TOP 10 YA MASTAA WAKIKE WANAO FANANA KILA KITU MAPACHA
HTML-код
- Опубликовано: 8 сен 2021
- #TOP10 #WANAWAKE #MAPACHA
TOP 10 YA MASTAA WAKIKE WANAO FANANA KILA KITU MAPACHA
MASTAA WANAWAKE 10 TANZANIA WAZURI NA WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 30 TOP 10
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAZURI ZAIDI TANZANIA
WANAWAKE WAREMBO KUMI TANZANIA WAZURI NA WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 30
WANAWAKE 10 WAZURI MASTAA TANZANIA WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 20 WENYE PESA NA UMAARUFU MKUBWA
#PAULA #ANJELLA #ZUCHU #FAHYVANNY #DIAMONDPLATNUMZ #ZARI #TANASHA #WEMASEPETU #KAJALA #HARMONIZE #RAYVANNY #ALIKIBA Видеоклипы
Nandy na jokate wametisha 🔥🔥🔥
Kweli kabisa
Nandy na jockate 🔥🔥🔥hata bila make up
Kweli yani
Nyie jamaaa ni wabunifu SANA nimeipendaa hii
Nandy n'a joketi ni ukweli bila uongo
Asante sana wamefanana SANA
Nandy n joket n hatar kwa kwer ad laha🤩🤩🤩
Joketi na nandy 😍😍
Nandy ni mzuri sanaaaaaaw
Nampa 100% kwa uzuri
Hahaha kwa zuchu na ajella sio kweli
Nandy& jokate 👏🏽🔥🔥
Nandy n joket sawa kbsaa warembo wote ❤️❤️
😂 kwa kweli kabisa yani
Angela ni mzuri kuliko zuchu
namba 1 ilitakiwa iwe jokate na Nandy
Kweli kabisa
Zuch and guchi sawa
Sehem zote mmepatia ilakwa anjela n'a zuchu mmefeli
Sawa tutarekebisha
Angela ana uso Mpana...Mimi hapa nafanana na Maua Sana 🤣🤣🤣🇰🇪
Zuchu labda na maua sama 🤣🤣🤣
Wazee hapo zuchu na angella nmeferi kabisa 🇲🇿🇹🇿🇲🇿🇹🇿
Kabsa yaniwamefeli kinoma
Hhhhh
Wanamfananisha Zuch na vitu vya ajabuajabu
Anjela hajafanana na zuchu hata kidogo
@@dionkitambwa2918 wemefer kwel
Jamn mmeweza Yani wamefanana SANA
Wow wow,,,big up bro kazi yenu kubwa sana!! Congrats
Hapo kwa zuchu na Angel hapana kwakweli 😂
Jaman mbona m naona wanafanan 😂
Kwa zuchu mmefeli sana tena sana
Ni.wazuri.sana ila shetani anawatumikisha.sana warembo.changamkeni mpeni yesu maisha mnatumikishwa sana na shetan
Nandy na joket 😘😘
Nandy na joket sawa
🙏🙏🙏
Kwa amber lulu ndo kabisaa mmepatia
Kabsaaa wametisha😂😂🔥🔥🔥🔥kati ya wote amber wameua.
Zee cute na amber ni kweli
Kabisa yani
Macho ya jokate yamelegea.Angela aende kwakina Yemi Alade🤣🤣🤣🏃🏃
😂😂😳
Nandy na Jokate wanafanana sana❤❤❤🎉🎉🎉
Zuchu na anjela mme force kwakweli😂😂😂
Zuchu mzur bhn usimfananishe na uyo mama, , ila uko kwingine kumekaa poa
😂😂😂 khaa jamani
Mmepatia karibu wote lkn maneno mengi aisee😜
Nandy na joket. Paula na baby Mia wamefanana Sana ila kwa zuchu mule feli
Jike shupa na shishi 🔥 sana
Watangazaji mpo vizuri nimeipenda
Shukrani sana tutaongea juhudi
Sasa apo kwa gigy mi sijajuwa ni yupi?😳
Babe mia na tunda 🔥🔥🔥
Mumetisha balaaaa❤️mependa hii
🔥🔥🔥🙏
Nandi na joketi wametisha saaaanaeee
Zuch na Angela apan kwakwer🤣🤣🤣🤣🤣
Yani hapa Sina ubishi awa watakua ndugu
Anjerah mzuri masha allah
🙏🙏😍 asante
Paula ameweza
😂
Woow zuchu na anjel wanafanan sana
Paula na huyo dada ni kama picha moja
Nani marafiki
Angel mzuri
Kabisa yanii 🔥
Zuchu na angel hawafanani bhana
Mmh kama vile kwa mbali
Tena hat kidogo
@@NDIZIMEDIA hata kwa kuibia
Dayana Nyange anafanana na Doris Wa Huba
Ila kweli
M nilijuaga n yeye kabisa
Munge waweka nandy na jocket wakwanza na paula na baby mia wapili njo mungepatiya kila kitu
Moto 🙌
Asante brother kwa support
Kwa joketi na nandy mmepatia kabisa
Yan wanafanana sana
Gigi na kim nana mmepatia sana Nandi na joket sana wanafanana
Nandy wanafana tena na Johari kanumba
Jamani jenifer kanumba ako wapi,,,,the beautiful lady
Kweli markia karn na abi chans wanafanana hata kuimba
Kabisa yani
Ofical lyne anafanana na menina
Mmmh mapoz sawa Ila kufanana zuchu na Angela apana
Nand na joker♥️
Zuchu na Angella hawafanani
😂😂😂😂 jaman mbona wanafanana
Ata nyie sauti zenu zinafanana 😂
Shishi pia jike shupa
No.moja ni VanessaMdee na mdogo wake Mimars ijapo mmewasahau. Watani zangu oyeeeeeee!
