Zitto Kabwe na Tundu Lissu wabishana vikali, Lissu akimtuhumu Zitto kuwasaliti Chadema
HTML-код
- Опубликовано: 24 окт 2024
- Mwanahabari digital Fuatilia Channel ya habari za kijamii,siasa zinazohusu Tanzania
Akaunti zetu za mitandao ya kijamii
Instagram: habari_digital,
Facebook:Mwanahabari digital
Twitter:HabariDigital
Kama huja subscribe bado, tafadhali fanya hivyo na msahuri mwenzako pia
Zito daima ni mnafiki Mimi namjua Toka Tosamaganga kinafiki kweli
Kwani kasoma tosa
YAH KASOMA TOSA.
Zoto will be very dangerous to opposition be very careful with him
Well said brother Zitto. Maneno ya hekima sana. Big up
Zitto ni mwanasiasa mzur sana huyu lisu anahasira sana na siasa haipo hivy huyu jamaa angepewa nchi leo tungekimbia maana ni m2 wa visasi
Lissu is true friend of Zitto , anamchana live
anachana wapi mjinga huyo akili hana ndiyo maana analiwa nyuma . Zito yuko sahijhi
@@happinessmsila1896 wewe unaandika nini?
Zitto uko sawa tunaitaji kuwa kitu kimoja tuache chuki yaliyopita tumeumizwa inabidikusamehe tuuu tujenge nchi
Kumbe shida Ni tone ila ujumbe Ni uleule....Basi sawa!
Tundu lissu yuko sahihi Ila anaeleweka na watu wanaopenda ukweli Ila zitto anaeleweka kwa watu wa ccm tu na msishangae lissu akatukanwa na makada uku kwenye comant
Majibu ya hekima sana. Broo uko vizur hukurupuk nadhan ameelewa. Lakin punguzen lugha ngen suala kama hili. Ujumbe sahih hufikishwa kwa lugha asili. Kwa manufaa ya weng.
Lissu na Zizu wote ni wazima na kila mmoja ameongea vyema.
Zitto Hana kosa lolote ktk hili. Mtu yeyote anapokuwa kizuizini ktk mamlaka za kisheria huyo ana changamoto za kisheria, tafsiri ya sheria (hukumu) ndio itasema Kama ana hatia au Hana. Zitto hakusema Kama Mbowe ana hatia au Hana maana anajua kuwa Jambo Hilo lipo mahakamani. Wewe Ni wakili na hujakataliwa kwenda mahakamani kumtetea.Watu wanatofautiana busara,sisi tunaamini siku zote Zitto ana busara na Kama asingekuwa na busara Leo asingekuwa anaongea na mtu yeyote wa Chama chenu kwa mliyomtendea.Usitake watu waongee unavyotaka wewe na usitake watu waamini unachokiamini wewe.Ninyi mmeshindwa kumuombea m/kiti wenu,Zitto amefanya hivyo bado mnamshambulia!!Mnatakaje?
Mm pia nmeshangazwa n hilo make nlitafsir amefany jamb jemaa duu sias bhn
LISSU NA ZITTO WOTE NYIE NI VIGEUGEU HAMUAMINIKI HATA KIDOGO SIO WAPINZANI WA KWELI NI WACHUMIA TUMBO.
