Zitto Kabwe na Tundu Lissu wabishana vikali, Lissu akimtuhumu Zitto kuwasaliti Chadema

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 окт 2024
  • Mwanahabari digital Fuatilia Channel ya habari za kijamii,siasa zinazohusu Tanzania
    Akaunti zetu za mitandao ya kijamii
    Instagram: habari_digital,
    Facebook:Mwanahabari digital
    Twitter:HabariDigital
    Kama huja subscribe bado, tafadhali fanya hivyo na msahuri mwenzako pia

Комментарии • 75

  • @evancemwaky7425
    @evancemwaky7425 2 года назад +3

    Zito daima ni mnafiki Mimi namjua Toka Tosamaganga kinafiki kweli

  • @lordymawoiya5818
    @lordymawoiya5818 2 года назад +2

    Zoto will be very dangerous to opposition be very careful with him

  • @raheemmbowe4890
    @raheemmbowe4890 2 года назад +1

    Well said brother Zitto. Maneno ya hekima sana. Big up

  • @twalhamnyira5318
    @twalhamnyira5318 2 года назад

    Zitto ni mwanasiasa mzur sana huyu lisu anahasira sana na siasa haipo hivy huyu jamaa angepewa nchi leo tungekimbia maana ni m2 wa visasi

  • @delekalxon7221
    @delekalxon7221 2 года назад +3

    Lissu is true friend of Zitto , anamchana live

    • @happinessmsila1896
      @happinessmsila1896 2 года назад

      anachana wapi mjinga huyo akili hana ndiyo maana analiwa nyuma . Zito yuko sahijhi

    • @ericron6115
      @ericron6115 2 года назад

      @@happinessmsila1896 wewe unaandika nini?

  • @mussamanumbu3718
    @mussamanumbu3718 2 года назад +2

    Zitto uko sawa tunaitaji kuwa kitu kimoja tuache chuki yaliyopita tumeumizwa inabidikusamehe tuuu tujenge nchi

  • @nestorygwanko4013
    @nestorygwanko4013 2 года назад +2

    Kumbe shida Ni tone ila ujumbe Ni uleule....Basi sawa!

  • @khalidimsuya4165
    @khalidimsuya4165 2 года назад

    Tundu lissu yuko sahihi Ila anaeleweka na watu wanaopenda ukweli Ila zitto anaeleweka kwa watu wa ccm tu na msishangae lissu akatukanwa na makada uku kwenye comant

  • @samwelbunzali1914
    @samwelbunzali1914 2 года назад

    Majibu ya hekima sana. Broo uko vizur hukurupuk nadhan ameelewa. Lakin punguzen lugha ngen suala kama hili. Ujumbe sahih hufikishwa kwa lugha asili. Kwa manufaa ya weng.

  • @amanimlengwa9202
    @amanimlengwa9202 2 года назад

    Lissu na Zizu wote ni wazima na kila mmoja ameongea vyema.

  • @wazirisaid8326
    @wazirisaid8326 2 года назад +3

    Zitto Hana kosa lolote ktk hili. Mtu yeyote anapokuwa kizuizini ktk mamlaka za kisheria huyo ana changamoto za kisheria, tafsiri ya sheria (hukumu) ndio itasema Kama ana hatia au Hana. Zitto hakusema Kama Mbowe ana hatia au Hana maana anajua kuwa Jambo Hilo lipo mahakamani. Wewe Ni wakili na hujakataliwa kwenda mahakamani kumtetea.Watu wanatofautiana busara,sisi tunaamini siku zote Zitto ana busara na Kama asingekuwa na busara Leo asingekuwa anaongea na mtu yeyote wa Chama chenu kwa mliyomtendea.Usitake watu waongee unavyotaka wewe na usitake watu waamini unachokiamini wewe.Ninyi mmeshindwa kumuombea m/kiti wenu,Zitto amefanya hivyo bado mnamshambulia!!Mnatakaje?

