Great amazing job,wabeja sana,unatuwakilisha wasukuma.keep teaching the world about marriage and life and God continue expand your territories in Jesus’s name.safi gete .much love all the from London-UK,proud to be a sukuma.
Nakumbuka tuliwahi kusota siku Moja Nyaumata na nyimbo yenu ile ya Frola na mimi nikiwa na single ya Ligembe neshule dah! shoo haikua na hela tukaambulia zero, ila hongera mwanangu kwa kuendelea kukaza hatimaye leo k2 kimeeleweka.
Hongela❤sana
I salute you baba from Kenya nchi jirani, Ngoma yako ya nzuki tunaipeda sana na watoto wangu hata ka hatuelewi lugha, inaslap sana
bloo uko vizuri mungu akpe life malefu
Nakukubari Sana kisima by maneno mwadegu Toto ra kinyiha kutoka mbozi mkoa mpya was songwe pamoja sana jamaa rangu
Nakukumbali sana mwanang mimi nipo DaR nakini ngomazako naziftiliya san kaka kaza san😂
Wewe no msanii wa kataifa achana na hao wanaohangaika na ubaji usio na mashairi ya kueleweka honger sana
Hko poa sna njmaa jpe Myo swa ❤❤❤❤❤❤hongera sna ndguuuuu
Song 🔥 napenda sana nyimbo zako ❤❤
Kisima wew ni nomaa ,kwa ngoma za kisukuma unatsha,pamoja na kaka yetu budgala mwna malonja kule serengeti ni rik roos
Nakukubar sana kaka
Tabora hapa, chapa kazi jamaa wenye wivu haooooo
Well done brother
Uko pouwa San 🎉😅😅
kama na wewe ndio mara kwanza kumsikia huyu msanii wa nyumbani ukiwa nnje ya nchi na mkoa gonga like
Safi Sana mko vizuri
Vizur sana Toka buhongwa mama Abi mke wa jangalilage@@zakariachense8717
Kazi iendelee ulimba jisumba gete natapenda kusikiliza nyimbo zako nafalijika nikiwa oman
Uko sawa kisima hata huku Kenya tunakupata vizuri obheja saaana
Kazi zur Sana Kaka nakuamini piga kazi broo
Nakukubali sana kisima
Upo vizur kijana kila kheri kwako wa jamii yetu
brother piga kazi wataona vumbi tyuu mtc tz
Nakubak
King of New generation 🔥
Kazi nzur🤝🤝🤝
Sipitwi na ujumbe wako mt c. mashamba wa mashamba from kaliwa tabola
Kazi nzuri sana kijana
Nakubali sana kaka piga Kazi
Daaa umefunika mze baba
Kaka unafanya vizur sana nakukubari sana pande za mwakitoryo
Kazi inaendelea.
Niko macho muda wote kufuatilia nyimbo zako zote.
Unanikoshaga sana kisima
Niite j the dj music pande za ngudu kwimba mwanzo mwisho kazi juu ya kazi tumeshaipata hyo
👑👑👑👑👑 hakuna hakuna mwingine hakuna huu mwaka nakupenda sana kiongizi pamoja na dongo chura mwambie tunataka video karbu sana MAJI MOTO 🙏🙏🙏
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nakubali
mwabeja sana mudogowane
Kazi nzuri brother nimeenjoy tuko vizuri wasukuma jamani
Nakubali hiyo shoo
King wa nyimbo zenye ujumbe wataendelea kufata nyayo
Asante
Oya mwanangu unajitaidi sana keep it up brother ongeza ubunifu usiige sana waliopita mziki wako uko tofauti ndo maana watu wanauzimia
Kama umekubali nyimbo hii gonga like hapo twende sawa
Milemo ya wiza sana natogwaaaaaa😂😂😂😂😂 yan oo neeema
Songa mbele kisima wetu mpaka mungu aseme mwenyewe kwanba Rudi nyuma Kama bado kusema chapa kazi
Woooooooow.....
Super kisima...
Imefundisha San hii...
