Wakati mnaimba bila Shaka mliona ni wimbo wa kawaida Sana. Lakini hamwezi kujua kwamba wimbo ni mzuri Sana na watu wengi Sana tunauimba wenu. Mimi ni sister wa COLU Kama Masister tunaupenda Sana, na pia Mimi ni Mwalimu wa shule ya St. Catherine secondary school Lushoto wanafunzi wangu wanaupenda Sana! Kilimahewa karibuni Sana Lushoto.
Tatizo langu ni improvisation katika kuanzisha wimbo kwa kinanda. Baadhi ya vijana wa zama hizi ni wabunifu kupitiliza! Bahati mbaya ukweli umetafsiliwa ni mtu kujifanya mjuaji lakini ukweli hauna mbadala. Upande wa kwaya ninawapongeza kwa kuuenzi Muziki Mtakatifu Katoliki Tanzania.
This song has been my favorite song,I feel blessed to listen the song and I'm not getting tired,we give all the glory to our almighty God,being a Catholic is the blessings.we have received all the assigned blessings from above. Amen
I can't stop listening and watching this song over and over again.. 😋 Soo sentimental Feeling in communion with the heavens.. May Christ Jesus bless you
Yes, organist hajafnya kitu kbx kwny huu wimbo, maan huu wimbo n mzur sana lkn mm naona hawajautendea haki, wakasikilize kwny misa ya miaka 25 ya Askofu Niwemugizi jinsi ulivyoimbwa vzur
Tatzo organist wa ckuhz wanapiga kuiga makanisa ya kilokole, huyu organist ukckilza mara nyng anapiga beat ambyo co hta nyimbo hucika,mchiriku, hovyo kbx😮
Amen! Naupenda san wimbo huu, hongereni vocal imekaa poa ...maua apewe organist hapo kuna free organ nzuri❤
analikanyaga pedali kwa upole flani ivi afu analiachia juu juu...Hatari sana
Mungu awabariki sana. Wimbo mzri sana❤
Wakati mnaimba bila Shaka mliona ni wimbo wa kawaida Sana. Lakini hamwezi kujua kwamba wimbo ni mzuri Sana na watu wengi Sana tunauimba wenu. Mimi ni sister wa COLU Kama Masister tunaupenda Sana, na pia Mimi ni Mwalimu wa shule ya St. Catherine secondary school Lushoto wanafunzi wangu wanaupenda Sana! Kilimahewa karibuni Sana Lushoto.
Asante sana sister
Hakika, Kila wiki lazima niusikilize
Binafsi naupenda Sana Sr.
Hapa parokiani mkata Bila hii kitu sister..nikikaa sauti ya tatu palee nnaonna bado Dominika yangu hhaijakkamilika kkabisaaaa
Wimbo mzuri san jaman
Barikiwa sana composer na waimbani wote
Naupenda Sanaa huu wimbo mungu awabariki
Ni wimbo ambao unanibariki sanaa, hongera mtunzi na wanakwaya woote kwa tafakari hii nzuri sanaaaa. Mungu awabarikini nyoooote🙏❤🙏
Mmeimba vizuri Mungu awatunze mdumu ktk wito wenu wa uimbaji
Amina
Tatizo langu ni improvisation katika kuanzisha wimbo kwa kinanda. Baadhi ya vijana wa zama hizi ni wabunifu kupitiliza! Bahati mbaya ukweli umetafsiliwa ni mtu kujifanya mjuaji lakini ukweli hauna mbadala. Upande wa kwaya ninawapongeza kwa kuuenzi Muziki Mtakatifu Katoliki Tanzania.
Kweli Barak zimejaaa pia hongeren kwa kawimbo kazuri
Zijae ndani mwangu
Mbarikiwe saana wimbo unanibariki saaana mbarikiwe na tena na tena baraka zijae ndani yangu
Very sweet song keep it up
Hongereni sana Kwa kumsifu mungu nami na barikiwa sana kupitia wimbo huu
Safi sana....
Ni kama bahati kuikuta hapa RUclips.
Maana tumesubiri sana.
Wimbo safi Kabisa.
Hahaaaaaaa Mungu atukuzwe ndugu Anorld
@@kwayayabikiramariaimakulat1042 u in uhfdk
Hakika ni kama bahati, Binafsi niliutafuta sana.
Nakusihi bwana mungu uiweke mikononi kamaile ya abel mtumishi wako ijaze baraka zako ee bwana (halafu kuna pedo inafuata kama kiboresho❤❤ 😂😂😂😂😂❤)
Mlitisha kwa wimbo Mzuri kama huu jaman mbarikiwe saana wanakwaya kwa kuruimbia wimbo Mzuri
Nina upenda huu wimbo❤
Kaz nzur sanaa
Kazi nzuri saan hongera Ng'wanasato
Mungu aimarishe kipaji chako
주님께 노래하여라, 새로운 노래를- 그 이름을 찬미하여라, 나날이 선포하여라, 그분의 구원을 전하여라.......Hongereni sana Mungu atubariki sote. Amina.
Nimtolee Nini Mungu kama sadaka kwake, hakika maisha yangu yote namtolea Bwana nami nitamtukuza milele
Hongereni sana kwa kazi nzuri, nabarikiwa sana na Wimborne huu.
