BURIANI JPM | Makonda amuaga Hayati Magufuli Mwanza

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025
  • Aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ni miongoni mwa watu waliojitokeza katika Uwanja wa CCM, Kirumba jijini Mwanza kutoa heshima za mwisho wa Hayati John Magufuli
    #BurianiMagufuli #RIPMagufuli #BurianiJPM
    Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Комментарии • 73

  • @godsfavour5665
    @godsfavour5665 3 года назад +6

    😭😭😭😭😭😭ungejua kidonda chenye umewachia wananchi but hatuna uwezo wa kukuamsha umemaliza mwendo lala salama na mungu ailaze roho yako pema

  • @vincentmusekiwa3910
    @vincentmusekiwa3910 2 года назад +1

    Magufuli lala salama, Tanzania salama. This man was a true son of the soil. I admired him, what a loss to Tanzania and the whole African continent. Mama Janet God loves you and He is able.

  • @frenziangella4751
    @frenziangella4751 3 года назад +3

    Yesu yupo ndio mtetezi wetu kigogo na nakundi lako mungu awateketeze

  • @jacklindickson3423
    @jacklindickson3423 3 года назад +5

    Wimbo mzuri sana huu na apumzike kwa aman

  • @bahatikimba3244
    @bahatikimba3244 3 года назад +3

    Mungu
    Akupokeye. Tulikupenda
    Mungu. Alikupeda
    Sana

  • @zabronnickison4709
    @zabronnickison4709 3 года назад +1

    Kwaheri magufuri ulale mahari pema peponi turi kupenda Ila mungu kakupenda zaidi daa inauma Ila hatuna jisi 😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @hellenwakiomwero3166
    @hellenwakiomwero3166 3 года назад +4

    Maswali mengine Mungu haulizwi anashukuriwa kusema kwa nini amekufa ni siku zimefika.

  • @amrially3384
    @amrially3384 3 года назад +6

    Poleni sana watanzania Wenzangu

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 3 года назад +8

    Uuu wimbo Wa msechu unaniliza mno😭😭

    • @saidmajenga9927
      @saidmajenga9927 3 года назад

      Magufuli ,pumzika vyema

    • @itikabukuku104
      @itikabukuku104 3 года назад

      Unaliza sana una hisia sana

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 3 года назад

      @@itikabukuku104 zote Kali lakin wa huyu mkaka ,Itika umeua kweli

  • @eunicekamolo7726
    @eunicekamolo7726 2 года назад

    Mwachilieni amemaliza mwendo salama amen

  • @roseliderokumu3057
    @roseliderokumu3057 3 года назад +1

    Pole sana wa Tz Tz

  • @mkemiamagege8477
    @mkemiamagege8477 3 года назад +2

    Harmonize ni mnafiki Sana. Alijua Magufuli hakuvaa Barakoa hata kabisa na alikuwa ni mfuasi wake. Leo amevaa Barakoa na hawala yake hajavaa na akiona wengine hawajavaa. Kwangu naona Ni mnafiku

  • @sakinahussein560
    @sakinahussein560 3 года назад +8

    Afanyaje sasa hana jinsi... RIP Mwamba wa Africa ..Sisi tulikupenda ila Mola amekupenda zaidi..😫😫😫😫

  • @mzeewamadodoso1816
    @mzeewamadodoso1816 3 года назад +1

    Eee Mungu wa Mbinguni Mkumbuke Makonda kwani ajitahidi sana kufuata nyayo za Mtumishi wako Dr. J.P.J. Magufuli.

    • @MikereMio
      @MikereMio 3 года назад +1

      Yaani Samia uchague mtu mkali na mbabe kidogo bila hiyo machewa wakamchezesha foliti. Maana wamefurahi wanasema wataanza kula tela sasa

  • @bigdavidkekiug4524
    @bigdavidkekiug4524 3 года назад

    Really need this song coz its so sweet

  • @amanshija6731
    @amanshija6731 3 года назад +1

    Tanzania all stars kumuaga magufuli

  • @typsonbirindwa2373
    @typsonbirindwa2373 3 года назад +1

    Woow 😍 #Kondeboy. Rest in Peace #JPMagufuli

  • @neemamfaume8730
    @neemamfaume8730 3 года назад +1

    Pumzika kwa amani magufuri

  • @nellydaniel7515
    @nellydaniel7515 3 года назад

    Magufuli lala salama,Nawatanzania pole kwa msiba

  • @petermlonganile4308
    @petermlonganile4308 3 года назад +7

    Kweli Raid Magufuli uliwapenda watanzania nawo walikupenda kiukweli, imedhihilika. Rest in peace our going to heaven President.

