Jahazi Modern Taarab - Watu Na Viatu (Official Audio)
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- #MzeeYusuph #WatuNaViatu #JahaziModernTaarab #SlideDigital
(C) Slide Digital
Mzee Yusuph and Jahazi Modern Taarabu / Safina Madern Taarab Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
Mzee Yusuph: ffm.to/mzeeyusuph
Jahazi Modern Taarab: ffm.to/jahazim...
Safina Modern Taarab: ffm.to/safinam...
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Kiswahili changu si kizuri sana lakini mzee pamoja na malkia yusuf na team yako kazi ambayo mmeifanya kutoka ukiwa mdogo ady sasa na mashabiki ambao mko nao nkiwa mmoja wao ,kwa wale wachache ambao wamebaki wanaoitunza kizazi cha sasa kwa nyimbo tamu mko nambari moja.....jahazi juu kila siku mkuu yusuf na malkia leila
Ahsante
Pambee to tuko na jahaz yetu mpk mwisho
Hii ndio jahazi kumbukeni kakaa miaka 8 bila kuimba hawezi kurudi moja kwa moja mzee anaupigaji wake
Nyimbo nzuri sana hongera sana malkia inanitoa vumbi😁😁😁 kila wakat nipo hapa
Kwann usi download kbsa iwe kwenye cm yko afu uwipige kwenye sabufa.. wee Hatari
Hongera Mzee lakini pia hongera malkia Leyla wimbo umeutendea haki kiukweli nimeurudi×70 lakn haushi utamu maneno yamepangika vinanda vinasikiliza jahazi sasa imerudiiiii.
Uwakika kbsaa hili ndio jahaz sasa... aiweeeh🔥🔥❤❤
Sanaaaa hii nyimboo tam sanaa uzur wa jahaz nyimbo zao hazifanani na zilopitaa kila nyimbo zina utam wakeee nzurii sanaaaa nimependaaa
Weeee malkia weee🎉🎉🎉❤❤,nakupendaje..woyoooo jahazi mnajua mpka mnakera
@Mzee Yusuf dondosha vitu baba tufurahieee❤
🎉🎉🎉chkua maua ysko🎄🎀🎀
Huyu tumpe mtii kbs awe anachuma mauwa yk mwnyw ameupig mwingi mnooo🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤😊😊
Hii ni hatari...Malkia Leyla ni moto🔥!!. Jahazi juu!!!❤ much love from Kenya💯
Mmesikia kinanda kilichopigwa humu???🙌🙌🙌,huyu ndo Mzee Yussuf ninaemjua mimi,mimi na deal upigwaji wa kinanda tu,maana ndo funny yangu,mengine nawaachia wengine,humu kimepigwa kinandaaa 🔥 🔥
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌
Sasa huyu ndo Mzee Yussuf ninaemjuwa mimi kuhusu kupiga kinanda,humu ndo kakipiga kinanda kinavyotakiwa 🔥,kama vile ya WENZENU MIDOMONI,KWA HILO HUJANIKOMOWA,vimetaka kuingiliana,haya ndo tunayoyataka sisi,maana hivi vinanda ndo vinavyochapuza nyimbo,hongera sana,humu umetendea haki kinanda🙌,na naiona ile Jahazi ya miaka ya nyuma inazalika upya.
So Hot #mfalme anakazi kubwaaa kuirudsha tenaaa Taarabu kwenye TOP inshaallah yawezkna
Kidogo kidogo atafika2😊😊😊
Toka mzee arud mjini huu cjui mwaka wa ngap mana kabla magu hajafa lkn ktk mikutano yote na marusharoho ya mitaani na maharusini maholini bc nyimbo zinazoombwa na kupigwa na watu wakadimka ni zile zile t aloziacha jahaz kabla hajaenda Kutalii Soudia Arabia kinachonatikwa mseme ukweli azidishe pahala flan au kitu flan aongeze ili kumbi zijae na ukingia ktk madaladala uckie nyimbo zake lkn ukibaki mzee na reila munaipiga mwingi mara nyimbo muzuli sana ata kusema hujui bc ata kuandika
❤❤❤jmn❤❤❤❤hatari na nusu❤❤❤❤❤❤❤
Leira ni mmoja tu kazinzuri sana dada
Mzee upo juu sana umempigia sana malkia
Hujawayi nia ngusha my 😘😘💃💃💃
mashallah
watu na viatu weeeeh honey
Hatariiiii sanaaaaa pambeee tarab naiyonaa ileeee kwa spid inarudiii kwaooo na kwao kwenyewee ndo hapaa sasa jahaz monrden taarab
😂😂cc 2taixhi nao hatarii
Mama yangu weeeh... Malkia na jahazi lake sasa... Nawaangalia tu..🙌🙌aiweehh
Ulichorwa wap malkia Leyla
Uniite ikitaka kuchorwa
Kama ww ni malkia muimbaji na Mimi ni malkia mchoraji...
Nakupenda sana mummy nikama hua waniimbia mimi shukran kwa ujumbe nawaangalia tu
❤❤
❤❤
❤❤
God sana mtuzi mzee miziki ndoinaazaaaaa
❤
Beat imeshiba inavyotakiwa,solo guitar na Bass guitar vimepigwa vinavyotakiwa,vimetendewa haki humu,na ukija kwenye kinanda ndo hatariiiii 🔥 🙌
Sasa umeludi rasmni mzee hapa ss hatali
Malkia mchoraji napatikana Mombasa Kenya...
