MUME WA DADA... EPISODE 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • daresalam #bongomuves #clamvevo #cloudsmedia A#diamondplatnumz #diamondplatnumz #azamm #azamsportsfederationcup #bujumbura #wasafifestival2023 #coastalunion #swahiliflix #mombasa #tanga#wasanii #zanzibar #zanzibarbeach #filamu#qatar #nairobi #kenyanews #kenyanews #kigali #millardayo #kitengetv #nungwi #pembangunan #mombasa #baikokodance#lindiyetutv #tangatv#zamaraditv #sinemazetu #zuchu #entebbe #mlimanicity kilimanjaro#mombasa #mombasakenya #daresalam #tanga #kilimanjaro #zanzibar #zanzibarbeach #nungwi #nungwibeach #pangani#zamaraditv #millardayo #kenyatiktok #mombasaraha #uganda #swahiliflix #kisumucity #nairobicitycenter #qatar #saudiarabia #gazaunderattack #sinemazetu #africa #zambia #kingsmusic #facebook #instagram #comedy #ripotiyaleo#startimesch468#simbasportsclub #yangasc #baikoko#swahiliflix #bongo #qatar #africa #zikomu#diamondplatnumz#kenyanews #ugandanmovies #kenyanmovies #congomovie#swahiliflix #bravotv #sanura #kichechecomedy #africa#snake boy#bravotv #zanzibarbeach #nungwibeach#kichomi #nyukiempire#swahiliflix #africa #kenyanews #europe #asia #america #mwanza #latestmovies #dontamilmovie #series #huba#kazamoyo#jotitv #udaku#umbea#uswaz#nyuki fx#nyuki empire

Комментарии • 112

  • @InukaUangaze-s3y
    @InukaUangaze-s3y 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂nyuki jamani hiyo tabia huwezi kaa na mke 😂😂😂😂❤❤❤

  • @LIGHTNESSMASSAO-wm5ix
    @LIGHTNESSMASSAO-wm5ix 8 месяцев назад +1

    uroho tuu kuoga aaaaaah 😊

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад +1

      😂😂😂😂kula lazim kuog hiar

  • @Magubikatv
    @Magubikatv 7 месяцев назад +2

    vzr

  • @UmyAbriya-wt4vb
    @UmyAbriya-wt4vb 6 месяцев назад +1

    Zite tenaaaa😅😅 ziongezeke

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  6 месяцев назад

      😂😂😂😂

  • @AghHh-v3f
    @AghHh-v3f 7 месяцев назад +1

    Subuhanallah shemeji shikamo 😮😮😮😂😂😂

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 8 месяцев назад +2

    Nawapenda sana vipenzi vyangu❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      Tunakupenda sanaa dada yetu hadi twasikinyong'onyo tusipoona comment yako jamn

  • @AncyMerci-un2nu
    @AncyMerci-un2nu 7 месяцев назад +1

    Kababa kabaya jamani kkkkkk huna aibu unaniima hamu yakuolewa kweli kkk😂😂😢😮

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  7 месяцев назад

      Jamani mimi nafanyaga inpection tuu

  • @mudysuguru6267
    @mudysuguru6267 8 месяцев назад +1

    Hahahahahahahaha ikopoa sana

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      Pamoja boss😂😂😂

  • @hassanimsizilo
    @hassanimsizilo 8 месяцев назад +2

    Kazi nzuri

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      Shukrani boss ila nawasihi watu waendele kutazama zimwi la kanyamwile kwa kubofya link hapo chini
      ruclips.net/video/by-pJyLFz7U/видео.htmlsi=7SB1CglJY8lE1Hxd

  • @sarahCloy
    @sarahCloy 8 месяцев назад +1

    Welcome back again.

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      Thanks from today i will never stop to give you guys film..

