RAIS SAMIA ALIVYOPOKELEWA MAREKANI / AKUTANA NA MANGE KIMBAMBI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 188

  • @linkreuben3108
    @linkreuben3108 3 года назад +22

    Kwa namana hii ya kushirikiana na wahuni, wazi farao asiye mjua yusufu kaibuka Tanzania, WANAMAOMBI huu ndio muda wa kukausha bahari ili farao na jeshi lake wafie humo, kusudi Tanzania yetu iwe salaama. AMENI

  • @franciscomohamedjumanne1136
    @franciscomohamedjumanne1136 3 года назад +9

    Unaenda marekani mkuu Wa nchi unapokelewa Na mange kimambi

  • @geraldjohn7857
    @geraldjohn7857 3 года назад +14

    Hadi kumaliza awam yake anakua ameimaliza duniaa nzimaa...kula tano mama wakati ni wako hapo unaona Kama upo ndotoni

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela8477 3 года назад +7

    Mama ww ni tatizo kubwa tulilo wahi kupata tz 🇹🇿 ni ww

  • @mannabu9333
    @mannabu9333 3 года назад +6

    Kawaida tu ngoja waje wao Afrika mpaka barabara manasafisha Pumbavu

  • @scolamakabara2483
    @scolamakabara2483 3 года назад +5

    Kwahiyo hakuna wamarekani walioenda kumpokea kapokelewa na Tanzania tuu duuh inabidi ajitafakri vizri huyu mama Mungu amisaidie kabisa ameonyesha unafiki wake mapema mnooo

  • @eriquepol5582
    @eriquepol5582 3 года назад +4

    Jamani duh raisi wa marekani yaani hana time na huyu mama duh hadi picha airpot ni aibu kuzitoa wao wakija nchi inasimama kuwapokea ila sisi wanatuona waamiaji tu dah

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 3 года назад +5

    Kwakweli mama samia hapo UMEKOSEA kukutana na hao wahuni, sisi ndo tunawajua kindaki ndaki

  • @leilafsadickfsadick5471
    @leilafsadickfsadick5471 3 года назад +13

    Mama ana zurura huyu kheee ngoja nchii ikipinduliwa ndio tuta amka bora ata nchi inge ongozwa na jeshi kuliko huyu mama kila siku safari jaman hadi ana boa 😒😒😒😒😏😏😏😏

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 3 года назад +2

      watu wa pwani ndi walivo wazururaji na wanyonyaji ili wajijazie wao Allah awakoe watanzania

    • @leilafsadickfsadick5471
      @leilafsadickfsadick5471 3 года назад +2

      @@aishaalbalushaishabalush8291 harafu ikumbukwe pesa anayotumia kuzururia ni pesa za serikar na ndio maana mitozo kibao kumbe yeye ana Taka za kuchezea nakumbuka Ali hojiwa na BBC aka sema akimaliza muda wake ata gombea tena 🤣🤣🤣🤣kwa hali hii aombee mungu

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 3 года назад

      Hivi wewe unatamani jeshi ichukue nchi kweli unaakili timamu ungejua serekali ya kijeshi ilivyo usinge sema maana hata ungeshindwa kukojowa usiombe laana nchi yetu tupo huru maashaall na mama yetu wenye kujielewa tunaraha na mama yetu mama samia oyeeeee

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 3 года назад

      @@leilafsadickfsadick5471 👎👎👎👎👎👎

    • @leilafsadickfsadick5471
      @leilafsadickfsadick5471 3 года назад

      @@halimamasai2234 🤣🤣🤣🤣🤣 wewe subir yaki kufika shingoni ndio utajua nina hakili au sina keep it on your mind 😆😆😆😆

  • @shammhagama4297
    @shammhagama4297 3 года назад +4

    Mmmh Hapo ni Marekani au singida hahahaha, mapokezi gani hayo

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 3 года назад +7

    Mashallah passport inajaa mihuri ndani ya mwaka mmoja,Pumzika kwa Amani magufuli wetu Rais ulojitolea kutatua kero za wananchi na si kwa safari za kujaza mihuri ya ulaya na nchi jirani🚶

    • @BIGBOSS-hl3bu
      @BIGBOSS-hl3bu 2 года назад

      Tabu yote kaiacha magu ,Kama magufuli angekuwa na mahusiano mazuri na mataifa mengine wala mama wa watu asingehangaika lkn kwa vile magu alivuruga ndio MAANA mama anapata tabu Sana.

