CHEMCHEMI YA FARAJA_Kwaya ya Moyo Mt. wa Yesu_Chuo Kikuu cha DSM
HTML-код
- Опубликовано: 21 фев 2019
- PAUL MIKE MSOKA aliyezaliwa akiwa anaona na baadae kupoteza uwezo wa kuona takribani miaka 30 iliyopita, anamshkuru Mungu kwa zawadi ya maisha. Pamoja na changamoto aliyonayo, amekuwa akimtumikia Mungu kwa njia yauimbaji. Wimbo huu uitwao CHEMCHEMI YA FARAJA ni miongoni mwa nyimbo alizotunga kuonesha faraja aipatayo kwa kumtumikia Mungu. Kwaya ya Moyo Mtakatifu wa Yesu ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam ndio waimbaji wa wimbo huu ambayo pia ndio kwaya anayoimbia ndg. Paul Mike Msoka.
Tuungane na waimbaji hawa katika kumshukuru Mungu kwa zawadi ya maisha.
Album hii inajulikana kwa jina la CHEMCHEMI YA FARAJA na ipo madukani sasa. Wasiliana nao leo kupitia namba hizi
+255 686 477 188 au +255 767 294 103 au +255 767 265 930
#kwayakatoliki Видеоклипы
Mwanadamu bila Mungu hatuwezi bali ni kuendelea kumtukuza Mungu kwa sifa na utukufu wake kwa nyimbo na shukurani
praise the Lord for every thing mungu n farajaaa ya kwel haijaishi m mapito mangapi tuliyonayo.....❤️❤️❤️❤️❤️❤️💞💞💞💞
i am proud to be a Catholic God bless you all
Amen.Amen.Amen Bwana Yesu apewe sifa milele na milele.
Bwana azidi kuwa uvuli wangu kwenye jua kali
Mungu akubarikiii mtumishiii wa mungu najivunia kuwa mlomaniii
Waooh ,,,wimbo mnzuri hakika mungu ni faraja hongereni wanakwaya
Rehema za Mungu hakika ni kubwa mno kwetu.
Nimebahatika kumwona mtunzi wa nyimbo hii akipiga kinanda Parokia ya Mt. Mathias Mulumba-Sahare Jimbo Katoliki la Tanga, Jamani Mungu wetu niwamaajabu sana.
Mungu ambariki na siku Moja Ee Mungu Mwenyezi, fungua macho yake aone kazi yake hii nzuri Amina.
Wimbo huu umenigusa. Barikiwe Mike na Ufunguo👍
Mungu akupe itaji la moyo wako wimbo ni baraka tosho
Wow congratulations
Hakika mungu ni mwema
Amina mtumishi wa mungu barikiwa mnoo kwa Wimbo
Tusipomsifu Mungu, mawe yatainuka yamsifu. Wimbo mzuri sana sana sana, kila atayeusikiliza naamini utambariki.
Hongera sana PAUL MIKE MSOKA.Asanteni sanawaimbaji wote wa kwaya hii.Mungu awabariki sana
Hongereni sana kwa uinjilishaji uliotukuka
Hakika Mungu ni mkuu!!!! Hongereni Sana!
Who is with me watching me may 2020 may God bless u all,😃😃😃🔥🔥🔥🔥🔥👍
So interesting and lovely song
Haaya basi. walo na macho wanaona, wanao masikio wanasikia na wenye akili nzuri wakaelewa. Ushuhuda ndio huo. Iwe je wengine wetu hamwiimbii mungu. Jameni tumshukuru mungu kwa neema anazotupa kila siku. Mwenyezi mungu amneemeshe mtunzi na ampe maisha marefu.
Haleluyaaa Bwana wewe ni mwanga kwangu jizani usiku Amina Mungu awabariki sana
Wimbo mzuri sanaaa mungu akubariki Mwalimu
sifa na utukufu ni kwako eeh mungu wetu ulinde na unenemeshe watunzi wetu na nyimbo tamu upenya mipaka yote
Ubarikiwe mtunzi kwa utunzi mzr
Wimbo wamatumaini. Abarikiwe sanaaa
Anayeimba anasali Mara MBILI
MUNGU ni muweza hakika haikua rahisi Lakini kazi hii tumeitimiza kwa mapenzi yake AMINA
Mpo vzr Sanaa,Ansanten kwa Uinjilishaji
This is awesome. Proud to be a Catholic
Safi sana. Endeleeni kuinjilisha bila kurudi nyuma.
Kaka kazi nzur sana
Hongereni sana. Mwenyezi Mungu aendelee kuwaongoza katika utume wa kuimba. Bado tupo pamoja kiroho, Big up my choirmates,,
wimbo umenoga kweli
God bless you brothers and sisters for wonderful performance you are helping us worship our God well
NYIMBO NZURI SANA
Ongera sana
The message, the message. Mungu aendelee kukuongoza nakukufundisha
Yote ni kwa uwezo wa Mungu
Hongera sana mwalimu Paul Mike Msoka kwa utunzi wa wimbo mzuri.
