MUME WA DADA... EPISODE 1
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- daresalam #bongomuves #clamvevo #cloudsmedia A#diamondplatnumz #diamondplatnumz #azamm #azamsportsfederationcup #bujumbura #wasafifestival2023 #coastalunion #swahiliflix #mombasa #tanga#wasanii #zanzibar #zanzibarbeach #filamu#qatar #nairobi #kenyanews #kenyanews #kigali #millardayo #kitengetv #nungwi #pembangunan #mombasa #baikokodance#lindiyetutv #tangatv#zamaraditv #sinemazetu #zuchu #entebbe #mlimanicity kilimanjaro#mombasa #mombasakenya #daresalam #tanga #kilimanjaro #zanzibar #zanzibarbeach #nungwi #nungwibeach #pangani#zamaraditv #millardayo #kenyatiktok #mombasaraha #uganda #swahiliflix #kisumucity #nairobicitycenter #qatar #saudiarabia #gazaunderattack #sinemazetu #africa #zambia #kingsmusic #facebook #instagram #comedy #ripotiyaleo#startimesch468#simbasportsclub #yangasc #baikoko#swahiliflix #bongo #qatar #africa #zikomu#diamondplatnumz#kenyanews #ugandanmovies #kenyanmovies #congomovie#swahiliflix #bravotv #sanura #kichechecomedy #africa#snake boy#bravotv #zanzibarbeach #nungwibeach#kichomi #nyukiempire#swahiliflix #africa #kenyanews #europe #asia #america #mwanza #latestmovies #dontamilmovie #series #huba#kazamoyo#jotitv #udaku#umbea#uswaz#nyuki fx#nyuki empire
😂😂😂😂😂😂😂nyuki jamani hiyo tabia huwezi kaa na mke 😂😂😂😂❤❤❤
uroho tuu kuoga aaaaaah 😊
😂😂😂😂kula lazim kuog hiar
vzr
Assntee
Zite tenaaaa😅😅 ziongezeke
😂😂😂😂
Subuhanallah shemeji shikamo 😮😮😮😂😂😂
Marhabaa
Nawapenda sana vipenzi vyangu❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Tunakupenda sanaa dada yetu hadi twasikinyong'onyo tusipoona comment yako jamn
Kababa kabaya jamani kkkkkk huna aibu unaniima hamu yakuolewa kweli kkk😂😂😢😮
Jamani mimi nafanyaga inpection tuu
Hahahahahahahaha ikopoa sana
Pamoja boss😂😂😂
Kazi nzuri
Shukrani boss ila nawasihi watu waendele kutazama zimwi la kanyamwile kwa kubofya link hapo chini
ruclips.net/video/by-pJyLFz7U/видео.htmlsi=7SB1CglJY8lE1Hxd
Welcome back again.
Thanks from today i will never stop to give you guys film..
