Ijue familia ya Rais Samia Suluhu -mume, watoto na historia yake

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Katika makala hii tunakuletea wasifu wa mama Samia Suluhu Hassan tukitazama vyeo vyake vingine vya kijamii yeye kama mke, mama wa watoto na mwanafamilia kwa ujumla. Utawajua watoto wa samia Suluhu, mume wa Samia Suluhu na ndegu zake pamoja na anakotokea Kizimkazi Zanzibar.

Комментарии • 222

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 года назад +3

    Nakumbuka Mazishi ya kiongozi mmoja alizikwa kijijini kwao alijisahau hata vifaa vya msikitini! Hapana viongozi jalini vikiji vyenu sio kuwekaweka mbele familia. Kijiji Cha kiongozi kifanane na hadhi yake. Msikubali aibu mkiwa mmeshanyamaza milele ( kifo)

  • @LoyfridaMwesigaMartine
    @LoyfridaMwesigaMartine 2 месяца назад +2

    Shikamoo mama, nakukupenda sana mama yangu

  • @mwamvuamursali1390
    @mwamvuamursali1390 2 года назад +9

    Mashallah mwanamke wa kwanza zanzibar,makamu wa kwanza mwanamke Tanzania na Raisi wakwanza mwanamke pekee Tanzania 🇹🇿 ni bahati kubwa sana aliyonayo nnauhakika ndie atakuwa Raisi pekee atakaeleta maendeleo makubwa sana. Allah amjaalie katika kila malengo yake yote ayafanikishe in shaa allah I love ❤ mama

    • @MICHAELMSOMA-e4e
      @MICHAELMSOMA-e4e 7 месяцев назад

    • @FabianTebeka
      @FabianTebeka 4 месяца назад +1

      Acha ujinga akuna rais aliyeleta maendeleo kama magufuri, sasa hivi viongozi wanaiba fedha akuna wa kuwazuia kipindi cha magufuri rushwa viongozi walikuwa wanaogopa na walikuwa wanapelekwa jela, sasa hivi viongozi kama mawaziri wakina mwigulu nchemba wanaiba fedha na hayupo wa kuwatisha, sasa ingekuwa marehemu magufuri thubutu kuiba fedha wangezitapika na siku hizi ukienda hospital madokta wanaanza kazi mdaa wanawotaka hakuna uwajibikaji acheni kusifia vitu ambavyo havipo magufuri ataendelea kukumbukwa kwa upendo wake kwa watanzania na alibana fedha kwa kutokusafiri wakati kuna balozi.

    • @CatherineNyalamerk
      @CatherineNyalamerk 3 дня назад

      ​@@FabianTebekaI'm 🎉E I'm Ed I'm🎉😢

  • @FabianTebeka
    @FabianTebeka 4 месяца назад

    Hakuna kitu chochote anachofanya zaidi ya kusafiri pasipo kuwa na faida

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 года назад +2

    "Kumbuka shuka mapema" na uhakikishe kijini kwako hawajutii Kuwa na Wewe. Mtu kwao . Mungu aliyekupa Wewe Basi na Kijiji Chalo wakufaidi walau.

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuza Год назад +1

    Baba yake yupo wapi?na mama yake yupo wapi nataka kujua walio toa chombo hiki kizuri kilicho sheheni mambo mazuri tabia sura jamani mashallaa

  • @Alexlaizermolleli
    @Alexlaizermolleli 4 месяца назад

    Naomba kwa. Eshima na sisi usitusahau kabisa nahishi okokola kijiji cha okokola

  • @yasiniSwedi-qg5oc
    @yasiniSwedi-qg5oc 5 месяцев назад

    Wewe bilayakufa mpendwawetu jpm wewe usinge kuwa raisi hatakama ungeishi miaka200

    • @SayyidAhmadBaalawy
      @SayyidAhmadBaalawy 2 месяца назад

      Kwahiyo hujapendelea mama sammia kuwa raisi wa tanzania au??? Umesahau kuwa mungu sia thumani wote hao unao wadhania kuwa maraisi na watakao kuja baada ya mama samia sio mapenzi yao ila ni mungu ndio mtoaji nafasi hiyo kwa amtakae. Hivyo wewe zowea tu ma ukubali matokeo.

