Brother Ngurumo analysis zako ni za viwango vya juu sana... Mungu akubariki kwa kipaji chako ambacho hujataka kukiuza kwa vipande vya sarafu. Umebaki kuwa miongoni mwa waandishi wachache wenye weledi
Big up Ndg Ngurumo ,yaani wewe ni miongoni mwa waandishi Wa habari wa kizazi hiki ambae ni hodari sana sana .Kila analysis unayofanya inakua na uthibitisho kamili bila kuongeza au kupunguza chchote bila kumumunya maneno Hongera sana kwa hilo. Wewe nakuona kama mwanasayansi vile anavyota matokeo fulani ya Experiment au jaribio ya jambo alilolifanyia . Hongera sana bro. Katika nchi ambayo inataka kujenga Democrasia ya kweli waandishi kama wewe ni Wa Muhimu sana .anayefichua kwa undani kila habari unayoiandika ,unafanya kazi kama waandishi wa nchi za mangharibi. HONGERA . Mungu akulinde .maana hutapendwa na wengi hasa Viongozi wa serikali wa nchi Kama yetu kwa kuongea UKWELI.
Kumbe Tanzania Kuna Mtu Kama wewe hongera Sana Baba angu Ahsante kwa Hilo.. umewafungua masikio wale wasiopenda ukweli Mungu YUPO MBOWE sio Gaidi..🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
This is an excellent narration and analysis, very informative and definitive conclusion. However, the interpretation of 'jamhuri' as implying that the President is 'above the law,' which is accredited to Deodatus Baiile, I belive, is nauseating!
kwa maoni yangu sitarajii mh. FAM kubadilika misimamo yake kuhusu mambo yote ya msingi. He didn't go there as a weaker negotiator trust me he is his own man. Freeman likes peace HAKI HAKI HAKI.
Mbowe alitakiwa apumzike kwanza na kutafakari what the hell happened na sio kumkimbilia kuongea nae sasa, he would say anything just to finish the talk na asialike mijadala All he needs now is peace and quiet with his family What a rush mama samia, unless he came from Dubai holiday, otherwise uwe mvumilivu km ulivyomtaka wewe awe mvumilivu mpaka kumsweka ndani
Hivi kulikuwa na udharura gani wa Rais na Mbowe kukutana siku hiyo hiyo, mara baada ya DPP kuiondoa kesi mahakamani? Bila shaka kesi hii ilikuwa ya Rais dhidi ya Mbowe. Hii ni kesi ya kisiasa. Kuwaamini wawili hawa inahitaji kujitoa ufahamu. Time will tell the tale.
The bottom line in kwamba watu waliomba waondoe kesi mahakamani,Zito being one of them.Kwa ujinga mnapenda ku-draw parallel kwa kila jambo.Balile ana busara sana,lakini Ansbert una mitazamo finyu sana.Mbowe amekutana na Rais.PERIOD! Nadharia za kijinga hizo hazisaidii sana
Kaka hacha maneno ya kinafiki, na ya kichochezi, wewe ndiye unayeuliza hayo maswali, si wananchi, si wanachama na wala sio wale wasio na chama. Maneno ya uchonganishi si mazuri hata dini hazitaki. Nafikiri unajionea huko Ukraine.
Ni kwa vile tu hujui wajibu wako kama raia. Mimi najua wajibu wangu kama mwanahabari. Hiyo ndiyo tofauti yetu, inayokufanya using'amue maswali ya wananchi katika hoja zangu.
Sasa wewe unatakaje toa ujinga wako wewe uko ughaibuni siye tunataka amani Tanzania viongozi wa dini wamemuomba amsamehe naye akakubali mama samia nyie mnataka tuuwane kama Ukraine mwl nyerere hukupata Tanzania kwa kumwaga damu
@@felixmsale9244 kwanza jiulize hii kesi imefunguliwa lini alafu jibu mtalipata mboe kamuheshimu rais kamfata ukiwa mtu wadini na imani unakuwa nayo tufate dini
Brother Ngurumo analysis zako ni za viwango vya juu sana... Mungu akubariki kwa kipaji chako ambacho hujataka kukiuza kwa vipande vya sarafu. Umebaki kuwa miongoni mwa waandishi wachache wenye weledi
Asee ur always the best to me.Uchambuzi mzurii....Keep it up Ngurumo
Ansbert Ngurumo. Asante sana kwa Analysis nzuri uliyoitoa kuhusu Kesi y Kupika ya Kumu implicate Freeman Mbowe na Wenzake kwenye Ugaidi
Napenda sana uchambuzi makini kwa Mungu akubariki sana ndugu wangu Ngulumo
Ngurumo your the best journalist.... Keep it forever brook. Karibu nyumbani ukiona inafaa
Brother nnakuelewa sana kwel kesi ya Mbowe imenifundsha
Mbowe is a hero and Chadema is now strong as ever and this could be the begining of a new democratic Tanzania . Let's keep our arms akimbo
Big up Ndg Ngurumo ,yaani wewe ni miongoni mwa waandishi Wa habari wa kizazi hiki ambae ni hodari sana sana .Kila analysis unayofanya inakua na uthibitisho kamili bila kuongeza au kupunguza chchote bila kumumunya maneno Hongera sana kwa hilo.
