Nakumbuka tuliwahi kusota siku Moja Nyaumata na nyimbo yenu ile ya Frola na mimi nikiwa na single ya Ligembe neshule dah! shoo haikua na hela tukaambulia zero, ila hongera mwanangu kwa kuendelea kukaza hatimaye leo k2 kimeeleweka.
Hii ndio tofauti yako na wasanii wengine wa nyimbo za asiri story inaendana na video na pia upovzuli Katika utunzi 2nakkubali saana pambana kisima nyanda majabala
Great amazing job,wabeja sana,unatuwakilisha wasukuma.keep teaching the world about marriage and life and God continue expand your territories in Jesus’s name.safi gete .much love all the from London-UK,proud to be a sukuma.
kuna wimbo uliimba sikumbuki umeimba na nani ila kuna baadh ya maneno unataja kwenye chorass unasema mpaka ubhukwe masamva huna ulya uwali nulu ubhukwe majin huna wenhrnelwa chai
I salute you baba from Kenya nchi jirani, Ngoma yako ya nzuki tunaipeda sana na watoto wangu hata ka hatuelewi lugha, inaslap sana
Song 🔥 napenda sana nyimbo zako ❤❤
Milemo ya wiza sana natogwaaaaaa😂😂😂😂😂 yan oo neeema
Hko poa sna njmaa jpe Myo swa ❤❤❤❤❤❤hongera sna ndguuuuu
Nakukubari Sana kisima by maneno mwadegu Toto ra kinyiha kutoka mbozi mkoa mpya was songwe pamoja sana jamaa rangu
Nakubali sana kaka piga Kazi
Nakukumbali sana mwanang mimi nipo DaR nakini ngomazako naziftiliya san kaka kaza san😂
Kisima wew ni nomaa ,kwa ngoma za kisukuma unatsha,pamoja na kaka yetu budgala mwna malonja kule serengeti ni rik roos
Kazi iendelee ulimba jisumba gete natapenda kusikiliza nyimbo zako nafalijika nikiwa oman
Tabora hapa, chapa kazi jamaa wenye wivu haooooo
King of New generation 🔥
Kazi zur Sana Kaka nakuamini piga kazi broo
KAZI KAZI jiran
Nakubali hiyo shoo
Kazi nzur🤝🤝🤝
Uko sawa kisima hata huku Kenya tunakupata vizuri obheja saaana
EU AMO A TANZAIA
Kwanini neema😢😢
BS. Kisima en supers shows. y.
Perfect and excellent dance
Kazi nzuri sana kijana
Kazi inaendelea.
Niko macho muda wote kufuatilia nyimbo zako zote.
Sijawahi kupenda nyimbo ya asili yeyote kwa hii umenifanya nianze kufuatilia uko vzri kija
Hongela❤sana
Kazi nzur MTC Mungu akuongoze kwa ujumbe mzuri
Mziki mzuri ujumbe sana saf sana kijana keep it up
King wa nyimbo zenye ujumbe wataendelea kufata nyayo
Asante
I love the video, despite having not understanding the language,, from zambia
Uko pouwa San 🎉😅😅
Upo vizur kijana kila kheri kwako wa jamii yetu
Unanikoshaga sana kisima
Sipitwi na ujumbe wako mt c. mashamba wa mashamba from kaliwa tabola
ebwana ngoma imeweza Sana unauhusiano wowote na.hbaba a.kaa,sunami nijibu
Kazi nzuri brother nimeenjoy tuko vizuri wasukuma jamani
Oya mwanangu unajitaidi sana keep it up brother ongeza ubunifu usiige sana waliopita mziki wako uko tofauti ndo maana watu wanauzimia
👑👑👑👑👑 hakuna hakuna mwingine hakuna huu mwaka nakupenda sana kiongizi pamoja na dongo chura mwambie tunataka video karbu sana MAJI MOTO 🙏🙏🙏
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nakubali
Niite j the dj music pande za ngudu kwimba mwanzo mwisho kazi juu ya kazi tumeshaipata hyo
Santé sana Ndugu zetu... Wana mziki...Gnororo..Y.
Daaa umefunika mze baba
Songa mbele kisima wetu mpaka mungu aseme mwenyewe kwanba Rudi nyuma Kama bado kusema chapa kazi
Nyimbo nzuri sana. Hongera sana kwa nyimbo ya #kisukuma kabila langu.
brother piga kazi wataona vumbi tyuu mtc tz
I love the track although I don't understand the language
mwabeja sana mudogowane
Woooooooow.....
