Machozi ya Lady Jaydee mbele ya Jeneza Mtoto wa Gardner Karen Akiaga Mwili na Familia kanisani
HTML-код
- Опубликовано: 21 апр 2024
- Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
#bingoonlinetz
#sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1 - Развлечения
kama hujawahi kufiwa na baba huwezi kuelewa haya maumivu pole sana malkia kareni rest in peace dady😭😭😭😭😭😭
Sio baba t mtu yyt wa muhimu ukimpoteza maumivu yake n makali mno bora kumpoteza ukijua bado anaishi lkn sio kwa kumpoteza ukijua hamtoonana tena milele inauma sn ila ndo ivo hkn namna n mipango ya Mungu
@@minnahloveiove1074 Nachanganyikiwa
Maumivu ya kumpoteza mzazi ni makubwa sana pole caren
Pole dada Caren pamoja na dada Lady Jay Dee
Jaman maumivu ya kuondokewa mzazi huwa ni ngumu kuelezea asee 😢😢
Pole sana
Mungu hakupe nguvu dada shukuru tu
Am so sorry my sister na jirani zangu , msiba Wa mzazi unauma sana, Caren be strong sister God will always be great. RIP Peace Uncle.
Poleni familia
ni kwelii
Naogopa jaman baba angu mungu azidi kumuweka niendelee kumuona maana hata akipata homa nahisi kuchanganyikiwa kabisa
My dear mpende sana dad yako spoil him if tou can...mie ghafla hakuumwa aligongwa na Bajaji...until today sijawa sawa kabisaa😢
Pole xn jdee
Polen kifo hkina mwenyew mung awatie nguvu
Mm tangu jana nimeshinda nikilia jamani kufiwa na baba acheni tuu😢😢😢😢😢
Inauma sana 1:05
Kila nikiangalia nakumbuka kipindi na mim nimefiwa na babangu daa acha kabisa, usiombe😢😢
Poleni sana 😢😢😢😢
jaman hili jambo lione tu kwa mwenzio usiombe likukute
😭😭😭😭😭
Cku zote kifo hakina mazoea
Kufiwa Mzazi maumivu yake
Hivi Gardner hakuoa tena baada ya ndoa kuvunjika? 😢😢😢
Ucha maswali ya kipuuzi
@@novatusg.ndengaso7834 huna akili hata kuandika hujui🤣🤣
ud😂🎉🎉🎉🎉🎉sykw
😭😭😭😭😭