Safi sana hili ndio jahazi kulishusha kaziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
malkia kwenye ubora wake ,pambe hatali 🔥
Natamani kuisikia ya khadija
Tuachie tu down load
Such a good song kafupi halafu katamu hongereni sana❤
Mzee naona sasa kazi ndo umeianza
Nzuri ❤❤❤❤ila imepoa mno
So hot my leila umetisha saaaana tunawawawawawalia pooooz
♥♥♥♥♥♥♥♥
Nyimbo mzuri sana auna baya biti mmaga
Hatariiiiii❤❤
Mashaallah
woyoooooo😂😂❤❤wapi. ....malikia. mwenyeee. maamaleyla. wa ukweliii😂😂❤❤
Hongera sana leyla nyimbo nzuri🔥
Leo nimeiwahi nampenda sana malkia❤❤❤❤❤❤
Nzuri
+254 ...Leila Malkia wa ukweli. No.1
🔥🔥🔥🔥
Nakupenda Sana❤❤❤
Mash allah mash allah mash allah nyimboooo 🔥🔥🔥🔥🔥 mzee na malkia mnanidai soda zenu baridi @mzee yusuf @leilarashid
❤❤❤ kweli
Hii nibonge la nyimbo
Sina kipingamixi nakuelewa san
Nimependa hii🔥🔥
👌💥💥💥
Najijua mie watu wana roho yakutu kutu😂
Asante kwa kazi nzuri pambeee tu
Always on top madam Laila 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ok poa❤❤❤❤
Huna baya tajiri ❤❤
Hatari tupuuuuu🔥🔥🔥🔥🔥
Hii taarab nairudia zaid ya mara 70 kwa siku🔥🔥ebana eeeh Malkia nyimbo n kali mfalme tupagawishe na kinanda sasa aweeeh... teleza baba🔥🔥🔥🙌
Kaupiga mwing mnoo
@@ruckymohd💥💥
Maashallah nyimbo nzur
Hapa ndipo sasa
Kitu sharing mzeee❤❤
Hutuangushi malkia
Hongera malkia Leyla
Tenaaaaaaaa🎉🎉🎉❤❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤🎉🎉
🔥🔥🙌
🌹🌹🌹🌹
💃💃💃
Mfalme mzee yusuph... Unajitahidi sana unajaribu sana lakini wallahi bado na ww mwenyewe walijua hilo Bado. Shida ni nn? Creativity imeisha nn? Hebu jaribu nyimbo Moja ummpe mtu mwengine atie yeye shairi, mziki, afanye production yote yeye kisha uone itakuaje... Cud be kichwa chako kimechoka kidogo Cha hitaji mapumziko. Nyimbo zote ulizotoa baada ya kurudi mjini hakuna iliyocmama ikakita kama zile za nyuma kina Sina mda huo, vip, aso kasoro na nyenginezi. Za saivi zinakata zinakufa 😢 hazina ladha ile tunayoijua ya kwako. Au ndo radi ya Allah mwenzangu!!!! Ila Bado, unajitahidi lakini ladha hazina kuanzia shairi mziki Hadi uimbaji..Yani ukizikskia tu unajua Kuna kitu kimepungua hazijakaa sawa. Ni changamoto ibebe positively.
Ww unatak kuhribu sasa... ivi kwann unataka kila kitu kiwe kam mwanzo.. Tulia usiwe n haraka Ndio kaanza ivoh.. Na hii taarab ndio nzur kama ujui sasa
@@malikimlisho2306 shabiki wa kweli anakua mkweli... Wee utakua hujui mziki wajua burudani tu. Katoa album sijui mbili sijui tatu, nyimbo zote zimebuma. Ye mwenyewe anajua na anaelewa nnacho kiongea. Kiwango Cha ubora kimeshuka sana anajitahidi lakini haviwi. Mi nampenda ndio Nampa feedback... Hiyo nyimbo inahitaji kutengezwa haijakaa sawa na sio nzuri... Njia zengine Leyla haziwezi hasa hapo ikianza. Something is just not right na ni zote hata ya mcharuko
🤔🤔
Haiwezi kua nyimbo nzur katu na Wala huiwez kuifananisha na sina mda huo,sitaki shari,fanya yako,langu rohoni,ubinadamu kazi,kwahilo hujanikomoa , maneno ya mkosaji na nyengne nyenginezo
Sasa unatak aimbe nyimbo ambazo keshaimbaa nyumaa heee bas kazi naakiimbaa Kam izo ulizotaja apo utasemaa Hana jipyaa anaimbaa nyimbo Kam zazaman Bina Adam Hamna jemaaa
Yani kwa studio hii hata urecord nyimbo milioni zote zitakuwa mbaya hazina ubora kabisa yani
Yeah imepoa sana
Piga kaz heheyaa
@@hidayahshabani3379yan nyie ndio hamjui taarab wallh
Huwezi linganisha na za awamu ilopita mziki ulikua mbovu ila hii iko sawa
@@haykaofficial7427 kabisaaa wacha tuburuduke na maneno ya malkia mwenyewe hatarii❤❤
Mbaya sana
Kaimbeee yako ilokuwa nzurii kijumbeeee 😂😂😂 ebuu achaa makasiriko mwanamkeee akaaa ebuu tuacheeee umetumwaaa eeeh