CHEMCHEMI YA FARAJA_Kwaya ya Moyo Mt. wa Yesu_Chuo Kikuu cha DSM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 фев 2019
  • PAUL MIKE MSOKA aliyezaliwa akiwa anaona na baadae kupoteza uwezo wa kuona takribani miaka 30 iliyopita, anamshkuru Mungu kwa zawadi ya maisha. Pamoja na changamoto aliyonayo, amekuwa akimtumikia Mungu kwa njia yauimbaji. Wimbo huu uitwao CHEMCHEMI YA FARAJA ni miongoni mwa nyimbo alizotunga kuonesha faraja aipatayo kwa kumtumikia Mungu. Kwaya ya Moyo Mtakatifu wa Yesu ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam ndio waimbaji wa wimbo huu ambayo pia ndio kwaya anayoimbia ndg. Paul Mike Msoka.
    Tuungane na waimbaji hawa katika kumshukuru Mungu kwa zawadi ya maisha.
    Album hii inajulikana kwa jina la CHEMCHEMI YA FARAJA na ipo madukani sasa. Wasiliana nao leo kupitia namba hizi
    +255 686 477 188 au +255 767 294 103 au +255 767 265 930
    #kwayakatoliki
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 161

  • @marymbilinyi1498
    @marymbilinyi1498 Год назад +1

    Mwanadamu bila Mungu hatuwezi bali ni kuendelea kumtukuza Mungu kwa sifa na utukufu wake kwa nyimbo na shukurani

  • @tinohmicky5216
    @tinohmicky5216 Год назад +1

    praise the Lord for every thing mungu n farajaaa ya kwel haijaishi m mapito mangapi tuliyonayo.....❤️❤️❤️❤️❤️❤️💞💞💞💞

  • @veronicawilliams8636
    @veronicawilliams8636 Год назад +4

    i am proud to be a Catholic God bless you all

  • @jmskiwi
    @jmskiwi 2 года назад +1

    Amen.Amen.Amen Bwana Yesu apewe sifa milele na milele.

  • @alexkimilu2091
    @alexkimilu2091 2 года назад +1

    Bwana azidi kuwa uvuli wangu kwenye jua kali

  • @salimambwani5139
    @salimambwani5139 2 года назад +1

    Mungu akubarikiii mtumishiii wa mungu najivunia kuwa mlomaniii

  • @averinecasmiry2692
    @averinecasmiry2692 3 года назад +6

    Waooh ,,,wimbo mnzuri hakika mungu ni faraja hongereni wanakwaya

  • @mathiasmateru9977
    @mathiasmateru9977 5 лет назад +9

    Rehema za Mungu hakika ni kubwa mno kwetu.
    Nimebahatika kumwona mtunzi wa nyimbo hii akipiga kinanda Parokia ya Mt. Mathias Mulumba-Sahare Jimbo Katoliki la Tanga, Jamani Mungu wetu niwamaajabu sana.
    Mungu ambariki na siku Moja Ee Mungu Mwenyezi, fungua macho yake aone kazi yake hii nzuri Amina.

  • @mathewmatano1174
    @mathewmatano1174 3 года назад +3

    Wimbo huu umenigusa. Barikiwe Mike na Ufunguo👍

  • @deosdodithsecilia6164
    @deosdodithsecilia6164 3 года назад +2

    Mungu akupe itaji la moyo wako wimbo ni baraka tosho

  • @estherwanjiru6001
    @estherwanjiru6001 4 года назад +6

    Wow congratulations

  • @victormilimo4189
    @victormilimo4189 4 года назад +3

    Hakika mungu ni mwema

  • @BonaTesha
    @BonaTesha Месяц назад

    Amina mtumishi wa mungu barikiwa mnoo kwa Wimbo

  • @isdorykitunda
    @isdorykitunda 5 лет назад +2

    Tusipomsifu Mungu, mawe yatainuka yamsifu. Wimbo mzuri sana sana sana, kila atayeusikiliza naamini utambariki.

  • @kekejoe4101
    @kekejoe4101 4 года назад +1

    Hongera sana PAUL MIKE MSOKA.Asanteni sanawaimbaji wote wa kwaya hii.Mungu awabariki sana

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 3 года назад +2

    Hongereni sana kwa uinjilishaji uliotukuka

  • @tostaostephano1761
    @tostaostephano1761 3 года назад +3

    Hakika Mungu ni mkuu!!!! Hongereni Sana!