Pia hongera sana wanakwaya kwa kuimba vizuri.
Hongera mwl Msoka kwa wimbo wenye kubeba yaliyoujaza moyo wako. Mungu aendelee kuwa wako kiongozi na faraja ya kweli kwako!
Amina
Uzidi kupokea na kukaa kwenye chemchemi ya faraja. Amina.
Consolata Zachalia Awabariki Mungu wa Yakokobo
Sifa na utukufu ni vyake Mungu wetu aliye mkuu. Ubarikiwe mwalimu Msoka
Mpaka natamani nijiungenanyi
Nimebarikiwa na wimbo!
Hongera sana mtunzi, hongera mno waimbaji!!!!
Phewww, aki nimetafuta hii nyimbo
the best song ever
Bwana ww ni uvuli wangu kwenye jua kali 😢😢😢😢😢 asante Mungu wangu kwa kuninyeshea Mvua ya Baraka!💫💫💫💫 mmenitoa choz huu wimbo asanteni Waimbaji!
.ubarikiwe mtunzi na kwaya pia
UKWELI ......
Aminaa
Congrats mr.mushobozi
amazing voices
Amina sana na Mungu akubariki sana...
I really enjoying listening this music
Mtunzi hongera sana na wanakwaya kwa jumla tena mbarikiwa sana mno,kutoka Kenya lakini kwa Sasa Niko Doha Qatar
Wow Hongereni sana wapendwa kwa wimbo mzr pia mtunzi Mungu akubariki sana asante kwa wimbo mzr
Asanteni sana kwa Uinjilishaji huu. Mungu aendelee kuwatumia kutupatia ujumbe na burudani.
A blessing .Beautifully done.
I really enjoyed the song and admired the sings mostly man with their dancing stile
Barikiw San kazi nzuli San
Moyo wa yesu ufalme wako uwafikie hawa watumishi wako
beautiful song
nabarikiwa 2022
Mungu awabariki sana , asanteni kwa kumsifu Mungu.
Nafarijika kupitia huu wimbo asante sana wanakwaya mungu awabariki ciku zote za maisha yenu, Amina
Smart song
A lovely composition
Good song
Rajo hamjawahi kuniangusha, mnafanya kazi njema. Dumuni hivyo kwa sifa na utukufu wa Yesu
Hongera kwa wimbo mzuri
Very well arranged and delivered with high level of quality
God iz good all the time.
wimbo mzuri
Nyimba nnizuli ubalikiwe sana
Mungu mwema chemchem ya faraja
Mbarikiwe sana
Mungu Ni mwema Kazi nzuri Sana'a
Herini kwa sikukuu yenu kwaya ya Moyo Mtakatifu wa Yesu Udsm
Nikweli Mungu ni mwema
Hakika Mungu, wewe pekee ndiwe chemchemi ya faraja. Hongera Rajo kwa kazi nzuri
Msoka Paul
@@elizaromanus3952 yes Eliza
Kazi nzuri ii
What a song wonderful 🔥🔥
Mungu ni mwema
Kazi nzuri mbarikiwe
Nimenenepa kupitia wimbo huu🙏🙏
Kazi nzuri sana
Nafalijika sana
Na Mola aibariki kazi yenu nzuri . Watching from Doha QATAR
So nice song may God bless you
3/12/2020 still napata baraka za huu wimbo
Mungu wa mbingun awabariki sana
Very nice all of you...i like you're all vidios....god bless everyone...
Mmependeza na ujumbe mzito mmeutoa
Fidolin B nakukumbuka sana natamani tuwasiliaene
Nawakubali sana
Your shine
Roho mtakatifu azidi kukaa ndani ya moyo wako...
Amina
nimeipenda sanaaaaaaa
hongereni sana kwa wimbo ulio beba dhima na ujumbe juu ya mapito yetu hapa duniani mbarikiwe sana na mungu
Ni nani zaidi ya Mungu aliye juuu hongeren ujumbe mzr sna
Hi where can I get ur songs plz am in Nairobi
Asanteni kwa kunibariki aisee wimbo mzuri sana
Amina
Praise the lord all the time
Mabodada
M
Amina vizur sana
Wonderful servants of the Lord, be blessed as you bless others too, Kennedy Ogembo also a gospel artist on RUclips.(powerful message)
Blessing all
Kwa kweli Mungu wetu Ni chemchem ya faraja.
This is awesome. Proud to be a Catholic.
À sante sana.
kazi nzuri saana .,,.pongezi kwa cool nzima ya RAJO pro
Hongereni San
Be blessed