MBOWE KAJERUHIWA AU KATOKA MZIMA?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 окт 2024

Комментарии • 87

  • @gwalughanomerryrose4913
    @gwalughanomerryrose4913 2 года назад +7

    Brother Ngurumo analysis zako ni za viwango vya juu sana... Mungu akubariki kwa kipaji chako ambacho hujataka kukiuza kwa vipande vya sarafu. Umebaki kuwa miongoni mwa waandishi wachache wenye weledi

  • @viaurfk
    @viaurfk 2 года назад +1

    Asee ur always the best to me.Uchambuzi mzurii....Keep it up Ngurumo

  • @johnmlangi6890
    @johnmlangi6890 2 года назад +3

    Ansbert Ngurumo. Asante sana kwa Analysis nzuri uliyoitoa kuhusu Kesi y Kupika ya Kumu implicate Freeman Mbowe na Wenzake kwenye Ugaidi

  • @christophermalango1433
    @christophermalango1433 2 года назад +2

    Napenda sana uchambuzi makini kwa Mungu akubariki sana ndugu wangu Ngulumo

  • @felixmathias6362
    @felixmathias6362 2 года назад +1

    Ngurumo your the best journalist.... Keep it forever brook. Karibu nyumbani ukiona inafaa

  • @jacksonjonathan2262
    @jacksonjonathan2262 2 года назад +4

    Brother nnakuelewa sana kwel kesi ya Mbowe imenifundsha

  • @thadeusmateru1356
    @thadeusmateru1356 2 года назад +5

    Mbowe is a hero and Chadema is now strong as ever and this could be the begining of a new democratic Tanzania . Let's keep our arms akimbo

  • @felixmsale9244
    @felixmsale9244 2 года назад +3

    Big up Ndg Ngurumo ,yaani wewe ni miongoni mwa waandishi Wa habari wa kizazi hiki ambae ni hodari sana sana .Kila analysis unayofanya inakua na uthibitisho kamili bila kuongeza au kupunguza chchote bila kumumunya maneno Hongera sana kwa hilo.
    Wewe nakuona kama mwanasayansi vile anavyota matokeo fulani ya Experiment au jaribio ya jambo alilolifanyia .
    Hongera sana bro.
    Katika nchi ambayo inataka kujenga Democrasia ya kweli waandishi kama wewe ni Wa Muhimu sana .anayefichua kwa undani kila habari unayoiandika ,unafanya kazi kama waandishi wa nchi za mangharibi. HONGERA .
    Mungu akulinde .maana hutapendwa na wengi hasa
    Viongozi wa serikali wa nchi Kama yetu kwa kuongea UKWELI.

  • @ignacekiwale7281
    @ignacekiwale7281 2 года назад +2

    Nakupongeza sana Mwandishi kwa uchambuzi mzuri sana....

  • @ghatimakonge9383
    @ghatimakonge9383 2 года назад +1

    Kumbe Tanzania Kuna Mtu Kama wewe hongera Sana Baba angu Ahsante kwa Hilo.. umewafungua masikio wale wasiopenda ukweli Mungu YUPO MBOWE sio Gaidi..🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @bartholomewshirima712
    @bartholomewshirima712 2 года назад +1

    Uchambuzi mzuri.hongera sana.Mazungumzo ni mazuri.Bila mazungumzo ni Vita.

  • @kikariantandi4833
    @kikariantandi4833 2 года назад +1

    Well said brother ✌✌✌✌

  • @nasilarembe6705
    @nasilarembe6705 2 года назад +3

    This is an excellent narration and analysis, very informative and definitive conclusion. However, the interpretation of 'jamhuri' as implying that the President is 'above the law,' which is accredited to Deodatus Baiile, I belive, is nauseating!

