Jahazi Modern Taarab - Watu Na Viatu (Official Audio)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • #MzeeYusuph #WatuNaViatu #JahaziModernTaarab #SlideDigital
    (C) Slide Digital
    Mzee Yusuph and Jahazi Modern Taarabu / Safina Madern Taarab Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    Mzee Yusuph: ffm.to/mzeeyusuph
    Jahazi Modern Taarab: ffm.to/jahazim...
    Safina Modern Taarab: ffm.to/safinam...
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz

Комментарии • 105

  • @omondikevin6065
    @omondikevin6065 10 месяцев назад +19

    Kiswahili changu si kizuri sana lakini mzee pamoja na malkia yusuf na team yako kazi ambayo mmeifanya kutoka ukiwa mdogo ady sasa na mashabiki ambao mko nao nkiwa mmoja wao ,kwa wale wachache ambao wamebaki wanaoitunza kizazi cha sasa kwa nyimbo tamu mko nambari moja.....jahazi juu kila siku mkuu yusuf na malkia leila

  • @DeogratiusMhagama-tg2ri
    @DeogratiusMhagama-tg2ri 10 месяцев назад +5

    Hii ndio jahazi kumbukeni kakaa miaka 8 bila kuimba hawezi kurudi moja kwa moja mzee anaupigaji wake

  • @sabrinachopeta786MISTON
    @sabrinachopeta786MISTON 10 месяцев назад +8

    Nyimbo nzuri sana hongera sana malkia inanitoa vumbi😁😁😁 kila wakat nipo hapa

    • @malikimlisho2306
      @malikimlisho2306 10 месяцев назад

      Kwann usi download kbsa iwe kwenye cm yko afu uwipige kwenye sabufa.. wee Hatari

  • @amourdaani
    @amourdaani 10 месяцев назад +6

    Hongera Mzee lakini pia hongera malkia Leyla wimbo umeutendea haki kiukweli nimeurudi×70 lakn haushi utamu maneno yamepangika vinanda vinasikiliza jahazi sasa imerudiiiii.

    • @malikimlisho2306
      @malikimlisho2306 10 месяцев назад +2

      Uwakika kbsaa hili ndio jahaz sasa... aiweeeh🔥🔥❤❤

    • @asyamohammed5091
      @asyamohammed5091 10 месяцев назад +2

      Sanaaaa hii nyimboo tam sanaa uzur wa jahaz nyimbo zao hazifanani na zilopitaa kila nyimbo zina utam wakeee nzurii sanaaaa nimependaaa

    • @Mzuri_002
      @Mzuri_002 10 месяцев назад +2

      Weeee malkia weee🎉🎉🎉❤❤,nakupendaje..woyoooo jahazi mnajua mpka mnakera

    • @Mzuri_002
      @Mzuri_002 10 месяцев назад +1

      @Mzee Yusuf dondosha vitu baba tufurahieee❤

    • @ruckymohd
      @ruckymohd 10 месяцев назад +1

      🎉🎉🎉chkua maua ysko🎄🎀🎀

  • @ruckymohd
    @ruckymohd 10 месяцев назад +6

    Huyu tumpe mtii kbs awe anachuma mauwa yk mwnyw ameupig mwingi mnooo🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤😊😊

  • @sadikjuma5519
    @sadikjuma5519 10 месяцев назад +7

    Hii ni hatari...Malkia Leyla ni moto🔥!!. Jahazi juu!!!❤ much love from Kenya💯

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 9 месяцев назад +3

    Mmesikia kinanda kilichopigwa humu???🙌🙌🙌,huyu ndo Mzee Yussuf ninaemjua mimi,mimi na deal upigwaji wa kinanda tu,maana ndo funny yangu,mengine nawaachia wengine,humu kimepigwa kinandaaa 🔥 🔥

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 9 месяцев назад +2

    Sasa huyu ndo Mzee Yussuf ninaemjuwa mimi kuhusu kupiga kinanda,humu ndo kakipiga kinanda kinavyotakiwa 🔥,kama vile ya WENZENU MIDOMONI,KWA HILO HUJANIKOMOWA,vimetaka kuingiliana,haya ndo tunayoyataka sisi,maana hivi vinanda ndo vinavyochapuza nyimbo,hongera sana,humu umetendea haki kinanda🙌,na naiona ile Jahazi ya miaka ya nyuma inazalika upya.