    • @mussabinford9872
      @mussabinford9872 2 года назад

      Mm pia nmeshangazwa n hilo make nlitafsir amefany jamb jemaa duu sias bhn

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 2 года назад

    LISSU NA ZITTO WOTE NYIE NI VIGEUGEU HAMUAMINIKI HATA KIDOGO SIO WAPINZANI WA KWELI NI WACHUMIA TUMBO.

  • @lusekelokangele7744
    @lusekelokangele7744 2 года назад +1

    Zito anaupiga mwingi sana

  • @xmathematics_
    @xmathematics_ 2 года назад +6

    Zitto ametumia njia ya ajabu sana

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 2 года назад

    Mimi ni ACT, lakini to be honest namuamini zaidi Lissu kuliko Zitoo for a million times

  • @danielmgeni1703
    @danielmgeni1703 2 года назад +1

    Wa Tanzania tunamaumivu Makalii wenyekiti wa Mitaa nchi nzima Ccm wa mbunge nchi nzima Ccm Tatizo sio kua na vyongozi wa cc tatizo tunaongozwa na watu tusio wachagua Wenye maumivu Tena tuombe msamaha hayanimajabu yanapatikana Tz

  • @AhmedMohammed-de4ke
    @AhmedMohammed-de4ke 2 года назад

    Chuki I nakaa moyoni haikai mdomoni. Kwa sbabu unaweza kumchukia mtu na ukasema huna chuki nae. Mnaweza kugombana mkasema mmesameheane mkakiri mmesameheana lakini bdo m1 akawa ana chuki na mwenzake

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 2 года назад

    Ukishamuona mtu anatoa utetezi huku akichanganya na kiingereza ujue Ana matatizo. Kama unajua maamuzi yanatokana na vikao vya chama Basi husiwe unaingia katika maamuzi na vyama vingine baadae unageuka..lazima uelewe siasa ni misimamo husipokuwa na misimamo uraonekana mnafiki

  • @AhmedMohammed-de4ke
    @AhmedMohammed-de4ke 2 года назад

    Ni muulize Lissu wewe uliposhambuliwa suala la kufanyika kwa uchunguzi lilikua suala la haki kwa nini viongozi wenzake na yeye walikua kila siku wanamlilia Magufuli wa nampigia magoti wanataka ufnyike uchunguzi

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 2 года назад

    Wanasiasa Tz jamani pendaneni na muendeshe siasa za uungwana. Siasa ni burudani na hampaswi kuwa na uhasama..

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 2 года назад

    Yani umekwenda sababu unataka rais aje katika kikao chenu...kwa yote mliyofanyiwa....zito Ana unaunafki sana

  • @theobartkingamkono5087
    @theobartkingamkono5087 2 года назад

    Mm hapo naona shida ni sheria zitto sio mwanasheria ni mchumi hivyo haya yalikuwa kuelekezana tu vuzuri kuliko haya yanayo endelea mtandaoni sio vema kwa maoni yangu shida ni sheria lisu anasimamia sheria.shida ipo hapo

  • @edgarmwakitwange30
    @edgarmwakitwange30 2 года назад

    Kuteleza si kuanguka Jambo moja ni mapambano daima

  • @samwelntelemko9165
    @samwelntelemko9165 2 года назад +1

    Zito we ni mhuni sana huna misimamo

    • @mussabinford9872
      @mussabinford9872 2 года назад

      Kivip hna msimamo elezea kdg tunufaikee n wengne

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 2 года назад +1

    Kipindi cha jpm mlinyimwa vingi mkanyamaza mama amewapa uhuru mnataka mmpande kwa head

  • @stevenmbosa99
    @stevenmbosa99 2 года назад

    zitto ametisha sana huachi kujifunza kitu unapomsikiliza.

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 2 года назад +1

    Kuomba kufutiwa kesi ni jambo la kawaida na alichosema Zitto kaanza na mhusika wa tatizo. Mhe. Mbowe yupo ndani kafanya kosa au hakufanya anajuwa yeye, karidhia mchakato wa kufutwa kesi uendelee wewe ulioko nje huru unakataa tukuelewe je???

