Kwa namana hii ya kushirikiana na wahuni, wazi farao asiye mjua yusufu kaibuka Tanzania, WANAMAOMBI huu ndio muda wa kukausha bahari ili farao na jeshi lake wafie humo, kusudi Tanzania yetu iwe salaama. AMENI
Kwahiyo hakuna wamarekani walioenda kumpokea kapokelewa na Tanzania tuu duuh inabidi ajitafakri vizri huyu mama Mungu amisaidie kabisa ameonyesha unafiki wake mapema mnooo
Jamani duh raisi wa marekani yaani hana time na huyu mama duh hadi picha airpot ni aibu kuzitoa wao wakija nchi inasimama kuwapokea ila sisi wanatuona waamiaji tu dah
Mama ana zurura huyu kheee ngoja nchii ikipinduliwa ndio tuta amka bora ata nchi inge ongozwa na jeshi kuliko huyu mama kila siku safari jaman hadi ana boa 😒😒😒😒😏😏😏😏
@@aishaalbalushaishabalush8291 harafu ikumbukwe pesa anayotumia kuzururia ni pesa za serikar na ndio maana mitozo kibao kumbe yeye ana Taka za kuchezea nakumbuka Ali hojiwa na BBC aka sema akimaliza muda wake ata gombea tena 🤣🤣🤣🤣kwa hali hii aombee mungu
Hivi wewe unatamani jeshi ichukue nchi kweli unaakili timamu ungejua serekali ya kijeshi ilivyo usinge sema maana hata ungeshindwa kukojowa usiombe laana nchi yetu tupo huru maashaall na mama yetu wenye kujielewa tunaraha na mama yetu mama samia oyeeeee
Mashallah passport inajaa mihuri ndani ya mwaka mmoja,Pumzika kwa Amani magufuli wetu Rais ulojitolea kutatua kero za wananchi na si kwa safari za kujaza mihuri ya ulaya na nchi jirani🚶
Tabu yote kaiacha magu ,Kama magufuli angekuwa na mahusiano mazuri na mataifa mengine wala mama wa watu asingehangaika lkn kwa vile magu alivuruga ndio MAANA mama anapata tabu Sana.
Mangi kimambi aliwatukana hata mashehe, mfano shehe wa mkoa wa dar es salaam, eti kwa nini wanampenda Rais Magufuri na serikali yake. Alimtetea sana Mbowe na chadema eti serikali ya Magufuri inawanyanyasa. Serikali ilisema watamkamata popote alipo hata awe nje ya nchi.Leo kaja mwenyewe kumpokea Rais Samia huko Marekani je watamkamata? Au watu hawa walikuwa wanatekeleza kazi maalumu kwa kutumwa na system iliyokuwa kinyume na Rais Magufuri?. Isije ikawa watu wote waliomtukana na kumdharirisha Rais Magufuri, sasa ni watu safi awamu ya sita!!!
Zile Siri alikuwa anazitoa MANGE KIMAMBI enzi za JPM kumtukana matusi ya nguo , kumdhaririasha bila aibu yoyote na haya mapokezi Vp tuunganishe dots au tukaushe tu.
Hiii ni aibu Sana kwa raisi wa nchi Kama Tanzania umeacha Wana nchi wako huku wanateseka vijiji huko dawa hakuna zahanati shule hakuna madawati unashindwa kwenda kuwaona unaenda kuwaona wahuni malekani hao watakusaidia nini da kweli tunalaisi mwenyez atusaidie sana
Umesema kweli MAMILIONI YA FEDHA ZA KIGENI YAMETUMIKA KWENYE USAFIRI WA ANGA .MAHOTEL. ULINZI. WANANCHI HAWANA HUDUMA MUHIMU. SIO SAWA MAREKANI WAMETUSAIDIA NINI TANZANIA ???TANGU ENZI ZA NYERERE NA FOREIGN POLICIES ZA UGANDAMIZAJI SIKU HADI SIKU. JPM SHUJAA WA AFRIKA DAIMA TUTAKUKUMBUKA
wapumbavu sana mmekaa kila siku kumsema Mama, mnataka atawale kama awamu zilizopita, mbona hamuigani kutawala nyumba zenu na kila mtu na sheria zake za nyumba, wapumbavu sana, muacheni afanye kazi zake, kila siku maneno maneno na ni wanafiki wakubwa nyinyi nyamazeni kabisa, tumeshawachoka kumsema mama, au kwakuwa ameachia democracy, kipindi cha Raisi wenu mliomuona ni Mungu mlikuwa mnaongea shit kama hizo, acheni upumbavu, Mama piga kazi na kura tunakupigia uchaguzi ujao, watu wamejawa na roho mbaya sana ya kimasikini kutokupenda maendeleo ya mtu.
