Machozi ya Lady Jaydee mbele ya Jeneza Mtoto wa Gardner Karen Akiaga Mwili na Familia kanisani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 апр 2024
  • Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
    #bingoonlinetz
    #sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
    Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 28

  • @user-fn3fw6ep7j
    @user-fn3fw6ep7j 13 дней назад +12

    kama hujawahi kufiwa na baba huwezi kuelewa haya maumivu pole sana malkia kareni rest in peace dady😭😭😭😭😭😭

    • @minnahloveiove1074
      @minnahloveiove1074 13 дней назад +3

      Sio baba t mtu yyt wa muhimu ukimpoteza maumivu yake n makali mno bora kumpoteza ukijua bado anaishi lkn sio kwa kumpoteza ukijua hamtoonana tena milele inauma sn ila ndo ivo hkn namna n mipango ya Mungu

    • @user-fn3fw6ep7j
      @user-fn3fw6ep7j 12 дней назад

      @@minnahloveiove1074 Nachanganyikiwa

  • @momylaviel
    @momylaviel 13 дней назад +3

    Maumivu ya kumpoteza mzazi ni makubwa sana pole caren

  • @farajafidelis4430
    @farajafidelis4430 13 дней назад +2

    Pole dada Caren pamoja na dada Lady Jay Dee

  • @diva_20162
    @diva_20162 13 дней назад +3

    Jaman maumivu ya kuondokewa mzazi huwa ni ngumu kuelezea asee 😢😢

  • @user-or8yo2wj9v
    @user-or8yo2wj9v 13 дней назад

    Pole sana

  • @najmqhamisi5637
    @najmqhamisi5637 13 дней назад +1

    Mungu hakupe nguvu dada shukuru tu

  • @novatusg.ndengaso7834
    @novatusg.ndengaso7834 13 дней назад

    Am so sorry my sister na jirani zangu , msiba Wa mzazi unauma sana, Caren be strong sister God will always be great. RIP Peace Uncle.

  • @waleskiondo690
    @waleskiondo690 13 дней назад

    Poleni familia

  • @Ibraimusaidi-ld9jh
    @Ibraimusaidi-ld9jh 13 дней назад

    ni kwelii

  • @Zawadi-yx7iz
    @Zawadi-yx7iz 13 дней назад +1

    Naogopa jaman baba angu mungu azidi kumuweka niendelee kumuona maana hata akipata homa nahisi kuchanganyikiwa kabisa

    • @ElizabethMkini
      @ElizabethMkini 13 дней назад

      My dear mpende sana dad yako spoil him if tou can...mie ghafla hakuumwa aligongwa na Bajaji...until today sijawa sawa kabisaa😢

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 13 дней назад

    Pole xn jdee

  • @Joanithapaschal-lr6mg
    @Joanithapaschal-lr6mg 13 дней назад

    Polen kifo hkina mwenyew mung awatie nguvu

  • @user-vq1qx1dr4e
    @user-vq1qx1dr4e 13 дней назад

    Mm tangu jana nimeshinda nikilia jamani kufiwa na baba acheni tuu😢😢😢😢😢

  • @user-zt2oc6oy9s
    @user-zt2oc6oy9s 13 дней назад

    Inauma sana 1:05

  • @vi3ayo1622
    @vi3ayo1622 13 дней назад

    Kila nikiangalia nakumbuka kipindi na mim nimefiwa na babangu daa acha kabisa, usiombe😢😢

  • @consesamallya9763
    @consesamallya9763 12 дней назад

    Poleni sana 😢😢😢😢

  • @jacquelinelekule426
    @jacquelinelekule426 13 дней назад

    jaman hili jambo lione tu kwa mwenzio usiombe likukute

  • @ConfusedLargeWaterfall-vx8ps
    @ConfusedLargeWaterfall-vx8ps 13 дней назад

    😭😭😭😭😭

  • @user-rr8cw8yl5o
    @user-rr8cw8yl5o 13 дней назад

    Cku zote kifo hakina mazoea

  • @JulianaMakunja-vr4jl
    @JulianaMakunja-vr4jl 13 дней назад

    Kufiwa Mzazi maumivu yake

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 13 дней назад +1

    Hivi Gardner hakuoa tena baada ya ndoa kuvunjika? 😢😢😢

    • @novatusg.ndengaso7834
      @novatusg.ndengaso7834 13 дней назад +1

      Ucha maswali ya kipuuzi

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS 12 дней назад

      @@novatusg.ndengaso7834 huna akili hata kuandika hujui🤣🤣

  • @qtfloty9131
    @qtfloty9131 13 дней назад

    ud😂🎉🎉🎉🎉🎉sykw

  • @mbonachiniyamiguuyangu
    @mbonachiniyamiguuyangu 11 дней назад

    😭😭😭😭😭