    • @kisangageorgethomasi2830
      @kisangageorgethomasi2830 2 года назад

      Angeenda vp nje ya nchi wakati alikua anatumia blue tooth we vp jiongeze acha Mapepe

    • @BIGBOSS-hl3bu
      @BIGBOSS-hl3bu 2 года назад

      Kisanga Hahahahaha 😁😁😁😁😁

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 3 года назад +5

    Mama samia umetukwaza sanaaa jua hilo mmmh

  • @masundelwa
    @masundelwa 3 года назад +6

    KUA uyaone......

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 3 года назад +7

    Huyo Mange si anawachukia CCM imekuaje shobo tena

    • @machoguhameri7757
      @machoguhameri7757 3 года назад +2

      Mangi kimambi aliwatukana hata mashehe, mfano shehe wa mkoa wa dar es salaam, eti kwa nini wanampenda Rais Magufuri na serikali yake. Alimtetea sana Mbowe na chadema eti serikali ya Magufuri inawanyanyasa. Serikali ilisema watamkamata popote alipo hata awe nje ya nchi.Leo kaja mwenyewe kumpokea Rais Samia huko Marekani je watamkamata? Au watu hawa walikuwa wanatekeleza kazi maalumu kwa kutumwa na system iliyokuwa kinyume na Rais Magufuri?. Isije ikawa watu wote waliomtukana na kumdharirisha Rais Magufuri, sasa ni watu safi awamu ya sita!!!

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 3 года назад

      @@machoguhameri7757 Kama asipokamatwa then kuna mengi chini ya kapeti

  • @jumaally4263
    @jumaally4263 3 года назад +7

    Kweli tunamkumbuka JPM. Morogoro Road ndio mwisho yale mapipa

    • @ivanminja7954
      @ivanminja7954 3 года назад

      Acha unafiki, jitie kitanzi ufe kama unaona maisha magumu.

    • @zuenahamoud1532
      @zuenahamoud1532 2 года назад

      @@ivanminja7954 kuma la mkeo Nala mamako

  • @jitulakalemastr7636
    @jitulakalemastr7636 3 года назад +9

    Mama na safri 🤣🤣🤣 kweli kazi inaendelea kila siku safar du

  • @isaiahngusa3661
    @isaiahngusa3661 3 года назад +4

    Zile Siri alikuwa anazitoa MANGE KIMAMBI enzi za JPM kumtukana matusi ya nguo , kumdhaririasha bila aibu yoyote na haya mapokezi Vp tuunganishe dots au tukaushe tu.

    • @tsaonethapelo6373
      @tsaonethapelo6373 3 года назад +3

      Hapo ndiyo utajua Kigogo ni nani ndugu yangu Marehemu alizungukwa na wahuni wapiga dili ndiyo maana hawakumpenda

    • @alphonsinamwakyembe6903
      @alphonsinamwakyembe6903 3 года назад

      Kikulacho ki nguoni mwako
      Laiti angekuwepo jpm akajionea mwenyewe
      Sasa nimemuelewa mama saa 100

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 3 года назад +5

    Yaani mmh, hivi kweli rais kukutana na WAHUNI km mange alie mtukana JPM JMN I SEE 👀

  • @musabalinaki9692
    @musabalinaki9692 3 года назад +8

    R.I.P JPM

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 3 года назад +2

    Duh kapokewa na watz wenzetu wanaishi marekani hakuna kiongozi yoyote wa marekani alompokea ?

  • @gjsjsjsjsjsjvsjjshhshsh4683
    @gjsjsjsjsjsjvsjjshhshsh4683 3 года назад +6

    She is too much SAFARI HIZO PESA ZINGEWASAIDIA wanyonge kweri

    • @daudkihava8528
      @daudkihava8528 3 года назад +3

      Hizo pesa za safari ndiyo zinatoka kwa hao wanyonge, kupitia tozo, acha aimalize dunia ni mwendo wa safari tu.