Ki ukweli hii inashangaza Sana ,Kuna mmoja anasema anashirikiana na wahuni,huu niuzumbukuku.Kaenda mmarekani,kakutana na watanzania mnaowaita wahuni.Ni watu gani special wanaotakiwa kukutana nae?Kila Leo mnakumbuka nyuma ,kila mmoja anastili yake ya kuongoza.
Nyie ndo wapumbavu kabisaa hata hamjielewi, hv hao watanzania wa huko marekani na watanzania waishio nchini kwao huko vijijin hawana dawa zahanat shule za shida hakuna madasat maisha magumu, wap wanafaa kwenda kuwaona!? Huko malekan kwani wao ni akinanani Kwanza mamb ya ajabu kabisa
Ata mimi nashangaa mbona Magufuli hakua kama Kikwete, kuna watu wana akili mgando wanalazimisha mama awe kama Magufuli kila mtu ana namna yake katika kuongoza
Hata sioni Kama huo utajiri wako unakusaidia,lakini sisi masikini tunaona aliyotufanyia masikini mwenzetu,na wewe ni miongoni mwa waliomchukia magufuli kisa aliwataifisheni mali mlizojilimbikizia pimbi nyiyi,ukitaka kuniforce nimpigie makofi huyo mama yako,njoo unilambe kwanza mkunduni,lakini pia hata ukimaliza kunilamba nitakwambia maneno ya hekima pia ya kwann simuungi mkono mama Hangaya,utanisamehe bure tajiri,masikini nimejitolea kukuchana ukweli niue ili utoe wingu langu machoni lakini nachokiamini milima itazungumza hata mkitumaliza kwa risasi na mabomu,pokea pumbavu yako weka ofsini mwako tajiri,watunzie na wanao,ili wakija kutoka masomoni ujerumani uwagawie,sisi masikini tupo wanetu wanazidi kuiandika historia ya shujaa wetu huyu unayemdharau wewe,kesho watamsoma kwenye vitabu wajukuu zako,machozi yatawadondoka na kaburi lako watatamani waliponde mawe wakisikia hukuunga mkono harakati za UKOMBOZI wa mwafrica kupitia mkono wa JPM,Asante baba tajiri tunakutakia mafanikio mema ba blessed at all😭
Kikwete alisafiri sana tulipata nini?mausiano mausiamo ya kutunyonya? Mbona jpm hakua mtu wa safari na tumeona mafanikio makubwatu labda kama mausiano yao wenyewe
Tutakwenda kila mahali isipokuwa mbinguni Utakuwa na marafiki lila mahali isipokuwa Watakatifu Utajilimbikizia mali isipokuwa makao ya mbinguni Utakula pesa za wavuja jasho isipokuwa Mana
Hayo mataifa yametusaidia Nini mpaka leo. Sana sana kodi yetu imetumika kuwalipia usafiri na mahoteli na ulinzi huko . Hiyo hela ingesaidia mwananchi apate maji salama Iringa na chato. Chato ni sehemu ya nchi kama ilivyo Mtwara maendeleo yapelekwe. Hela zinatumika kwa mamilioni wakati WANANCHI hawana huduma muhimu nchini.