  • @lmmaculatelkula3170
    @lmmaculatelkula3170 4 года назад +13

    Who is with me watching me may 2020 may God bless u all,😃😃😃🔥🔥🔥🔥🔥👍

  • @petermatele7816
    @petermatele7816 Год назад +2

    So interesting and lovely song

  • @kinyuaisaac7431
    @kinyuaisaac7431 3 года назад +3

    Haaya basi. walo na macho wanaona, wanao masikio wanasikia na wenye akili nzuri wakaelewa. Ushuhuda ndio huo. Iwe je wengine wetu hamwiimbii mungu. Jameni tumshukuru mungu kwa neema anazotupa kila siku. Mwenyezi mungu amneemeshe mtunzi na ampe maisha marefu.

  • @hilgathjoshua8804
    @hilgathjoshua8804 5 лет назад +1

    Haleluyaaa Bwana wewe ni mwanga kwangu jizani usiku Amina Mungu awabariki sana

  • @Stephoria
    @Stephoria 4 года назад +2

    Wimbo mzuri sanaaa mungu akubariki Mwalimu

  • @wesleyrogito8326
    @wesleyrogito8326 5 лет назад +7

    sifa na utukufu ni kwako eeh mungu wetu ulinde na unenemeshe watunzi wetu na nyimbo tamu upenya mipaka yote

  • @graceopiko5715
    @graceopiko5715 3 года назад +3

    Ubarikiwe mtunzi kwa utunzi mzr

  • @josephsimba4655
    @josephsimba4655 4 года назад +2

    Wimbo wamatumaini. Abarikiwe sanaaa

  • @markuscharles9472
    @markuscharles9472 5 лет назад +4

    Anayeimba anasali Mara MBILI
    MUNGU ni muweza hakika haikua rahisi Lakini kazi hii tumeitimiza kwa mapenzi yake AMINA

  • @seciliamatongo9382
    @seciliamatongo9382 5 лет назад +5

    Mpo vzr Sanaa,Ansanten kwa Uinjilishaji

  • @AntonySang
    @AntonySang 5 лет назад +5

    This is awesome. Proud to be a Catholic

  • @eternalword1843
    @eternalword1843 4 года назад +1

    Safi sana. Endeleeni kuinjilisha bila kurudi nyuma.

  • @peterkiumbe3721
    @peterkiumbe3721 3 года назад +2

    Kaka kazi nzur sana

  • @beatusshayo2037
    @beatusshayo2037 5 лет назад +4

    Hongereni sana. Mwenyezi Mungu aendelee kuwaongoza katika utume wa kuimba. Bado tupo pamoja kiroho, Big up my choirmates,,

  • @bundesco
    @bundesco 3 года назад +2

    wimbo umenoga kweli

  • @chishidesert9900
    @chishidesert9900 3 года назад +7

    God bless you brothers and sisters for wonderful performance you are helping us worship our God well

  • @ericmalima3026
    @ericmalima3026 4 года назад +5

    NYIMBO NZURI SANA

  • @agricolamwageni5471
    @agricolamwageni5471 2 года назад +3

    The message, the message. Mungu aendelee kukuongoza nakukufundisha

  • @magdalena16pius29
    @magdalena16pius29 5 лет назад +8

    Yote ni kwa uwezo wa Mungu
    Hongera sana mwalimu Paul Mike Msoka kwa utunzi wa wimbo mzuri.
    Pia hongera sana wanakwaya kwa kuimba vizuri.

  • @isikesamike
    @isikesamike 5 лет назад +6

    Hongera mwl Msoka kwa wimbo wenye kubeba yaliyoujaza moyo wako. Mungu aendelee kuwa wako kiongozi na faraja ya kweli kwako!

  • @consolatazachalia5442
    @consolatazachalia5442 5 лет назад +3

    Uzidi kupokea na kukaa kwenye chemchemi ya faraja. Amina.

  • @justinambrose3577
    @justinambrose3577 5 лет назад +1

    Sifa na utukufu ni vyake Mungu wetu aliye mkuu. Ubarikiwe mwalimu Msoka

  • @furahambughi4977
    @furahambughi4977 5 лет назад +7

    Nimebarikiwa na wimbo!
    Hongera sana mtunzi, hongera mno waimbaji!!!!