  • @yasiniSwedi-qg5oc
    @yasiniSwedi-qg5oc 5 месяцев назад

    Ishu sio mwanamke W Kwanzaa kuwa raisi ishu ameimudu?nafsihyo?nani anataka kuijuwa familiayake? Au uchawatu

    • @ZanzibarKamiliTV
      @ZanzibarKamiliTV  5 месяцев назад

      Punguza jazba Yasini. Maisha haya hayataki hasira za bila mpango. Allah humpa amtakaye, na humchukua amtakaye katika viumbe vyake.

  • @faridaabdallah7620
    @faridaabdallah7620 2 года назад +7

    Masha Allah mwenyezimungu akufanyie wepesi ❤❤♥️🤲

  • @helencasmir5457
    @helencasmir5457 7 месяцев назад

    Why is it not in English or Swahili?
    What are you trying to HIDE to our people?

  • @Alexlaizermolleli
    @Alexlaizermolleli 4 месяца назад +1

    Nimekubali mama wetu mungu akubariki mahali ulipo

  • @bibimpole9455
    @bibimpole9455 2 года назад +3

    Hy Ndio Rais Wa Nchi Alopanga Mungu Mwanaadam Huwezi Kulipangua Ukitaka Kaa Tanzania Huwezi Hamia Marekani Bibi Upo

  • @twalaataib7337
    @twalaataib7337 2 года назад +3

    Mashallah insh allah umri Mrefu na afya kamili Love Frm Kenya 👍❤

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 10 месяцев назад

    mbona sifa nyingi kuriko ariyo kosea kuuza bandari au kawa munngu kama jpm mabaya hana huyu?? au mnaficha mpaka afe ndio muongee???

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 4 месяца назад

    Watanzania tuliiheshimu katiba yetu na hakika tumedhihirisha uungwana wetu. Tuendelee na uungwana.

  • @boazmwashemele4937
    @boazmwashemele4937 2 года назад +6

    Hongera mama kwa historian yako na uongoz

  • @HudayjumaTaalib
    @HudayjumaTaalib 2 месяца назад

    Mungu humpa amtakae achauchoyo

  • @fredelibahatelebahatfred
    @fredelibahatelebahatfred 7 месяцев назад

    Mama agu namm niko kigoma kwaza kabisa kwaza mugu akuride mama namm nafuwaguo kigoma zawatu madereva naobamsada wamashene napasi tatu naoba nauwaja mama namaisha magumu mama yagu ananyaswa na,Dada ake nakaka yake anateka mama nàomba .mugu akumbariki mama upige mwigi mama agu

  • @maikoandrew58
    @maikoandrew58 2 года назад +2

    Dada huyu ameunga unga sana mpaka akapata elimu, nilijua tu Samia ameunga unga sana, hapo tujifunze kuwa hakuna mafanikio bila maangaiko huyu dada ame struggle Sana

  • @themaestro-24
    @themaestro-24 7 месяцев назад

    Bahati mtu uzaliwa nayo

  • @lovenessferdinand3664
    @lovenessferdinand3664 2 года назад +2

    Asante mwandshi kwa mkusanyiko mzr wa hbr Kuhusu rais wetu

  • @RayaRashid-dc2hn
    @RayaRashid-dc2hn 4 месяца назад +1

    Napenda mavazi yake mama

  • @abilahirufai8269
    @abilahirufai8269 7 месяцев назад

    Mmetoa history nzur ya Rais Samia lkn sijasikia majina ya wazazi wake

  • @selestinsongola2787
    @selestinsongola2787 2 года назад +7

    Anazingu tu bhana anazunguka tuu machinga tunanyanyasika Hana habali wanting yuko bize na matajiri tu RIP magufuli mungu akulinde

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Год назад +1

    binti yake Suluhu wa Hassan. Mungu akubariki sana. twakuombea na majukumu yako. Mungu akupe afya uzima na wepesi. hekima na maarifa pia mama yetu

  • @mgalami
    @mgalami 7 месяцев назад +1

    Hongera sana Mama.