Super kisima...
Imefundisha San hii...
Naiskia kutolea Zambia
Nakukubali Sana brother kwa nyimbo zako au kwa kazi zako
Hongera .....kisima kazi nzuri😎
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
You guys are one of the best in Africa this is AL-hassan from Sierra Leone
Wasukuma tuko juuuuuu❤️❤️❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥
❤️❤️❤️❤️
Noma sana msanii mwenzangu
kama na wewe ndio mara kwanza kumsikia huyu msanii wa nyumbani ukiwa nnje ya nchi na mkoa gonga like
Safi Sana mko vizuri
Vizur sana Toka buhongwa mama Abi mke wa jangalilage@@zakariachense8717
Uko vizuri sana unafundisha jamii
I like your songs even though sielewi kisukuma but am in love with your music
Broo toa remix ya iyo nyimbo kwa kiswahil ni bonge moja la ngoma
🎉🎉🎉🎉
I love your songs ,great sounds son of the soil
Nakumbuka tuliwahi kusota siku Moja Nyaumata na nyimbo yenu ile ya Frola na mimi nikiwa na single ya Ligembe neshule dah! shoo haikua na hela tukaambulia zero, ila hongera mwanangu kwa kuendelea kukaza hatimaye leo k2 kimeeleweka.
Safi sana wamwise hapo kazi tu.
Ogeza bidii kaka angu nimeenjoy san
nyimbo kali jamani
Kwann jina la dada angu neema aa mama bry neema ppte ulipo chukua hiyo
Hapa nawapongeza, kilichobaki kuwatakia heli. Kwani huu niufauru kuitangaza kabila ya (KISUKUMA)
Kaka unafanya vizur sana nakukubari sana pande za mwakitoryo
kisima nakupenda sana baba ipo nitakuona
Kama umekubali nyimbo hii gonga like hapo twende sawa
Nifurahi Sana huu wimbo maana kuna wadada waziguaji sana
nimekuku bali broo
Ujumbe mzuri sana kaka tuzo inakuhusu wasukuma oyeeeeeee!
The language sounds better
Nakupata kutoka Kenya na inapendeza.tudfasirie kwa kizungu angalau tukicheza tuelewe ina maana gani.nabambika tu aise.
💕
Upo Safi sana brother kwa nyinbo
Amazing, i love your muzik bro
Ujumbe mzuri sana. Kwenye kiitikio ndio umevunja ni nomaaa
I think I'll do a mix of your songs because mm ni upcoming deejay
EXCELLENT MUSIC AND PERFECT DANCE
Kaza boti my brother 🔥🔥🔥🔥
Hongera father mapyamapya du
Ngoma hatar ticha wataisoma mwaka huu
OBADALAHAA PWEE BAYANDA BA MZENGOOOO.ujumbe mzuri
Nyimbo za kisukuma ni nzuri
Asante umeweza kuwavisha wadada hao na uchezaji wao hapo kazi kazi ila wa kaka umewaangusha mavazi
BJ... Bels Rythmes depuis fort lgtemps...Youssoufa amateurs en Combi -. Couple...shows..
Ongera brother kwa nyimbo nzuri
Nice vidéo, vert clear. As an from DrCongo, I do not understand the words but In love the music and the dancers in all your videos.
Nimeipend hy
Pamoja kaka me piah Niko njian nahtaji sapot
Nakubak
Tupo pamoja
Hii ndio tofauti yako na wasanii wengine wa nyimbo za asiri story inaendana na video na pia upovzuli Katika utunzi 2nakkubali saana pambana kisima nyanda majabala
ongel sana kwa nyimbo nzuri naikubar san
Nice
Mvi
Great amazing job,wabeja sana,unatuwakilisha wasukuma.keep teaching the world about marriage and life and God continue expand your territories in Jesus’s name.safi gete .much love all the from London-UK,proud to be a sukuma.
Nooma sana hao watoto Ni wasukuma kweli?
S2
Kudima unauwezo bnafs
Toka lulembela mashabiki zako wanataka kwa mwaka uwe unakuja Mara 4 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Asante
Nakbari Sana bwana Kaka tubebe wasukuma
Quelles belles supers shows... Y.
Nzur
Hao wadada wananikosha
kuna wimbo uliimba sikumbuki umeimba na nani ila kuna baadh ya maneno unataja kwenye chorass unasema mpaka ubhukwe masamva huna ulya uwali nulu ubhukwe majin huna wenhrnelwa chai