    Mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @NeemaMushy
    @NeemaMushy Год назад +4

    Alooh nakubali sanaa ♥️🔥

  • @asfdfarfe9588
    @asfdfarfe9588 Год назад +2

    Chuvi una kazi bado daa pia ana dawa kiunoni kazi unayo chuvi❤❤

  • @TwahiruIssaShabann-qd7id
    @TwahiruIssaShabann-qd7id Год назад +8

    Ikabidi asafiri kuelekea kwamwenyekiti nailikuwa malayake ya kwanza kuvua kofia😂😂😂😂😂😂 ila chagama umetisha sana ilafu nimeipenda iyo 💪🤝

  • @jamalymasanja7011
    @jamalymasanja7011 Год назад +2

    Naipenda sana kazi hii make Huwa inaniburudisha ila kasoro ipo, nyau kuongea vile hapo amepotea mwambie aongee kawaida kama ilivokuwa katika series ya gizan alikuwa ananogesha na sio sasa

  • @FatmaMshenga-jg7oi
    @FatmaMshenga-jg7oi Год назад

    Nmependezw na hii movie yaan Iko vzur snaaaa ...i like... ❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @OmariTwaha-c3k
    @OmariTwaha-c3k Год назад +3

    Wa Kwanzaa ❤

  • @floranceflorance3923
    @floranceflorance3923 Год назад +6

    Nimetamani kumuona chendu mm jamen Ila nawapenda nyote sina ubaguzi mmmmmhh 😂😂😂 much love chunvyinyingi 😅😊😊

  • @zakia4169
    @zakia4169 Год назад +5

    Ety rafiki yangu ameenda wafukua nyiier😂😂😂😂chunvi bwanaa😂😂😂😂😂😂😂

  • @hamiduking8041
    @hamiduking8041 Год назад +2

    Daah😂 uyo mwindi m'bongo anajua kuigiza😂😂😂

  • @mohdhassansaleh1322
    @mohdhassansaleh1322 Год назад +1

    Domo zege chumvi nyingi

  • @Maryelly-m2q
    @Maryelly-m2q Год назад +4

    Wa kwnza leo❤❤❤❤❤

  • @TuyajengeYaishe
    @TuyajengeYaishe Год назад +5

    Leo wa kwanzaaaa hatal❤❤

  • @saydathyhakizimana9348
    @saydathyhakizimana9348 Год назад +1

    Chumvinyingi safi sana kazinjema❤❤🇧🇮👌

  • @maulidhamadmaulid8591
    @maulidhamadmaulid8591 Год назад +1

    Chumvi upo vzri sn ntmni huuu mchezo usiishe ety

  • @TwahiruIssaShabann-qd7id
    @TwahiruIssaShabann-qd7id Год назад +4

    Tunaipandisha Tena 💪🤝🤝🤝🤝

  • @AishaKibena
    @AishaKibena Год назад +2

    Daaa tam kinyama

  • @PapaaMugabo
    @PapaaMugabo Год назад +1

    Mwenzang kaenda kuwafukua nyie

  • @iscoohguminho7622
    @iscoohguminho7622 Год назад +2

    Wa kwanza mie

  • @AyoubMsizolo-wg9in
    @AyoubMsizolo-wg9in Год назад +3

    Chumvi nyingi unatutesa tumeni ata vitatu vitatu kak

  • @paulpaul380
    @paulpaul380 Год назад +5

    Sikufanyi lezi gooo😂😂😂😂

  • @MariamAhmadaMwikalo
    @MariamAhmadaMwikalo Год назад +2

    No 1 only

  • @selmesaid7405
    @selmesaid7405 Год назад +4

    Chumvi kama nakuona vile dawa imefungwa kiunoni iyo kwako ni rahisi tu kufunguwa 😂😂😂😂😂

  • @hasankawanje4279
    @hasankawanje4279 Год назад +2

    Dah tatz unachelewa sana kutupa mwendelezo

  • @mjukuuhotelitv7736
    @mjukuuhotelitv7736 Год назад +3

    Let's Go

  • @abcosecomartialarts4321
    @abcosecomartialarts4321 Год назад +4

    Ahahhahaa inamaana Chumvi wakati unamzagamua huyo Dada haukuona Kama amefungwa Dawa Kiunoni au uliona kavaa Shanga