  • @EmmanuelMagadula-f1y
    @EmmanuelMagadula-f1y Год назад

    Wajinga tu ndo watakubali nakumpenda ama kujipendekeza

  • @shadhuriluambano7556
    @shadhuriluambano7556 2 года назад +3

    My president you are a real definition of strong woman, I love you live long and stay blessed

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 8 месяцев назад

    A haaa kumbe tukikupa kura hawamu ya 2 utawajari wanakijiji.....

  • @agustinofhoty5985
    @agustinofhoty5985 2 года назад +2

    Rais samia alikua pis kali sana nimempenda bure mungu ambariki aishi maisha marefu dada yetu

  • @G.S985
    @G.S985 2 года назад +7

    Nakupenda Muheshimiwa Mama Samia Suluhu,Mungu aendelee kulinda katika yote,Hongera Tanzania.

  • @saudalilingani9264
    @saudalilingani9264 2 года назад +3

    Hongera sana sana
    Mashaalah Mwenyezi Mungu azidi kukusimamia na kukulinda ili uzidi kutuongoza pamoja na kukupa afya njema.

  • @heribuberwa2372
    @heribuberwa2372 2 года назад

    Alikuwa SMZ 2000 hadi 2010
    Aliingia bunge la Jamhuri mwaka 2010 na kuwa Waziri wa Muungano

  • @JacquelineNdanga-nx5sz
    @JacquelineNdanga-nx5sz 7 месяцев назад

    MES RESPECTS MAMAN SAMIIA NAKUPENDA SANA JUU UNAONESHAKA GISI MAMA ANAPASHWA KUJIKAMATA
    ASANTE SANA MAMA PRESIDENTI

  • @halimajamaniamekuwamndeme9617
    @halimajamaniamekuwamndeme9617 2 года назад +2

    Dada yangu Rais wangu yaani nakupenda sana dada yangu

  • @zainabuibraimu2848
    @zainabuibraimu2848 2 года назад +2

    Mashaallah tunamuomba Allah swt akulinde.

  • @Ba63828
    @Ba63828 2 года назад +2

    Asante kwa somo hilo la our beloved President

  • @bibimpole9455
    @bibimpole9455 2 года назад +3

    Wewe Ester Una Roho Mbaya Kwa Kuwa Hy Anaitwa Samia Umeumia Engekuwa Anaitwa Magdalena Ungesema Bwana Yesu Asifiwe

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 Год назад

    Kweli samia anastahili urais anayo akili NA akili ni mali hongera kwa wazazi wake mungu amhufathi ko kote alipendeza kwa mafazi ya kiheshma

  • @Alexlaizermolleli
    @Alexlaizermolleli 4 месяца назад

    Nimekubali mama wetu mungu akubariki mahali ulipo

  • @MerlinaKubadesha
    @MerlinaKubadesha 2 месяца назад

    Hakuna cha raisi hapo ni ubaya ubwela😂🎉🎉🎉

    • @mohamedally2077
      @mohamedally2077 Месяц назад

      Rais awe mama ako muuza pombe za kienyeji?

    • @MerlinaKubadesha
      @MerlinaKubadesha Месяц назад

      @@mohamedally2077 acha utumbavu kama huna Cha kuongea sawa

  • @kursumsicobok5938
    @kursumsicobok5938 2 года назад +1

    Kizimkazii kwa dolfing wakirukaa juu mashallah ndio maanaa allah kakuchaguu ufanyee maendeleo sio uwezowako ila ni allah fanya kszi kwaumanifu mjubwa mum hongeraa kazi njema

  • @NorahFrank-w5m
    @NorahFrank-w5m Год назад

    Ulianza vizuri bali ulikotupeleka kunatisha.