  • @kikariantandi4833
    @kikariantandi4833 2 года назад +1

    Vijana Watatu Wasiozee Jela 🙏🏾🙏🏾🙏🏾👏👏👏

  • @muswetamugubhe7901
    @muswetamugubhe7901 2 года назад +1

    Big-up SK

  • @nkolemuya9283
    @nkolemuya9283 2 года назад +7

    Ushindi ni katiba mpya tu, ili tuachane na haya maisha ya kubahatisha na kusubiri mtu kalalia ubavu gani ndio tutoke nje 😆 km kwa Putin

  • @alphocemadinda5158
    @alphocemadinda5158 2 года назад +2

    Asnte kwa uchambuzi huo, barikiwa.

  • @hashimmwamba441
    @hashimmwamba441 2 года назад +1

    Uchambuzi wa haki kabisa, hongera sana.

  • @onesmokamili2968
    @onesmokamili2968 2 года назад +1

    Ngurumo uko vizuri Sana Ila Nina wasi wasi na zito

  • @kenedrocky5964
    @kenedrocky5964 2 года назад +2

    KWELI KABISA. KESI YA MH MBOWE NI SHULE. 💯 NAKUBALIANA NA WEWE

  • @jitulakaleboymastr6477
    @jitulakaleboymastr6477 2 года назад +2

    Kweli kaka umeongea ukwli ata mimi simu amin watawla naisi uwo nimchezo ili wapizan wanyamaze

  • @fredopondo632
    @fredopondo632 2 года назад

    Am watching you from Nairobi Kenya very nice analysis 👍

  • @emmanuelmwangwa825
    @emmanuelmwangwa825 2 года назад +1

    kwa maoni yangu sitarajii mh. FAM kubadilika misimamo yake kuhusu mambo yote ya msingi. He didn't go there as a weaker negotiator trust me he is his own man. Freeman likes peace HAKI HAKI HAKI.

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 2 года назад +1

    Mbowe tunakupenda bure mungu akusimamie

  • @bishopmosesmagadula7572
    @bishopmosesmagadula7572 2 года назад +2

    MBOWE NI MZALENDO KTK HII INCHI AMETESWA NA KUONEWA BILA KOSA .TUNAHITAJI KATIBA MPYA.

  • @kikariantandi4833
    @kikariantandi4833 2 года назад +2

    Haki Haijawahi Kushindwa .🤔HAKI 🤔

  • @nkolemuya9283
    @nkolemuya9283 2 года назад +5

    Mbowe alitakiwa apumzike kwanza na kutafakari what the hell happened na sio kumkimbilia kuongea nae sasa, he would say anything just to finish the talk na asialike mijadala
    All he needs now is peace and quiet with his family
    What a rush mama samia, unless he came from Dubai holiday, otherwise uwe mvumilivu km ulivyomtaka wewe awe mvumilivu mpaka kumsweka ndani

    • @sylvestermavanza1154
      @sylvestermavanza1154 2 года назад +1

      Hata mimi nimehoji udharura wa Rais kukutana na Mbowe mara baada ya kuachiwa. Wanasiasa si wa kuamini.

  • @nyellasuwedisanga6929
    @nyellasuwedisanga6929 2 года назад +2

    Umesahau silo na tisi wameshindwa

  • @vitabokapundu4126
    @vitabokapundu4126 2 года назад +1

    Brothar ngurumo nakwelewaga Sana

  • @evansmtalo9406
    @evansmtalo9406 2 года назад +1

    Mnaomtukana huyu jamaa mna matatizo Sana.

  • @bishopmosesmagadula7572
    @bishopmosesmagadula7572 2 года назад +1

    Mnaminiana VIPI KWA kutesana NAMNA HIYO na kupeana KESI KUBWA za UONGO ..eti GAIDI

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 года назад +1

    Akileta vurugu mechi tena kwa kushawishiwa na hao watu wake atarudi ndani akanyee debe

    • @csato9415
      @csato9415 2 года назад

      Kinachotakiwa ni siasa zifanyike kwa haki na ndipo amani huja automatically.

  • @apeleelia8685
    @apeleelia8685 2 года назад +2

    Kaka! Umenena. Bible says Imani pasipo matendo imekufa.

