MASHIMO YA KICHAWI. PART 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 авг 2014
  • Ulimwengu umegawanyika katika sehemu kubwa mbili, ambazo ni ulimwengu wa roho na ulimwengu wa mwili. Ulimwengu wa roho ambao ni ulimwengu usioonekana kwa macho ndio asili hasa ya mambo mbali mbali yanayotokea katika ulimwengu unaoonekana kwa mwili. Iko mipango ya kishetani anayopangiwa mtu katika ulimwengu wa roho na mipango hii ndio ninayoiita MASHIMO YA KICHAWI.

Комментарии • 17

  • @tedkadenge5714
    @tedkadenge5714 5 лет назад +1

    nabarikiwa baba gwajima toka kenya

  • @monicahnjeri257
    @monicahnjeri257 2 года назад

    GOD BLESS YOU FROM KENYA

  • @agnesalex4761
    @agnesalex4761 2 года назад

    Kwa injili hii hakuna atayebaki shimoni nimafundisho ya ajabu nielimu yakiwango Cha juu sana

  • @godfreymsembe169
    @godfreymsembe169 Год назад

    Aminaaa baba

  • @lazaruskevo3599
    @lazaruskevo3599 2 года назад

    Ameen

  • @mwacuka119
    @mwacuka119 2 года назад

    Amen and Amen.

  • @bettynyongesa6702
    @bettynyongesa6702 3 года назад +1

    Ameen Ameen Ameen

  • @daniellameck3276
    @daniellameck3276 5 лет назад

    nimeipend hii

  • @aishanelly2026
    @aishanelly2026 8 лет назад +1

    Ameeni pastor bomoa pastor Ameeni watizameee wasi mukusanye babaaaaa 🙏🏿

    • @Chux48
      @Chux48 8 лет назад

      +helen mosha can you teach swahili whatsapp 0027619170633

    • @happyelias4536
      @happyelias4536 4 года назад

      Hata baba kama ni chawi tunafyeka

  • @FreddyLemapoorme
    @FreddyLemapoorme 10 лет назад

    kazi mzuri makamda

  • @bensonzakaria8664
    @bensonzakaria8664 9 месяцев назад

    Grory to Gog

  • @gracenyangusi6230
    @gracenyangusi6230 8 месяцев назад

    Amina kubwaa Babaa

  • @remmykaninka7252
    @remmykaninka7252 9 лет назад

    hakika yesu anateda miujiza lakini nivigumu sanakwamtu alie ktk ulimwengu wa mwili na anaamini kuusu mwili nasio rohoi nahataki kujifunza nivigumu sana kusadiki namwombea mchungaji gwajima na wariopewa ufunuo mungu awabariki kwa jinala yesu

    • @user-lm7km2xy5o
      @user-lm7km2xy5o 9 лет назад

      Pastor mungu azidi kukupa nguvu na uzidi kufugua walio fungu na nguvu za ngiza

    • @poulletkavuvi2227
      @poulletkavuvi2227 4 года назад

      No one can come to me, unless my father draws him.