UTATOKWA NA MACHOZI WAKATI WASIFU WA MAREHEMU GARDNER UKISOMWA LEADERS/ KUMBE AMEWASAIDIA WENGI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 апр 2024
  • UTATOKWA NA MACHOZI WAKATI WASIFU WA MAREHEMU GARDNER UKISOMWA LEADERS / KUMBE AMEWASAIDIA WENGI
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 21

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Месяц назад +6

    Duuu mtoto mmoja na Yule mwingine jamn uwiii jamn turuke tuanagike tufunge ndoa Hawa watoto WA nje ya ndoa Sio mtoto acha msubilie ndoa ndio nitotoe haya mayai

    • @LeeLian95
      @LeeLian95 Месяц назад +4

      We nae kwani Karen ni mtoto wa ndani ya Ndoa???Gadner hakupata mtoto kwenye ndoa hata Karen ni wa nie ya ndoa, huyo mtoto ilikua ni kiki tu hata Karen alisema hamtambui, eti mtoto wa nje ya ndoa sio mtoto looh mtoto ni mtoto

    • @naimajuma647
      @naimajuma647 Месяц назад

      Mwambie akuekewe usipo angalia unaweza ukaingia kwenye ndoa na usipate mtoto/watoto acha Mungu aitwe mungu

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Месяц назад

      @@LeeLian95marehemu na mama ake Karen walifunga ndoa japokuwa walimzaa Karen kabla ya ndoa. Nilishuhudia sendoff na harusi ilifungwa Tanga kwa wazazi wake Gardner lakini sikuhudhulia nilisikitika sana walipoachana.

    • @MashaMbwana
      @MashaMbwana Месяц назад

      Kwa wakiristo mtoto ni mtoto hata awe nje ya ndoa anarithi mali za baba ila sisi waisilam mtoto nje ya ndoa huwezi kumrithi baba hata kipande cha nguo

  • @linnerphilip4260
    @linnerphilip4260 Месяц назад

    17 mwez wa 3 ni tareh mbayaa

  • @ThembelihleWilbert-du7hg
    @ThembelihleWilbert-du7hg Месяц назад +2

    Nashangaa Gadner alisema ana mabinti wa 2 sa mmoja huyo yuko wp jmn sijamwona tokea msiba utokee wkt anasema ana mabinti wawil kutw na namwona madam Careen tu

    • @estermwakatundu3028
      @estermwakatundu3028 Месяц назад

      We nawe unaongea pumba mtoto NI mtoto na ndoa NI ndoa tuliza mshono jeydee ndiye mwenye ndoa na hakubahatika mtoto tulia

    • @LeeLian95
      @LeeLian95 Месяц назад

      @@estermwakatundu3028wewe ndo upunguze pumba, watoto wote ni sawa ingekua mtoto ni wa ndoa tu basi hata Karen asingetajwa mxeew

    • @LeeLian95
      @LeeLian95 Месяц назад

      Itakua ilikua ni kiki tu sidhani kama ni mwanae kweli maana hata Karen alisema hamtambui kabla hata Baba yake hajafa

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Месяц назад

      @@estermwakatundu3028Jaydee alifunga nae ndoa gani? Ya serikali? Nilishuhudia ndoa yake na mama careen ya kanisani, Lutheran church huko Tanga wakati careen akiwa mchanga, mmmmh. Tulifanya sendoff Kimara, Galax hall miaka hiyo

    • @naeema8155
      @naeema8155 Месяц назад

      ​@@MsAggie5walifunga na jaydee ndoa ili waliachanaga

  • @Kidia-yt3bm
    @Kidia-yt3bm Месяц назад +3

    hawa watu maarufu sijui wanamatatizo gani katika kuwa na watoto,mbona wasifu unamapungufu mengi sana alizaliwa wapi sasa?taaluma zake alizipata wapi mwaka gani?

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Месяц назад

      Sio wengi wanapenda kutoa full details, hata mimi nimesema sitaki historia yoooote as if unadaiwa. Na tamaduni hii sijui umeipata wapi. Niko Ulaya nimehudhulia misiba mingi ya wazungu hawana haya mambo hata kufungua sanduku kuuaga mwili ni kitu gani hicho 😭😭😭😭

    • @user-uj5wg9mm2t
      @user-uj5wg9mm2t Месяц назад

      Hta me piah nishaacha wosia siku nikifa waseme tu alizaliwa,akafunga ndoa akafa bas,mengne hayawahusu😂😂

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 Месяц назад +2

    Kwenye interview na Dar24 marehemu alisema ana watoto 2 mbna nimesikia 1?

  • @ThomasKatwila
    @ThomasKatwila Месяц назад

    Alizaliwa mkoa gani Elimu aliugua tangu lini huuu wasifu una mapungufu sana

    • @LeocadiaPeter
      @LeocadiaPeter Месяц назад

      😢𝙼𝚋𝚗 𝚜𝚑𝚘𝚛𝚝 𝚜𝚊𝚗𝚊.