Mange kimambi amekuwa msaliti namba moja Marekani kwa kusaliti demokrasia na haki za binadamu. kwanini alimpinga Magu wkt mama anafanya vitendo vya magufuli vya ukandamizaji
Mama anaitangaza nchi kwa wa marekani!!!! Mbona hakuna anayejali ujio wake!!! Wao mwanamke kushika wadhifa mkubwa ni kitu cha kawaida Wenzetu kiongozi anafuata miongozo iliyowekwa na katiba yao Sisi tunafuata matakwa ya kiongozi. Bora angeenda Katavi Kila mwananchi angetoka kumshangaa raisi mwanamke
@@truelovepawanza2046 Lazima amuheshimu mkuu wa nchi hata kama ni mama mbona jembe sikuona matusi sasa kwanini mama apigwe vijembe mi ni mwanamke najisikia vibaya sijali ni wa chama gani
Viongozi wote walio tangulia na huyu aliopo ni viongozi Bora Sana maana wanapoondoka madarakani wanaondoka kwa amani na kila kiongozi amechangia maendeleo ya watanzania nijambo la kumshukuru Mungu sio kuwalaumu viongozi wetu Ila nikuwaombea maana ni wanadamu sio malaika
Hii awamu ya sita mwachen mama achape kaz,kwa akili zenu mnataka kila rais afanye kama magu? Nyinyi kama akili zenu zimedumaa kwenye awamu ya tano bakini hapo Tanzania sasa ipo kwenye awamu ya 6 na kila rais anakuja na mtazamo wake
Usiwe kama hujielewi wewe now tumerudi awam ya Nnee sio ya sitaa ... kuna Kaz gan umeonaa inaendeleaa .. safar za kikwetee na ushirikiano uliotengenezaa mikataba ya Unyonyaji ndio imerudi
@@gidionkadaraja1403 utaki usitake ndo ishakuwa kama uwez katafute nchi ambayo rais anakaa tu ndani ya nchi kama mwari,mwache mama yetu apige kazi,tatizo lenu hata angekuja malaika mngempinga sababu kuna maslahi umeyakosa awamu na ulishazoea kuyapata awamu ya 5
Mama ikikupendeza rudi nyumbani tulijenge taifa letu acha habari za kurandatanda huyo mange kimavi aliemtukana Rais magufuli wakati ule tuseme ulikua unafurahia au ni vipi? Maana sijakuelewa leo unakwenda kuonana nae wanini? huyo mtoto hana adabu achana nae ujue huyo hatokupigia kura wapiga kura ni sisi ohoo we we we randa na Dunia tu,
Now that's the president 💪💪 nendaa mama tunakuamini,sio yule marehemu dictator ambae hakujua kujenga uhusiano na dola za ughaibuni...yeye mwisho wake ulikua kenya, Uganda na msumbiji 😂😂
Kwani hatukujui kwamba wewe ni anjenti wa lusfa na.ufalme wenu ni katika nguvu za kiza,,subiri tutakavyokupigwa,,mpaka mtapotea tu,, ni kama mmefanikiwa lkini ndio mnamalizika ,,mtakutana kuzimu bweha wewe
Kwa namana hii ya kushirikiana na wahuni, wazi farao asiye mjua yusufu kaibuka Tanzania, WANAMAOMBI huu ndio muda wa kukausha bahari ili farao na jeshi lake wafie humo, kusudi Tanzania yetu iwe salaama. AMENI
kabsa asee
@@aishaalbalushaishabalush8291 yan kabisaa
Unaenda marekani mkuu Wa nchi unapokelewa Na mange kimambi
😅
sababu hana majabu kwa uongoz wake anadanga tu
😀😀😀 Wabongo pepo mtaisikia tu kwenye vitabu. From Burundi
Hadi kumaliza awam yake anakua ameimaliza duniaa nzimaa...kula tano mama wakati ni wako hapo unaona Kama upo ndotoni
Mama ww ni tatizo kubwa tulilo wahi kupata tz 🇹🇿 ni ww