Naiskia kutolea Zambia
Kazi nzur MTC Mungu akuongoze kwa ujumbe mzuri
I love the video, despite having not understanding the language,, from zambia
Mziki mzuri ujumbe sana saf sana kijana keep it up
nimekuku bali broo
Nyimbo za kisukuma ni nzuri
Hao wadada wananikosha
Pamoja kaka me piah Niko njian nahtaji sapot
Uko vizuri sana unafundisha jamii
Santé sana Ndugu zetu... Wana mziki...Gnororo..Y.
Kwann jina la dada angu neema aa mama bry neema ppte ulipo chukua hiyo
Upo Safi sana brother kwa nyinbo
Noma sana msanii mwenzangu
Nakukubali Sana brother kwa nyimbo zako au kwa kazi zako
You guys are one of the best in Africa this is AL-hassan from Sierra Leone
Nooma sana hao watoto Ni wasukuma kweli?
Hongera father mapyamapya du
Broo toa remix ya iyo nyimbo kwa kiswahil ni bonge moja la ngoma
ongel sana kwa nyimbo nzuri naikubar san
Nice
I love your songs ,great sounds son of the soil
Sijawahi kupenda nyimbo ya asili yeyote kwa hii umenifanya nianze kufuatilia uko vzri kija
Ogeza bidii kaka angu nimeenjoy san
Nyimbo nzuri sana. Hongera sana kwa nyimbo ya #kisukuma kabila langu.
ebwana ngoma imeweza Sana unauhusiano wowote na.hbaba a.kaa,sunami nijibu
OBADALAHAA PWEE BAYANDA BA MZENGOOOO.ujumbe mzuri
KAZI KAZI jiran
Umesomeka vizuri Nyanda M
Nakupata kutoka Kenya na inapendeza.tudfasirie kwa kizungu angalau tukicheza tuelewe ina maana gani.nabambika tu aise.
💕
Hongera .....kisima kazi nzuri😎
Wasukuma tuko juuuuuu❤️❤️❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥
❤️❤️❤️❤️
nyimbo kali jamani
kisima nakupenda sana baba ipo nitakuona
Kaza boti my brother 🔥🔥🔥🔥
Nice vidéo, vert clear. As an from DrCongo, I do not understand the words but In love the music and the dancers in all your videos.
Nifurahi Sana huu wimbo maana kuna wadada waziguaji sana
BJ... Bels Rythmes depuis fort lgtemps...Youssoufa amateurs en Combi -. Couple...shows..
I like your songs even though sielewi kisukuma but am in love with your music
Ujumbe mzuri sana kaka tuzo inakuhusu wasukuma oyeeeeeee!
Great amazing job,wabeja sana,unatuwakilisha wasukuma.keep teaching the world about marriage and life and God continue expand your territories in Jesus’s name.safi gete .much love all the from London-UK,proud to be a sukuma.
Nakumbuka tuliwahi kusota siku Moja Nyaumata na nyimbo yenu ile ya Frola na mimi nikiwa na single ya Ligembe neshule dah! shoo haikua na hela tukaambulia zero, ila hongera mwanangu kwa kuendelea kukaza hatimaye leo k2 kimeeleweka.
Safi sana wamwise hapo kazi tu.
I love the track although I don't understand the language
Kwanini neema😢😢
We ni hatari kisima
Ongera brother kwa nyimbo nzuri
Ujumbe mzuri sana. Kwenye kiitikio ndio umevunja ni nomaaa
EXCELLENT MUSIC AND PERFECT DANCE
Wimbo mzuri, sauti nzuri, ujumbe mzuri ila kwenye korasi wameharibu
Nakubal San
Nakuamimi kijana pambana gude hakuwez
Hongera Miami unajitahidi
I think I'll do a mix of your songs because mm ni upcoming deejay
Amazing, i love your muzik bro
Asante umeweza kuwavisha wadada hao na uchezaji wao hapo kazi kazi ila wa kaka umewaangusha mavazi
Narezunya nyanda kalibhu dalesalam
hiii kisima unatisha saana
Bwana mdog hpo nakkumbalia Nazi iedelee
Excellent thanks
Toka lulembela mashabiki zako wanataka kwa mwaka uwe unakuja Mara 4 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Asante
Nakbari Sana bwana Kaka tubebe wasukuma
Hakika tunafarijika sana sisi wasukuma tulio uhamishoni big up sana kiongozi 🙏
Good songs.keep it up