  • @louisnyaki1936
    @louisnyaki1936 2 года назад +1

    Nimewasikiliza, ukweli mkubwa mmoja hapo kachutama. Tumwache tuzidishe mapambano

    • @faridhassan6834
      @faridhassan6834 2 года назад

      Lissu kachutama bro ni km dreva aliekosa kosa kugonga corolla akaenda kugonga V8 cruiser kisha ukajisifia.

  • @salumrashid5329
    @salumrashid5329 2 года назад

    Kwani ww umekua jaji? Lkn kama kwel umekua mzalendo mbona hurudi kwenu upo tu kwa mabeberu nn unatafuta acha siasa za uchonganish. njoo upambane kama kwel mzalendo

  • @mangasonsamson2101
    @mangasonsamson2101 2 года назад

    Nimekubal na nimefurahia hekima alizozitumia zitto kumjibu tundu

  • @mussabinford9872
    @mussabinford9872 2 года назад

    Big up zitto

  • @madukurumwanileles7909
    @madukurumwanileles7909 2 года назад

    Du!,kweli kila chama na maamuzi yake!,

  • @piusinchobe4302
    @piusinchobe4302 2 года назад

    tundu lisu bwana aise nijambo la ajabu sana mmekula ng,ombe mzima umebaki mkia halafu muombe msamaha

  • @gastonmodestkaziri2566
    @gastonmodestkaziri2566 2 года назад

    Sasa Ndugu yangu Tundu Lisu unadhani mawazo yako wewe lazima yakubaliwe na kila mmoja (wanasiasa wenzako)? Hapa nadhani kuna walakini Mhe. Lissu. Kumbuka Mhe. Zitto Kabwe ni Kiongozi wa Chama ambacho kimeunda serikali ya umoja huko Zanzibar kwa maslahi mapana ya Wanzanzibar na Watanzania kwa ujumla, vipi wewe unataka akusikilize wewe katika hili! Kweli? Huoni shida mpaka hapo? Kazi ipo.

  • @amoji126
    @amoji126 2 года назад +1

    If you listen to them both you'll know they don't have the character, leadership character. Kwanza hawaaminiani na hakuna anayefanya kwa misingi ya muungano.

  • @jeremiahngoka4980
    @jeremiahngoka4980 2 года назад

    Huyu Zitto msishirikiane nae kbs ni msaliti sana.Anafurahia serikali ya Muungano wa kitaifa Zanzibar.Msaliti namba moja huyu

  • @babazungu3180
    @babazungu3180 2 года назад

    Wasauz washauwa huyo zitto zaman tu

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 2 года назад

    Zito anajulikana udhaifu wake.

  • @josephandrew3444
    @josephandrew3444 2 года назад

    Pelekeni huko nyie akina lissu mko ulaya sasaivi mmekua wachambuzitu wa mtandaoni mwacheni zitto zuberi kabwe apige kazi pia mbowe asamehewetu aje uraiani

  • @Emmamusiccmb
    @Emmamusiccmb 2 года назад

    *NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO UNIPENDAGE KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO PEMBENI NAAMINI MTAUPENDA 🎬💞💞🔉🔉🎬*

  • @brunokimaro1053
    @brunokimaro1053 2 года назад +1

    LISU UNAONGELEA WAPI KWANI NA UNATAKAJE.UNAJUA KUONGEA SANA KUNABOA?

  • @luthermartin1098
    @luthermartin1098 2 года назад

    Hapo inaonekana kwamba kiongozi Zitto hajawa na msimamo kabisa

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 2 года назад

    Hakuna cha urafiki hapo elaniunafiki tu

  • @faridhassan6834
    @faridhassan6834 2 года назад

    Hivi ni kweli lissu leo umeishiwa hoja mpaka una muita mbatia kuwa pia ni mpinzani na unamuweka as reference, kweli Tanzania kuna upinzani au ma cartoon?zito uko sahihi hii ni kutafuta support ya mchwa wakati wanakusubiri kaburini ukifa.