    • @annamsemwa1946
      @annamsemwa1946 3 года назад

      Ndio maana tunakatwa kodi kila pahala

  • @yohanalazaro4973
    @yohanalazaro4973 3 года назад +1

    Hiii ni aibu Sana kwa raisi wa nchi Kama Tanzania umeacha Wana nchi wako huku wanateseka vijiji huko dawa hakuna zahanati shule hakuna madawati unashindwa kwenda kuwaona unaenda kuwaona wahuni malekani hao watakusaidia nini da kweli tunalaisi mwenyez atusaidie sana

    • @kawiche4911
      @kawiche4911 2 года назад

      Umesema kweli
      MAMILIONI YA FEDHA ZA KIGENI YAMETUMIKA KWENYE USAFIRI WA ANGA .MAHOTEL. ULINZI.
      WANANCHI HAWANA HUDUMA MUHIMU.
      SIO SAWA MAREKANI WAMETUSAIDIA NINI TANZANIA ???TANGU ENZI ZA NYERERE NA FOREIGN POLICIES ZA UGANDAMIZAJI SIKU HADI SIKU.
      JPM SHUJAA WA AFRIKA
      DAIMA TUTAKUKUMBUKA

  • @nyororotherock5567
    @nyororotherock5567 3 года назад +2

    Hiyo safari ndio ilo mpeleka kwenda kumuona Mange kimambi?! Tujiulize kwa masuala ka haya Watanzani?!......

  • @innocentmihayo8785
    @innocentmihayo8785 3 года назад +10

    MBONA MAPOKEZI MEPESI NAMNA HIYO????

    • @rehemamaduhu5642
      @rehemamaduhu5642 3 года назад

      Hata mimi nashanga, Joe Biden alitakiwa awepo ili ampokee ila nahisi ndio ule msemo kwamba wa afrika wote wana corona

  • @luhindakanige2987
    @luhindakanige2987 3 года назад +3

    Mange kimavi ndo anampokea Rais haaaaaaaa uwwwwwwi

  • @ivanminja7954
    @ivanminja7954 3 года назад +2

    wapumbavu sana mmekaa kila siku kumsema Mama, mnataka atawale kama awamu zilizopita, mbona hamuigani kutawala nyumba zenu na kila mtu na sheria zake za nyumba, wapumbavu sana, muacheni afanye kazi zake, kila siku maneno maneno na ni wanafiki wakubwa nyinyi nyamazeni kabisa, tumeshawachoka kumsema mama, au kwakuwa ameachia democracy, kipindi cha Raisi wenu mliomuona ni Mungu mlikuwa mnaongea shit kama hizo, acheni upumbavu, Mama piga kazi na kura tunakupigia uchaguzi ujao, watu wamejawa na roho mbaya sana ya kimasikini kutokupenda maendeleo ya mtu.

    • @jeromemdoe6816
      @jeromemdoe6816 3 года назад

      Ki ukweli hii inashangaza Sana ,Kuna mmoja anasema anashirikiana na wahuni,huu niuzumbukuku.Kaenda mmarekani,kakutana na watanzania mnaowaita wahuni.Ni watu gani special wanaotakiwa kukutana nae?Kila Leo mnakumbuka nyuma ,kila mmoja anastili yake ya kuongoza.

    • @yohanalazaro4973
      @yohanalazaro4973 3 года назад +1

      Nyie ndo wapumbavu kabisaa hata hamjielewi, hv hao watanzania wa huko marekani na watanzania waishio nchini kwao huko vijijin hawana dawa zahanat shule za shida hakuna madasat maisha magumu, wap wanafaa kwenda kuwaona!? Huko malekan kwani wao ni akinanani Kwanza mamb ya ajabu kabisa

    • @kasimathumani9284
      @kasimathumani9284 3 года назад

      Ata mimi nashangaa mbona Magufuli hakua kama Kikwete, kuna watu wana akili mgando wanalazimisha mama awe kama Magufuli kila mtu ana namna yake katika kuongoza