  • @mudathirykagawa1714
    @mudathirykagawa1714 10 месяцев назад +6

    So Hot #mfalme anakazi kubwaaa kuirudsha tenaaa Taarabu kwenye TOP inshaallah yawezkna

    • @ruckymohd
      @ruckymohd 10 месяцев назад

      Kidogo kidogo atafika2😊😊😊

    • @fatmaabdalla1641
      @fatmaabdalla1641 9 месяцев назад

      Toka mzee arud mjini huu cjui mwaka wa ngap mana kabla magu hajafa lkn ktk mikutano yote na marusharoho ya mitaani na maharusini maholini bc nyimbo zinazoombwa na kupigwa na watu wakadimka ni zile zile t aloziacha jahaz kabla hajaenda Kutalii Soudia Arabia kinachonatikwa mseme ukweli azidishe pahala flan au kitu flan aongeze ili kumbi zijae na ukingia ktk madaladala uckie nyimbo zake lkn ukibaki mzee na reila munaipiga mwingi mara nyimbo muzuli sana ata kusema hujui bc ata kuandika

  • @righitkileo
    @righitkileo 3 месяца назад +1

    ❤❤❤jmn❤❤❤❤hatari na nusu❤❤❤❤❤❤❤

  • @saidasalehe296
    @saidasalehe296 10 месяцев назад +3

    Leira ni mmoja tu kazinzuri sana dada

  • @wabantuorganization2035
    @wabantuorganization2035 10 месяцев назад +3

    Mzee upo juu sana umempigia sana malkia

  • @billylovebillybillylovebil580
    @billylovebillybillylovebil580 10 месяцев назад +3

    Hujawayi nia ngusha my 😘😘💃💃💃

  • @latifasaidi6256
    @latifasaidi6256 4 месяца назад +1

    mashallah

  • @zainaburamadhani1444
    @zainaburamadhani1444 5 месяцев назад +2

    watu na viatu weeeeh honey

  • @asyamohammed5091
    @asyamohammed5091 10 месяцев назад +2

    Hatariiiii sanaaaaa pambeee tarab naiyonaa ileeee kwa spid inarudiii kwaooo na kwao kwenyewee ndo hapaa sasa jahaz monrden taarab

  • @ThobiasSeverin
    @ThobiasSeverin 10 месяцев назад +2

    😂😂cc 2taixhi nao hatarii

  • @malikimlisho2306
    @malikimlisho2306 10 месяцев назад +3

    Mama yangu weeeh... Malkia na jahazi lake sasa... Nawaangalia tu..🙌🙌aiweehh

  • @harithmusamakoroma
    @harithmusamakoroma 10 месяцев назад +1

    Ulichorwa wap malkia Leyla
    Uniite ikitaka kuchorwa
    Kama ww ni malkia muimbaji na Mimi ni malkia mchoraji...

  • @HabibaHassan-t2u
    @HabibaHassan-t2u 5 месяцев назад +1

    Nakupenda sana mummy nikama hua waniimbia mimi shukran kwa ujumbe nawaangalia tu

  • @NuruMtambo
    @NuruMtambo 2 месяца назад +1

    ❤❤

  • @ReyOmar-ty9mn
    @ReyOmar-ty9mn 5 месяцев назад +1

    ❤❤

  • @ReyOmar-ty9mn
    @ReyOmar-ty9mn 5 месяцев назад +1

    ❤❤

  • @AllieJoumah
    @AllieJoumah 10 месяцев назад +3

    God sana mtuzi mzee miziki ndoinaazaaaaa

  • @saajuma3741
    @saajuma3741 8 месяцев назад +1

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 9 месяцев назад +2

    Beat imeshiba inavyotakiwa,solo guitar na Bass guitar vimepigwa vinavyotakiwa,vimetendewa haki humu,na ukija kwenye kinanda ndo hatariiiii 🔥 🙌

  • @RamadhanHamis-r8u
    @RamadhanHamis-r8u 9 месяцев назад +1

    Sasa umeludi rasmni mzee hapa ss hatali

  • @harithmusamakoroma
    @harithmusamakoroma 10 месяцев назад +1

    Malkia mchoraji napatikana Mombasa Kenya...

  • @mc_mrope
    @mc_mrope 10 месяцев назад +5

    Safi sana hili ndio jahazi kulishusha kaziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @StephenAmolo-j6m
    @StephenAmolo-j6m 9 месяцев назад +1