  • @janetogolla2882
    @janetogolla2882 4 года назад +2

    Phewww, aki nimetafuta hii nyimbo

  • @janethmwacha5208
    @janethmwacha5208 4 года назад +8

    the best song ever

  • @simonmaige4602
    @simonmaige4602 5 лет назад +7

    Bwana ww ni uvuli wangu kwenye jua kali 😢😢😢😢😢 asante Mungu wangu kwa kuninyeshea Mvua ya Baraka!💫💫💫💫 mmenitoa choz huu wimbo asanteni Waimbaji!

  • @yustinomelkior7802
    @yustinomelkior7802 5 лет назад +2

    Congrats mr.mushobozi

  • @jaredndege
    @jaredndege Год назад +2

    amazing voices

  • @dorothyxavery6178
    @dorothyxavery6178 4 года назад +2

    Amina sana na Mungu akubariki sana...

  • @MagdalenaMathias-lw5bh
    @MagdalenaMathias-lw5bh 11 месяцев назад

    I really enjoying listening this music

  • @veromugo3481
    @veromugo3481 5 лет назад +3

    Mtunzi hongera sana na wanakwaya kwa jumla tena mbarikiwa sana mno,kutoka Kenya lakini kwa Sasa Niko Doha Qatar

  • @alexmalenda498
    @alexmalenda498 5 лет назад +2

    Wow Hongereni sana wapendwa kwa wimbo mzr pia mtunzi Mungu akubariki sana asante kwa wimbo mzr

  • @eternalword1843
    @eternalword1843 4 года назад +1

    Asanteni sana kwa Uinjilishaji huu. Mungu aendelee kuwatumia kutupatia ujumbe na burudani.

  • @simotvchannel5706
    @simotvchannel5706 3 года назад +3

    A blessing .Beautifully done.

  • @fredrickochuonyo1632
    @fredrickochuonyo1632 3 года назад +3

    I really enjoyed the song and admired the sings mostly man with their dancing stile

  • @rozeeroz2515
    @rozeeroz2515 5 лет назад +5

    Barikiw San kazi nzuli San

  • @florachogo5537
    @florachogo5537 5 лет назад +1

    Moyo wa yesu ufalme wako uwafikie hawa watumishi wako

  • @georgeziboni
    @georgeziboni 2 года назад +1

    beautiful song
    nabarikiwa 2022

  • @celinaweber7024
    @celinaweber7024 5 лет назад +2

    Mungu awabariki sana , asanteni kwa kumsifu Mungu.

  • @concordiafissoo2651
    @concordiafissoo2651 4 года назад +3

    Nafarijika kupitia huu wimbo asante sana wanakwaya mungu awabariki ciku zote za maisha yenu, Amina

  • @magdalinecherotich2444
    @magdalinecherotich2444 3 года назад +1

    Smart song

  • @mykheymutua
    @mykheymutua 3 года назад +3

    A lovely composition

  • @petrokewe3902
    @petrokewe3902 4 года назад +2

    Good song

  • @DominicKizwalo
    @DominicKizwalo 5 лет назад +11

    Rajo hamjawahi kuniangusha, mnafanya kazi njema. Dumuni hivyo kwa sifa na utukufu wa Yesu

  • @sayekitangwamirigo155
    @sayekitangwamirigo155 5 лет назад +1

    Hongera kwa wimbo mzuri

  • @mutigamcanthony1755
    @mutigamcanthony1755 5 лет назад +6

    Very well arranged and delivered with high level of quality

  • @parispresdor3598
    @parispresdor3598 5 лет назад +5

    God iz good all the time.