  • @andrewmashika3756
    @andrewmashika3756 3 года назад

    Bye bye my president,... looking forward to meeting you on that resurrection morning 🙏

  • @zainabumbondei8635
    @zainabumbondei8635 3 года назад

    Siwezi kujizuia kila nnapotazama mwenyezi MUNGU akuweke mahali pqnapo stahiki pumzika baba wote njia nimoja kutangulia tu ndio kunauma 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @alawiymtimkavu45
    @alawiymtimkavu45 3 года назад

    Kapumzike pema peponi Shujaa wetu 👋

  • @lilianodhiambo3694
    @lilianodhiambo3694 3 года назад

    Lala salama😭😭😭🙋🙋

  • @trustbridgecommunicationst5892
    @trustbridgecommunicationst5892 3 года назад +6

    We will always miss you our lovely dad

  • @bernardsamizi7289
    @bernardsamizi7289 3 года назад +2

    Nakuombea Mh Makonda uwe makamu wa rais .Una hofu ya MUNGU ulionyesha ukimsaidia rais aliyepita kutetea wanyonge wa Dar-salaam.

    • @kamanda007
      @kamanda007 3 года назад

      Please na akae mbali sana asipewe hata ukatibu huyo

    • @mariaalenge2106
      @mariaalenge2106 3 года назад

      @@kamanda007 kwanini asipewe unamanisha nini hizochuki zenu zisizo zamsingi domana mumemuondowa Raisi mapema watu weusi nishida unamchukia mtu bila sababu yoyote chuki hazifai jitaidi kuwa naamani nawatu wote nahuo ndiyo utakatifu ambapo akuna mtu atakaye mwona Mungu asipo kuwa nao fayaima sana kuwa naamani nawote

    • @godblessjrtz.8652
      @godblessjrtz.8652 3 года назад

      @@mariaalenge2106 jaman hizi ni nyadhifa za juu sana na nyeti sana, kwa makonda bado sana na wakifanya hivyo basi tambuen kutakuwa na madudu sana

    • @mariaalenge2106
      @mariaalenge2106 3 года назад

      @@godblessjrtz.8652 oh kumbe ulimanisha awezi weza hiyo nafasi?ok lakini dahudi aliweza naalikuwa mdogo mimi nazani uwongozi siyo kimu au uwingi wamyaka mbali nikuwa naakili pamoja nakipawa ambacho Mungu hukiachilia ndani mwa mtu atakama siuraisi anaweza ata kwanafasi nyingine unajuwa kuwa nimakonda alie tambua kuwa mama Samia S Asani anaweza kuwa makamu wa Raisi nimakonda alilitambua hilo naikawa hivyo nandani yabunge lile mulikwa wazee mulikuwa wasomi lakini hawaku liona hilo chamsingi nikuwa na upendo na umoja nakumtanguliza Mungu kwa mambo yote Asante nashukuru iyo nimaoni yangu tu lakini wakuchaguwa makamo wa Raisi ni Raisi mwenyewe.

    • @godblessjrtz.8652
      @godblessjrtz.8652 3 года назад

      @@mariaalenge2106 makonda hana kipaji nawaambieni yote yali aliyoyafanya ilikuwa ni kwa maelekezo ya raisi magufuli, pamoja ns raisi alikuwa ni mfuatiliaji lakin bado Makonda aliboronga mengi tu tena sana tu kiasi alitaka kutumbuliwa na raisi, cheo kinachomfaa ni ukuu wa mkoa na baadae atafute jimbo awe mbunge

  • @johnsonmungwana1079
    @johnsonmungwana1079 3 года назад +1

    Inauma rakini tujipe moyomkuu nduguzangu watanzaniya kwanisikuzote kizur huwaga hakidumu chakufanya kwasasa ndugu watanzaniya nikuliombeya taifaretu pamoja mamaetu ambae kwasasa ndiye raisi mama samiya mungu amor ujasiri namoyo akuchapa kazikweri kweri

  • @litimbaify
    @litimbaify 3 года назад

    "Mungu kwa nin Umeruhusu mwamba wetu aende" ikiwa unamuuliza Mungu swali hili unalo jibu la kwa nini alimleta? Wasanii mnafanya kazi kubwa saana za kutuelimisha ila jitahidin muwe munawahusisha viongozi wenu wa dini hasa kwenye nyimbo kama hiz
    Ili kuepuka kukufuru km huku

  • @charleszagi9129
    @charleszagi9129 3 года назад +1

    Mes condoléances aux peuples tanzaniens

  • @mercylusweti1270
    @mercylusweti1270 3 года назад

    The body guard 😪😪😪I can imagine his pain poleni Africa

  • @rukiakassimu1621
    @rukiakassimu1621 3 года назад

    Daaa camin bb jembe

    • @Africa-n1u
      @Africa-n1u 3 года назад

      Samahani naweza kuuliza swali muhim? Nakuomba unijibu?