    malkia kwenye ubora wake ,pambe hatali 🔥

  • @mosesnyongole6240
    @mosesnyongole6240 9 месяцев назад +1

    Natamani kuisikia ya khadija

  • @sakinalewa8015
    @sakinalewa8015 10 месяцев назад +1

    Tuachie tu down load

  • @SaidManyemajr
    @SaidManyemajr 10 месяцев назад +2

    Such a good song kafupi halafu katamu hongereni sana❤

  • @werakambojwa2318
    @werakambojwa2318 9 месяцев назад +1

    Mzee naona sasa kazi ndo umeianza

  • @hidayahshabani3379
    @hidayahshabani3379 10 месяцев назад +2

    Nzuri ❤❤❤❤ila imepoa mno

  • @zainaburamadhani1444
    @zainaburamadhani1444 10 месяцев назад +1

    So hot my leila umetisha saaaana tunawawawawawalia pooooz

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 10 месяцев назад +2

    ♥♥♥♥♥♥♥♥

  • @FatumaMwanya
    @FatumaMwanya 9 месяцев назад +1

    Nyimbo mzuri sana auna baya biti mmaga

  • @BenadethaDan
    @BenadethaDan 8 месяцев назад +1

    Hatariiiiii❤❤

  • @AyshaMsangi-su3xw
    @AyshaMsangi-su3xw 10 месяцев назад +2

    Mashaallah

  • @pqolak8163
    @pqolak8163 10 месяцев назад +1

    woyoooooo😂😂❤❤wapi. ....malikia. mwenyeee. maamaleyla. wa ukweliii😂😂❤❤

  • @ZainabShango-ls3pz
    @ZainabShango-ls3pz 10 месяцев назад +1

    Hongera sana leyla nyimbo nzuri🔥

  • @ashakhama2550
    @ashakhama2550 10 месяцев назад +1

    Leo nimeiwahi nampenda sana malkia❤❤❤❤❤❤

  • @yusufumwasha548
    @yusufumwasha548 10 месяцев назад +1

    Nzuri

  • @keykariabu701
    @keykariabu701 10 месяцев назад +1

    +254 ...Leila Malkia wa ukweli. No.1

  • @lailahrama7161
    @lailahrama7161 10 месяцев назад +2

    🔥🔥🔥🔥

  • @helenarichard850
    @helenarichard850 10 месяцев назад +1

    Nakupenda Sana❤❤❤

  • @fathiyasaid4480
    @fathiyasaid4480 10 месяцев назад +1

    Mash allah mash allah mash allah nyimboooo 🔥🔥🔥🔥🔥 mzee na malkia mnanidai soda zenu baridi @mzee yusuf @leilarashid

  • @MunaQatar-k3h
    @MunaQatar-k3h 10 месяцев назад +1

    ❤❤❤ kweli

  • @mercywarda-pd1nx
    @mercywarda-pd1nx 10 месяцев назад +1

    Hii nibonge la nyimbo

  • @MariamMzeru
    @MariamMzeru 10 месяцев назад +1

    Sina kipingamixi nakuelewa san

  • @matanoabdallah6835
    @matanoabdallah6835 10 месяцев назад +1

    Nimependa hii🔥🔥

  • @fatmaomar5764
    @fatmaomar5764 10 месяцев назад +2

    👌💥💥💥

  • @catherinekabura9381
    @catherinekabura9381 10 месяцев назад +1

    Najijua mie watu wana roho yakutu kutu😂

  • @halush175
    @halush175 10 месяцев назад +1

    Asante kwa kazi nzuri pambeee tu

  • @subiramwayuwa9769
    @subiramwayuwa9769 10 месяцев назад +1

    Always on top madam Laila 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @KajembeNickdady
    @KajembeNickdady 9 месяцев назад +1

    Ok poa❤❤❤❤

  • @FauziaJumannehunda
    @FauziaJumannehunda 10 месяцев назад +1

    Huna baya tajiri ❤❤

  • @MariamRashid-kt9zt
    @MariamRashid-kt9zt 10 месяцев назад +1

    Hatari tupuuuuu🔥🔥🔥🔥🔥

  • @malikimlisho2306
    @malikimlisho2306 10 месяцев назад +1

    Hii taarab nairudia zaid ya mara 70 kwa siku🔥🔥ebana eeeh Malkia nyimbo n kali mfalme tupagawishe na kinanda sasa aweeeh... teleza baba🔥🔥🔥🙌

    • @ruckymohd
      @ruckymohd 10 месяцев назад

      Kaupiga mwing mnoo

    • @Zainab-u9q
      @Zainab-u9q 10 месяцев назад

      ​@@ruckymohd💥💥

  • @rehemahamis4638
    @rehemahamis4638 10 месяцев назад +1

    Maashallah nyimbo nzur

  • @zakeyaona1715
    @zakeyaona1715 5 месяцев назад +1

    Hapa ndipo sasa

  • @Kituiking01
    @Kituiking01 10 месяцев назад +1

    Kitu sharing mzeee❤❤

  • @mwajumahajji-bw5iv
    @mwajumahajji-bw5iv 10 месяцев назад +1

    Hutuangushi malkia

  • @mwajumahajji-bw5iv
    @mwajumahajji-bw5iv 10 месяцев назад +1

    Hongera malkia Leyla

  • @HawaYusuf-ik1ps
    @HawaYusuf-ik1ps 10 месяцев назад +1

    Tenaaaaaaaa🎉🎉🎉❤❤❤

  • @OmanOman-ru1kn
    @OmanOman-ru1kn 10 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤

