Miaka mitatu ya serikali ya awamu ya sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Mafanikio ya miaka mitatu ya serikali ya awamu ya sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye maeneo mbali mbali katika Mamlaka ya viwanja vya ndege Tanzania.

Комментарии • 22

  • @bakermusa9033
    @bakermusa9033 5 месяцев назад

    Yaani kwa dakika zako 9 umemtaja Rais 21 times . This how our offices are full of Bumundas

  • @saidimwanyiro5147
    @saidimwanyiro5147 6 месяцев назад +1

    Hongera mama mitano tena

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 6 месяцев назад +1

    Kwa nini mnawaadhibu watu wa Mwanza? Runway ndefu lakini hakuna passenger apron ya kimataifa wakati ni uwanja wa muhimu sana katika kanda ya ziwa ukiunganisha nchi zote zilizoko kwenye kanda hii! Only three hours away tayari uko Serengeti, this is so sad!

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 6 месяцев назад

    Kazi iendelee

  • @laheonlinetv2161
    @laheonlinetv2161 6 месяцев назад +1

    Kwa Uwanja wa ndege Mwanza mmechelewa mno,mbona tuone tumedanganywa muda mrefu bw Mbura, uwanja huu unazidiwa na viwanja vingi vidogo kwa sasa. This is a strategic airport.

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 6 месяцев назад +1

      I totally agree with you. one of the busiest airport after JKNIA and KIA, Mwanza is the third busiest airport with a lot of passengers. Ama ndiyo kulipa visasi kwa watu wa ziwa Victoria! Uchaguzi unakaribia shauri yenu!

    • @yusuphwaitara8340
      @yusuphwaitara8340 6 месяцев назад

      Mwanza Airport paapsanger terminal architecture alidesign vibaya sana wanabidii wabomoe warekebishe

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 6 месяцев назад +1

    Mbona mnajitoa akili kiwanja cha kigoma ni muhimu Sanaa kuna utalii na biashara nk ila mnaanaglia tofauti kama vile hamna taaluma

  • @abdullahmanalex2306
    @abdullahmanalex2306 6 месяцев назад +1

    Aisee mnajitahdi sana kumpamba

    • @NDEWARA
      @NDEWARA 6 месяцев назад

      Ndiyo ukweli wenyewe. Yasiposemwa wananchi tunalishwa pumba za uongo

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 6 месяцев назад

      Nikweli wanajitahid ila serikalin kuna vilaza wengi wanatumaliza huduma zao siyo nzuri wamekuwa mabwana siyo watumishi wanalazimisha rushwa kwa kuchelewesha huduma kwa wananchi

  • @justinmwamloso7559
    @justinmwamloso7559 6 месяцев назад

    Hebu tuwe wawazi ndani ya miaka mitatu hizo ndege zimenunuliwa kwani ziliagizwa lini?????

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq 6 месяцев назад

    Wanepanda ndege hogera zao sisi hata baskeli hatujui kuendasha wananch wa nalia tu na maisha magumu

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 6 месяцев назад

    Mbona mazuri tu? Vipi viwango vya njaa, vimepanda au vimepungua? Of course, mabilionea wameongezeka.

  • @wallacembago4038
    @wallacembago4038 2 месяца назад

    Katika majiji yote ni jiji la Tanga tu ambalo uwanja wake haumo kabisa katika mipango yenu, why?

    • @tanzaniairports
      @tanzaniairports  2 месяца назад

      Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Dkt Samia Suluhu Hassan haijaacha nyuma jiji la Tanga, kuna maboresho yanafanyika katika kiwanja cha ndege Tanga, Tafadhali tembelea kiwanja cha ndege Tanga ujinee maboreshi yanayofanyika na kujifunza mengi.

  • @Oboss_billharvester
    @Oboss_billharvester 6 месяцев назад

    Aisee sijawahi kuona uongozi mbovu kama huu wa samamia ,amekopa matrilion ya pesa ila sijaona mradi hata mmoja alioweza kuuanza kuendeleza, ila mwenda zake hakukukopa ila nchi ilijengwa kwa kasi isio ya kawaida mjomba amka uone mama anavyoidhalilisha taifa😢

  • @bizzy_boy_official
    @bizzy_boy_official 6 месяцев назад

    Vipi kuhusu uwanja wa kia