Mwenyezi MUNGU awabariki saaana katika kazi hii yakitume
Kila ninapousikia natamani niucheze kwenye kinanda! Nyimbo bora ya sadaka!
Kaz nzuuuuur sana🔥💞❣️👍🙏😇
Mungu atukuzwe
@@kwayayabikiramariaimakulat1042 aminaaaaa,
Kazi safi. Deus benedicat tibi.
This song has been my favorite song,I feel blessed to listen the song and I'm not getting tired,we give all the glory to our almighty God,being a Catholic is the blessings.we have received all the assigned blessings from above.
Amen
I can't stop listening and watching this song over and over again..
😋
Soo sentimental
Feeling in communion with the heavens..
May Christ Jesus bless you
Amen
Naupenda huu wimbo hata sina maneno ya kusema.
Hongereni sana wanakwaya wote mbarikiwe 🙏🙏
Neema zijae miyoyoni mwenu mzidi kutunga wombo tamu kama hii❤❤
Kazi nzuri mno
Nyimbo Safi sana..
Dumisheni Kiwango hiki
Asante mkuu Mungu akutunze
Mungu awabarikini saana.
Safi Sana mwimbo mzuri sana
Nyimbo nzuri sanaa
Huu wimbo jmn😍
Please may you help me with swahili translation for the chorus?
Dah, imenijaza kweli hii nyimbo Safi sana
Hakika Bwana akae nany
Safi sana 🙏🙏 nyumbani kumenoga
Kumenoga haswa Alice chibo
Nothing beats mziki mtakatifu💜
Mbarikiwe
Kazi nzuri sana ❤️❤️ nabarikiwa mno🙏
Amina Mpendwa karibu ujipatie Albamu yako pendwa
Kazi nzuri Sana🙏
Kazi nzuri sana. Big up
Wimbo mzuri sana Mungu awape baraka, amani upendo ili mzidi kueneza Injili mataifa yote.
Amina
Asate sana kwawimbo muzuri
natamani nije nisali nanyi sikumoja, ili nipate ivi vitamin live, mmeupiga mwingi
Amina!
Saaaaaafi
Wobderful
Nice song
Nyimbo nzuri sauti zinavutia,maneno yanasikika vizuri sana hongereni
Amina mkuu Mungu atukuzwe
Am so blessed listening to this song 🙏🙏
❤❤❤❤Amen ,clean clean
I like this song it is the best
Wimbo mzuri sana
Safi kabisa
Wimbo umenibariki sana, hongereni mno kwa kazi mzuri.
Asante ndugu, Mungu atukuzwe
Safi sana wimbo mzuri mno barikiweni sana
Hongereni wajina wa kwaya yetu
Mungu azidi kutukuzwa sana wajina@@OllivaSimbeye
Sauti ya nne imeua sanaa
Huu mziki umekaa kikatoliki kabisa..
Style nA Mahadhi yametulia Kwa Kiwango cha Kanisa Takatifu katoliki..
Mmenifurahisha sana
Hii ndo Gregorian Chant
Yaaaah Safi muziki umekamatana
Amina
Sitoacha kusikiliza hii song nimebarikiwa sn
Wimbo mzuri sana!!!!
Naupenda Sanaa huu wimbo
Naupenda Sana huu wimbo jamani
Nyimbo za rc tam sana
🔥🔥
Mungu awabariki sana
🙏🙏wimbo mzr binafsi nimependa🙏🙏
Mungu akutunze Dada Rosemary
Amina
Safi mno
Mungu akubariki ndugu
Good song
Bonjour, j'aime trop la chanson, veuillez m'envoyer la partition svp
Kazi nzuri Ila organist kwenye free organ kdg hajapatendea haki
Yes, organist hajafnya kitu kbx kwny huu wimbo, maan huu wimbo n mzur sana lkn mm naona hawajautendea haki, wakasikilize kwny misa ya miaka 25 ya Askofu Niwemugizi jinsi ulivyoimbwa vzur
Tatzo organist wa ckuhz wanapiga kuiga makanisa ya kilokole, huyu organist ukckilza mara nyng anapiga beat ambyo co hta nyimbo hucika,mchiriku, hovyo kbx😮
Bravoooooooo
❤❤❤
Na ita ji nota (partition ya nyimbo hii)
Please toa hio trumpeti. It makes the song sound sad😢
🎉🎉🎉
Mpiga kinanda cjapenda huo upigaji,, melody siyo kabisa but wanakwaya mmetisha
Organist wa hovyo kbx, na hawa ndo wanaoharbu mziki wa kikatoliki, tatzo wanaiga kwa walokole, kaniudhi sana huyu jamaa
Organist unanimalizia muda wangu buana....
kuna nyimbo nyingi za kusikiliza
sasa kunifanya niskilize huu tu manaake nini???
🥰🥰🥰🌹
Safi sana
Asante mwl
Kazi njema hii Mwenyezi Mungu awabariki
Sister Focus TYK
I dont like the mixing in the song..ila waimbaji wako moto sana
Mungu awabariki sana
Safi Sana mwimbo mzuri sana
Sauti ya nne imeua sanaa
❤❤❤