    • @sarahCloy
      @sarahCloy 8 месяцев назад +1

      @@BinMahsen Okay shukurani

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      @user-yu4tt8hx6q afuwan shukran karib tena

  • @MchuziMgos
    @MchuziMgos 8 месяцев назад +1

    Unyama mwingi

  • @zawadikasim6679
    @zawadikasim6679 8 месяцев назад +1

    Shemeji chefu

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      😂😂😂😂 Shem shem

  • @AikaJuma-m6t
    @AikaJuma-m6t 8 месяцев назад +1

    Yani mimi ningekula nikamaliza kabisaaa

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      Thubutuuuu ungehama siku hiyo hiyo

  • @japhetmasanja1388
    @japhetmasanja1388 8 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂 uriwaboko nyanda

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      Wabheja sana nyanda

  • @Farthun
    @Farthun 6 месяцев назад +1

    Hya makubwa jamnii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  6 месяцев назад

      Kwanni tena

    • @Farthun
      @Farthun 6 месяцев назад +1

      @@BinMahsen kuhesabiana nyama kweli 🤣🤣🤣

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  6 месяцев назад

      @Farithun mbon hiyo ndog wee endelea sehemu ya pili imekamilika had mwisho maan huko mbel ndio hatar

    • @Farthun
      @Farthun 6 месяцев назад +1

      @@BinMahsen ook swa acha niendele nilikuwa biz lakin sasa acha nijionee🤭🤭🤭

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  6 месяцев назад

      @Farithun asante jamn

  • @jamesmaro7665
    @jamesmaro7665 8 месяцев назад +1

    Nyie jaman kwann shemej mumnyime taarifa😂😂😂

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      Etiii alafi mbaya zaid kaja kigao kikubwa cha shirika k.D.S na kigao kidogo cha shirika k.K.S si watamaliza

  • @bentskahindi
    @bentskahindi 8 месяцев назад +1

    Shemeji ovyo

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      Shemeji hana simileee

  • @Farthun
    @Farthun 6 месяцев назад +1

    Ndo nimefika na mm acha nijionee maajabu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  6 месяцев назад +1

      Haya endelea kuenjoy ukikutana na jipya usiache kunijuza

    • @Farthun
      @Farthun 6 месяцев назад

      @@BinMahsenswa lazima nitakwambia 😂😂😂😂

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 8 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂 hatar na nusu shem mm ningekukomesha ningekula halafu nkasingizia paka

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      Nakufukuza kwangu ule nyama zote we thubutuuuu

    • @ZulekhaAmar-fy4pm
      @ZulekhaAmar-fy4pm 7 месяцев назад +1

      Mimi nilivyo nakiburi nisingekula hata hizo 2

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  7 месяцев назад

      @ZulekhaAmar-fy4pm si ungekufa njaa

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is 7 месяцев назад +1

    Shemengi mchoyo 😂😂😂

  • @helinasubila987
    @helinasubila987 8 месяцев назад +1

    Nyuki aki utafanya nikuogope salimieni Kelvin mukimuona

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      😂😂😂😂 Kwanini tena uniogope

  • @EdwardDismass
    @EdwardDismass 8 месяцев назад +1

    Richoyo kwery

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      Hapana nasimamia misingi ya bajeti

  • @joycemuenimutua4506
    @joycemuenimutua4506 8 месяцев назад +1

    😂😂😂 Nyuki ungekua shemeji ww ningekuonyesha 😂😂😂, 🇰🇪

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад +1

      Jamani ungenifanyaje kwa mfanoo

    • @joycemuenimutua4506
      @joycemuenimutua4506 8 месяцев назад

      @@BinMahsen 🤣🤣🤣🤣,ningekuleta kwa laini

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      Wee hakuna hilooo sijai kwenye lain

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 7 месяцев назад +1

    Mme wa dada kiboko 😅😅😅😅

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  7 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @mamyfaa6857
    @mamyfaa6857 8 месяцев назад +1

    😂😂😂😂hii kubwa kuliko

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад +1

      Sasa huu mwanzo kubwa kuliko yajayo

    • @mamyfaa6857
      @mamyfaa6857 8 месяцев назад +1

      @@BinMahsen kwakweli fanyen muitoe tu 😄

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад +1

      Kesho.Mapem m8da kama hii inakuwa hewani epsod y pili

  • @zawadiabdallah8342
    @zawadiabdallah8342 5 месяцев назад

    Nimecheka kama mazur had maji bas unatumia kwa bajet kama warabu utakuja kuja kufaa miguu juu ww😂😂😂😂😂

  • @RabiaOmar-ke8de
    @RabiaOmar-ke8de 8 месяцев назад +1

    Wacha uroho

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      😂😂😂😂 Niache uroho na nyelile