  • @praisesamson8298
    @praisesamson8298 2 года назад +3

    Mrema wa sasa Zito

  • @magesaryoba424
    @magesaryoba424 2 года назад

    Tumieni kiswahili

  • @piusinchobe4302
    @piusinchobe4302 2 года назад

    pambaneni hadi dakika za mwisho wa kesi haki itapatikana tu kwa hili mkuu simamieni msimamo wenu

    • @wazirisaid8326
      @wazirisaid8326 2 года назад

      Pius Inchobe, lakini kumbuka haki ikitendeka baina ya pande mbili Kuna upande utafurahi na Kuna upande utachukia.Tusije tukaitafsiri haki kuwa Ni lazima iwafurahishe watu fulani.

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 2 года назад +1

    Siasa zitawaua 😂🤣

  • @mhojamsafiri2273
    @mhojamsafiri2273 2 года назад

    Kwani lisu unaongea uko wapi? Uko majarubani ama mtoni?🤣🤣🤣🤣mbona chura wanalia 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @khamisalikidarasa6331
    @khamisalikidarasa6331 2 года назад

    Lisu acha unafiki mwenzako ana matatizo makubwa yule jela karibu miezi minne wewe uko ulaya mwenzako ana shida wewe leo unakosowa hatua ya zito kwa mh mbowe kuomba afutiwe kesi hiyo nihatua kubwa

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 2 года назад +1

    BINADAMU NI KIGEUGEU NA MTUMIKIA TUMBO.YESU PEKEE ALISHINDA JARIBIO LA TUMBO NA CHAKULA.

  • @mwllzrmihayo
    @mwllzrmihayo 2 года назад

    ACT, ilianzishwa na wana ccm na leo ni mawaziri ndani ya ccm. Mnashangaa nini kuona zitto kuungana na ccm na kuwachukia wapinzani? MIMI NAONA HILI LIKO WAZI, MWENYE AKILI LAZIMA ANIELEWE KWA HABARI HII.

    • @bs-future4099
      @bs-future4099 2 года назад

      Umelogwa ww Zitto kuwa Ccm hiiiii lbda Kuna zitto wawili

    • @bs-future4099
      @bs-future4099 2 года назад

      Umelogwa ww Zitto kuwa Ccm hiiiii lbda Kuna zitto wawili

    • @samwelbunzali1914
      @samwelbunzali1914 2 года назад

      We hujui chochote unafkili zitto anakurupuka anajitambua bila shaka ww ndo punguan japo alimfukuza ila kamuonea iman.
      Hapo alichomanisha zitto haijalish ana kosa au hana kosa kesi ifutwe harakat zi
      Endelee.

  • @ooafrica3626
    @ooafrica3626 2 года назад

    Zito ni msaliti kweli kweli

    • @samwelbunzali1914
      @samwelbunzali1914 2 года назад

      Kumbka zitto ni sehem kubwa ya serikal kwahyo hapo kaongea kama sehem ya serikal na ni mwana uchumi anajua kinachoendelea khs kesi ya mbowe na zitto anamjua Sana mbowe. Ndio maana kaongea hivyo hakurupuk ni verry tallented.

    • @samwelbunzali1914
      @samwelbunzali1914 2 года назад

      Kumbka zitto ni sehem kubwa ya serikal kwahyo hapo kaongea kama sehem ya serikal na ni mwana uchumi anajua kinachoendelea khs kesi ya mbowe na zitto anamjua Sana mbowe. Ndio maana kaongea hivyo hakurupuk ni verry tallented.

  • @sululungasa3849
    @sululungasa3849 2 года назад

    lisu tatizounahasiraxana 2miabusara huusiomda wakuanzakubixhana na mwanao muyamalize tukomaemambonimengi wazee acheni usimba na yanga 2meishawaelewa acheni jaziba

    • @jumannentimizi9000
      @jumannentimizi9000 2 года назад

      SISIEMU NI WAJANJA SANA WANATABIA YA KURUSHA JIWE HARAFU WAO WANAKAA WANACHEKA SANA NA KUTUONA SISI NI WAJINGA SANA TUWE MAKINI SANA NA HAWA WATU