Tatizo kubwasana kuongozwa na hyu
Alieharibu Ni mwanzo
Kawaida tu ngoja waje wao Afrika mpaka barabara manasafisha Pumbavu
Kwahiyo hakuna wamarekani walioenda kumpokea kapokelewa na Tanzania tuu duuh inabidi ajitafakri vizri huyu mama Mungu amisaidie kabisa ameonyesha unafiki wake mapema mnooo
Jamani duh raisi wa marekani yaani hana time na huyu mama duh hadi picha airpot ni aibu kuzitoa wao wakija nchi inasimama kuwapokea ila sisi wanatuona waamiaji tu dah
Kwakweli mama samia hapo UMEKOSEA kukutana na hao wahuni, sisi ndo tunawajua kindaki ndaki
Mama ana zurura huyu kheee ngoja nchii ikipinduliwa ndio tuta amka bora ata nchi inge ongozwa na jeshi kuliko huyu mama kila siku safari jaman hadi ana boa 😒😒😒😒😏😏😏😏
watu wa pwani ndi walivo wazururaji na wanyonyaji ili wajijazie wao Allah awakoe watanzania
@@aishaalbalushaishabalush8291 harafu ikumbukwe pesa anayotumia kuzururia ni pesa za serikar na ndio maana mitozo kibao kumbe yeye ana Taka za kuchezea nakumbuka Ali hojiwa na BBC aka sema akimaliza muda wake ata gombea tena 🤣🤣🤣🤣kwa hali hii aombee mungu
Hivi wewe unatamani jeshi ichukue nchi kweli unaakili timamu ungejua serekali ya kijeshi ilivyo usinge sema maana hata ungeshindwa kukojowa usiombe laana nchi yetu tupo huru maashaall na mama yetu wenye kujielewa tunaraha na mama yetu mama samia oyeeeee
@@leilafsadickfsadick5471 👎👎👎👎👎👎
@@halimamasai2234 🤣🤣🤣🤣🤣 wewe subir yaki kufika shingoni ndio utajua nina hakili au sina keep it on your mind 😆😆😆😆
Mmmh Hapo ni Marekani au singida hahahaha, mapokezi gani hayo
Jaman unaniuwa mbavu
Hhhhh bongo sihami polee
Mashallah passport inajaa mihuri ndani ya mwaka mmoja,Pumzika kwa Amani magufuli wetu Rais ulojitolea kutatua kero za wananchi na si kwa safari za kujaza mihuri ya ulaya na nchi jirani🚶
Tabu yote kaiacha magu ,Kama magufuli angekuwa na mahusiano mazuri na mataifa mengine wala mama wa watu asingehangaika lkn kwa vile magu alivuruga ndio MAANA mama anapata tabu Sana.
Angeenda vp nje ya nchi wakati alikua anatumia blue tooth we vp jiongeze acha Mapepe
Kisanga Hahahahaha 😁😁😁😁😁
Mama samia umetukwaza sanaaa jua hilo mmmh
KUA uyaone......
Huyo Mange si anawachukia CCM imekuaje shobo tena
Mangi kimambi aliwatukana hata mashehe, mfano shehe wa mkoa wa dar es salaam, eti kwa nini wanampenda Rais Magufuri na serikali yake. Alimtetea sana Mbowe na chadema eti serikali ya Magufuri inawanyanyasa. Serikali ilisema watamkamata popote alipo hata awe nje ya nchi.Leo kaja mwenyewe kumpokea Rais Samia huko Marekani je watamkamata? Au watu hawa walikuwa wanatekeleza kazi maalumu kwa kutumwa na system iliyokuwa kinyume na Rais Magufuri?. Isije ikawa watu wote waliomtukana na kumdharirisha Rais Magufuri, sasa ni watu safi awamu ya sita!!!
@@machoguhameri7757 Kama asipokamatwa then kuna mengi chini ya kapeti
Kweli tunamkumbuka JPM. Morogoro Road ndio mwisho yale mapipa
Acha unafiki, jitie kitanzi ufe kama unaona maisha magumu.