Wewe nakuona kama mwanasayansi vile anavyota matokeo fulani ya Experiment au jaribio ya jambo alilolifanyia .
Hongera sana bro.
Katika nchi ambayo inataka kujenga Democrasia ya kweli waandishi kama wewe ni Wa Muhimu sana .anayefichua kwa undani kila habari unayoiandika ,unafanya kazi kama waandishi wa nchi za mangharibi. HONGERA .
Mungu akulinde .maana hutapendwa na wengi hasa
Viongozi wa serikali wa nchi Kama yetu kwa kuongea UKWELI.
Nakupongeza sana Mwandishi kwa uchambuzi mzuri sana....
Kumbe Tanzania Kuna Mtu Kama wewe hongera Sana Baba angu Ahsante kwa Hilo.. umewafungua masikio wale wasiopenda ukweli Mungu YUPO MBOWE sio Gaidi..🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Uchambuzi mzuri.hongera sana.Mazungumzo ni mazuri.Bila mazungumzo ni Vita.
Well said brother ✌✌✌✌
This is an excellent narration and analysis, very informative and definitive conclusion. However, the interpretation of 'jamhuri' as implying that the President is 'above the law,' which is accredited to Deodatus Baiile, I belive, is nauseating!
Vijana Watatu Wasiozee Jela 🙏🏾🙏🏾🙏🏾👏👏👏
Big-up SK
Ushindi ni katiba mpya tu, ili tuachane na haya maisha ya kubahatisha na kusubiri mtu kalalia ubavu gani ndio tutoke nje 😆 km kwa Putin
Asnte kwa uchambuzi huo, barikiwa.
This is man is Bright
Uchambuzi wa haki kabisa, hongera sana.
Ngurumo uko vizuri Sana Ila Nina wasi wasi na zito
KWELI KABISA. KESI YA MH MBOWE NI SHULE. 💯 NAKUBALIANA NA WEWE
Kweli kaka umeongea ukwli ata mimi simu amin watawla naisi uwo nimchezo ili wapizan wanyamaze
Am watching you from Nairobi Kenya very nice analysis 👍
kwa maoni yangu sitarajii mh. FAM kubadilika misimamo yake kuhusu mambo yote ya msingi. He didn't go there as a weaker negotiator trust me he is his own man. Freeman likes peace HAKI HAKI HAKI.
Mbowe tunakupenda bure mungu akusimamie
MBOWE NI MZALENDO KTK HII INCHI AMETESWA NA KUONEWA BILA KOSA .TUNAHITAJI KATIBA MPYA.
Haki Haijawahi Kushindwa .🤔HAKI 🤔
Mbowe alitakiwa apumzike kwanza na kutafakari what the hell happened na sio kumkimbilia kuongea nae sasa, he would say anything just to finish the talk na asialike mijadala
All he needs now is peace and quiet with his family
What a rush mama samia, unless he came from Dubai holiday, otherwise uwe mvumilivu km ulivyomtaka wewe awe mvumilivu mpaka kumsweka ndani
Hata mimi nimehoji udharura wa Rais kukutana na Mbowe mara baada ya kuachiwa. Wanasiasa si wa kuamini.
Umesahau silo na tisi wameshindwa
Brothar ngurumo nakwelewaga Sana
Mnaomtukana huyu jamaa mna matatizo Sana.
Mnaminiana VIPI KWA kutesana NAMNA HIYO na kupeana KESI KUBWA za UONGO ..eti GAIDI
Akileta vurugu mechi tena kwa kushawishiwa na hao watu wake atarudi ndani akanyee debe
Kinachotakiwa ni siasa zifanyike kwa haki na ndipo amani huja automatically.
Kaka! Umenena. Bible says Imani pasipo matendo imekufa.
Hivi kulikuwa na udharura gani wa Rais na Mbowe kukutana siku hiyo hiyo, mara baada ya DPP kuiondoa kesi mahakamani? Bila shaka kesi hii ilikuwa ya Rais dhidi ya Mbowe. Hii ni kesi ya kisiasa. Kuwaamini wawili hawa inahitaji kujitoa ufahamu. Time will tell the tale.
Tulidhurumiwa chaguzi zetu.