    • @philipocharles9239
      @philipocharles9239 2 года назад

      Hata sioni Kama huo utajiri wako unakusaidia,lakini sisi masikini tunaona aliyotufanyia masikini mwenzetu,na wewe ni miongoni mwa waliomchukia magufuli kisa aliwataifisheni mali mlizojilimbikizia pimbi nyiyi,ukitaka kuniforce nimpigie makofi huyo mama yako,njoo unilambe kwanza mkunduni,lakini pia hata ukimaliza kunilamba nitakwambia maneno ya hekima pia ya kwann simuungi mkono mama Hangaya,utanisamehe bure tajiri,masikini nimejitolea kukuchana ukweli niue ili utoe wingu langu machoni lakini nachokiamini milima itazungumza hata mkitumaliza kwa risasi na mabomu,pokea pumbavu yako weka ofsini mwako tajiri,watunzie na wanao,ili wakija kutoka masomoni ujerumani uwagawie,sisi masikini tupo wanetu wanazidi kuiandika historia ya shujaa wetu huyu unayemdharau wewe,kesho watamsoma kwenye vitabu wajukuu zako,machozi yatawadondoka na kaburi lako watatamani waliponde mawe wakisikia hukuunga mkono harakati za UKOMBOZI wa mwafrica kupitia mkono wa JPM,Asante baba tajiri tunakutakia mafanikio mema ba blessed at all😭

  • @esteredward6980
    @esteredward6980 3 года назад +3

    Kikwete alisafiri sana tulipata nini?mausiano mausiamo ya kutunyonya? Mbona jpm hakua mtu wa safari na tumeona mafanikio makubwatu labda kama mausiano yao wenyewe

    • @kawiche4911
      @kawiche4911 2 года назад

      👏👏👏👏👍👍🤝🤝

  • @salimabdillah1623
    @salimabdillah1623 3 года назад

    Hongera Mama Samia, Mungu akulinde, mama mcheshi, ‘ mm upo?’ sijui ndo kamshukuzia Mange Kimambi? It’s so nice

  • @musasaid7917
    @musasaid7917 3 года назад +10

    We missed magufuli

  • @peterdavid4230
    @peterdavid4230 3 года назад +1

    mmmh jamani iv uyu ni Raisi wa nchi au diwani maana mbona kama anapokelewa na vidampa jamani ata kiongozi mmoja wa marekani hayupo😂

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 3 года назад +4

    😂😂😂kigagula anatafuta njia ya kuja tz mnafiki sana kigagula

  • @frankforeheads7240
    @frankforeheads7240 3 года назад +4

    😂😂😂😂😂kaenda kuchukua posho alafu arudi na mzigo mwingine

  • @mirajintandu4456
    @mirajintandu4456 3 года назад +2

    Nani huyo anaambiwa na mama mmh! Upo..

  • @erickwanjarajr5707
    @erickwanjarajr5707 3 года назад +3

    Mama alipaswa kuwa waziri wa mambo ya inje

  • @erastobartalome2709
    @erastobartalome2709 3 года назад +1

    Duuu eeh mungu tuhurumie

  • @hadjamlkong0851
    @hadjamlkong0851 3 года назад

    Wamareka ciwatu wazuri nashangaa uyu mma. Anawashokeaa.

  • @salimabdillah1623
    @salimabdillah1623 3 года назад

    Yaani ni raha, with the background music, it’s waaw, ila hamkuonesha Mambi Kimambi kwy video hii km mlivoandika kwy title, what’s happened?!

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 3 года назад +1

    Hongera na shikamo mama Samia, endelea kupiga kazi kizalendo, uko vizuri.

  • @arsenemuhindo
    @arsenemuhindo 3 года назад +5

    WHO’S MANGE KIMBAMBI

  • @lalisaaaaaaa1004
    @lalisaaaaaaa1004 3 года назад +3

    Kwahiyo tunasubiri dada wa taifa mange kimavi

  • @kingbuddah6372
    @kingbuddah6372 3 года назад

    Nchi inaendeshwa na Makhaba wauarabuni na marekani kweli tumeyakanyaga

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 3 года назад +10

    Kumekucha... RIP magu

  • @vickymgonja3007
    @vickymgonja3007 2 года назад

    Tutakwenda kila mahali isipokuwa mbinguni Utakuwa na marafiki lila mahali isipokuwa Watakatifu Utajilimbikizia mali isipokuwa makao ya mbinguni Utakula pesa za wavuja jasho isipokuwa Mana