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA 2 года назад +2

    Safi sana samia rais wetu wa Tanzania kila lenye kheri kwako

  • @ludaba2323
    @ludaba2323 7 месяцев назад

    Mama ssmia watanzania tunajivunia ushupavu wako.hongera mama❤

  • @christian-jw4zb
    @christian-jw4zb 2 года назад +1

    President of Tanzania come to Jesus. Jesus Christ is the Son of God. he can save us. Acts 17:30

  • @carolineseda4127
    @carolineseda4127 2 года назад +1

    Mama mchapakaz., Ubarikiwe.

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 года назад

    Mwalmu alitofautisha Urais na familia yake. Hii ilimjengea heshima na leo hata mjane wake na familia wanaheshimika. nchini

  • @esterester4373
    @esterester4373 2 года назад +8

    Kwan magufuli hakua nafamilia em 2tolen ujinga wen,yan m2 ndokwanza hat mwak han mal 2naon post zawatot wke mar mume familia yke ina2hus nin sas,,mfyuuu

    • @malikajohnson8897
      @malikajohnson8897 2 года назад +5

      Magufuli ndo nani? Kwendeni zenu. Mkitaka tafute chaneli mkamuelezee huyo mtu wenu. Kwani kuna kosa gani kumuelezea Samia? Basi kila saa magu magu hebu tuacheni na yetu tupumue. Kuna TV zipo zina Wasifu wa Mwendazake nendeni mkatizame. Hamjaitwa hapa. Hamjalazimishwa. Hapa wamemzungumzia Samia. Ujinga wenu hukohuko. Mfyuuuuuu

    • @malikajohnson8897
      @malikajohnson8897 2 года назад +4

      @Firoza Braxeda Urojo twala kwa raha zetu. Tena tunajifakharisha nao. Kazi kwenu mnaodhani Magu alikuwa malaika🤣🤣🤣🤣

    • @vallerinejesse2299
      @vallerinejesse2299 2 года назад

      Tena wajinga Sana!!!

    • @vallerinejesse2299
      @vallerinejesse2299 2 года назад

      Akili zimejaa urojo na ubuyu kuna kitu tena!! Ndio kubonyezana kizenji bonyee!

    • @malikajohnson8897
      @malikajohnson8897 2 года назад

      @@vallerinejesse2299 wee na wafuasi wenzio mnaodhani Magu alikuwa malaika nyie akili zenu ziko matakoni kabisaa. Sasa ashakufa mkitaka kunyweni sumu mumfuate👌

  • @EsterPaul-uc7ny
    @EsterPaul-uc7ny 4 месяца назад

    Hongeraa sanaà mama angu nimekupendaa bureee mama

  • @maikoandrew58
    @maikoandrew58 2 года назад +1

    Eti napiga goti ?. Kazi hiyo, Mwanamke mtanzania wa Zanzibar kupiga goti ?. Hapana

    • @machetebogota4218
      @machetebogota4218 Год назад

      Labda km mzanzibar mnyamwez ndo anaweza hivyo fotaut na hapo ni uongo kweli😅

  • @ahmoha706
    @ahmoha706 5 месяцев назад

    Kama mKenya, naskia wivu sana kutokuwa na rais kama mama Samia. MUNGU AKUHIFADHI.

    • @FabianTebeka
      @FabianTebeka 4 месяца назад

      Acha ujinga sisi tunaangaika alafu wewe unasema rais mzuri, mda wote anasafiri pasipo na faida kwa fedha za wananchi

  • @janneytemu1389
    @janneytemu1389 2 года назад +3

    Mungu akujalie maisha marefu mama

  • @SaraMalando
    @SaraMalando Месяц назад

    Mmmmmhh Kaz anayo

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 2 года назад +1

    Ahsante Kwa history zr,

  • @bugybenga5093
    @bugybenga5093 2 года назад +1

    MWENYEZI MUNGU NDIYE MWENYE MAAMUZI YA MWISHO!