Zito anaupiga mwingi sana
Zitto ametumia njia ya ajabu sana
Mimi ni ACT, lakini to be honest namuamini zaidi Lissu kuliko Zitoo for a million times
Wa Tanzania tunamaumivu Makalii wenyekiti wa Mitaa nchi nzima Ccm wa mbunge nchi nzima Ccm Tatizo sio kua na vyongozi wa cc tatizo tunaongozwa na watu tusio wachagua Wenye maumivu Tena tuombe msamaha hayanimajabu yanapatikana Tz
Chuki I nakaa moyoni haikai mdomoni. Kwa sbabu unaweza kumchukia mtu na ukasema huna chuki nae. Mnaweza kugombana mkasema mmesameheane mkakiri mmesameheana lakini bdo m1 akawa ana chuki na mwenzake
Ukishamuona mtu anatoa utetezi huku akichanganya na kiingereza ujue Ana matatizo. Kama unajua maamuzi yanatokana na vikao vya chama Basi husiwe unaingia katika maamuzi na vyama vingine baadae unageuka..lazima uelewe siasa ni misimamo husipokuwa na misimamo uraonekana mnafiki
Ni muulize Lissu wewe uliposhambuliwa suala la kufanyika kwa uchunguzi lilikua suala la haki kwa nini viongozi wenzake na yeye walikua kila siku wanamlilia Magufuli wa nampigia magoti wanataka ufnyike uchunguzi
Wanasiasa Tz jamani pendaneni na muendeshe siasa za uungwana. Siasa ni burudani na hampaswi kuwa na uhasama..
Yani umekwenda sababu unataka rais aje katika kikao chenu...kwa yote mliyofanyiwa....zito Ana unaunafki sana
Mm hapo naona shida ni sheria zitto sio mwanasheria ni mchumi hivyo haya yalikuwa kuelekezana tu vuzuri kuliko haya yanayo endelea mtandaoni sio vema kwa maoni yangu shida ni sheria lisu anasimamia sheria.shida ipo hapo
Kuteleza si kuanguka Jambo moja ni mapambano daima
Zito we ni mhuni sana huna misimamo
Kivip hna msimamo elezea kdg tunufaikee n wengne
Kipindi cha jpm mlinyimwa vingi mkanyamaza mama amewapa uhuru mnataka mmpande kwa head
Kweli kabisa waliufyata mkia
you know nothing guy
zitto ametisha sana huachi kujifunza kitu unapomsikiliza.
Kuomba kufutiwa kesi ni jambo la kawaida na alichosema Zitto kaanza na mhusika wa tatizo. Mhe. Mbowe yupo ndani kafanya kosa au hakufanya anajuwa yeye, karidhia mchakato wa kufutwa kesi uendelee wewe ulioko nje huru unakataa tukuelewe je???
Nimewasikiliza, ukweli mkubwa mmoja hapo kachutama. Tumwache tuzidishe mapambano
Lissu kachutama bro ni km dreva aliekosa kosa kugonga corolla akaenda kugonga V8 cruiser kisha ukajisifia.
Kwani ww umekua jaji? Lkn kama kwel umekua mzalendo mbona hurudi kwenu upo tu kwa mabeberu nn unatafuta acha siasa za uchonganish. njoo upambane kama kwel mzalendo
Nimekubal na nimefurahia hekima alizozitumia zitto kumjibu tundu
Big up zitto
Du!,kweli kila chama na maamuzi yake!,
tundu lisu bwana aise nijambo la ajabu sana mmekula ng,ombe mzima umebaki mkia halafu muombe msamaha
Sasa Ndugu yangu Tundu Lisu unadhani mawazo yako wewe lazima yakubaliwe na kila mmoja (wanasiasa wenzako)? Hapa nadhani kuna walakini Mhe. Lissu. Kumbuka Mhe. Zitto Kabwe ni Kiongozi wa Chama ambacho kimeunda serikali ya umoja huko Zanzibar kwa maslahi mapana ya Wanzanzibar na Watanzania kwa ujumla, vipi wewe unataka akusikilize wewe katika hili! Kweli? Huoni shida mpaka hapo? Kazi ipo.
If you listen to them both you'll know they don't have the character, leadership character. Kwanza hawaaminiani na hakuna anayefanya kwa misingi ya muungano.
Huyu Zitto msishirikiane nae kbs ni msaliti sana.Anafurahia serikali ya Muungano wa kitaifa Zanzibar.Msaliti namba moja huyu
Wasauz washauwa huyo zitto zaman tu
Zito anajulikana udhaifu wake.