  • @sylvestermavanza1154
    @sylvestermavanza1154 2 года назад +2

    Hivi kulikuwa na udharura gani wa Rais na Mbowe kukutana siku hiyo hiyo, mara baada ya DPP kuiondoa kesi mahakamani? Bila shaka kesi hii ilikuwa ya Rais dhidi ya Mbowe. Hii ni kesi ya kisiasa. Kuwaamini wawili hawa inahitaji kujitoa ufahamu. Time will tell the tale.

  • @cosmaswilliam3805
    @cosmaswilliam3805 Год назад +1

    Tulidhurumiwa chaguzi zetu.

  • @exseviangaeje1158
    @exseviangaeje1158 2 года назад +1

    Uyu ni mchambuzi mahiri sana ni kweli tupu

  • @jitulakaleboymastr6477
    @jitulakaleboymastr6477 2 года назад

    Da kaka umeongea pwnti sana mimi sielew kabis nahisi kuna kitu

  • @thomasjohn3499
    @thomasjohn3499 2 года назад +1

    BAHATI TULIONAYO WATANZANIA NI KUWA NA WAANDISHI KAMA HAWA HAYA NI MADINI YA TAIFA.

  • @Abu-Khalid-
    @Abu-Khalid- 2 года назад +1

    Sometimes the next president of a country looks like this

  • @merrydaniel9124
    @merrydaniel9124 2 года назад +1

    Mh yetu🙄

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 3 месяца назад

    Katiba bira kumwaga damu musahau kwani iliyopo Ina luhusu COVID mbona hamuja andamana dawa nikuingoa ccm katiba baadae

  • @luhindakanige2987
    @luhindakanige2987 2 года назад

    Acha wadanganye mjinga mmoja subili 225 ndo utajua haki haipo duniani

  • @saluhilya8465
    @saluhilya8465 2 года назад +2

    Kuna Nini ndani yake ya haya mazungumzo

  • @charlesphilipo6443
    @charlesphilipo6443 2 года назад

    Kumbe ndiyo ninyi mliokuwa hamjulikani OK

  • @davidsimbeye1548
    @davidsimbeye1548 2 года назад +2

    Wewe ni mchambuzi wa viwango vya hali ya juu, ndiyo maana kila nikiona post yako lazima nisikilize mwanzo mpaka mwisho

    • @brycesonmathias6112
      @brycesonmathias6112 2 года назад +1

      Haki inayotajwa na Rais Samia na Mwwnyekiti Mbowe iwatoe Wafungwa wa Kisiasa kwenye Magereza yote nchini. Hapo Haki itakuwa imekamilika!!

  • @evansmtalo9406
    @evansmtalo9406 2 года назад

    Eti kaomba msamaha.kuna msamaha kwa ugaidi?

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 3 месяца назад

    Wakati mushauli wa laisi Bado yupo haiwezekani wasila kinana makamba nape saha hiyo ni nchi ya familiya

  • @nkolemuya9283
    @nkolemuya9283 2 года назад +1

    Kuaminiana na haki, are you for real 😳
    Samia nafikiri you need to slow down and observe well your closest environment

  • @makusaro2289
    @makusaro2289 2 года назад

    Sacred analysis

  • @abdallahbahadadi7172
    @abdallahbahadadi7172 2 года назад +1

    Poor analysis. Patience will tell. Is he or is he not. Political motivation?

  • @talibsaid8081
    @talibsaid8081 2 года назад

    Wacha uhanisi ww alipokamatwa mlisema atolewe sasa katolewa unazusha jengine pua mbaya tu

  • @frankminga9307
    @frankminga9307 2 года назад +2

    Unaongea mantiki sana

  • @godfreymanzi8819
    @godfreymanzi8819 2 года назад +1

    ✌️✌️

  • @kombidin..2583
    @kombidin..2583 2 года назад +2

    The bottom line in kwamba watu waliomba waondoe kesi mahakamani,Zito being one of them.Kwa ujinga mnapenda ku-draw parallel kwa kila jambo.Balile ana busara sana,lakini Ansbert una mitazamo finyu sana.Mbowe amekutana na Rais.PERIOD! Nadharia za kijinga hizo hazisaidii sana

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍

  • @jumangaumba500
    @jumangaumba500 2 года назад +2

    Kaka hacha maneno ya kinafiki, na ya kichochezi, wewe ndiye unayeuliza hayo maswali, si wananchi, si wanachama na wala sio wale wasio na chama. Maneno ya uchonganishi si mazuri hata dini hazitaki. Nafikiri unajionea huko Ukraine.