  • @mayajuma4872
    @mayajuma4872 3 года назад

    Kwakwel inauma sana,punzika kwa amani baba yetuu

  • @nellydaniel7515
    @nellydaniel7515 3 года назад +1

    Makonda awe makamu wa Rais uwezo hanao tena sana.

  • @omran0015
    @omran0015 3 года назад

    Sio makonda huyo mungu wa daresalam

  • @jacques_polite
    @jacques_polite 3 года назад +1

    😭😭😭😭😭😭

  • @jeanmbuyi5047
    @jeanmbuyi5047 2 года назад

    Master

  • @sikujuaangulile8406
    @sikujuaangulile8406 3 года назад +1

    Mungu amlaze pema peponi

  • @anndaniel4055
    @anndaniel4055 3 года назад +1

    😢😢

  • @richardburiani2734
    @richardburiani2734 3 года назад

    R. I .P BABA

  • @anndaniel4055
    @anndaniel4055 3 года назад +1

    RIP Magufuli

  • @gracemukeli6671
    @gracemukeli6671 3 года назад +1

    RIP mangufuli

  • @saudamattar793
    @saudamattar793 3 года назад

    Kila nikimuona baba magu moyo unaniuma hayaniishi machozikunidondoka Kapumzike baba MWENYEKITI wetu wa Ccm taifa kamwe hatutokatisha machozikunidondoka umemuachia tabasam lako milele

  • @grasmuszimlinda2748
    @grasmuszimlinda2748 3 года назад

    Nenda salama baba

    • @Africa-n1u
      @Africa-n1u 3 года назад

      Samahani unamfaham mwalim bunango wa shule ya nyamanoro c mwanza tanzania kilmahewa ana fundisha hisabati na sayans yeye simlefu niwakatikati????? Naomba unijibu 🤲🤲🤲

  • @NasonKidugo
    @NasonKidugo 6 месяцев назад

    Shujaa,wetu

  • @frankchilikumtima5025
    @frankchilikumtima5025 Месяц назад

    Maumivu yasiyo kikoma acha tulie chizo la upendo

  • @kimolankenyenge7158
    @kimolankenyenge7158 3 года назад +2

    Pumzka kwa aman mpendwa wetu Rip

  • @kelvinaudax8287
    @kelvinaudax8287 3 года назад

    Hapo mwanza Dodoma?

  • @carolinewilhelimmoshi5841
    @carolinewilhelimmoshi5841 3 года назад

    Hakili

  • @zainabumbondei8635
    @zainabumbondei8635 3 года назад

    Kila linapptajwa hilo jina moyo wangu unararuka WALLAH MUNGU tupe subra

  • @karufandothkarufandoth9998
    @karufandothkarufandoth9998 2 года назад

    Lalasalama

  • @happynelson5856
    @happynelson5856 3 года назад

    Du nimemuona kajala yani rangi yake live ni tofauti na picha za insta yaani hapo live anaonekana mweusi ukifananisha na picha zake kule insta anaonekana cheupe pee kajala kwa nini usijikubali rangi yako halisi mpaka unafeki kuwa wewe ni cheupe dawa huoni aibu watu wakikuona live

    • @conceptahtsuma7900
      @conceptahtsuma7900 3 года назад

      Ww sisi tunaomboleza jembe letu ww ss yako ni kukosoa watu are you God Shindwe

    • @happynelson5856
      @happynelson5856 3 года назад

      @@conceptahtsuma7900 hata baba yetu Magufuli alitaka tujikubali na pia tuupende utamaduni wetu na tuipende nchi yetu sio kuiga kufanana na wakoloni wetu

  • @eunicemwangi4646
    @eunicemwangi4646 3 года назад

    Rip pombe

  • @vijayvivojimmy3538
    @vijayvivojimmy3538 2 года назад

    Makutupora

  • @amossylasy209
    @amossylasy209 2 года назад

    A

  • @sawayalekoinato4623
    @sawayalekoinato4623 2 года назад

    😭😭😭😭😭

  • @simonmwasonywamwamengo5303
    @simonmwasonywamwamengo5303 Год назад

    A