Pelekeni huko nyie akina lissu mko ulaya sasaivi mmekua wachambuzitu wa mtandaoni mwacheni zitto zuberi kabwe apige kazi pia mbowe asamehewetu aje uraiani
*NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO UNIPENDAGE KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO PEMBENI NAAMINI MTAUPENDA 🎬💞💞🔉🔉🎬*
LISU UNAONGELEA WAPI KWANI NA UNATAKAJE.UNAJUA KUONGEA SANA KUNABOA?
Hapo inaonekana kwamba kiongozi Zitto hajawa na msimamo kabisa
Hakuna cha urafiki hapo elaniunafiki tu
Hivi ni kweli lissu leo umeishiwa hoja mpaka una muita mbatia kuwa pia ni mpinzani na unamuweka as reference, kweli Tanzania kuna upinzani au ma cartoon?zito uko sahihi hii ni kutafuta support ya mchwa wakati wanakusubiri kaburini ukifa.
Mrema wa sasa Zito
Tumieni kiswahili
pambaneni hadi dakika za mwisho wa kesi haki itapatikana tu kwa hili mkuu simamieni msimamo wenu
Pius Inchobe, lakini kumbuka haki ikitendeka baina ya pande mbili Kuna upande utafurahi na Kuna upande utachukia.Tusije tukaitafsiri haki kuwa Ni lazima iwafurahishe watu fulani.
Siasa zitawaua 😂🤣
Kwani lisu unaongea uko wapi? Uko majarubani ama mtoni?🤣🤣🤣🤣mbona chura wanalia 🤣🤣🤣🤣🤣
Nimesikia namimi
Namimi pia nimesikia
Lisu acha unafiki mwenzako ana matatizo makubwa yule jela karibu miezi minne wewe uko ulaya mwenzako ana shida wewe leo unakosowa hatua ya zito kwa mh mbowe kuomba afutiwe kesi hiyo nihatua kubwa
BINADAMU NI KIGEUGEU NA MTUMIKIA TUMBO.YESU PEKEE ALISHINDA JARIBIO LA TUMBO NA CHAKULA.
ACT, ilianzishwa na wana ccm na leo ni mawaziri ndani ya ccm. Mnashangaa nini kuona zitto kuungana na ccm na kuwachukia wapinzani? MIMI NAONA HILI LIKO WAZI, MWENYE AKILI LAZIMA ANIELEWE KWA HABARI HII.
Umelogwa ww Zitto kuwa Ccm hiiiii lbda Kuna zitto wawili
Umelogwa ww Zitto kuwa Ccm hiiiii lbda Kuna zitto wawili
We hujui chochote unafkili zitto anakurupuka anajitambua bila shaka ww ndo punguan japo alimfukuza ila kamuonea iman.
Hapo alichomanisha zitto haijalish ana kosa au hana kosa kesi ifutwe harakat zi
Endelee.
Zito ni msaliti kweli kweli
Kumbka zitto ni sehem kubwa ya serikal kwahyo hapo kaongea kama sehem ya serikal na ni mwana uchumi anajua kinachoendelea khs kesi ya mbowe na zitto anamjua Sana mbowe. Ndio maana kaongea hivyo hakurupuk ni verry tallented.
Kumbka zitto ni sehem kubwa ya serikal kwahyo hapo kaongea kama sehem ya serikal na ni mwana uchumi anajua kinachoendelea khs kesi ya mbowe na zitto anamjua Sana mbowe. Ndio maana kaongea hivyo hakurupuk ni verry tallented.
lisu tatizounahasiraxana 2miabusara huusiomda wakuanzakubixhana na mwanao muyamalize tukomaemambonimengi wazee acheni usimba na yanga 2meishawaelewa acheni jaziba
SISIEMU NI WAJANJA SANA WANATABIA YA KURUSHA JIWE HARAFU WAO WANAKAA WANACHEKA SANA NA KUTUONA SISI NI WAJINGA SANA TUWE MAKINI SANA NA HAWA WATU