@@ivanminja7954 kuma la mkeo Nala mamako
Mama na safri 🤣🤣🤣 kweli kazi inaendelea kila siku safar du
hahahaa hatari
🤣🤣🤣
Ice cream😋
Zile Siri alikuwa anazitoa MANGE KIMAMBI enzi za JPM kumtukana matusi ya nguo , kumdhaririasha bila aibu yoyote na haya mapokezi Vp tuunganishe dots au tukaushe tu.
Hapo ndiyo utajua Kigogo ni nani ndugu yangu Marehemu alizungukwa na wahuni wapiga dili ndiyo maana hawakumpenda
Kikulacho ki nguoni mwako
Laiti angekuwepo jpm akajionea mwenyewe
Sasa nimemuelewa mama saa 100
Yaani mmh, hivi kweli rais kukutana na WAHUNI km mange alie mtukana JPM JMN I SEE 👀
R.I.P JPM
Duh kapokewa na watz wenzetu wanaishi marekani hakuna kiongozi yoyote wa marekani alompokea ?
She is too much SAFARI HIZO PESA ZINGEWASAIDIA wanyonge kweri
Hizo pesa za safari ndiyo zinatoka kwa hao wanyonge, kupitia tozo, acha aimalize dunia ni mwendo wa safari tu.
Ndio maana tunakatwa kodi kila pahala
Hiii ni aibu Sana kwa raisi wa nchi Kama Tanzania umeacha Wana nchi wako huku wanateseka vijiji huko dawa hakuna zahanati shule hakuna madawati unashindwa kwenda kuwaona unaenda kuwaona wahuni malekani hao watakusaidia nini da kweli tunalaisi mwenyez atusaidie sana
Umesema kweli
MAMILIONI YA FEDHA ZA KIGENI YAMETUMIKA KWENYE USAFIRI WA ANGA .MAHOTEL. ULINZI.
WANANCHI HAWANA HUDUMA MUHIMU.
SIO SAWA MAREKANI WAMETUSAIDIA NINI TANZANIA ???TANGU ENZI ZA NYERERE NA FOREIGN POLICIES ZA UGANDAMIZAJI SIKU HADI SIKU.
JPM SHUJAA WA AFRIKA
DAIMA TUTAKUKUMBUKA
Hiyo safari ndio ilo mpeleka kwenda kumuona Mange kimambi?! Tujiulize kwa masuala ka haya Watanzani?!......
MBONA MAPOKEZI MEPESI NAMNA HIYO????
Hata mimi nashanga, Joe Biden alitakiwa awepo ili ampokee ila nahisi ndio ule msemo kwamba wa afrika wote wana corona
Mange kimavi ndo anampokea Rais haaaaaaaa uwwwwwwi
wapumbavu sana mmekaa kila siku kumsema Mama, mnataka atawale kama awamu zilizopita, mbona hamuigani kutawala nyumba zenu na kila mtu na sheria zake za nyumba, wapumbavu sana, muacheni afanye kazi zake, kila siku maneno maneno na ni wanafiki wakubwa nyinyi nyamazeni kabisa, tumeshawachoka kumsema mama, au kwakuwa ameachia democracy, kipindi cha Raisi wenu mliomuona ni Mungu mlikuwa mnaongea shit kama hizo, acheni upumbavu, Mama piga kazi na kura tunakupigia uchaguzi ujao, watu wamejawa na roho mbaya sana ya kimasikini kutokupenda maendeleo ya mtu.
Ki ukweli hii inashangaza Sana ,Kuna mmoja anasema anashirikiana na wahuni,huu niuzumbukuku.Kaenda mmarekani,kakutana na watanzania mnaowaita wahuni.Ni watu gani special wanaotakiwa kukutana nae?Kila Leo mnakumbuka nyuma ,kila mmoja anastili yake ya kuongoza.
