MASTAA WANAWAKE 10 WENYE WATOTO CHINI YA MIAKA 25 SUPER WOMAN
HTML-код
- Опубликовано: 25 сен 2021
- #TOP10 #WANAWAKE #superwoman
MASTAA WANAWAKE 10 WENYE WATOTO CHINI YA MIAKA 25 SUPER WOMAN
WANAWAKE MAARUFU 10 MASTAA WENYE LIPS NZURI TANZANIA
TOP 10 YA MASTAA WAKIKE WANAO FANANA KILA KITU MAPACHA
MASTAA WANAWAKE 10 TANZANIA WAZURI NA WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 30 TOP 10
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAZURI ZAIDI TANZANIA
WANAWAKE WAREMBO KUMI TANZANIA WAZURI NA WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 30
WANAWAKE 10 WAZURI MASTAA TANZANIA WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 20 WENYE PESA NA UMAARUFU MKUBWA
#PAULA #ANJELLA #ZUCHU #FAHYVANNY #DIAMONDPLATNUMZ #ZARI #TANASHA #WEMASEPETU #KAJALA #HARMONIZE #RAYVANNY #ALIKIBA Видеоклипы
Nilikuwa nasubiri mtudanganye mpka kwa Lulu, maan tumevumilia sana
Wow good
Elizabeth ndio mdogo kwa Hawa watu wote wengine wote ni uongo
hahahaah
Kwel kabisa
Umeona
Hapo kwenye miaka tumepigwa
Super woman nawapendaaa mnoo
,🙌🙏🙏
Ebu msituchanganye kwahiyo lulu mkubwa kuliko amisa? Jaman acheni uniya kaaaaa
Mwenye umri mdogo ni Lulu wengine nikuanzia 30 nakuendelea umri wao mbona wanapunguza miaka
Faymah you deserve everything mama jipe rohoo
Wooow nimempenda sanaa mpo vizuri kwa kutujuza
🙌🙌
Yan iyonekane lulu na mobeto mkubwaa lulu huu uongo jmn punguzeni kutudangaany
Yani eti lulu wa 95 mobeto wa 94, hivi hizi media zinatuonaje sisi
Fayma you deserve that age
🙏🙌🙌
Namba 1 watixha ❤
Waooow fayvanny I love you
Yaan 1999 haooo wooiiiiii😆😆💔
Hamisa miaka 25 kila mwaka miaka haisogei uwiiiiiiiii msinichefue me af mbona wolper hayupo au mwanae ni mkubwa
Wengine tutaijua miaka yao kwenye msalaba au historia fupi ya marehem
Hahha 😅😅😅😅naona miaka haiongezekagi
Na kama kasema kazaliwa 1994 basi anaingia miaka 28 mwaka huu hiyo 25 basi tenaaaa watanzania tusigande miaka vooo akaaa🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣hawakuwagi wakubwa hao wanakuwa kushuka chini na siojuu kwenye msalaba ndotutajua ukweli wengine ni wazee nandevu zao wanaludi utotoni amakweli dunia inageuka ss🤣🤣🤣
Namba moja mmetisha
😂😂😂😂😂jamani bongo sihami watu wanajifanya watoto lakin sura zimewakomaa kama ganda la fenesi 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Jmniii aunt n wa miaka 25 chini hapana mbna n mbibi Sanaa tangu m nazaliwa alikua muigizaji na Leo m n miaka kadhaa tuu asitudanganye bhna huyoo kumkadilia tuu n miaka 32 au 33
Ndizi mpo juu sanaaa nawapenda
🙌🙌🙏
Ndizi haswa🤣🤣
Wapo juu kwa uhongo
Love you mlioshika namba moja pia love you happy my lovely dada
🙌🙌🙌🙏
Hongera Sana Lulu
Woow careen nimempenda kumbe mdogo ivyo
🔥🔥🙏
@@NDIZIMEDIA the
@@NDIZIMEDIA L,
Elizabeth be proud for u to be called amum
Mpo vizuri ndizi
🙏🙏
Mpo vizuri ndizi
Kwa umri ukaona utuwekee pili-pili kwa matako 🤣
🤣🤣
Mmmh hyo miaka ya kwel jmn eeeh jmn 22,,23, hey
Mbna mastaa wte wamewekwa na watoto wao kasoro ruby
Mmmmh umri wao wengi sio kweli
😂😂🙏
Acheni kudanganya miaka yenu ....age is juxt a number be proud of yourself acheni ujinga 😏😏😏😏😏😏😏
Hivi mbona mnataka kutufanya sisi wapuuzi hiyo miaka yaani ni uongo mtupu..acheni zenuu bana et Ruby miaka 23 huyo bibi mkweli hapo ni elizabeth tyuu wengine wote unafki.