  • @Fatma99-ve7ys
    @Fatma99-ve7ys 8 месяцев назад +1

    Nyuki ww nikiboko 😂 mungu anipe shemeji kama ww nimkomeshe

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      Jamni dada angalia usije komeshwa ila.Nikusihi subscribe maan part tuu ndo.Kiboko htar

  • @halimakabuje5243
    @halimakabuje5243 8 месяцев назад +1

    Penzi la malkia wa majini na binadamu hawajamaloza had leo

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      Jamani poleni kuna changamoto za kikazi zilitokea

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 8 месяцев назад +3

    Ukweli ni kwamba mnazidi kupoteza ubora kwasababu hamtaki kumaliza baadhi ya vipande , huo ni ukweli badilike ni

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      Pole kaka naomba utusamehe

    • @allymwashambwa5920
      @allymwashambwa5920 8 месяцев назад +1

      @@BinMahsen 🙌

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад +1

      Tunaomba radhi boss wamgu tunakutana.Na changamoto hususani upande wa wasanii unakuta main character yupo katik matatizo ya kifamilia inatulazimu kumsubir mpaka ayatatue na ndipo tunapochelewa ama unakuta anaumwa au kuuguliwa ni.Moj ya changamoto.Kubwa kaka

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      SUPER WOMAN {FULL MOVIE}
      ruclips.net/video/XnnStkTudqo/видео.html

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад +1

      Tafdhal tunaomba endelea kutusuport ndugu yetu

  • @RehemaShinsi-xp8pq
    @RehemaShinsi-xp8pq 7 месяцев назад +1

    Haku nitakula site atakuta mchuzi was mbogamboga tu😢😢😢😢

  • @umaima1178
    @umaima1178 8 месяцев назад +1

    Shemeji mroho mchoyo

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      Yaani.Mbona kwa dada hatuendi tena

  • @BahatiKadenge-n5r
    @BahatiKadenge-n5r 8 месяцев назад +1

    Nyuki ungekuwa shemeji wewe ningekukomesha ungeenda ukirudi hamna hata nyama 😂😂😂

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      tombinaweee Si ningekuhamisha nyumbani

  • @fgfvgggf6993
    @fgfvgggf6993 8 месяцев назад +1

    Shem huyu mnoko alaa wa wapi huyu

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад +1

      Shem.Anaitwa kinasa kutoka.Usukumani

    • @fgfvgggf6993
      @fgfvgggf6993 8 месяцев назад +1

      @@BinMahsen anafaa apigwe bei hana lamana kupimiana food wapi alaa hatuko dukani

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      @fgfvgggf6993 😂😂😂😂 bajeti tatizo

    • @fgfvgggf6993
      @fgfvgggf6993 8 месяцев назад +1

      @@BinMahsen alaa wee atakama vitu vimepanda aje taratibu

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      Alafu kinachouma hawajabeba hata michembe wal chochote

  • @rukiahassan7001
    @rukiahassan7001 8 месяцев назад +1

    Km ni Mimi ningezila zote ata km zimehesabiwa sijali nakula zote

  • @SarahMwalyoloofficial
    @SarahMwalyoloofficial 8 месяцев назад +1

    Hahahahahaha 😂😂

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂

  • @EdwardDismass
    @EdwardDismass 8 месяцев назад +1

    Yani kama ni mimi nakata mapingiri makubwa ukisha esabu na yapunguza yani mungekoma

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      Wee nimepima hadi saiz kwa macho

  • @SAADESAID-wc3bw
    @SAADESAID-wc3bw 2 месяца назад

    😂😂😂

  • @VeronicaKalinga-r9d
    @VeronicaKalinga-r9d 8 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂🎉

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      😂😂😂😂🙏

  • @EdwardDismass
    @EdwardDismass 8 месяцев назад +1

    Mi siorewi na rmutu kama wewe roombaya tu

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      Jamani sio roho mbaya nabana bajeti

    • @EdwardDismass
      @EdwardDismass 8 месяцев назад +1

      Mh

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      @user-dy9ht1on7y mbona umeguna

    • @EdwardDismass
      @EdwardDismass 7 месяцев назад

      @@BinMahsen uchoyo tu

  • @eunicembatha3028
    @eunicembatha3028 8 месяцев назад +1

    Nyuki wewe

    • @BinMahsen
      @BinMahsen  8 месяцев назад

      Jamani nimefanyaje