  • @aishaminah1549
    @aishaminah1549 10 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤🎉🎉

  • @ashooeamohammedkhamis7742
    @ashooeamohammedkhamis7742 10 месяцев назад +2

    🔥🔥🙌

  • @BinHaju
    @BinHaju 10 месяцев назад +1

    🌹🌹🌹🌹

  • @bahatijumakingonyo2128
    @bahatijumakingonyo2128 10 месяцев назад +1

    💃💃💃

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel 10 месяцев назад +1

    Mfalme mzee yusuph... Unajitahidi sana unajaribu sana lakini wallahi bado na ww mwenyewe walijua hilo Bado. Shida ni nn? Creativity imeisha nn? Hebu jaribu nyimbo Moja ummpe mtu mwengine atie yeye shairi, mziki, afanye production yote yeye kisha uone itakuaje... Cud be kichwa chako kimechoka kidogo Cha hitaji mapumziko. Nyimbo zote ulizotoa baada ya kurudi mjini hakuna iliyocmama ikakita kama zile za nyuma kina Sina mda huo, vip, aso kasoro na nyenginezi. Za saivi zinakata zinakufa 😢 hazina ladha ile tunayoijua ya kwako. Au ndo radi ya Allah mwenzangu!!!! Ila Bado, unajitahidi lakini ladha hazina kuanzia shairi mziki Hadi uimbaji..Yani ukizikskia tu unajua Kuna kitu kimepungua hazijakaa sawa. Ni changamoto ibebe positively.

    • @malikimlisho2306
      @malikimlisho2306 10 месяцев назад +3

      Ww unatak kuhribu sasa... ivi kwann unataka kila kitu kiwe kam mwanzo.. Tulia usiwe n haraka Ndio kaanza ivoh.. Na hii taarab ndio nzur kama ujui sasa

    • @TaarabChannel
      @TaarabChannel 10 месяцев назад

      @@malikimlisho2306 shabiki wa kweli anakua mkweli... Wee utakua hujui mziki wajua burudani tu. Katoa album sijui mbili sijui tatu, nyimbo zote zimebuma. Ye mwenyewe anajua na anaelewa nnacho kiongea. Kiwango Cha ubora kimeshuka sana anajitahidi lakini haviwi. Mi nampenda ndio Nampa feedback... Hiyo nyimbo inahitaji kutengezwa haijakaa sawa na sio nzuri... Njia zengine Leyla haziwezi hasa hapo ikianza. Something is just not right na ni zote hata ya mcharuko

    • @HIDAYASAID-ue1df
      @HIDAYASAID-ue1df 8 месяцев назад

      🤔🤔

  • @fatmaabdalla1641
    @fatmaabdalla1641 10 месяцев назад +1

    Haiwezi kua nyimbo nzur katu na Wala huiwez kuifananisha na sina mda huo,sitaki shari,fanya yako,langu rohoni,ubinadamu kazi,kwahilo hujanikomoa , maneno ya mkosaji na nyengne nyenginezo

    • @TobyKipusa
      @TobyKipusa 8 месяцев назад +1

      Sasa unatak aimbe nyimbo ambazo keshaimbaa nyumaa heee bas kazi naakiimbaa Kam izo ulizotaja apo utasemaa Hana jipyaa anaimbaa nyimbo Kam zazaman Bina Adam Hamna jemaaa

  • @superiorbuy8756
    @superiorbuy8756 10 месяцев назад +2

    Yani kwa studio hii hata urecord nyimbo milioni zote zitakuwa mbaya hazina ubora kabisa yani

    • @hidayahshabani3379
      @hidayahshabani3379 10 месяцев назад

      Yeah imepoa sana

    • @mwajumahajji-bw5iv
      @mwajumahajji-bw5iv 10 месяцев назад

      Piga kaz heheyaa

    • @malikimlisho2306
      @malikimlisho2306 10 месяцев назад

      ​@@hidayahshabani3379yan nyie ndio hamjui taarab wallh

    • @haykaofficial7427
      @haykaofficial7427 10 месяцев назад +1

      Huwezi linganisha na za awamu ilopita mziki ulikua mbovu ila hii iko sawa

    • @malikimlisho2306
      @malikimlisho2306 10 месяцев назад

      ​@@haykaofficial7427 kabisaaa wacha tuburuduke na maneno ya malkia mwenyewe hatarii❤❤

  • @fatmaabdalla1641
    @fatmaabdalla1641 10 месяцев назад

    Mbaya sana

    • @asyamohammed5091
      @asyamohammed5091 9 месяцев назад +1

      Kaimbeee yako ilokuwa nzurii kijumbeeee 😂😂😂 ebuu achaa makasiriko mwanamkeee akaaa ebuu tuacheeee umetumwaaa eeeh