  • @ceciliarogasian6071
    @ceciliarogasian6071 3 года назад +1

    Piga kazi Mh Rais wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan. Watanzania tunakuombea na tuko pamoja na wewe🙏🏼💪🇹🇿

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 3 года назад

      👍👍👍👍👍🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @shukranialfred2681
      @shukranialfred2681 3 года назад

      Sema unamuombea sio wote Kama mim siwezi kupoteza hata sekunde

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 3 года назад

      @@shukranialfred2681 Kwa chuki za kinafiki hata usipo muombea ndo raisi wa nchi huna lolote hizo dua zako weka matakoni mama anazidi kupeta hehehe

  • @mathayowilson1525
    @mathayowilson1525 2 года назад

    MANGE UNGEPIGA PICHA NA HATATI MAGUFULI,?? SASA NA TANZANIA MTAKUJA

  • @samsonkarungubale2658
    @samsonkarungubale2658 3 года назад

    Msalimie mange kimavi wote ziro na mpokelewa

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 3 года назад +1

    Mama kashangaa kumuona kimambi na kauliza upo

  • @saeedal-awen2190
    @saeedal-awen2190 3 года назад

    Safi sana mama. Piga kazi kimataifa zaidi. Tulikua tumezowea kuona ziara za chato kila siku

    • @johnmike6059
      @johnmike6059 3 года назад

      Wewe mkimbizi

    • @kawiche4911
      @kawiche4911 2 года назад

      Hayo mataifa yametusaidia Nini mpaka leo. Sana sana kodi yetu imetumika kuwalipia usafiri na mahoteli na ulinzi huko .
      Hiyo hela ingesaidia mwananchi apate maji salama Iringa na chato.
      Chato ni sehemu ya nchi kama ilivyo Mtwara maendeleo yapelekwe. Hela zinatumika kwa mamilioni wakati WANANCHI hawana huduma muhimu nchini.

  • @HusseinRj
    @HusseinRj 3 года назад

    PIGA KAZI MAMA HUWEZI KUMFURAHISHA KILA MTU.

  • @aminamkumba3549
    @aminamkumba3549 3 года назад +1

    Gud job mom

  • @AliMohamed-gv7nw
    @AliMohamed-gv7nw 3 года назад

    Miezi sita t marekani jeukifika mwaka mzee magu sijui yy alikua namoyo gani

  • @kingbuddah6372
    @kingbuddah6372 3 года назад

    Hatukutaki bibi samia kakuchagua nani umekutana na makahaba wa marekani wewe nawe ulikua kahaba marekani na uarabuni

  • @uhurunyereremusa8592
    @uhurunyereremusa8592 3 года назад +3

    Mange kimambi amekuwa msaliti namba moja Marekani kwa kusaliti demokrasia na haki za binadamu. kwanini alimpinga Magu wkt mama anafanya vitendo vya magufuli vya ukandamizaji

  • @dtv6734
    @dtv6734 3 года назад +1

    Tuliomuona Mange Kimambi hapa, Tuseme "AMINA" 😂😂

    • @jayfadhil8404
      @jayfadhil8404 3 года назад

      Amina😀😀😀

    • @aidandis5309
      @aidandis5309 3 года назад

      mwandishi muhuni tuu pumbafu, unsubscribe chap

  • @alphonsinamwakyembe6903
    @alphonsinamwakyembe6903 3 года назад

    Mama anaitangaza nchi kwa wa marekani!!!!
    Mbona hakuna anayejali ujio wake!!!
    Wao mwanamke kushika wadhifa mkubwa ni kitu cha kawaida
    Wenzetu kiongozi anafuata miongozo
    iliyowekwa na katiba yao
    Sisi tunafuata matakwa ya kiongozi.
    Bora angeenda Katavi
    Kila mwananchi angetoka kumshangaa raisi mwanamke

  • @salimabdillah1623
    @salimabdillah1623 3 года назад

    Mange ( correction)

  • @adredandorero2911
    @adredandorero2911 3 года назад +2

    Hahahahaha Mangeeee

  • @JohnDoe19xx
    @JohnDoe19xx 3 года назад

    watanzania tushakua vichaa sasa
    Yani Mange aikuwa na bifu na Magu sio Tanzania lakini watu wanakasirka kumuona anasalimiana na rahisi wa Tanzania

  • @fredrickalbert795
    @fredrickalbert795 2 года назад

    Nyc

  • @jcrackcrack1669
    @jcrackcrack1669 3 года назад +1

    Korosho hajaonekana hapo wangwana

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 3 года назад +1

    ❤❤❤

  • @czaraymond4728
    @czaraymond4728 3 года назад

    Kumbe watz wotz waishio nje walikuwa wanachuki na jpm kweli wanaimba wanaiman na huyu kweli?