    • @erastomapunda1444
      @erastomapunda1444 2 года назад +1

      We kaa na shanga zako uko kakuomba umsikilize

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 2 года назад

      Unafiki ni upi,..kesi imefutwa...walipoteza raslimali za nchi pasipo sababu. Wenye akili walishasema hakuna kesi hapo..

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  2 года назад

      Ni kwa vile tu hujui wajibu wako kama raia. Mimi najua wajibu wangu kama mwanahabari. Hiyo ndiyo tofauti yetu, inayokufanya using'amue maswali ya wananchi katika hoja zangu.

    • @mdta8161
      @mdta8161 2 года назад

      @@erastomapunda1444 😂😂😂

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 2 года назад +1

      Nani alimtumia J. K. Nyerere UN kuidai Tanganyika!?

  • @erastomapunda1444
    @erastomapunda1444 2 года назад

    Kwani sirro anasemaje ?

    • @felixmsale9244
      @felixmsale9244 2 года назад

      Aibu Tupu !!! na wale mashahidi wooote waliotengenezwa !!!

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 2 года назад

    Sababu kuu ya kuachiwa ni mbinyo wa kimataifa na bidii za Lisu mataifani🤔

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 2 года назад

    ILA Hawa kina Kibatala walishakula hela za Chadema jamani. Duh! Kama hawana magorofa ya haja basi tena.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 года назад

    Kama kajeruhiwa unajua wewe ulieandika kwenye RUclips yako kichwa cha habari usituchanganye

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 2 года назад

    Wewe Kaka acha propaganda zako,hatutaki vita

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 года назад +1

    Sasa wewe unatakaje toa ujinga wako wewe uko ughaibuni siye tunataka amani Tanzania viongozi wa dini wamemuomba amsamehe naye akakubali mama samia nyie mnataka tuuwane kama Ukraine mwl nyerere hukupata Tanzania kwa kumwaga damu

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  2 года назад

      Umeamka vibaya J2 ya leo. Hata hujaelewa ulichosikiliza? Ama kweli!!!

    • @hamadkhamis6572
      @hamadkhamis6572 2 года назад

      Kuna watu inabidi waseme tu ili mkono wende kinywani, lakini kichwani muna matope.

  • @nkolemuya9283
    @nkolemuya9283 2 года назад

    Wamekutana samia kuomba msamaha

    • @felixmsale9244
      @felixmsale9244 2 года назад

      Mamá Sania akitaka kuomba msamaha aombe radhi hadharani kwani hakumkosea Mbowe peke yake amekosea wananchi wote Kumyanyasa Raisi Mtarajiwa Mh Mbowe .

    • @salimusalim3610
      @salimusalim3610 2 года назад

      @@felixmsale9244 kwanza jiulize hii kesi imefunguliwa lini alafu jibu mtalipata mboe kamuheshimu rais kamfata ukiwa mtu wadini na imani unakuwa nayo tufate dini

  • @charlesphilipo6443
    @charlesphilipo6443 2 года назад +1

    Huyu ngurumo anataka kuona watz tunauana ndipo afurahi,,,naona aende Ukraine watampokea mjinga sana huyu

    • @davidsimbeye1548
      @davidsimbeye1548 2 года назад +2

      Mtu anaongea vitu vya msingi wewe unaleta upuuzi huu?

    • @mdta8161
      @mdta8161 2 года назад

      Kweli wewe muoga mtu anaongea point wewe unaogopa kufa😂😂kufa utakufa tu .