KAJALA Awajia Juu Wasanii Wanao muimba Mwanae (PAULA) Kwenye Ngoma Zao | SHAMSA Kurudiana Na NAY

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • KAJALA Awajia Juu Wasanii Wanao muimba Mwanae (PAULA) Kwenye Ngoma Zao | SHAMSA Kurudiana Na NAY

Комментарии • 57

  • @فاطمةجوهر-ر8ش
    @فاطمةجوهر-ر8ش 2 года назад +1

    Nawapenda sana shamsa na kajala

  • @mauayusufumauayusufu7862
    @mauayusufumauayusufu7862 4 года назад +19

    Nawapenda,kajala na shamsa

  • @hidayasecho4280
    @hidayasecho4280 4 года назад +17

    nawapenda wote Hawa ❤️💞😍.. wanajua sana

  • @santieljohn3765
    @santieljohn3765 4 года назад +5

    Nimefurahia sana hii interview coz nawapenda sana hawa warembo...😘😘

  • @shummylove4611
    @shummylove4611 4 года назад +31

    Uyu Shemsa mbona nampenda sana hadi sijielewi

  • @lindahjoseph6795
    @lindahjoseph6795 4 года назад +28

    Kama unaskia barnaba akiimba upendo wa kweli ya ambwene like tujuaneee

  • @mwanamisikibumi42
    @mwanamisikibumi42 4 года назад +3

    Shamsa my hero nakupenda hadi raha naomba nije nikutembelee nikitoka Dubai plz sijui ntakupataje

  • @alimashabani2252
    @alimashabani2252 3 года назад +2

    Nakupenda kajala wamotoo

  • @rosechild5021
    @rosechild5021 4 года назад +8

    They re both so beautiful

  • @glorycheyo1081
    @glorycheyo1081 2 года назад

    Waooo,shamsa nakajala walitaka kufanana LA kin I midomo yao navidevu vimefanana nawapenda sana

  • @themicbandforeveryone19997
    @themicbandforeveryone19997 Год назад

    Uyo alie kua naimba ni Barnaba classic

  • @odilinadonald261
    @odilinadonald261 4 года назад +5

    Shamsa uko vizuriii kwa majibu

  • @hahhyshayo5054
    @hahhyshayo5054 4 года назад +7

    Mnanipa Raha masingle mama ❤️🔥😂😂😂😂

  • @elizabethvictor3057
    @elizabethvictor3057 4 года назад +12

    Black beauty shamsa

  • @mawazomwaituka2573
    @mawazomwaituka2573 4 года назад +2

    Nakupenda chausiku

  • @immaculatejohn9906
    @immaculatejohn9906 4 года назад +8

    Mnaomchukia kajarah mmetumwa?

  • @veronicamwanyika7226
    @veronicamwanyika7226 4 года назад +8

    Wangapi wamesikia mtangazaji anamuita shamsa 'shoga yangu

  • @hibaalfarsi7756
    @hibaalfarsi7756 4 года назад +1

    Mtangazaji sijui kiziwi

  • @reramimisanga462
    @reramimisanga462 Год назад

    Kajala 🥰🥰😘😘

  • @zamrathussen5367
    @zamrathussen5367 4 года назад +6

    nawapenda

  • @chunanachu2529
    @chunanachu2529 4 года назад +7

    We mwanaume unaitaje shogangu😩dunia kweli inaenda mwisho

  • @nuurinkluge7584
    @nuurinkluge7584 4 года назад +2

    I like them 🙏🙏❤kajara shamusha

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 4 года назад +11

    Uongo huu kila mtu anajidaii_yupo single na hapendi mtu wake ajulikane_uongo huoo mnaibiana tu wanaume

  • @veronicamwanyika7226
    @veronicamwanyika7226 4 года назад +1

    Mtangazaji anasauti kali sana ..mh

  • @ulricamakalla5565
    @ulricamakalla5565 4 года назад +4

    Nampenda kajala

  • @hishamadnan7289
    @hishamadnan7289 3 года назад

    Acha unafiki wewe Mama..ulikua umepanga Hilo umuuze mwanao..acha kutubeba ufala wee mama..ulimpangia akue malaya

  • @theresiangunda2298
    @theresiangunda2298 4 года назад +11

    Hivi unaweza kuachika Leo na kesho ukapata mtu mwingine?kweli dunia hadaa ulimwengu shujaaa
    Ila moto upo na Mbingu ipo

  • @aminajuma5664
    @aminajuma5664 4 года назад +1

    Nawapend sna

  • @jamilaathumani7950
    @jamilaathumani7950 4 года назад +2

    Nataka nije dukan kwako shemsa wap location ya duka ?

  • @mc_mrope
    @mc_mrope 4 года назад +1

    Good interview

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi4809 4 года назад +5

    Kajala kwel anastory nyingi

  • @kudraahmad6003
    @kudraahmad6003 4 года назад +6

    Saut ya mtangazaj ni kama ya zanzibar

  • @hawakibambe8678
    @hawakibambe8678 3 года назад

    Shogaangu ikawajeee!!!!

  • @LatifaWilliam-ng8hr
    @LatifaWilliam-ng8hr 8 месяцев назад

    Ila kuna watu chuki zitawauw

  • @hasnaabduly4945
    @hasnaabduly4945 4 года назад +2

    Mtangazaji leo unaonekana

  • @barackhuncho2432
    @barackhuncho2432 4 года назад +4

    nice

  • @fatumastv
    @fatumastv Год назад

    Mambo anayo yafanya paula ata wewe unajuwa sna analala na wanaume ana posti vichupi eti unasema mtoto mdog angekuwa mtoto mdogo angekuwa bikira ata ngumi inaingia

  • @rayambarouk9972
    @rayambarouk9972 4 года назад

    Mm siwapendi watu ambao wanamchukia mtu wasiwez kuvumilia mpk watoe maneno ya ovyo hem kuwen naustarab ustarab adabu

  • @ladymashaallahilikeuaadvis997
    @ladymashaallahilikeuaadvis997 4 года назад +3

    JAMANI kajala umepaka nini mikono?mbona meusi

    • @Rylee_kerrueche
      @Rylee_kerrueche 4 года назад +2

      Usoni c kapaka makeup imemnga'risha sana usoni ndo maana mikono yake inaonekana meusi

  • @mahamer9903
    @mahamer9903 4 года назад +4

    Kajala ni mshamba. ....anachew hata kwa interview? Ni role model wa nani jamani huyu

  • @theresiangunda2298
    @theresiangunda2298 4 года назад +2

    Huyu mtangazaji ana sauti kama yote

  • @everinemichael7457
    @everinemichael7457 4 года назад +4

    Kajala hajui kuvaaa looh huruma,, cream imekubali usoni so poa mikono mibaya paka Vaseline n mafuta y nazi

  • @Sppah697
    @Sppah697 4 года назад +2

    Kajala Mirinda uso, pepsi mikono! Alafu Kajal uso wako uko heavy ka dume!

    • @neemaalembe2505
      @neemaalembe2505 4 года назад

      Wow you guys look so great 😍💕

    • @Sppah697
      @Sppah697 4 года назад

      Neema Alembe @ nop!

    • @Sppah697
      @Sppah697 4 года назад +1

      Ali Ali @ ewaaa! Ana msura ka dume! Msura wa box 📦

  • @مسلمكشوب-ع7ت
    @مسلمكشوب-ع7ت 4 года назад +3

    Nawapenda sana shamsa na kajala

  • @bintyk5149
    @bintyk5149 4 года назад +3

    Nawapenda