  • @RahmaSaid-l7j
    @RahmaSaid-l7j Год назад +3

    Dawa kiunoni😂mbn mnampa mitihan chendu😂😂😂😂

  • @Mwanamkasi-c7i
    @Mwanamkasi-c7i Год назад +2

    Chumvinyingi gang mambo n 🔥🔥🔥🔥

  • @HassanLastman-hh9sw
    @HassanLastman-hh9sw Год назад +1

    ❤❤❤❤ unabamba saana

  • @RaphaAdam-yv7be
    @RaphaAdam-yv7be Год назад

    Laaaa unaniumiz kichwa OK lez go

  • @GamalieliMakimu
    @GamalieliMakimu Год назад +2

    Chumvi we hatari 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @swaleheiddrisa7743
    @swaleheiddrisa7743 Год назад +2

    Weka kila siku chumvi

  • @hamadikhalfan6751
    @hamadikhalfan6751 Год назад +3

    Muendelezo

  • @Ujumbewadini
    @Ujumbewadini Год назад +2

    Jamani Dokta Ofishoo tunamuhitaji wakuuu

  • @SilvanoKipenye-w2m
    @SilvanoKipenye-w2m Год назад +2

    Uhakika kaka

  • @HAMISJOSEPHJILALA
    @HAMISJOSEPHJILALA Год назад +2

    hatari mazee

  • @bakariharry2229
    @bakariharry2229 Год назад +8

    Wakwanza kutoka kenya 🇰🇪

  • @hamisimkilalu9563
    @hamisimkilalu9563 Год назад +2

    Wa kwanza mm leo

  • @SilvanoKipenye-w2m
    @SilvanoKipenye-w2m Год назад +1

    Kaka kazi nzur sana kaka

  • @MonaAlmona-c1n
    @MonaAlmona-c1n Год назад +2

    Khaaa nyie hamlali

  • @MohammedHassan-kr3ry
    @MohammedHassan-kr3ry Год назад +2

    Chumvi nying hapaaaaa❤

  • @younggoboss-b7k
    @younggoboss-b7k Год назад +3

    Chunvi unazagamuwa maiti mpka kapagawa zagamuwa wote mpka shem yko kwa chendu akija vibaya😂😂😂

  • @SummyMoo-e2j
    @SummyMoo-e2j 7 месяцев назад

    Kisofa nakupendaga bure unajuwa sana 🎉🎉🎉

  • @Joyce-x1v
    @Joyce-x1v 3 месяца назад +1

    Super vidéo

  • @manenoramadhan1432
    @manenoramadhan1432 Год назад +1

    Bro chumvi mpunguze chagama hajui

  • @nasramakule1170
    @nasramakule1170 Год назад +2

    chumvi kwanin unatoa sir sas

  • @YasiniAthumani-q2j
    @YasiniAthumani-q2j Год назад +2

    Nawakubali san

  • @MushyMushy-w8t
    @MushyMushy-w8t Год назад +2

    Leo umetuchelewesha sana

  • @sheidiasharon3245
    @sheidiasharon3245 Год назад +19

    I love this 💕💕from🇰🇪

  • @AmosnikolausBuluchand-d2x
    @AmosnikolausBuluchand-d2x Год назад +2

    Jitahi uhogez md et babu

  • @ashfrederic3369
    @ashfrederic3369 Год назад +23

    Masha'Allah 🥰♥️✨☝️🥰♥️♥️✨

  • @maulidhamadmaulid8591
    @maulidhamadmaulid8591 Год назад +2

    Staling wa mchezo mchezo mzuri sn ila unachelwa kupost etu , mm nachelewa kull kwa ajili y huu mchezo ujue

  • @Mummyummymillions
    @Mummyummymillions Год назад

    Nice 👍nilikwambia utazagamua mifungo ya pipi 🤣asa umezagamua mfu 😂🤣😂🤣 . Nice 👏👏

  • @SalumuMohamed745
    @SalumuMohamed745 Год назад +3

    Pamojw san ❤

  • @SeifMussa-ju8hj
    @SeifMussa-ju8hj Год назад +5

    Wakwanza naomben like zangu

  • @juniorclever.official
    @juniorclever.official Год назад +1

    Chumv anajuaa💥💥💥✌

  • @muhaproduction3325
    @muhaproduction3325 Год назад +3

    mr chumvi dk ofisho vp hayupo?