Nyie ndo wapumbavu kabisaa hata hamjielewi, hv hao watanzania wa huko marekani na watanzania waishio nchini kwao huko vijijin hawana dawa zahanat shule za shida hakuna madasat maisha magumu, wap wanafaa kwenda kuwaona!? Huko malekan kwani wao ni akinanani Kwanza mamb ya ajabu kabisa
Ata mimi nashangaa mbona Magufuli hakua kama Kikwete, kuna watu wana akili mgando wanalazimisha mama awe kama Magufuli kila mtu ana namna yake katika kuongoza
Hata sioni Kama huo utajiri wako unakusaidia,lakini sisi masikini tunaona aliyotufanyia masikini mwenzetu,na wewe ni miongoni mwa waliomchukia magufuli kisa aliwataifisheni mali mlizojilimbikizia pimbi nyiyi,ukitaka kuniforce nimpigie makofi huyo mama yako,njoo unilambe kwanza mkunduni,lakini pia hata ukimaliza kunilamba nitakwambia maneno ya hekima pia ya kwann simuungi mkono mama Hangaya,utanisamehe bure tajiri,masikini nimejitolea kukuchana ukweli niue ili utoe wingu langu machoni lakini nachokiamini milima itazungumza hata mkitumaliza kwa risasi na mabomu,pokea pumbavu yako weka ofsini mwako tajiri,watunzie na wanao,ili wakija kutoka masomoni ujerumani uwagawie,sisi masikini tupo wanetu wanazidi kuiandika historia ya shujaa wetu huyu unayemdharau wewe,kesho watamsoma kwenye vitabu wajukuu zako,machozi yatawadondoka na kaburi lako watatamani waliponde mawe wakisikia hukuunga mkono harakati za UKOMBOZI wa mwafrica kupitia mkono wa JPM,Asante baba tajiri tunakutakia mafanikio mema ba blessed at all😭
Kikwete alisafiri sana tulipata nini?mausiano mausiamo ya kutunyonya? Mbona jpm hakua mtu wa safari na tumeona mafanikio makubwatu labda kama mausiano yao wenyewe
👏👏👏👏👍👍🤝🤝
Hongera Mama Samia, Mungu akulinde, mama mcheshi, ‘ mm upo?’ sijui ndo kamshukuzia Mange Kimambi? It’s so nice
We missed magufuli
mmmh jamani iv uyu ni Raisi wa nchi au diwani maana mbona kama anapokelewa na vidampa jamani ata kiongozi mmoja wa marekani hayupo😂
😂😂😂kigagula anatafuta njia ya kuja tz mnafiki sana kigagula
Umeona hpo ameulizwa upo... 😂😂
😂😂😂😂😂kaenda kuchukua posho alafu arudi na mzigo mwingine
Nani huyo anaambiwa na mama mmh! Upo..
Mama alipaswa kuwa waziri wa mambo ya inje
Nimecheka kwa saiti uwiii
Duuu eeh mungu tuhurumie
Wamareka ciwatu wazuri nashangaa uyu mma. Anawashokeaa.
Yaani ni raha, with the background music, it’s waaw, ila hamkuonesha Mambi Kimambi kwy video hii km mlivoandika kwy title, what’s happened?!
Hongera na shikamo mama Samia, endelea kupiga kazi kizalendo, uko vizuri.
👍👍👍👍👍👍
WHO’S MANGE KIMBAMBI
Kwahiyo tunasubiri dada wa taifa mange kimavi
Nchi inaendeshwa na Makhaba wauarabuni na marekani kweli tumeyakanyaga
Kumekucha... RIP magu
Mfate chato
@@hassanally511 unaf**wa nn ww
Tutakwenda kila mahali isipokuwa mbinguni Utakuwa na marafiki lila mahali isipokuwa Watakatifu Utajilimbikizia mali isipokuwa makao ya mbinguni Utakula pesa za wavuja jasho isipokuwa Mana
Piga kazi Mh Rais wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan. Watanzania tunakuombea na tuko pamoja na wewe🙏🏼💪🇹🇿
👍👍👍👍👍🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Sema unamuombea sio wote Kama mim siwezi kupoteza hata sekunde
@@shukranialfred2681 Kwa chuki za kinafiki hata usipo muombea ndo raisi wa nchi huna lolote hizo dua zako weka matakoni mama anazidi kupeta hehehe
MANGE UNGEPIGA PICHA NA HATATI MAGUFULI,?? SASA NA TANZANIA MTAKUJA
Msalimie mange kimavi wote ziro na mpokelewa
Mama kashangaa kumuona kimambi na kauliza upo
Safi sana mama. Piga kazi kimataifa zaidi. Tulikua tumezowea kuona ziara za chato kila siku
Wewe mkimbizi
Hayo mataifa yametusaidia Nini mpaka leo. Sana sana kodi yetu imetumika kuwalipia usafiri na mahoteli na ulinzi huko .
