Clam uko na roho ya kusaidia sana ndugu yangu, naomba Kama unaweza nisaidia maana Mimi ni mwimbaji wa gospel ambaye nimekwama kuendelea kurecord nyimbo juu ya kukosa pesa
Si ungeenda Makanisani ndg yangu wakafanya harambee? Ama ukaenda kumuona GeorDavi wa Arusha ambaye kazi yako ina mafundisho yanayo fanya na huduma zake?
Inawezekana basi nawewe ni mwanamemba wa Freemason 😅😅😅 ndo mana unamteteya search on google how many views is $1 on RUclips 😅😅😅 you’ll see the truth 😅😅😅😅
Clamvevo u r so talented and keep the up the good work, napenda vile huwa unamweka Mungu mbele uko na utu na heshima na pia roho ya kusaidia barikiwa sana🙏🙏🙏naweza tembea Tz juu yako❤❤❤
Bro nakupenda sana, yani nakukubari , nazikubari swaga zako , yani napenda izo sera zako . Ira kinachonitatiza nikwamba kwanini wewe ufanane na mimi yani kivipi? mimi sielewi yani.
Acha ale matunda yake vijana tuna takiwa tujitahidi kutafuta ili nasi tupate clam alianza kama mjinga lkn alikaza mpaka sasa yupo juu anakula matunda yake tusibweteke vijana tutapambane good life broo clam
Mungu akushindiye akucunge sana wanadamu siwazuli niwenyewivu wana anza kusema uko kanumba wanatamuuwa? Waendekule mimi napendasana clam vevo ananiflahisha sana
I clam unafanya vizuri Sana mungu akutangulie ila Kama kweri unasaidia nisaidie namimi ata pesa kidogo Mimi shabikiyako Niko Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮napenda Sana kazi yako.
Clam uko na roho ya kusaidia sana ndugu yangu, naomba Kama unaweza nisaidia maana Mimi ni mwimbaji wa gospel ambaye nimekwama kuendelea kurecord nyimbo juu ya kukosa pesa
Si ungeenda Makanisani ndg yangu wakafanya harambee? Ama ukaenda kumuona GeorDavi wa Arusha ambaye kazi yako ina mafundisho yanayo fanya na huduma zake?
Yani watuwengine bwana🤣
Cramu mm naomba unisaidie
😅@@manilabonalumanula9210
Makubwa haya kuna watu wanauhitaji mno siuwende makanisan
Twende mbele turudi nyuma clam anajua sana na huko mbeleni wenye wivu wataanza kusema kuwa ni freemason
Inawezekana basi nawewe ni mwanamemba wa Freemason 😅😅😅 ndo mana unamteteya search on google how many views is $1 on RUclips 😅😅😅 you’ll see the truth 😅😅😅😅
Ukweli mtupu kabisaaaa,,,watasema Tu ni freemason,,waone watu WA wivu,,,,,😓😓
@@elizabethkinyua5823 I live in USA 🇺🇸
Kuwa freemason ni jambo la kawaida tu sasa hivi kama vile unavyoona watu kanisana au mskitini
@@davidmangi3827 waaah ¡!kweli?? Apana,, usifananishe mambo ya freemasons na ya ndini bwana😓😓
Clamvevo u r so talented and keep the up the good work, napenda vile huwa unamweka Mungu mbele uko na utu na heshima na pia roho ya kusaidia barikiwa sana🙏🙏🙏naweza tembea Tz juu yako❤❤❤
Mm namuombea huyu kijana sana kule aliko toka nimbali wasio mjuwa watasema mabaya ila mungu ni mwema 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤❤❤❤
Namkubali sana mwamba sema tunawomba muendelezo wa big boss sehemo ya 5 kwenda mbele
kalazwa nje na mama
Nmependa unaongea vizur hautafuni majojo kama hao wapuuzi
Pili hauchanganyi kingereza humo ndani safi unakitu utafika mbali
Kazi nzuri sana Clam ILA acha kuonyesha pesa hadharani na usijitape kipesa utaisha mapema otherwise kazi nzuri tena👏👏👏🎊🎊🎊
Clam allah akutangulie kwa kazi yako niyaviwango vyote baba mama mtoto wote wanaangalia bila tatizo .nakupenda saana
Bro nakupenda sana, yani nakukubari , nazikubari swaga zako , yani napenda izo sera zako . Ira kinachonitatiza nikwamba kwanini wewe ufanane na mimi yani kivipi? mimi sielewi yani.
