SENSA KWA DIAMOND - USWEGE MURDERER
HTML-код
- Опубликовано: 28 авг 2022
- Uswege aigiza kama karani wa sensa, aingia nyumbani kwa Diamond kuwahesabu.. kaya ina watu wengi sana, Lavalava mlemavu, mbosso anaelekea kuzeeka.
Follow Uswege on
Instagram; invitescont...
Twitter; UswegeMurderer?s=09
#Uswegemurderer #DiamondPlatnumz #Sensa #MusicalComedy #TanzanianComedy #MusicalComedy #Uswege #KalizaUswege Приколы
Kama unakubali kuwa huyu mwamba ni genius,gonga like twende sawa.
Alikiba
😮
@@kingwashahuna akili wee Alikiba anahusiana nini na Uswege🥱
Po
Nice
Sensa kwa chibu 1M views 🎉
inaonekana wewe ni mshabiki mkubwa wa Bongo Flavor jamaa inabidi na wao wakupe support sana 😀
upo sahihi
Kwenye nyimbo ya Zuchu hujamuona? Mwambieni
@@officialkamdudu mwambieni
Uyu jama ipo Siku atasazika🤣🤣🤣🤣🤣 mbavu zangu miyeeeeeee
Uswege ni International fulani ivi kama mnamkubali basi gonga like twende kaz
Download
I like
Akili mingi sana inahitajika kufanya hii,,,Wakikuiga niitwe mbwa nimekaa pale😄
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
Kiekiekie ume nifurahisha san kweli
Ilo neno sana izo hakili ziyo za sahari iyi brosk
Nimecheka wallah😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 halafu na hilo kofi mwishoni jmn🤣🙌🏽 didn't see it coming
😀🤣🤣🤣🤣Mond mfugaji wa chawa na mbuzi wa kutaga 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😁😁😁😁😁😁😁mimi sihami kwako kaka kila mtu nakipji chake ila we unauwasana moyoooo wangu kwatuuuu💥💃💃💃
Daaaah umeua sana mjinga sana ww 🤣🤣🤣
unachofanya n unique n ngum mwingne kufanya keep it up broda👍👏👏👏👏
Akiachana na kufuga machawa😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥
Hakika ww mussa ni Talented Boy
Kwenye hii Kaya bkuna mlemavu mwingine ama ni Lavalava pekee 😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥
😅😅 bora angetajwa na Rokole
Hiii imepita kwa asilimia zote😂😂😂😂
Bro nakubali sana 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Aiseee una kipaji we Kaka! Unastahili tuzo kabisa ya ubunifu
Uhakika brother nakukubali
Nakuamini muzehe. From 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🔥🔥🇹🇿
Uswege. Ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
U guy are crazy 🤣🤣🤣 eti watu kama 20🤣😂😂🤣
Huyu jamaa anajua aise, keep it up
Namkubali San huyu mwamba❤️❤️
🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩umetishaaaa broooo
We jamaa ni noma sana
Uko vizuri.. Utupe sensa ya dudu baya
Unapenda sana kufuga mbuzi mondi 😃😃😃😃
Wow ,,this is so funny
Mzee umetisha Sana salute
Creative sana big up broo
Hatari sana kaka
Uswege Murderer, such a talented comedian! Creativity at its prime !
For sure
muhisabu huyo
😅😅
Hongera kaka yangu
Kwa ajili ya Sensa 😂😂😂
Nimevumilia nisicheke lakini apa kwenye mbuzi wa kutaga nimecheka 🤣🤣🤣
😅😅😅 umechek kwa Sauti kubwa had mm nimesikia
Daah mzee unaweza
Big up unabukua Sana na kupangilia
Umetisha
😂😂😂😂😂😂😂😂 hujamaliza na call me murderer! Anyway love from 🇧🇮🇲🇿
Kazi nzuri. Content imeshiba.
Kazi safi natazama nikiwa kenya
Unajua Kaka🙏🙏🙏
Much love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
More than creativity bravo Bro USWEGE
Bigup broo ...🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mpaka ma ex duuuh mi nmesurrender🙌🙌🤣🤣
Uswegeeeeee😂😂😂😂
kaka kwa hatua uliyofikia hakika ndoto zako zimetimia goood work
Baba hii comedy industry abidi umefanywa Rais.... you killed it... haya uber hiyo mwisho wake uwe ni kwa Jux
Ni mbunifu sana 🤣
Oooh hatimae aiseee😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥 Simba 🦁
I call every day king usweger brutal killer visions ♥️💪🙏🇹🇿🇹🇿
This guy is so talented
Nimecheka jamani zaidi hapa mwisho
Nimecheka sana apo kielimu mimi mjinga😂😂 you're so creative brow
Unajua baba😂😂👏👏
Mlemavu lavalava🤣🤣🤣
Full support from Kenya 🇰🇪,unaweza kaka
king of comedy in 🇹🇿🇹🇿😄🤣🤣
😂😂🔥
Of course
Hongera kaka. Ubunifu mkubwa
😂😂😂😂😂yani unaweza sana
Sina pingamizi na ww bro unatisha sana😂🤭
Creativity at it's best.
Hio slap imekubali 😂😂😂😂😂😂
Long time. I had missed this...watching from kenya
No one like you in Tanzania bro, like from DRC 🇨🇩
you nailed it bro👏 more love from Kenya 🇰🇪🇰🇪 07:55 io kofi umepea Diamond ndo imenimaliza sana🤣🤣🤣
Jmn hicho kibao htr uwiii kaz nzur
Nakubali 👍👍
E bwana noma san
You're always fire 🔥🔥🔥😂😂
Kaz nzr
Mlemavu mmoja😂😂😂😂😂😂
Mashallah👌👌uko vizuri sana💪💪💪 unafurahisha sana 🔥🔥🔥💯♥️♥️♥️
Big up brother 😂😂😂😂🔥🔥
Noma sana kaka umenivunja mbavu 😂😂😂
Broo hujawahi niangusha big up sana great 👍 talent 👏
Talented boy nakukubali sana
You are talented bro
Mmmmmmmh we mkaka unajua umejaliwa sana big up🎉🎉🎉
Hataalii sanaaa kweliii hakunaaa wa kukupingaaa
Wow I really love it keep it up bro❤️🥰
Buswege🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mbavu zangu mimi utazivunja
Nafagilia kazi zako kaka
Mboso anakwambia hesabu za kukokotoa umenifunza wewe 😁😁😁
Wajina Unanikosha sana
Your are the best ,, congratulations my brother
Bro uko na Talent.....more Love ❤ from Kenya 🇰🇪
Daaah bro nimecheka mpaka kwanguka uvyosema 6😂😂😂😂🤦🏽♂️
Mbuzi wa kutagaa😂😂
Hapo kwenye mbuzi wa kutaga😂😂😂😂
Jamaa noma
Mashaallah 👏👏♥️
Asante uswege inafurahisha sana nacheka sana
Daah
Hatar sana
Mbona ujamaliza sensa nenda kwa nandi bas
Umetisha sana uswege🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂🔥
😂😂🔥
Good Platnumz 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
😂😂😂😂 jamn unajua unajua Tena unajua ten
Na hiyo Koffi umewekelea Mondy imenifanya niCommenty tena.....
Thanks 😊 for entertaining me....
😂😂😂 tu es très fort mon frère tu mérite le trofe, unastahili tuzo 🤴🤴🤴
Vraiment c'est incroyable 🇨🇩
mwamba ananifurahishaga