  • @anjescochoga23
    @anjescochoga23 5 лет назад +3

    wimbo mzuri

  • @roidatadey8656
    @roidatadey8656 5 лет назад +4

    Nyimba nnizuli ubalikiwe sana

  • @heavenlightregnald5414
    @heavenlightregnald5414 5 лет назад +1

    Mungu mwema chemchem ya faraja

  • @marymuthoni1551
    @marymuthoni1551 5 лет назад +2

    Mbarikiwe sana

  • @shaibuemmanuel5564
    @shaibuemmanuel5564 5 лет назад +1

    Mungu Ni mwema Kazi nzuri Sana'a

  • @leoniajohn8676
    @leoniajohn8676 Год назад

    Herini kwa sikukuu yenu kwaya ya Moyo Mtakatifu wa Yesu Udsm

  • @suzanajohn3723
    @suzanajohn3723 4 года назад +2

    Nikweli Mungu ni mwema

  • @msokasgallery8323
    @msokasgallery8323 5 лет назад +7

    Hakika Mungu, wewe pekee ndiwe chemchemi ya faraja. Hongera Rajo kwa kazi nzuri

  • @petrahliz7426
    @petrahliz7426 4 года назад +2

    Kazi nzuri ii

  • @charleswambua3830
    @charleswambua3830 2 года назад +1

    What a song wonderful 🔥🔥

  • @jovenaryjovenary8428
    @jovenaryjovenary8428 5 лет назад +1

    Mungu ni mwema

  • @simonthomas7969
    @simonthomas7969 5 лет назад +2

    Kazi nzuri mbarikiwe

  • @edvesterdamas3061
    @edvesterdamas3061 4 года назад +5

    Nimenenepa kupitia wimbo huu🙏🙏

  • @victorodehe6160
    @victorodehe6160 5 лет назад +2

    Kazi nzuri sana

  • @MerryPoul-yz4ir
    @MerryPoul-yz4ir 10 месяцев назад

    Nafalijika sana

  • @benkbenk9461
    @benkbenk9461 5 лет назад +2

    Na Mola aibariki kazi yenu nzuri . Watching from Doha QATAR

  • @leusdeus9009
    @leusdeus9009 5 лет назад +2

    So nice song may God bless you

  • @jacobpatrick7936
    @jacobpatrick7936 3 года назад +1

    3/12/2020 still napata baraka za huu wimbo

  • @justorlucas1188
    @justorlucas1188 5 лет назад +1

    Mungu wa mbingun awabariki sana

  • @kabeygunawardhana8378
    @kabeygunawardhana8378 5 лет назад +2

    Very nice all of you...i like you're all vidios....god bless everyone...

  • @yohanangora934
    @yohanangora934 5 лет назад +2

    Mmependeza na ujumbe mzito mmeutoa

  • @evansbuberwa1235
    @evansbuberwa1235 4 года назад +1

    Fidolin B nakukumbuka sana natamani tuwasiliaene

  • @alimachiusaugustine1445
    @alimachiusaugustine1445 5 лет назад +3

    Nawakubali sana

  • @andrewkandrossy1990
    @andrewkandrossy1990 5 лет назад +1

    Your shine

  • @mariammichael9773
    @mariammichael9773 5 лет назад +6

    Roho mtakatifu azidi kukaa ndani ya moyo wako...

  • @kimaroalfonsi199
    @kimaroalfonsi199 5 лет назад +5

    Ni nani zaidi ya Mungu aliye juuu hongeren ujumbe mzr sna

  • @justinechristian7220
    @justinechristian7220 5 лет назад

    Asanteni kwa kunibariki aisee wimbo mzuri sana

  • @shedy_marie
    @shedy_marie 5 лет назад +4

    Praise the lord all the time

  • @nickolausjosseph9770
    @nickolausjosseph9770 5 лет назад +2

    Amina vizur sana

  • @kenogembo7255
    @kenogembo7255 4 года назад +4

    Wonderful servants of the Lord, be blessed as you bless others too, Kennedy Ogembo also a gospel artist on RUclips.(powerful message)

  • @marrymrema9486
    @marrymrema9486 2 года назад +1

    Blessing all

  • @semangasemanga
    @semangasemanga 5 лет назад

    Kwa kweli Mungu wetu Ni chemchem ya faraja.

    • @AntonySang
      @AntonySang 5 лет назад

      This is awesome. Proud to be a Catholic.

  • @rosekyakimwa1402
    @rosekyakimwa1402 5 лет назад +2

    À sante sana.

  • @lucykiria1742
    @lucykiria1742 5 лет назад +1

    kazi nzuri saana .,,.pongezi kwa cool nzima ya RAJO pro

  • @yohanangora934
    @yohanangora934 5 лет назад +1

    Hongereni San

  • @marcomihayo745
    @marcomihayo745 3 года назад +2

    Be blessed