You deserve it clam,enjoy your life
Hongera sana VEVO unajua 🎉
Ni kweli Clam ni bonge la Artist 🎉But sister punguza uchawa !!
Woyoooo kofiaaa kaivuaaaaaaa weweee hapo mtangazaj umenikosha! Yani dem Bomba kabisa mtt mzur ila ile kofia hapana silipendi 👏👏👏👏👏👏
🤣🤣🤣🤣🤣
Handsome Clamo Mola aendelee kukulipa maishani
Acha ale matunda yake vijana tuna takiwa tujitahidi kutafuta ili nasi tupate clam alianza kama mjinga lkn alikaza mpaka sasa yupo juu anakula matunda yake tusibweteke vijana tutapambane good life broo clam
Mungu akushindiye akucunge sana wanadamu siwazuli niwenyewivu wana anza kusema uko kanumba wanatamuuwa? Waendekule mimi napendasana clam vevo ananiflahisha sana
Banah me nakupa big up sana kamanda japo wengi watasema
Mabaya Juu yako
hio Movie ya big boss skua naiamini cz nilidhani utakua na ile mchezo yako ya ticktock kuuumbe ni nzuuri ivoo congrats bro🥰🥰🥰🥰
Clam unajuwa sana mungu akubariki
Congratulations clam🙏🙏may God bless you and we are waiting for you kenya
Anafanya kazi kwa bidii kupata pesa kawaida....anapaswa kufanikiwa zaidi hapo
Sawa hongera yako uko vizuri ongeza zaidi nazaidi tena
Nimekuwa wa kwnz leo nakukubali sana clam👏👏👏
Clam ishi na huyo mtoto yko poa ,sana❤
Congratulations to clam vevo , He always make me to😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😅😅😅😅😅😆😆😆😆😆
Big up clam VEVO,,, nakuamini na kukutolea kofia uko sawa keep it up ❤
Congratulations 🎉🎉🎉🎉 nakubali kazi yako vevo tunaomba muendelez wa big boss❤❤❤❤
Kabisa big boss
Napenda chapati na maharage🤣🤣naeda nyumbani 🤣🤣big up from saudi
Kube tuko wengi tunaumia wi-fi ya waiguru vizuri😂😂😂😂
I'm from Kenya 🇰🇪 bat l like vevo god bless you bro
Uko vzur clam nakuomba ukaze usibweteke na utafka mbal sana!
CLAM THIS MAN HI IS VERY SPECIAL
Mwanangu nakukubar sana ila kuonyesha hivyo vi noti umezngua umeonekana MSHAMBAAAAA
🔥🔥🔥
Unasahau kua hicho alichokifanya ni moja ya comedy
Clam big boss big up bro much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Heeeee kijana wa. Juzi tu huyu akamilik Mali zote hiz awashinde waanzilish heee soon tu msje shangaa mkaambiwa mwamba FREEMASON
Big up brother unaweza❤❤
Big up mwamba unajua..🙋
Wonderfully artist clam
Mdogo wng unapaswa kufanikiwa Sana umepambana kitambo tangu enzi zile unachukua Crip mtongani pale kwa cm
Big up Clam.
Clam wachana na watu ,, watching from Kenya,, ukitajirika watasema ni ushirikina,, ukiwa masikini, wanasema umerogwa ,,watu walimshida Musa ,,
Clam mungu akubariki uzidi kufika mbali ❤❤❤🤲
CLam tunangoja mwendereza big boss 7
Big boss part 5 tunaisubiri
sana
Cram unaupiga mwing sana ipo siku nitakua levo yako big up man
Keep up the good work
Claim uko na roho safi sana much love from Kenya series zako tunapenda
wow! clam 😍🥰 U.... unatisha kwa kwel mungu aendelee kukubarki piaa muendelezo wa big boss please 😇
Clam vevo unatisha kabisa, wewe ni kanumba ajaye bila Shaka😊😊😍😍😍🥰🥰🥰
Nampenda sana I'm ur fan kutoka Rwanda Kigali ❤❤
I like the journalist 🥰
She knows so much,, I wish one day she will be employed at big station brand
Nice content 🥰
Dada unaweza sanaa huchanganyi na kiingereza utafka mbali
Clam big up sana watching from kenya nakupenda sana
Napenda clam Sana, napenda vituko zake
Nakushauri kaka clam usipende kutaja hela unazotembeya nazo kaka ni husda
Le monsieur en question se colle STEVE KANUMBA courage monsieur
mm nimemkubali sana Sister mtangazaji et karembo
Upo vizur sana ...Mungu akusaidie ufike unapotak kufika, ila mi ni shabki yako tangu unatengeneza love story km wanafunzi.