  • @louis8474
    @louis8474 3 года назад +1

    Inaonaka nayeye kachangia kumuuwa Magufuri 😭😭

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 3 года назад +1

    Mama samia ukiludi toa matozo +MAKODI

  • @frankminja2343
    @frankminja2343 3 года назад

    Mbona sioni hapo wazungu wajamen.

  • @lutulalihim1585
    @lutulalihim1585 3 года назад +4

    Bwanyenye kapata inchi kiurasi sasa full enjoyment

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 3 года назад

      Msenge wewe kafirwe

    • @truelovepawanza2046
      @truelovepawanza2046 3 года назад +1

      Hahaha hahaha Zari Ni lake Hana machungu Na nchi uyu

    • @truelovepawanza2046
      @truelovepawanza2046 3 года назад +1

      Halima Masai Sasa mbona povu linakutoka..unamtukana mchizi bila kosa kwani uchawi Nini??

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 3 года назад

      @@truelovepawanza2046 Lazima amuheshimu mkuu wa nchi hata kama ni mama mbona jembe sikuona matusi sasa kwanini mama apigwe vijembe mi ni mwanamke najisikia vibaya sijali ni wa chama gani

    • @truelovepawanza2046
      @truelovepawanza2046 3 года назад

      Halima Masai Kweli Yule Ni mwanamke mwenzako lazima ujisikie vibaya..ila binadamu ndvyo tulivyo Muda wote huwaga tunaongea tu.

  • @oyay2821
    @oyay2821 3 года назад

    Mange ni kinganganizi mpaka amempata Chief Hangaya

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 3 года назад

    Safi sana Mama tembea uione dunia na ujifunze ili ulete vitu vizuri Tz pia, ongea nao wasaidie kujenga Metro train Tz commuter train

  • @mpokimwakaje8178
    @mpokimwakaje8178 3 года назад

    Viongozi wote walio tangulia na huyu aliopo ni viongozi Bora Sana maana wanapoondoka madarakani wanaondoka kwa amani na kila kiongozi amechangia maendeleo ya watanzania nijambo la kumshukuru Mungu sio kuwalaumu viongozi wetu Ila nikuwaombea maana ni wanadamu sio malaika

  • @mgongolwajoseph6901
    @mgongolwajoseph6901 3 года назад

    Binadamu as bwana

  • @swaleheamri2303
    @swaleheamri2303 3 года назад

    Vzr

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 3 года назад

    Mange kajipeleka tuuu hajakutana nae

  • @kassimually4242
    @kassimually4242 3 года назад

    Hii awamu ya sita mwachen mama achape kaz,kwa akili zenu mnataka kila rais afanye kama magu? Nyinyi kama akili zenu zimedumaa kwenye awamu ya tano bakini hapo Tanzania sasa ipo kwenye awamu ya 6 na kila rais anakuja na mtazamo wake

    • @happyngomuo3707
      @happyngomuo3707 3 года назад

      Ama kweli umejua kusema

    • @gidionkadaraja1403
      @gidionkadaraja1403 3 года назад +1

      Usiwe kama hujielewi wewe now tumerudi awam ya Nnee sio ya sitaa ... kuna Kaz gan umeonaa inaendeleaa .. safar za kikwetee na ushirikiano uliotengenezaa mikataba ya Unyonyaji ndio imerudi

    • @kassimually4242
      @kassimually4242 3 года назад

      @@gidionkadaraja1403 utaki usitake ndo ishakuwa kama uwez katafute nchi ambayo rais anakaa tu ndani ya nchi kama mwari,mwache mama yetu apige kazi,tatizo lenu hata angekuja malaika mngempinga sababu kuna maslahi umeyakosa awamu na ulishazoea kuyapata awamu ya 5

