Hakika kaka nay uko sahihi tufungulie njia tupate at kuhema Kila mda TRA kodi tunafunga vibanda kwa kuhofia tutakula Nini wakitupata kibandan kwa kudai kodi zao sisi tunakufata nyuma salute kaka
Hao ndio wanafaa kusikilizwa hata nyimbo zao kwani zinaleta maanafran na zinakumbusha mambo frani yaliyosahaulika kwa maksudi au kukumbusha mambo ambayo yanafanywa kwa maslahi yao binafsi ,sio nyege nyegezi upuuzi mtupu 🎉🎉🎉🎉 Mpambanaji
mungu mpe uzima na urinzi kwa wabaya wake na yure makonda afe ghafla asimsumbuee baba yaga aameni mungu mbariki mrinde mfiche kwenye mikono yako mungu muumba binadamu na dunia yako mungu amina
brother mungu akupe nguvu ujumbe umefika brother najua msema ukwel hapendwe ila siku zote mwanafunz akiwa Kila mhura ndo wakwaza anajisahu kama ni yeye TU dalasan ila akiwa na mpizan lazima hajitahid kufanya vizl kwahiyo huyu mama etu Alisha jisahau kama niyeye TU mwenyewe ajui wapo wengi Kila Moja anajitahidi awe kama yeye hapo alipo na ukikosolewa Kabali ndo kulekebeshana siyo ugov Wala chuki
Ebhana josephat apa kiukweli binafc namkubali Sana uyu mwamba 7bu kwanza anajiamini na sku zte binadamu unatakiw kjiamini na unachkifanya mungu aendelee kumpa moyo w ujasili big up Sana ney
Kwanza nimeusikiliza Leo nimejikuta natoka na machozi..jamaa kaongea kweli.wengi wanatamani kusema Ila wanahofu..kaka najitoa sana.mungu atakulinda inshaallah.
Ni kweli mkuu. Tumuombee Mama Samia awe mjasiri maana ata wenye maphamars ya madawa tutauziwa dawa feki zimeex paya. Tumuunge mkono mama yetu mkono ili mabepari wasije mletea kashfa mama yetu na kiongozi wetu Samia Suluhu.
Ukisikia wazalendo ndio hawa kwasababu hawafikilii kukamatwa Bali anachojali nikuweka mambo wazi ya nchi yaliojaa uozo, kwahio ney ww uko poa Sana , na tukipata watu wengi wasanii kama hawa ktk nchi hii ujue watu watakua macho, maana watu wanadanganyiwa furaha ya mipira saana Ili wasifatilie na kujadili mambo ya serikal Bali wawe watu wanafatilia kujadili mipira TU .. 8:46
Tamaa za viongozi ni wa nchi hii Yani hakuna anaewaza vitu vya maana Zaid ya kuaza machinga tu kila Leo hawana plan b hawana maono ni viongozi wa kipumbavu kabxa
Hakika kaka nay uko sahihi tufungulie njia tupate at kuhema Kila mda TRA kodi tunafunga vibanda kwa kuhofia tutakula Nini wakitupata kibandan kwa kudai kodi zao sisi tunakufata nyuma salute kaka
Unyama mwingi tumpeni like zake mwana alakati
Huyu ndio mwana arakati big up kwako brother
Hao ndio wanafaa kusikilizwa hata nyimbo zao kwani zinaleta maanafran na zinakumbusha mambo frani yaliyosahaulika kwa maksudi au kukumbusha mambo ambayo yanafanywa kwa maslahi yao binafsi ,sio nyege nyegezi upuuzi mtupu 🎉🎉🎉🎉 Mpambanaji
Sijawahi kumusapoti Ila kwa hii nyimbo nimekuunga mkono
Safi sana wamitego, jembe la kazi
This is the true boy as he usually said sijuwi nimpongeze kivipi am from Congo but I really support iyi nyimbo yake
Hongera sana kaka yang Nay wa mitego pambana kaka mungu atakulinda mkuu tupo nyuma yako by Joseph Godfrey Mizengo
Ok saf sana Mambo yapo ivyo nikwel
Kiufupi Nay ni mwamba na pia ni mzalendo wa nchi yake apewe maua yake True boy🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Wimbo ni nzuri unafundisha.
Nakubali ney mtetez Wawa nyonge 👍
Nakupenda ney wamitego wape wahaibike wamekula nchi nzima lala magu pumziko famille nitakuombea kwamungu Ney ❤❤❤❤❤
Wimbo ni mzuri sana unatukumbusha kazuri aliyo Yaacha. MPENDWA MAGU MUNGU. TUNAKUACHIA WEWE
HE IS O FIRE,MAN.❤❤❤
Safi Sana ney ila acha tuseke Mungu yupo.
