NILIKUWA NAUZA MADAWA YA KULEVYA NILIPIGWA NIKAFUFUKIA MOCHWARI |TULIKUWA WEZI |MAITI IMEFUFUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 79

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 2 года назад +15

    Huyu mwandishi nampenda sana
    Anahoji kwa hekma sana
    Kweli kz ya yk unaiweza👍👍

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 2 года назад +11

    Ila inaonyesha madawa hajaacha kutumia sababu hiyo midomo ilivyoharika mtamgazaji mshuri huyo jamaa awe anampenda kutafuta Carrot 🥕 na awe anampenda kupika Cabbage 🥬 na alitie vitunguu vingi hiyo Hali itakwisha humor midomoni.

    • @jumanassoro1552
      @jumanassoro1552 Год назад +1

      Asante sana kwa ushauri wako nazani utawasaidia watu wengi ushauri wako

    • @zidadumbepo1486
      @zidadumbepo1486 Год назад

      labda bange Ila siyo heroen

    • @rajabu4692
      @rajabu4692 Год назад

      Naomba namba yako ya simu nahitaj elimu Zaid katika hili

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 2 года назад +5

    Apime damu kwanza

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 2 года назад +6

    Jamani anakiri makosa
    Anatakiwa asaidiwe sio kuhoji tuuu

  • @sitiabubakar2892
    @sitiabubakar2892 2 года назад +5

    Anavyoelezea ugumu wa maisha mpaka inaskitisha wallah maisha magumu jamani

  • @officialdoablej6455
    @officialdoablej6455 2 года назад +7

    Maskini huyu kaka anaumwa hayuko sawa kabisa 😔😔

  • @mwastimsingi9373
    @mwastimsingi9373 2 года назад +5

    Wanatakiwa wasaidiwe sio kuwauliza tuuu

  • @Tinatana30
    @Tinatana30 2 года назад +9

    Sawa tumewasikia na Polen sana ila sasa sisi kama wanafamilia wa Maximum Tv tunafanyaje ili kuwasaidia Hawa ndugu zetu ??

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 2 года назад +4

    Jamani huyu mkk asaidiwe jamani
    Anatia huruma

  • @ReychoMc
    @ReychoMc 2 месяца назад

    Weken namba zao tuwasaidie

  • @naomysalim6477
    @naomysalim6477 2 года назад +3

    kuna story ya mkaka mmoja alikua anafanya kaz mochwari,alisema mwizi alipigwa wakajua amekufa bwana akafufuka..kumbe ndo uyu jaman🙌🏼🙌🏼

  • @khadijakdj8640
    @khadijakdj8640 2 года назад +2

    Ww mwenyewe unakunywa pombe uruka inaonyesha 😂🤣

    • @aminakipande5645
      @aminakipande5645 2 года назад +2

      Mdomo sasa huruma

    • @judithmelvinealuchio8968
      @judithmelvinealuchio8968 2 года назад +3

      @@aminakipande5645 hiyo ni mouth cancer kiss zinaambukiza na kuna hizi pombe kali pia husababisha

    • @jovanafidelis2802
      @jovanafidelis2802 Год назад

      @@judithmelvinealuchio8968 ni cancer au makovu ya kuungua

  • @josemsafimusic3389
    @josemsafimusic3389 2 года назад +3

    YESU PEKEE TU NDO ALIYEFUFUKA KUTOKA KWENYE KIFO HAO WENGINE WALIPITIWA NA USINGIZI MZITO WATU WAKAJUA WAMEKUFA

    • @victoriankanue7849
      @victoriankanue7849 2 года назад +2

      🤣🤣🤣👍👍👍

    • @jacquilinenoah949
      @jacquilinenoah949 2 года назад +2

      nmecheka sanaa😂😂😂

    • @judithmelvinealuchio8968
      @judithmelvinealuchio8968 2 года назад +1

      kenya nikiwa mdogo sana kuna muchungaji alimuua muchungaji mwenzie sababu ya cheo na aliua mwenye alikuwa ameokoka kabisaa maziko muuaji mwenyewe akawa ndio anamusomea ile ya fumbi kwa kwa vumbi jeneza lilitoka likamukaa kichwani wakatwaa wote wakapotelea kwa mawingu haya mambo yapo ila mungu akiwapea second chance huwa wanaokoka huyu tuseme labda alipitiziwa na maumivu sio hata usingizi na ilikuwa njia ya kujiokoa mungu alimuokoa ubaya anatusi watu mungu ndiye mwamuzi siku zote