  • @zamdauseni9787
    @zamdauseni9787 7 месяцев назад

    Namu mama samiya eshina kwa mume

  • @kursumsicobok5938
    @kursumsicobok5938 2 года назад

    Aslm mum wa taifa za ramathan uposalama za mdaa shikamoo mum uposalama hukoo dar

  • @AbassKhamis-lc3ts
    @AbassKhamis-lc3ts Год назад

    Mungu akusimamie ktk kuliongoza taifa letu mama yetu

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 года назад

    Toeni historia za Waheshimiwa na picha za maisha ya wanavijiji wao. Zingine aibu tupu. Msahau kwao hawezi kutunza kwa wenzake.

  • @Big-Lunya
    @Big-Lunya 7 месяцев назад

    huyu mama namkubali sana asee

  • @salahhddindasuvic6447
    @salahhddindasuvic6447 Год назад

    Tunakupenda raisi wetu,mchapakazi ,muadilifu,mkweli na mwenye huruma na Imani Kwa watanzania.

  • @aishamusamusa9089
    @aishamusamusa9089 Год назад

    Munguamulazepenyewemamzeemagufuli

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 года назад +1

    Historia nzuri Hongera.

  • @JasmineMushi-bs8pm
    @JasmineMushi-bs8pm Год назад

    Ongera Sana mheshimiwa rais wetu hatutaacha kukpongeza mwanamke wa jembe mungu akuweke inshaallah

  • @joycengei6083
    @joycengei6083 7 месяцев назад

    Do we have Christian Churches in Zanzibar or Tanzania?

    • @ZanzibarKamiliTV
      @ZanzibarKamiliTV  7 месяцев назад +1

      What do you mean? There are churches in both Zanzibar and mainland Tanganyika.

    • @joycengei6083
      @joycengei6083 7 месяцев назад

      I asked that because all I hear from Tanganyika/Tanzania is to do with Islam

    • @joycengei6083
      @joycengei6083 7 месяцев назад

      Is there any thing wrong with me asking?

  • @NadyaSudi
    @NadyaSudi Год назад

    Allah akusimamie Kila hatua rais wangu kiukweli Nakupenda sana rais wetu

  • @hassannasir4561
    @hassannasir4561 2 года назад +8

    Maa shaa Allah Mwenyeezi Mungu akulinde Rais wetu mpendwa Mama wa Taifa

  • @MagembeMakoye-g7m
    @MagembeMakoye-g7m 4 дня назад

    😂😂😂😂😂🎉

  • @zulfabupale485
    @zulfabupale485 2 года назад

    Nyie nao niwaongo amezaliwa 1960 ameolewa 1978 kwahiyo hakusoma???

    • @ZanzibarKamiliTV
      @ZanzibarKamiliTV  2 года назад

      We nawe usiropoke kama hujui mambo. Ameolewa na miaka 18 akiwa kashamaliza kidato cha 4. Elimu ya juu kajiendeleza kidogokidogo akiwa mke na mama wa watoto. Hadi akafikia kupata shahada. Makala inaeleza lkn sijui mwenzetu kichwa kizito sana🙄

  • @bebbybebby655
    @bebbybebby655 2 года назад +7

    Am in love with her dressing code. MashaAllah

  • @RaphaelSemizigi-bn1wh
    @RaphaelSemizigi-bn1wh Год назад

    Hongera mama Samia kila kitu kinawezekana,God bless

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 10 месяцев назад

    Üzeni nchi yetu, Ahsanteni sana!

  • @angle3600
    @angle3600 Год назад

    Mashallah Ma Samia Mungu amekujalia nyota ya uongozi❤❤❤❤

  • @salamaali4726
    @salamaali4726 8 месяцев назад

    Hongera sana mama nasi tupo pamoja nawe

  • @dennismapunda8033
    @dennismapunda8033 2 года назад +1

    Ww mm mimi sikupongezi ww adui wa watanganyika

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 2 года назад +4

    "Nitaendelea kulinda heshima ya mwanamke wa Tanzania.". Mungu akujalie uyatekeleze hayo.