Oya huyu mwamba katisha sana kiukweli hii nchi mejaa vilaza,Respect sana BABA YAGA:
Ney should enter politics, he can make a good politician.
mungu mpe uzima na urinzi kwa wabaya wake na yure makonda afe ghafla asimsumbuee baba yaga aameni mungu mbariki mrinde mfiche kwenye mikono yako mungu muumba binadamu na dunia yako mungu amina
Safi sana Ney achia ngoma hiyoooo
Safiiiii sana NEY waa mitegooo❤❤❤❤❤.nimekukumbuka baba 😢😢
Congrats .l like your courage bro
i real like this strong man, he usually risk his life for the best of others wow! soon we are together
True story
Whoz ni Chizi
Sasa Asipo imba ataimba nani
The real Hip Hop Music Must Touch the Situations in the society
Wacha atusemee mungu atamsimamia zidi ya maharaja inshallah
Fact sana congr Ney
Kaka mungu akupe maisha malefu ili utusemee ss wanyonge
Nay ahsante sana ila baba ame semaga siku moja mta mu kumbuka
Aussi venez vivre au Congo RDc
Big up to ney
Yes nay your song its making me cry but don't stop fighting for INNOCENT people their will remember you thanks proud of you nay
Nay wamitego nakuerewa Sana kaka nataman ungekua raisi IRA basitu achaiendere kunyesha tuonepanapo vuja naitwa Chalii boy msani wabongofrefa nipo tabora
Apewe congratulations 👏 kubwa sana rais wa kitaaa yupo sawa Kabisa
papa magu forever
Ney Songi kali sana Mungu akulinde kwahaya maneno mazito
Big love from 254 the song is dope and i hope everyone will understand you through the music.......never back down
The true boy in building
Support you
brother mungu akupe nguvu ujumbe umefika brother najua msema ukwel hapendwe ila siku zote mwanafunz akiwa Kila mhura ndo wakwaza anajisahu kama ni yeye TU dalasan ila akiwa na mpizan lazima hajitahid kufanya vizl kwahiyo huyu mama etu Alisha jisahau kama niyeye TU mwenyewe ajui wapo wengi Kila Moja anajitahidi awe kama yeye hapo alipo na ukikosolewa Kabali ndo kulekebeshana siyo ugov Wala chuki
Nay big up mwamba tuko na wewe inshaa Allah💯🙏
Wazii broo endelea ivyo ivyo tuseme Mungu yupo
Nakukubari brother
Mama leo anatuletea machoko tanzania n shungi lake (kummke )
Hongera Sana mungu akulinde kwa ukweli huu na akufiche kwenye mbawa zake.
Mimi nampenda sana huyu kaka nyimbo zake zimeenda shule cku nikikuona nitakuweka mngogoni kama Mtoto Safi kaka
Ebhana josephat apa kiukweli binafc namkubali Sana uyu mwamba 7bu kwanza anajiamini na sku zte binadamu unatakiw kjiamini na unachkifanya mungu aendelee kumpa moyo w ujasili big up Sana ney
Kwanza nimeusikiliza Leo nimejikuta natoka na machozi..jamaa kaongea kweli.wengi wanatamani kusema Ila wanahofu..kaka najitoa sana.mungu atakulinda inshaallah.
Big up ney uko sahihi
True boy true society
Noma sana
Ki ukweli Wewe ndiye raïs wa ki taa yani hau ogopi kitu ! Big saluti wa mitego
Wear ndo rais wa tanzania
Big up nay
Ney aingie politics atakuwa good politician.
Kwa kuwa ana huruma.!
Tumebakiwa nawahuni tu hakunag hata mmoja anaeonekana Kama kiongoz wa mfano labda pole pole
Oya mkali umetisha niga
Ni kweli mkuu. Tumuombee Mama Samia awe mjasiri maana ata wenye maphamars ya madawa tutauziwa dawa feki zimeex paya. Tumuunge mkono mama yetu mkono ili mabepari wasije mletea kashfa mama yetu na kiongozi wetu Samia Suluhu.