    • @gidionkadaraja1403
      @gidionkadaraja1403 3 года назад

      Xv t gshids vbinekz cxuwuk@ zw

  • @adredandorero2911
    @adredandorero2911 3 года назад

    Hmmmm upo?🤣🤣🤣

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 3 года назад

    Napita2 mwaya

  • @fidahusseinkassim9778
    @fidahusseinkassim9778 3 года назад

    🤔🤔

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 3 года назад

    Mmh

  • @wangonamuhange8218
    @wangonamuhange8218 3 года назад

    Tujiandae kufilwa

  • @kelvinyesaya3304
    @kelvinyesaya3304 3 года назад

    Mh

  • @saidali8338
    @saidali8338 2 года назад

    Mama ikikupendeza rudi nyumbani tulijenge taifa letu acha habari za kurandatanda huyo mange kimavi aliemtukana Rais magufuli wakati ule tuseme ulikua unafurahia au ni vipi? Maana sijakuelewa leo unakwenda kuonana nae wanini? huyo mtoto hana adabu achana nae ujue huyo hatokupigia kura wapiga kura ni sisi ohoo we we we randa na Dunia tu,

  • @wilbertmmary9076
    @wilbertmmary9076 3 года назад +2

    Safi Rais wetu, itangaze Tanzania kimataifa. Endelea kukuza wigo wa diplomasia.

    • @ototek8037
      @ototek8037 3 года назад

      Chiz wewe

    • @nyeurakibura4791
      @nyeurakibura4791 3 года назад

      Diplomasia gan?! wakati wao tu kupeana madaraka ilikuwa vita?!wacha akachukue posho alizo haidiwa na kupeleka maesabu ya mali za nchi.

    • @truelovepawanza2046
      @truelovepawanza2046 3 года назад

      Wewe Ni Kati ya wale watanzania wapumbavu wasiyo jielewa

    • @wilbertmmary9076
      @wilbertmmary9076 3 года назад

      @@ototek8037 Kwasasa Rais ni Samia Suluhu, mpende tu Mama Kwa maana hakuna namna.

    • @wilbertmmary9076
      @wilbertmmary9076 3 года назад

      @@nyeurakibura4791 Hakuna kitu kama hicho tuna Imani kubwa Na Rais wetu, Mama hawezi kuuza wanawe.

  • @michaelgwimbugwa1535
    @michaelgwimbugwa1535 3 года назад

    ruclips.net/video/HAfiqcAo-hA/видео.html katazame haji manara alivyosema baada ya SIMBA SC CLUB kufungwa na TP MAZEMBE

  • @jamesvmusic2677
    @jamesvmusic2677 3 года назад

    🤣🤣🤣🤣

  • @bigbossmanbossman6946
    @bigbossmanbossman6946 3 года назад +1

    Now that's the president 💪💪 nendaa mama tunakuamini,sio yule marehemu dictator ambae hakujua kujenga uhusiano na dola za ughaibuni...yeye mwisho wake ulikua kenya, Uganda na msumbiji 😂😂

    • @katwigayona8041
      @katwigayona8041 3 года назад +4

      Kwani hatukujui kwamba wewe ni anjenti wa lusfa na.ufalme wenu ni katika nguvu za kiza,,subiri tutakavyokupigwa,,mpaka mtapotea tu,, ni kama mmefanikiwa lkini ndio mnamalizika ,,mtakutana kuzimu bweha wewe

    • @nyeurakibura4791
      @nyeurakibura4791 3 года назад +3

      Mbwa kabisa ww, tena usirudie tena kumsema vibaya MKOMBOZI wa WATANZANIA.
      Endeleeni ujinga wenu tu.

    • @hassanally511
      @hassanally511 3 года назад +1

      @@nyeurakibura4791 hhhh mkombozi Baba wa taifa mwalimu

    • @katwigayona8041
      @katwigayona8041 3 года назад +3

      @@hassanally511 kwani nyerere na magufuli si nikitu kimoja huwezi kuwatenganisha hao

    • @hassanally511
      @hassanally511 3 года назад

      @@katwigayona8041 bas sema Marais wote ni kitu kimoja hta hyo mama Samia mfumo wao ndo huo huo zao la ccm

  • @fredrickalbert795
    @fredrickalbert795 2 года назад

    Nyc