  • @aishamusamusa9089
    @aishamusamusa9089 Год назад

    Mashaallahmamasamiamwenyezimungunaakuweke

  • @amanisomi8784
    @amanisomi8784 2 года назад

    Aijumbuke iyo mada ya Katiba mpya kama ndoto yake

  • @aminahamad1113
    @aminahamad1113 Год назад +2

    Mama kama mama ❤️ hongera sais wetu mwanamke wa kwanz kua rais ni historia tunakupend sana rais weru🤩🤩

  • @christalgrandberry9283
    @christalgrandberry9283 2 года назад +1

    Safi-sana

  • @kassimbashir3899
    @kassimbashir3899 2 года назад +1

    Hongera mama Tz

  • @zamdauseni9787
    @zamdauseni9787 7 месяцев назад

    Amina

  • @bibianamassawe4731
    @bibianamassawe4731 6 месяцев назад

    Kazi iendelee

  • @naishiyemollel
    @naishiyemollel 7 месяцев назад

    Safi sanà
    Mama Samia

  • @Alexlaizermolleli
    @Alexlaizermolleli 4 месяца назад

    Napenda xana kazi unayofanya jaman

  • @hellenmaiyo2516
    @hellenmaiyo2516 Год назад

    Heko sana,raise wa Tanzania Samia suluhu.

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 2 года назад +1

    Asee juzi tu ✍️

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 7 месяцев назад

    Nakupenda sana mama.

  • @EmmanuelMagadula-f1y
    @EmmanuelMagadula-f1y Год назад

    Mhhhh, aaaaaah

  • @calvinjohn1882
    @calvinjohn1882 2 года назад +5

    MBONA FAMILIA YA MGUFULI HAUKUPOST,.,,, ACHENI KUJIKOSHA

    • @malikajohnson8897
      @malikajohnson8897 2 года назад +1

      Hujaitwa hapa. Magufuli mfuate TV za Tanganyika. Mbona vipo vyombo haviripoti viongozi wa Zanzibar? Si lazima kila pahala aatajwe Mwendazake 🙄

    • @shadyakimaro3245
      @shadyakimaro3245 2 года назад +1

      @@malikajohnson8897 Na wee mwanae nn!??

    • @malikajohnson8897
      @malikajohnson8897 2 года назад

      @@shadyakimaro3245 ndiye miye mwana wa Samia kindakindaki.

    • @binrashidsalim5667
      @binrashidsalim5667 2 года назад +2

      Wacheni ujinga kwani magufuli ni malaika au Mtume kuwa Kuwa kila kitu aanze magufuli kwani na yy c Alikuwa na staili yake ile ya kutumbua tumbua wa hadharani mambo ambayo Marais WA nyuma hawakufanya Singapore mbele mama

    • @malikajohnson8897
      @malikajohnson8897 2 года назад

      @Firoza Braxeda kama unavowashwa wewe na ufala wako.

  • @omarymkundi3045
    @omarymkundi3045 Год назад

    Tunataka kujua familia yake

  • @moreenonesmo-jz2ws
    @moreenonesmo-jz2ws 9 месяцев назад

    Furaha ya Mama

  • @ausonjustinian2080
    @ausonjustinian2080 2 года назад

    Mdg waandishi nashauli mpate jp picha zake za utotoni km mlivyofanya kwa maraisi wengine.

  • @MICHAELMSOMA-e4e
    @MICHAELMSOMA-e4e 7 месяцев назад

    Sawa

  • @nafuesaidi7387
    @nafuesaidi7387 2 года назад +1

    Love mama sanaaa....

  • @EmmanuelMagadula-f1y
    @EmmanuelMagadula-f1y Год назад

    Ulaaaaniwe😊

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 2 года назад +3

    Maa Shaa Allah

  • @asebeassumanimtainga4015
    @asebeassumanimtainga4015 2 года назад +1

    Allah akubariki sana mama