    • @stellah3844
      @stellah3844 Год назад

      🤣🤣🤣🤣🤣Huyu alizimia

  • @jinnahsameer
    @jinnahsameer 27 дней назад

    😢😢😢😢😢 daaa hadi inauma

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 2 года назад +2

    Huyujamaa akiongea anakaamgonjwaalafu pia anaupungufuwa afraid damu

  • @josphatmwai1994
    @josphatmwai1994 2 года назад +1

    Jesus Christ mtembelee huyu ndugu. Nairobi tupo

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 2 года назад +3

    Inaoneka hanavidole maskini

  • @uredipeter412
    @uredipeter412 7 месяцев назад +1

    Pole Sana bro

  • @hawa45kisula34
    @hawa45kisula34 5 месяцев назад

    Pole

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 2 года назад +1

    S sahihi kabisa lakini hamkuweka no yake tukitaka kumsaidia chochote

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 2 года назад +1

    Wacha na hizo sigara pia zote ni madhara makubwa sana

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 2 года назад +2

    Sasa usharudi kwa Mola wako

  • @ruthjohn4317
    @ruthjohn4317 2 года назад +2

    Kiukweli huyu mkaka anaakiri basi tu jamn ugumu wa maisha kweli kila jambo linasababu kbs Mungu amkumbuka tu.

  • @zeddydaqueensy4612
    @zeddydaqueensy4612 2 года назад +3

    Duuh maisha haya jamani hadi huruma

  • @mouwanahamisi8216
    @mouwanahamisi8216 2 года назад +1

    Mung mwema mochwar kabisa 🙄🙄🙄

  • @phibijuilus7748
    @phibijuilus7748 2 года назад +1

    hongereni madoctor kwa kz zuri

  • @najmamosha7443
    @najmamosha7443 2 года назад +1

    Pole kaka

  • @mamafau9806
    @mamafau9806 2 года назад +1

    Mbona kama mteja uyoo avuti unga kwer uyoo mmm

  • @saifal-harthi2080
    @saifal-harthi2080 2 года назад +1

    Kaka yangu namuonea huruma

  • @mecksaloon81
    @mecksaloon81 2 года назад +1

    Mungu akufanyie wepesi

  • @beathamahatane2205
    @beathamahatane2205 2 года назад +1

    Mungu anakuhitaji umtumikie sasa

  • @stevenkapanga7156
    @stevenkapanga7156 2 года назад +2

    Jaman maisha haya

  • @comedywaves1091
    @comedywaves1091 2 года назад +2

    Pole sana ndugu yangu

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад +1

    Hee

  • @marryjonas6973
    @marryjonas6973 2 года назад +1

    Pole sana

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 года назад +3

    Subuhanallah polekaka

    • @rukiasaid2039
      @rukiasaid2039 2 года назад +2

      Uwache sasa kazi iyo

    • @rukiasaid2039
      @rukiasaid2039 2 года назад +1

      Umeamshwa ili utubu mwenyezi mungu kakupa muda ili utubu

  • @matishomateso4639
    @matishomateso4639 2 года назад +1

    Nice

  • @jaharaoman6478
    @jaharaoman6478 2 года назад +1

    Dua pole kaka mapito hayo

  • @fatumakhalidi7066
    @fatumakhalidi7066 2 года назад +2

    We ni Eric mtoto wa herieti chumila mdogo wa rucy na caro na mashana?? Nijibu moyo wangu upoe mana kama ni wewe nimekukea sana pale yombo 😊😊

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 Год назад

    Dah pole sana huyu atakuwa ana ukosefu wa vitamin ndio maana mdomo huko hivyo 🤲🤲

  • @jasmineeomary2041
    @jasmineeomary2041 2 года назад +6

    Sema wanawake tuna huruma sana🙌

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 2 года назад

    daaa inasikitisha Sanaa MH hi Dunia inachangamotoo pole Sanaa"

  • @mishwanwanmish8803
    @mishwanwanmish8803 2 года назад +1

    Pole

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi1787 2 года назад

    Ipo siku mungu atakupa usikate tamaa mungu yuko na ww

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 2 года назад +1

    pole

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад +2

    Auwahu akibaru mtihani mkubwa mungu atunusuru

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 2 года назад +1

    Inaoneka hanavidole maskini

  • @dottojafet9153
    @dottojafet9153 2 года назад +1

    Huyo Kaka Ni mkorof sn! Anapita kkoo akiombaomba ukimwambia sina anakutukana matus makubwa mpaka unakimbia,mshesz sn huyo

  • @aishaally8062
    @aishaally8062 2 года назад +3

    Bonde la Muhimbili Hilo Nimekaa sana hapo Maisha Usikie mpaka Sasa hivi nipo Dubai namshukuru sana Mwenyezi mungu zaidi ya Sana.