Uyu ni mchambuzi mahiri sana ni kweli tupu
Da kaka umeongea pwnti sana mimi sielew kabis nahisi kuna kitu
BAHATI TULIONAYO WATANZANIA NI KUWA NA WAANDISHI KAMA HAWA HAYA NI MADINI YA TAIFA.
Sometimes the next president of a country looks like this
Mh yetu🙄
Katiba bira kumwaga damu musahau kwani iliyopo Ina luhusu COVID mbona hamuja andamana dawa nikuingoa ccm katiba baadae
Acha wadanganye mjinga mmoja subili 225 ndo utajua haki haipo duniani
Kuna Nini ndani yake ya haya mazungumzo
Kumbe ndiyo ninyi mliokuwa hamjulikani OK
Wewe ni mchambuzi wa viwango vya hali ya juu, ndiyo maana kila nikiona post yako lazima nisikilize mwanzo mpaka mwisho
Haki inayotajwa na Rais Samia na Mwwnyekiti Mbowe iwatoe Wafungwa wa Kisiasa kwenye Magereza yote nchini. Hapo Haki itakuwa imekamilika!!
Eti kaomba msamaha.kuna msamaha kwa ugaidi?
Wakati mushauli wa laisi Bado yupo haiwezekani wasila kinana makamba nape saha hiyo ni nchi ya familiya
Kuaminiana na haki, are you for real 😳
Samia nafikiri you need to slow down and observe well your closest environment
Sacred analysis
Poor analysis. Patience will tell. Is he or is he not. Political motivation?
Wewe mkoloni uchwara unaongea vitu gani?
Wacha uhanisi ww alipokamatwa mlisema atolewe sasa katolewa unazusha jengine pua mbaya tu
Unaongea mantiki sana
✌️✌️
The bottom line in kwamba watu waliomba waondoe kesi mahakamani,Zito being one of them.Kwa ujinga mnapenda ku-draw parallel kwa kila jambo.Balile ana busara sana,lakini Ansbert una mitazamo finyu sana.Mbowe amekutana na Rais.PERIOD! Nadharia za kijinga hizo hazisaidii sana
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
Kaka hacha maneno ya kinafiki, na ya kichochezi, wewe ndiye unayeuliza hayo maswali, si wananchi, si wanachama na wala sio wale wasio na chama. Maneno ya uchonganishi si mazuri hata dini hazitaki. Nafikiri unajionea huko Ukraine.
We kaa na shanga zako uko kakuomba umsikilize
Unafiki ni upi,..kesi imefutwa...walipoteza raslimali za nchi pasipo sababu. Wenye akili walishasema hakuna kesi hapo..
Ni kwa vile tu hujui wajibu wako kama raia. Mimi najua wajibu wangu kama mwanahabari. Hiyo ndiyo tofauti yetu, inayokufanya using'amue maswali ya wananchi katika hoja zangu.
@@erastomapunda1444 😂😂😂
Nani alimtumia J. K. Nyerere UN kuidai Tanganyika!?
Kwani sirro anasemaje ?
Aibu Tupu !!! na wale mashahidi wooote waliotengenezwa !!!
Sababu kuu ya kuachiwa ni mbinyo wa kimataifa na bidii za Lisu mataifani🤔
ILA Hawa kina Kibatala walishakula hela za Chadema jamani. Duh! Kama hawana magorofa ya haja basi tena.
Mawazo Hayo ni hasi.
Kama kajeruhiwa unajua wewe ulieandika kwenye RUclips yako kichwa cha habari usituchanganye
Wewe Kaka acha propaganda zako,hatutaki vita
Vita !?
Sasa wewe unatakaje toa ujinga wako wewe uko ughaibuni siye tunataka amani Tanzania viongozi wa dini wamemuomba amsamehe naye akakubali mama samia nyie mnataka tuuwane kama Ukraine mwl nyerere hukupata Tanzania kwa kumwaga damu
Umeamka vibaya J2 ya leo. Hata hujaelewa ulichosikiliza? Ama kweli!!!
Kuna watu inabidi waseme tu ili mkono wende kinywani, lakini kichwani muna matope.
Wamekutana samia kuomba msamaha
Mamá Sania akitaka kuomba msamaha aombe radhi hadharani kwani hakumkosea Mbowe peke yake amekosea wananchi wote Kumyanyasa Raisi Mtarajiwa Mh Mbowe .
@@felixmsale9244 kwanza jiulize hii kesi imefunguliwa lini alafu jibu mtalipata mboe kamuheshimu rais kamfata ukiwa mtu wadini na imani unakuwa nayo tufate dini
Huyu ngurumo anataka kuona watz tunauana ndipo afurahi,,,naona aende Ukraine watampokea mjinga sana huyu
Mtu anaongea vitu vya msingi wewe unaleta upuuzi huu?
Kweli wewe muoga mtu anaongea point wewe unaogopa kufa😂😂kufa utakufa tu .