Hao ndugu
Babemia mzr sn mashaaallllah
🙏🙏
Hongerani kwa ubunifu kazi nzuri
Asante sana 🙏
Hamisa wetu wako wapi kwani sio mrembo sisi kama wakenya tunampenda sana
Miaka yake IPO juu ya 22
Hana wa kufanana nae
Hana pacha kwao Tanzania
@@NDIZIMEDIA jokate yuko chini ya miaka 22 mnazingua hahaah wote hao ni zaidi ya miaka
Mmewasahau Jacklin Wolper na Irene Uwoya
Zeecute na amberlulu n kweliii, Abby chams na malkias careen wanafanan
Hapo kwa shilole mmegonga ndipo
🙏 Asante sanaa
Aah nyie ni noumarrr
Nandy na jokate ata bila makeup wanafanana ila hao wengine watoe makeup
Kwenye zuchu na angelah mmedanganya bwana
Fahy na llyyn
Zuchu na anjela, na shishi na jike shupa amn bn
Kweli mmepatia kwa kweli
Asante sana fatma
Fayvanny na dollyresty
Kwa zuchu na angela mmmh akuna kufanana hapo
Mngewaleta bila makeup coz u can. Look alike with someone using makeup ...now u knw
🤣🤣🤣🤣🤣
Hapanaaa anjeraaa mzuriiii bn
Hamna macho Nyie Mlipo Anda iyo Video Wenda Mlikuwa Mnaamka Sio Bure
Paula
Nyange vs sec ni moto👌👌
Nand na joketi ❤❤❤❤
Munampendelea paula kwa kuwa na bos au
😂😂😳🙌
Hamisa na Zuhura Gora wa Clouds
🔥🔥🔥🔥
Fayma na officialiny ni kweli kabisa
Mapacha kabisa
Kweli wamefanana kbxa
Kabisa yani
Zuchu na Angela apana kwakweli
Kwa zuchu na anjel apo mmepodoa🙄🙄🙄🙄
😳🙏
heeee jamani nandy na jokate nidio mapacha kabisa
Mmemkosea San zuchu anjer sio kwa makeup iyo
🤣🤣😳🙏
Tofautisha kt ya kufanana na makeup apa wanaelezea kufanana sio makeup
Kweli kabisa wana fanana🥰🥰🥰
🙏 Asante sana
Babe miaa mzuriii bn apo mmeyumbaa
Cecy ni mrembooo mnoooo
Dinny soro Tz na Aaliyah wa wasaf fm
DinnysorroTz na gladnes kifaluka
Kweli. Mimi tokea mozambique
Karibu sana ndizi media
Abby shams na malkia caren hawafanani...Bali mmoja anafanana na Vanessa mdee
Kwa mbali wanafanana
Zuchu ni mzuri bwana hapana chezea
Hakika yani ni mrembo haswaaaah
Umeona ee wanaosema ni mbaya ni chuki zao binafsi
Paula ana fanana na mimi mars
Jmn Paula na huy babemia ht hawafanan ila aowngn WAP powah to
Sawa
Nai na tunda
Mmesahau mm Maris na vanesa mdee
Amber lulu ndo mmepatia kbs zen joket na nandy
🙏🔥🔥
Uwiii mmetisha haswa Kwa nandy na twin jokate,,,pia amba lulu na mwenzie
Zee qute na amber lulu noumar