Hiyo hela ingesaidia mwananchi apate maji salama Iringa na chato.
Chato ni sehemu ya nchi kama ilivyo Mtwara maendeleo yapelekwe. Hela zinatumika kwa mamilioni wakati WANANCHI hawana huduma muhimu nchini.
PIGA KAZI MAMA HUWEZI KUMFURAHISHA KILA MTU.
Gud job mom
Miezi sita t marekani jeukifika mwaka mzee magu sijui yy alikua namoyo gani
Hatukutaki bibi samia kakuchagua nani umekutana na makahaba wa marekani wewe nawe ulikua kahaba marekani na uarabuni
Mange kimambi amekuwa msaliti namba moja Marekani kwa kusaliti demokrasia na haki za binadamu. kwanini alimpinga Magu wkt mama anafanya vitendo vya magufuli vya ukandamizaji
Tuliomuona Mange Kimambi hapa, Tuseme "AMINA" 😂😂
Amina😀😀😀
mwandishi muhuni tuu pumbafu, unsubscribe chap
Mama anaitangaza nchi kwa wa marekani!!!!
Mbona hakuna anayejali ujio wake!!!
Wao mwanamke kushika wadhifa mkubwa ni kitu cha kawaida
Wenzetu kiongozi anafuata miongozo
iliyowekwa na katiba yao
Sisi tunafuata matakwa ya kiongozi.
Bora angeenda Katavi
Kila mwananchi angetoka kumshangaa raisi mwanamke
Mange ( correction)
Hahahahaha Mangeeee
watanzania tushakua vichaa sasa
Yani Mange aikuwa na bifu na Magu sio Tanzania lakini watu wanakasirka kumuona anasalimiana na rahisi wa Tanzania
Nyc
Korosho hajaonekana hapo wangwana
❤❤❤
Kumbe watz wotz waishio nje walikuwa wanachuki na jpm kweli wanaimba wanaiman na huyu kweli?
Inaonaka nayeye kachangia kumuuwa Magufuri 😭😭
Mama samia ukiludi toa matozo +MAKODI
Mbona sioni hapo wazungu wajamen.
Bwanyenye kapata inchi kiurasi sasa full enjoyment
Msenge wewe kafirwe
Hahaha hahaha Zari Ni lake Hana machungu Na nchi uyu
Halima Masai Sasa mbona povu linakutoka..unamtukana mchizi bila kosa kwani uchawi Nini??
@@truelovepawanza2046 Lazima amuheshimu mkuu wa nchi hata kama ni mama mbona jembe sikuona matusi sasa kwanini mama apigwe vijembe mi ni mwanamke najisikia vibaya sijali ni wa chama gani
Halima Masai Kweli Yule Ni mwanamke mwenzako lazima ujisikie vibaya..ila binadamu ndvyo tulivyo Muda wote huwaga tunaongea tu.