Wamesema rubby ana 25
Nmeona fayvanny nika subscribe😂
Kwa lulu sawa ila et gigy mdogo kwa lulu mmm
Your work is very nice because you can upload to nature of our artist I love it bye 🇹🇿🍒🤣🙋🍒♥️♥️
Na kweli khaa jamani wamekomaa hatari
Katto cha beka kizuri Mashaallah. 😘
Masha allah
Imani
Imani
Sura zimekomaa 🤣🤣
Hahaa eti miaka ishirini na waongo sanaa
😂😂😂😂alafu eti wanachezea 20 /20
wanaionea miakaa jamani
Wow 🥰🥰🥰🥰🥰
Hapo kwenye miaka so kweli
Dah tumepigwa na kitu kizito
Waongo iyo miaka ngoja tusubiri misalaba tu ndo haidanganyagi Ila Lulu ni wa 94
Lulu wa 95 wewe km hujui
Ata lulu niwa 97 hapo kwa lulu naamini bt hawa wengine vinyanya hahaa
😀😀😀😀😀😀😀bongo nahamaje jamani mimi
😂😂😂😂😂😂🙌bongo sihami
😂😂😂😂😅😅😅🤪
wanawake sula zao ndo zilivyo ila wadogo sana
Ambalulu kazaliwa 99 ama bongo sihami mtumeeeee huu leo ni uongo
Hahaha wanadanganya miaka
😂😂😂😂😂😂
Nivinzuri sana kujivunia kuitwa mama
Mdog kuliko wote no Elizabeth maiko tuuu wengine ni uongo uwiiii ee kiruuu
😂😂😂😂😂😂 nimecheka mm waongo hawaaa akiiii,amburlulu miaka 22 doh
😅😅😅
Happy ww mzur
Bien
Kwenye miaka tumepigwa kabisa
❤🎉
Amber ety 22 😅😅😅😅😅😅
How old is she??
🤣🤣😂😂
Apo wagodo ni lulu na tunda na faima wengine ni uongo
Uongo gan huu😂😂caren simba mwanae wakike
😳
Ila kwa mobeto mmmm hyo yuko 37
Bigp
Kwaiyo mm nipo sawa na tanasha miaka
Acheni uongo wa miaka
C'est bon
Jua kali
Nawapenda
🤣🤣🤣kwahiyo mm namzidi caren
😂😂😂😂😂😂
Mmi mwenye nashang kushinda tanasha naruby
😂 hi
Namba moja ametixha❤
Yaani wamekomaaa sura pamoja na kujipamba kote lakini sura zimekomaaa kweli heeee
Sasa kabisa
Jamani umesaaukareen kwa warembo went lipc kali
Kajala sijamona
Umendez
👌 👏 😍
Umenisahu mimi Namiaka 21 namtoto wa kiume nimezaa na msanii maalufu
Mmenixaau
Mimnaewatt
Wawli
Sjamuon waper wang kun watu hum hawawez mzid waper kwanin hjamuweka
Bado tunda ako sawa
🙏🙏🔥🙌
Wadogo wanahela lakini wamekomaaa sura hatariii
Miaka ya hamisa ni uongo na zaidi ya 25
Wote niwaongo isipokua lulu tu hapa bt hao wengine vinyanya hahaa
Lulu na tunda wadogo
Uongo kabisa maana hata lulu ni wa 93
Namkubali saana fayvaany
Goood
Hey guys is this serious,2009 amber lulu alikuwa kwenye mahusiano na preezo wa kenya,so kama kazaliwa 1999 ko alianza mahusiano n miaka 10😁😁😁😁😁😁
😂😂😂😂😂😂
Ak 😂😂😂😂😂
Wanasahau mais Hayao yote yapo mtandaoni my
tunda my fovarite
Miaka miaka 22??? 🤣🤣🤣 Embu acheni kutufanya wehu jamani🤣🤣🤣Sema poa tuuuu hatuna maneno mengi ila Misalaba inawaumbuaga watu
Wanafki.wanatufanya mazoba😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 hao wote ni wazeee
Waongo wakybwa
Dah wot wamechezew zuch ndomburuza mashne ya diamond kibaka
Good
Jmn umber lulu na calen kumbe wa 99😂😂😂😂😂
Eeeh 💕🤣
😀😀😀😀😀😀wee kaka mbinguni huend we kweli wakut7danganya etu ambarlulu ni Watisin 99
Weeee
Mejja am luiza akenyan girl although am 17yrs old l need ya help although am an artist by am still down
Sasa lulu umemuweka wann wakat yy kavuka 25
Zayder🤗
Ak nyinyi aty amber ana miaka ?haaaaaa acheni mchezo
Weng wamdangany uml
😂🙌
Kwenye umri waongo kwa kweli
Hi
Ila bongo bana du!
Mhh lulu 26 hpn
Jamani kweli tena
Tangu naskizaga wimbo nampa papa wa Giggy money naskiaga tu miaka 23 hadi leo 23 haya kazi iendelee
in raha kuitwa mama
Nyoooo kwahiyo mmezaliwa 1996 na 1999 hamuoni aibu kudanganya tunawapima na carbonforteen
😂😂🙌
Wanadanganyaaa tuuuuuu asa tutafanyajeee sasa et mobeto25 jmnii jamani hv ata sraaa zenu hizoo mbn zmekomaaaa jmn heeee
@@naimakombo4576 🤣🤣🤣 yaani wanajua kutukamata mie nazaliwa Lulu kashacheza movie kaole na kinapembe leo mie na mzidi miaka mitano hii ndio bongo bhana
@@angelajohn8928 haaaaaaaaaaaaaaaa ko unamiak mingapi
@@gressjoseph5615 miaka 26
Amaizing xanaaaaaa😅😅😅😅
Mbona mama pasko hayupo
Waongo kwel
Gigi 23ans yanyokooo
Yan wasanii wengine niwadogo kwang lakin nimeanza kuawasikia nikiwa shule nawalikiwa makonki kwa mabwana duuu
🥰 😍 🥰 👏 😍 🥰
Niwaweli tu wengine ote nimadungaa embe wamiaka 40 had 35 wasitudanganye ..jaman😁😁😁🔢
Acha uongo, kwaiyo lulu Mkubwa Hamisa mdogo