Ukisikia wazalendo ndio hawa kwasababu hawafikilii kukamatwa Bali anachojali nikuweka mambo wazi ya nchi yaliojaa uozo, kwahio ney ww uko poa Sana , na tukipata watu wengi wasanii kama hawa ktk nchi hii ujue watu watakua macho, maana watu wanadanganyiwa furaha ya mipira saana Ili wasifatilie na kujadili mambo ya serikal Bali wawe watu wanafatilia kujadili mipira TU .. 8:46
Ney Yuko sahii manake uongozihuu aukosawa mwacheni awe mkweli.
Kaka Nay tutetee please
Hayapo Sawa ndio
Upo vizuri kaka hongera
Tamaa za viongozi ni wa nchi hii Yani hakuna anaewaza vitu vya maana Zaid ya kuaza machinga tu kila Leo hawana plan b hawana maono ni viongozi wa kipumbavu kabxa
Nimehipenda sanatu kk kaza
Nikweli ubadhilifu nimkubwa sana na rushwa
Nimekupenda
Serikali ikimshikilia Ney hata mimi nitakuenda kuandamana.!
Nimekuelewa Ney
Hiwaga na mpa respect nay
Nakubr xanaa
Kweli umemkumbuka sana baba...nchi mama anaiharibu...hakika niwachache sana wanaomkumbuka baba...so ney good sana
Nakukubali sana kaka SEMA yote
Mungu akulinde kwa kila hali kaka kila hatua unayokanyanga mungu awe na ww umeisha uhalisia kbs ktk hali iliopo ktk jamii zetu
Endelea kuwapasha maanna viongoz kam ao ni wabinafis kutaka wao na ndg zao mikono iende kinywan na wengine iende shavuni
Hahahahahaha ney wamitego wape wahaibike my friend haujambo mwamba naomba upigie hii ndoto inamanisha nini dhuuuuuu wwww nakuelewa NAMI ningekua msanii ningewapasua vichwa viongozi wanakuza matumbo Yao nahuku ss tunalialia magu ❤❤❤❤❤❤ Asante ungetengeneza Tanzania namiladi Yako waliyitelekeza nahata binge hawayiongelei
Nakupenda bure kaka juu ya ukweli wako ❤️❤️❤️❤️❤️👍👍👍👍
Exactly brother
Amina amina sana ww ndoo mwanaharakati harisia mungu akupe.uvumilivu
NEY WAMITEGO nakupenda sana una imba ukweli sana
nakubaliy
Ongea kinachoonekana mzee usiogope kama mnavyoogopa mm imeendikwa mwana ume kujiamini naamini hamuna atakae kupiga chini pamo1
The Trueboy in the Building ako saaawah ivyo vitu anafanya sioni kosa
UK vzr brother tupiganie
Mkali bigabu Sana huwo nikweli mtupu.
True boy ndo mwanaharakati pekee dunian,anaepambana kwaajili ya kutupazia sauti watanzania,na siwengine walioko ughaibun
Daaaaaa!! Ney unatisha baba daaaaa!! Saluty
Nimeipenda hiyo ngoma umetisha ney
Hii nimependa ney kipenzi chawatu
🤝
Safi Sana mwamba
Kwa mtazamo wangu
Nay wamitego ameimba point hiyo 👆 point hiyo 👆 point hiyo 👆 👆 👆 👆 👆 👆
Kaka saf sana God blless you
Whoz ni uozo wa mapenzi. Ney kaza butii. msanii lazima aguse maisha halisi ya jamiii husika
MTANGAZIJI PUNGUZA MATANGAZO BASI.
Tuteee sisi Huku chini
Mpe makavu hana sifa ya kutuongoza maana hata yeye an ngozwa
Yah I get achana na nao ney piga Kaz 2025watuletee bashiru nandugai
Huyu ni Rais wa awam ya tano ,, B,, yasita Nani alimchagua kuwa wa sita???
😁😁😄😄😄😄🤩🤩😄😄
😂😂😂
Ney imba kuwasaidia laia wapenzi namashabiki wote
Waziri mtarajiwa
Nelli wamitego yuko sawa mwana wakandamizie ngumu kumeza watazoea hao dotlwth hop pamoja mtuwangu
Sawa mdogo wangu uongozi uliopo saizi una deal na magaidi feki wakina mbowe
Work
IS m'y best
Leo ndio anajuwa umuhim wa Magu ? Hahaa hii dunia inawatu wa ajabu sana!!
Wakwanza wewe usiependa kukosolewa
Nimekosea kukujibu jinalako linajieleza
@@betuelmchome3224 🤣🤣🤣
Nikawaida ya maisha lazima changamoto ziwepo
Wewe ndo raisi wa tanzania