Clam hongera ,,,good job.
Kaka yup vzur kiukwel Mungu akufkixhe mbali
Mashaallh mungu akuzidishie tunakupenda😊
Oi kaka nakubali sana BIG BOSS
Big boss mashalla mungu akubariki sn ❤
Wèw mja usije ukaigia kweye utajili wa majini utajipoiteze sana maana uanaza kama kanumba Sasa utawatesa wazazi wako wew
Kaka tuna suburi Big Boss kk
Congratulations 👏👏👏
😂😂naenda nyumbanii😂😂,sija pendaa😂clam number uno🇷🇼
SEMA CLAM ANAJIKUTA MO 🤣😂😂😂 DAAAH UNYAMA MZEE WANGU PIGA PESA ACHA KUBISHANA NA WATOTO WADOGO
Nmkubali saaana mwanangu huyu jmn 😂wakenya wapi like zangu kwa clam mwenye wivu aseme n freemason maumbea nyinyi
pambana kaka maisha ni kupambania siyo kuchesea
Hakika huyu no kanumba ajae cyo pw🤝👊👊
If you know you know
clamu nakupenda sana ,nisaidiye namimi nicheze nawewe nisaidiye
Clam ww unajua sana ,hongeza bidii zaid na endelea kuwabunifu hvo hvo
❤❤ hizo pesa jaman mungu wangu. Sijawai kushika dollar. by ashura
Mimi naomba anigaiye maana katika hao wanaotaka kupewa misaada mimi namba moja clam vevo jaman😢
Good bleS you m'y best Star game boy
Nakupenda saana clam❤❤❤ ufanikiwe uje unioe bebe
Napenda unavyojituma kibroo,,na muendeleze BIGBOSS!
Congratulations bro
I clam unafanya vizuri Sana mungu akutangulie ila Kama kweri unasaidia nisaidie namimi ata pesa kidogo Mimi shabikiyako Niko Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮napenda Sana kazi yako.
Acheni umasikini wakuomba pesa yamwezako tafuteni zakwenu
Hi 5 from this side 🇰🇪🇰🇪 tunakutabua clam
Unaweza vevo mungu akulinde🎉🎉
Clam vevo big up bro
Vip Kaka Niko najua pia kuigiza sna naomba tufanye kolabu
Amjambo clam Vevo mimi nimuigizaji kutoka Congo pa Bukavu namalengo kwako baba naomba musaadawako
Clam my God protect you we are waiting for you in Uganda
Umeweza san clamu❤️❤️❤️❤️
Clam unatupa amasa vijana kiukweli so never give up everything is possible just a believe in yourself
Clam umetisha da unafanya vizuri
Mm namkubali sana nishai anapesa lakin hayko ka
Clam mungu akuzidishia
Clam hongera boss mwili mdongo hakili ndog chapati namaharang nyingi pes ndo usisem type sehem ya 5 naipend mbwa wew
Big up broo Clam
Kanifurahisha Sana huyu dada muandishi maana kauzu amemlazimisha huyu kaka jawabu ya kushirikiana mpaka nae kajibu vile anataka eheee ndioooo!
Kabisaaa clam ww sio comedian nakukubar sana kaka clam much❤❤❤
Ongera sana blaz
Big boss imefunika sana napiya ndani yake kuna watu wanapese sana bali hawajali nduguzao kwanye tatizo lolot
Ongera sana napenda sana video zako
Uo ni ushamba kuonyesha hela kumiliki gari so kutoboa njooni zenji bc km kumiliki gr haria ya 16 et 35 dadeki za hzo za uso au ndo utanganyika zaid
Big up man.
dada nae anajua kinyama big up