Mange ni kinganganizi mpaka amempata Chief Hangaya
Safi sana Mama tembea uione dunia na ujifunze ili ulete vitu vizuri Tz pia, ongea nao wasaidie kujenga Metro train Tz commuter train
Akakuletea kipi cha ziada
@@frankforeheads7240 soma tena comments yangu uielewe
Nawewe soma tena utanielewa
@@frankforeheads7240 hueleweki kabisa
Viongozi wote walio tangulia na huyu aliopo ni viongozi Bora Sana maana wanapoondoka madarakani wanaondoka kwa amani na kila kiongozi amechangia maendeleo ya watanzania nijambo la kumshukuru Mungu sio kuwalaumu viongozi wetu Ila nikuwaombea maana ni wanadamu sio malaika
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Binadamu as bwana
Vzr
Mange kajipeleka tuuu hajakutana nae
Hii awamu ya sita mwachen mama achape kaz,kwa akili zenu mnataka kila rais afanye kama magu? Nyinyi kama akili zenu zimedumaa kwenye awamu ya tano bakini hapo Tanzania sasa ipo kwenye awamu ya 6 na kila rais anakuja na mtazamo wake
Ama kweli umejua kusema
Usiwe kama hujielewi wewe now tumerudi awam ya Nnee sio ya sitaa ... kuna Kaz gan umeonaa inaendeleaa .. safar za kikwetee na ushirikiano uliotengenezaa mikataba ya Unyonyaji ndio imerudi
@@gidionkadaraja1403 utaki usitake ndo ishakuwa kama uwez katafute nchi ambayo rais anakaa tu ndani ya nchi kama mwari,mwache mama yetu apige kazi,tatizo lenu hata angekuja malaika mngempinga sababu kuna maslahi umeyakosa awamu na ulishazoea kuyapata awamu ya 5
Xv t gshids vbinekz cxuwuk@ zw
Hmmmm upo?🤣🤣🤣
Napita2 mwaya
🤔🤔
Mmh
Tujiandae kufilwa
Mh
Mama ikikupendeza rudi nyumbani tulijenge taifa letu acha habari za kurandatanda huyo mange kimavi aliemtukana Rais magufuli wakati ule tuseme ulikua unafurahia au ni vipi? Maana sijakuelewa leo unakwenda kuonana nae wanini? huyo mtoto hana adabu achana nae ujue huyo hatokupigia kura wapiga kura ni sisi ohoo we we we randa na Dunia tu,
Safi Rais wetu, itangaze Tanzania kimataifa. Endelea kukuza wigo wa diplomasia.
Chiz wewe
Diplomasia gan?! wakati wao tu kupeana madaraka ilikuwa vita?!wacha akachukue posho alizo haidiwa na kupeleka maesabu ya mali za nchi.
Wewe Ni Kati ya wale watanzania wapumbavu wasiyo jielewa
@@ototek8037 Kwasasa Rais ni Samia Suluhu, mpende tu Mama Kwa maana hakuna namna.
@@nyeurakibura4791 Hakuna kitu kama hicho tuna Imani kubwa Na Rais wetu, Mama hawezi kuuza wanawe.
ruclips.net/video/HAfiqcAo-hA/видео.html katazame haji manara alivyosema baada ya SIMBA SC CLUB kufungwa na TP MAZEMBE
🤣🤣🤣🤣
Now that's the president 💪💪 nendaa mama tunakuamini,sio yule marehemu dictator ambae hakujua kujenga uhusiano na dola za ughaibuni...yeye mwisho wake ulikua kenya, Uganda na msumbiji 😂😂
Kwani hatukujui kwamba wewe ni anjenti wa lusfa na.ufalme wenu ni katika nguvu za kiza,,subiri tutakavyokupigwa,,mpaka mtapotea tu,, ni kama mmefanikiwa lkini ndio mnamalizika ,,mtakutana kuzimu bweha wewe
Mbwa kabisa ww, tena usirudie tena kumsema vibaya MKOMBOZI wa WATANZANIA.
Endeleeni ujinga wenu tu.
@@nyeurakibura4791 hhhh mkombozi Baba wa taifa mwalimu
@@hassanally511 kwani nyerere na magufuli si nikitu kimoja huwezi kuwatenganisha hao
@@katwigayona8041 bas sema Marais wote ni kitu kimoja hta hyo mama Samia mfumo wao ndo huo huo zao la ccm
Nyc