@@BinMahsen Okay shukurani
@user-yu4tt8hx6q afuwan shukran karib tena
Unyama mwingi
Asante boss
Shemeji chefu
😂😂😂😂 Shem shem
Yani mimi ningekula nikamaliza kabisaaa
Thubutuuuu ungehama siku hiyo hiyo
😂😂😂😂😂 uriwaboko nyanda
Wabheja sana nyanda
Hya makubwa jamnii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwanni tena
@@BinMahsen kuhesabiana nyama kweli 🤣🤣🤣
@Farithun mbon hiyo ndog wee endelea sehemu ya pili imekamilika had mwisho maan huko mbel ndio hatar
@@BinMahsen ook swa acha niendele nilikuwa biz lakin sasa acha nijionee🤭🤭🤭
@Farithun asante jamn
Nyie jaman kwann shemej mumnyime taarifa😂😂😂
Etiii alafi mbaya zaid kaja kigao kikubwa cha shirika k.D.S na kigao kidogo cha shirika k.K.S si watamaliza
Shemeji ovyo
Shemeji hana simileee
Ndo nimefika na mm acha nijionee maajabu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Haya endelea kuenjoy ukikutana na jipya usiache kunijuza
@@BinMahsenswa lazima nitakwambia 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 hatar na nusu shem mm ningekukomesha ningekula halafu nkasingizia paka
Nakufukuza kwangu ule nyama zote we thubutuuuu
Mimi nilivyo nakiburi nisingekula hata hizo 2
@ZulekhaAmar-fy4pm si ungekufa njaa
Shemengi mchoyo 😂😂😂
😹😹😹
Nyuki aki utafanya nikuogope salimieni Kelvin mukimuona
😂😂😂😂 Kwanini tena uniogope
Richoyo kwery
Hapana nasimamia misingi ya bajeti
😂😂😂 Nyuki ungekua shemeji ww ningekuonyesha 😂😂😂, 🇰🇪
Jamani ungenifanyaje kwa mfanoo
@@BinMahsen 🤣🤣🤣🤣,ningekuleta kwa laini
Wee hakuna hilooo sijai kwenye lain
Mme wa dada kiboko 😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂hii kubwa kuliko
Sasa huu mwanzo kubwa kuliko yajayo
@@BinMahsen kwakweli fanyen muitoe tu 😄
Kesho.Mapem m8da kama hii inakuwa hewani epsod y pili
Nimecheka kama mazur had maji bas unatumia kwa bajet kama warabu utakuja kuja kufaa miguu juu ww😂😂😂😂😂
Wacha uroho
😂😂😂😂 Niache uroho na nyelile
Nyuki ww nikiboko 😂 mungu anipe shemeji kama ww nimkomeshe
Jamni dada angalia usije komeshwa ila.Nikusihi subscribe maan part tuu ndo.Kiboko htar
Penzi la malkia wa majini na binadamu hawajamaloza had leo
Jamani poleni kuna changamoto za kikazi zilitokea
Ukweli ni kwamba mnazidi kupoteza ubora kwasababu hamtaki kumaliza baadhi ya vipande , huo ni ukweli badilike ni
Pole kaka naomba utusamehe
@@BinMahsen 🙌
Tunaomba radhi boss wamgu tunakutana.Na changamoto hususani upande wa wasanii unakuta main character yupo katik matatizo ya kifamilia inatulazimu kumsubir mpaka ayatatue na ndipo tunapochelewa ama unakuta anaumwa au kuuguliwa ni.Moj ya changamoto.Kubwa kaka
SUPER WOMAN {FULL MOVIE}
ruclips.net/video/XnnStkTudqo/видео.html
Tafdhal tunaomba endelea kutusuport ndugu yetu
Haku nitakula site atakuta mchuzi was mbogamboga tu😢😢😢😢
Unahama
Shemeji mroho mchoyo
Yaani.Mbona kwa dada hatuendi tena
Nyuki ungekuwa shemeji wewe ningekukomesha ungeenda ukirudi hamna hata nyama 😂😂😂
tombinaweee Si ningekuhamisha nyumbani
Shem huyu mnoko alaa wa wapi huyu
Shem.Anaitwa kinasa kutoka.Usukumani
@@BinMahsen anafaa apigwe bei hana lamana kupimiana food wapi alaa hatuko dukani
@fgfvgggf6993 😂😂😂😂 bajeti tatizo
@@BinMahsen alaa wee atakama vitu vimepanda aje taratibu
Alafu kinachouma hawajabeba hata michembe wal chochote
Km ni Mimi ningezila zote ata km zimehesabiwa sijali nakula zote
Wee unahma siku hiyo hiyo
@@BinMahsen hahahaaa
Hahahahahaha 😂😂
😂😂😂😂😂
Yani kama ni mimi nakata mapingiri makubwa ukisha esabu na yapunguza yani mungekoma
Wee nimepima hadi saiz kwa macho
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂🎉
😂😂😂😂🙏
Mi siorewi na rmutu kama wewe roombaya tu
Jamani sio roho mbaya nabana bajeti
Mh
@user-dy9ht1on7y mbona umeguna
@@BinMahsen uchoyo tu
Nyuki wewe
Jamani nimefanyaje